Ukifanya kazi na Dr Kumbuka unakuwa huna stress kabisa , Asante Dr kwa kutuzidishia umri maana kucheka nako ni dawa. Yaani nimecheka mpaka mbavu zinauma 😂😂😂😂😂🤣
Kweli dr kumbuka umeongea ukweli eti Hano eti anakoroma kama spika la sikinde shuka urudi dr kumbuka ujue mimi nakupenda sana leo umenigusa hayo mambo ni ya kweli kha kha kha cancer za koo ndioooo nongo kha wanaume mnahadhirika jamani ukiona geti tu sura umeikunja kama iddi amini dada minara yote imesoma voda com
Yaani hapo ushasema Africa jibu lako tosha swali la haraka wazazi wetu haswa wababa waliwahi tubadilisha nepi? Kuna vitu vingine tuwaachie watu wa mbele maisha yote wao ni pasu kwa pasu mpaka mkienda outing wenzetu pasu kwa pasu .Mwanamke wa kiafrika umwambie lipa wewe atakuelewa hahahahaha .
Kumbuka umewekewa nini, leo wakwanza naombeni like zenu
saluti kwako kumbuka nimekupenda sana.
Ha ha ha
Huu muunganiko na dk kumbuka imeifanya uhondo iwe kipindi pendwa sasa bongo.big up all uhondo's crew
Kwa kweli
Saaana
Kweli
Sina mbavu
Congratulations him
Ukifanya kazi na Dr Kumbuka unakuwa huna stress kabisa , Asante Dr kwa kutuzidishia umri maana kucheka nako ni dawa. Yaani nimecheka mpaka mbavu zinauma 😂😂😂😂😂🤣
Yanii😆😆😆😆😆😅😅
This guy will be the next in demand kwa hizi media... Mark my words!!!!
Very true
The power of talent
Ohh Sofia is just laughing like me whenever on watching this show I ❤u guys 🇺🇬
Sadaqta Maneno 👍 Jazakah Lwah Kher Akhui
Dr kumbuka ake ilov so much Sofia ❤️ my sisi uhodo's
😀😀😀😀😀😀😀kumbuka twambie Kaka,majukumu yetu tuyafanye kabisa👌👌👌👌ilaumenimaliza mbavuzangu we we 😂😂😂😂😂😂
Mungu wangu Nakupend wew Kaka Basi tu Mungu akupe maisha marefu
Kumbuka ameichangamsha uhondo sanaaaa
Jameni Dr. Kumbuka atawamaliza Efm!
Tuko pamoja dr kumbuka 😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 na waturoge hatukatai ila kitanda kiwe safi na yeye pia #from 🇨🇵 faransa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ahaaaaa
Ahaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amazing
Yaapoooh twayaona🙌👌
Dr kumbuka weeeee
Wanipa raha mieee👌👌👌
Nawaonea huruma wasioelewa kiswahili walah 😂😂😂😂siyo kwa uhondo huu
Bongo sihami ng`ooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂👍🏿
😍😍😍kumbuka weeeh👌
Nampenda sana kumbuka nikimsikiliza nacheka muda wote efm mko vizuri
Ama kweli pumu zime pata mkohozi uhondo ume noga kupita maelezo Dr Kumbuka kipaji cha kuongea unacho mashallah tabarakallah
Daaaa hunampizani 💥💥💥
Dr Kumbuka The Next MVP
Nimeanza kupenda huyu mse kumbe ana mafunzo mazuri. big up,🇰🇪.
Fatilia uwondo utacheka mbaka basi namafunzo pia unapata
Haaaaaaaa Kumbuka mbavu zangu mie asante kwa somo
Point taken
Sofia mashallah your so cute
😂😂😂😂😂😂❤❤❤kumbuka ww.nakupenda kaka.
Congratulations
Acha kutuvunja mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 love from UK in Newcastle
Here from reading uk 🇬🇧
Asssanteeeee kaka hongeraaaa umeyajuajeeee😄😄😄😄😄
Daaa kaka kumbuka unanichekesha mimi
🥰🙏
wape wape Ahsante
Dr kumbuka Mimi fan wako Sana nipo USA, natamani uje utupe maneno huko😆😆😆😆👌👌👌
Dr.kumbukaa umetishaaaaa sanaa😆😆😆😆
Subhanallah siuongo kuna watu wanayafanya haya tunayaona mitaani 😂😂 asante kutufurahisha Allhamdulilah
Kipini kama shangingi mstaafu umeua rudini mnaoenda bagamoyo sitaki mie mbavu zangu mama dr kumbuka mie staki mie
Kumbuka waambie ukweliiiio🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli dr kumbuka umeongea ukweli eti Hano eti anakoroma kama spika la sikinde shuka urudi dr kumbuka ujue mimi nakupenda sana leo umenigusa hayo mambo ni ya kweli kha kha kha cancer za koo ndioooo nongo kha wanaume mnahadhirika jamani ukiona geti tu sura umeikunja kama iddi amini dada minara yote imesoma voda com
Nampenda huyu dada mwenye miwani
I love this guy wallahy 😂😂😂
Hongera sana kaka
Uyu amekiburudisha sana ichi kipindi asante
Hatariiiiiii kumbuka akeee
Tobhaa!!
😀😀😀😀😍😍
Dr kumbuka unamaneno machafu🙌😅😅😅😅😅😅😅😅❤
kumbuka nakupenda,kila cku naumwa kifua kwajili ya kucheka
Kipini shangingi mstaafu..duh Dr kumbuka nooma
Wera weraaaaaa 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Duhhh uyu jamaaa anakipaji
Balaa sana
Dahhh nimecheka Sina mbavu
Hahaha wape kumbuka. 🇰🇪😂😂🔥🔥🔥
Kipindi hiki nnazid kukipenda ❤️❤️
Hanoooo😀
Kumbuka sitaki mieeeeeeee. Iyo hanooooooooo
Wewe noma sana
Umenikosha kwel Dr kumbka we kiboko kaka
😀😀😀😀
Jamaaa anakipaji cha maneno sijawahi skia karudia neno 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
huyo ndiyo kumbuka cherehani haioni ndani🤣🤣🤣😝😝😝
Jamani yaani laahaa sanaa uhondo
Swadak taaaa manenokuntu wapeee
Nimeweka WIFI kwa ajili ya dr kumbuka😂😂😂😂😂
@Zawadi Issa niko Mombasa elfu moja kwa mwezi
Sema wanune wapasuke
😀😀😀😀😀
Dr kmbuk nakukubali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️Dr achakuchekesha watu
😂 😂 😂 😂 😂 Dr Kumbuka bhana
Mmmhhh
Duuuh mi nakpnda sn
Ongezeni dakika please wallah nimecheka...😃😃😃
Jamaniiiiiii
Kweli kabisa kka kumbuka tena huku ndo wamejaa wana wake ndo zao
Wanaume wetu Africa munaamini jukum lakumlea mtoto nilamama peke yake nepi zamtoto nijukum letu sote Baba Na Mama
Yaani hapo ushasema Africa jibu lako tosha swali la haraka wazazi wetu haswa wababa waliwahi tubadilisha nepi? Kuna vitu vingine tuwaachie watu wa mbele maisha yote wao ni pasu kwa pasu mpaka mkienda outing wenzetu pasu kwa pasu .Mwanamke wa kiafrika umwambie lipa wewe atakuelewa hahahahaha .
sio kwa nchi hii
Hahaaa hii noma nimecheka kama mwehuuu
Hahaaahaaaa
Mhhhhhh nimechekaa
Tenaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
,,,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 maimaimaiii kumbuka kambae nakuona +254❤❤❤
Basi haya
Kweli unayo sema kumbe
Hahahahaha hanooo
Dina kazi.mnayoo
Jmn frequency za efm arusha ni ipi
Hakuna ano kuweza Dr kumbuka jamaniiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama umeckia kipini kama shangingi mstaafu gonga like
😃😃😃
Bhana kumbuka mwenzio nna mshono mbichiii utanirudisha thietre miye!
Hahahaaaaaa kumbuka unaniacha hoiii
Huyu Jamaa Msogezeeni AC karibu
Kameza Kaset
Haaaa
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Nimechekaaaas
Shangingi mstaaaafu😂😂😂😂🤣☝️
Nilikuw kweny daradara tumecheka abr ka nn
Hahahhahaaaa ama ulikua unaenda bagamoyo?
Kumbuk wew utakuwa umesha logwa wew maan so kwa mapovu haya ujembe umefika😂😂😂
😁😁😁😁😁😁
Mukome nayie wanaume kwa uhuni wenu 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Watatuwaaaaaa
Vp
Halooooooooooooooooooooo......... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣