𝐀𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐋𝐎𝐊𝐎𝐋𝐄 / 𝐉𝐔𝐌𝐀 𝐋𝐎𝐊𝐎𝐋𝐄 𝐍𝐈 𝐁𝐀𝐁𝐀 𝐌𝐙𝐔𝐑𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐖𝐄𝐓𝐔 𝐈𝐊𝐑𝐀𝐌
Вставка
- Опубліковано 22 кві 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
WANAO SEMA JUMA KAPATIKANA GONGA LIKE HAPA🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Leo muosha ameoshwa
@@oyay2821 🤣🤣🤣🤣
Kapatikana kweli Kawa mdogooo
😂😂😂😂😂
Kila siku kusema yawatu leo sema yako tukusikie mbona umekaa kama ulonyeshewa na mvua🇰🇪
Juma lokole nilikuwa nakupenda lakini Naona Una dharau,usimdhalilishe mwenzako hivyo following from Germany 🇩🇪🇰🇪☺️❣️
kweli kabisa
Kweli jirani from Germany auch, nitafute please yusufabdi260@yahoo.com
Ndo uache kuropoka na mpe heshima mzazi mwenzio. Nimefurahi leo umevuliwa nguo na mtu akujuaye vizuri mchana kweupe.👌🏼🇺🇸🇺🇸
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍😍😍😍Waliyo soma chuo cha thaqeb tanzania mwanza kilmahewa sokoni tukutane hapa 😊😄
Sikutaki we naule lupuwa baba levo✍️✍️⚔️⚔️⚔️⚔️⚔️
Juma bwana ety nasemaga tu linapita akiiii leo umenyabika alf mwanamke nimempend anamcha makavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Juma umbea wote leo kimyaaa hahah tena bila kukataa hahahha kumbe kakopeshwa ukweli... Haya nipeni hata like kumi
Kama hawa mbona wengi wanalelewa tu
Jamani dida,juma ricardo,aisha na wote mliokuwa kwenye kipindi mmefanya vyema..Mbarikiwe sana
Juma leo hana la kusema mdomo kimyaaa leo😃😃😃
Uyu mdada ana Akili kuliko hata juma lokole.
Aiseeee
Kumbe upo vizuri kichwani wewe. Kusema ukweli nimekuheshimu na nimeelewa upo vizuri kikazi..💕 na milele nimekupenda sanaaaa.
Rekardo momo masha Allah elimu yaonekana baraka laahu fiika
Jumaaaaaaaaaaaaa Leo kawa mdogo km pilton nimegundua kitu juma anamueshimu aliye kua mkee wke KBS
Nani kasikiya kama mimi kuwa Mama Akram anasauti kama ya zuchu
Kabisa
Lokole am from Kenya but usimdharau mzazi mwenzako si poa dida hoyeee
Hapo chaaachaaa mkenya mwenzangu
Mmefanya kitu kikubwa Sana, kheri wapatanishi, Mungu muumba wa mbingu na nchi akutangulie na awabariki Sana
Juma sasa uache kudhalilishanga mabibi wa Diamond. Kiboko yako hiyoo sasa Juma👏🏽👏🏽
Wapi mzee wa mahusiano(mwijaku)
😂😂
Juma juma asanteni kwakusamehana Allah awajalie mwisho mwema
Wambea lakwenu haraka mwalizima na kulitilia dua liishe salama . Kichwa cha habari " Lokole Apata Muhahoo Ahahaa"
🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆😆😆😆😆
🤣🤣🤣🤣
Subhanallah 😳 Astaghfirullahu laadhwimu Mama Tiffah( Zari)mkewe lUkamba secy ( Hanani) Njooni mumuone mrusha vijembe Enstergram leo zamu yake 😄kama mwenye akili timamu ajirekebishe aachane na umbeya wa Enstergram Maana aibu ya leo ya mahari laki tatu tena ya mkopo daah Astaghfirullahu laadhwimu Aibu sijui kwanini ulimuanza wakati unajua yako anayo mengi tena mazito ama kweli mbeya wa Enstergram kapatikana buy the way muelewane yaishe kila mmoja ampe heshima mwenzie maana istoshe nyie wa zazi ikibidi mrudiane mumlee Ikram ili mumpe malezi bora ya wazazi wote wawili iwe kheri inshaallah 👏
Mbea kapatikana leo
🤣🤣🤣 Tena anadaiwa
🤣🤣🤣🤣🤣bwana mwenye surualiiii 😂😂😂😂 vous êtes adorables et rigolo 👀👀👀
Wapi katika dini imesema mahari ibaki, alafu dida munaitikia tuu, SubhanaAllah
Wote hawa hawajui chochote wapo wapo tu.
M mwnyw nimeshangaa mtu kusema hvyo wao kuitikia ye angesema tuuu sheria ya dini yetu kama huna yote ruksa kutoa nusu
Bonjour wasafi un peti coucou à juma bonne journée est bon Ramadah
She's so beautiful
nawakubali sana mpo.vizuri sana
Mbea leo mdomo umejaa mate, Juma ujue mke anaeza kukupa laana unafaa umrudie Allah na umuombe mkeo msamah sai
Is thecapology from the heart mzee baba?u av a lovely n humble wife😍😍
Kapatikana,leo mnenguaje.
Juma oyooooo baba ikram
Hana haya juma duuuh kusema ya watu leo uso chini
🤣🤣🤣🤣
Iles son super 😘😘
🤣🤣🤣🤣Mmbea kapatikana mbona kama kamwagiwa maji ya barafu🤣🤣
hahahaha kufumaniwa kubaya
Hahahaha lokole kanywea maliza pesa uyo 🤣🤣😂
Hehehehe Dida umenichekesha sana eti tuizoom picha
Hahahahaaaa hahahahaaaa haloo chamaneno anadaiwa laki3 🤣🤣ulipe haraka saan,, et yupo hapo kbs 🤣🤣🤣🤣🤣🤣jmn aaah
Mrudiane bwana mmependeza juma na aisha🥰
Warudiane Walee mtoto wao
Kumbeee !
Jamani mmekuwaje hiki kipindi mjue watu wanaweza hata kufanya watu wapigane mnawaitaje kuwasuluhishia mitandaoni vikao fanyeni majumbani
✌✌
Mchaga og mzee wangu umepowa nakukubali
😁😁😁😁😁namuona
Juma mludie mkeo bhana
Juma kapatikana 😁😁
Haswaaaa kakomeshwa kweli
Juma Umbea leo nyweeeee!!!!
Sema sasaa!!Mbona kimyaa,kiki za kina Diamond zimekuharibu sana,kupiga picha na I.T.M,
Utatamkaje Jambo baya la mzazi mwenzio Kama unavyofanya umbea na washakunaku wenzio?
Juma nimemwepesi wakuomba msamaha sana mmungu amjaa lie sana
Leo muosha ameoshwa, alipe mahari ya mama ikram, haraka iwezekenavyo. Uso umemshuka kama mbuzi wa skukuu
Jumaa ni mzushiii mahari ya mwanamkee hukabidhiwa mwenyewe mwanamke bitwin ya muowaji na muolewaji tuu huna haki ya kumkabidhi mwengine yeyootee ni haki ya mwanamkee sasa unasema umezikabidhisha kwa wenginee? Mkabidhi mwenyewee mkononiiii pumbaavu wee umepata mke mzuriii na tena mwenye akili ya maisha ilaaa mzowea udalalii kazi ya duka humshinda
Aibu ya mwaka mahari umpe mwenyewe sio watu ovyooo
Mzazi mwenzio muheshimu
Juma Leo ziiiiiiiiii
Alikuwa mwembabaaaa 😃😃😃🙆🙆juma uyooo 🤣😂😂...
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Waliyo soma chuo cha thaqeb tanzania mwanza kilmahewa sokoni tukutane hapa😄😄😄😄😄😄😄
Patamu apo😍😍
Nyoooooo shenzi type😏😏😏😏
Juma Punguza mdomo....Fikiri kwa makini kabla hujaongea....Tutakuvisha kidera😆🇰🇪
Hahahahaaaa dida weee mbavu zako taratibu mam
Juma be a man!!
Ameezwa leo😂😂😂
Aah dida is too funny😂😂😂
Duh juma umepoteza dodo
Swafi sana
Ila huyu mwanamke anaakili
Iyooo miwani kama range
Juma kwiyo umekosea ongera kwa kuomba msamaa
Ajiumauma juma uyoooo 😂 😂 😂 ungetukanwa ww ungechukulia poa
Juma don't forget where you came from be nice to her she's a good mother
Unazalau Sana we kaka
Msisingizie uongo dini ya kiislamu. Mume anabakisha mahari mnafik. Semeni kila kitu lakini neno la dini ya kiislamu usilisemee uongo. Wewe Juma fii nari futa kwa ku staghafiru.
Juma weka bangi chini tuongee
Mbeaaa leo sisemi kitu😂😂
kiukweliiiiiiiii ajirekebisheeeee
Juma 🤣🤣🤣 kapatikana
Juma kumbe anaeshima maskn amemuomba msamah maskn anamwambia jmn nisameh au unataka nikpgue magoti ? Niwanaume wachache wanaokubr makosa yao nakujishusha Mungu awabariki
😜😜😜😜Juma nakupenda
Maisha yanaendelea mlee mtoto 🙏🙏
Juma today you got your recommended doze🤣🤣🤣🤣dume suruali aibu iyooo ,koma umbea na dharau😏😏😏
Bwahahahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣recommended dozz
Handsome boy wangu naona katulia tulii uko nyuma, mawani yamekaa mahala pake 😍😘 antingisha tu mguu💗😊🧐
😃😃😜
🤣🤣😂😂😂😂
Hahahahahahahahahahaaaa vannesa weee
Juma kanywea kumanina
Umepatikana
Juma kakalishwa...... 😂😂😂😂
Kidini hakuna kitu kama mahari lazima ibaki, huo ni uongo
Watu hawajui dini hawan mda w kuisoma lakini likija swali l dini mtu ht kma halijui atajifanya analijua
Nimeshangaa kweli
Dida daah ati kwahivyo huma unaedaga kwa misiba ya familia zake
Juma lipa deni la wenyewe
Dida mmbea😂😂bwana mwenye suruali
Ndiyo ujifundishe usiropoke ovwe
Juma mkono utaungoa uwoo
Juma rudiyana basi tuta fulahi
Dida umewaweza na mmefanya jambo la kheri kwenye mwezi huu wa ramadan
Ubaya wenu nyie watangazaji mwapenda kulazimisha vitu sana, yani mwalazimisha watu wakumbatiane kama ni mimi weeeee
Wajina huyo binti bado anakupenda
Miwani mimgine jamani niyakuchomea magate
Juma kawa mdogo ghafla aisee 😂😂 ila nashukuru Mungu kila ki2 kipo vizuri
Jum hajielewag
Jumaaaaaaa 😅😅😅😅
Juma kapatikana
Leo juma kapatikana ,umbea huo kwioo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hy picha ndio imenichekesha👐
Nahamia Tz as soon as possible🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duu mbona mshenga simuoni kweli wataachana