Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima
ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa
Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu
GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane. Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani
Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.
Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.
Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima
Mungu awalinde wachezaji wetu na majin ya majilani Amina
@@AzizaMayemba-td8po Usajili nguvu moja simbasc ndoo zote tunabeba mwakani
@@AzizaMayemba-td8poAminaaaaa
Omba Mwenyezi Mungu Vitabu vyote Akufunulie Wenye Uwe na Uzima wa Afya Njema tuyaone Mema yote ya Simbasc
Sema sema kaka. Simba hoyooo Mahindiiiiii❤❤❤❤👍👍👍🎉🎉🎉😁😁😁😁😁😁
Gb 64 nkufatilia sana cheus cheus cheupe cheupe unabalaaa
Kaka unajua kuongea ❤mungu akulinde
ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa
😅😅😅 eti Baleke kapewa VITS...😅😅
Uzuri hivi vitu vipo na tunavihifazi tutawakumbusha Mandunduka
😂😂😂😂😂😂😂nampenda buree❤❤❤❤❤
Mtayala maneno yenu, mwenyewe naogopa kusifia kwanza.
Huyu ndo atarudi hapa kulia
yanga jiandaeni kisakologia
GB 64 imekuwa msajili wa vizazi na vifo mtaimba mwaka huu.mmekuwa NIDA
Jamaa anajua kuongea huyo utafikiri kameza betree,maua yake
Ila hichi kingeleza😂😂😂😂
Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu
Duwa kwa wachezaji alafu badilishini wapishi wafuwa jezi.
Namuunga mkono mhiindi dua muhimu wasiingize kichwa kichwa wabaya wengi
Tatizo umri, uwezo wanao?
Timu bora na nzuri huwa na wachezaji wenye umri tofauti lakini wenye uwezo katika pitch
Uyu Jamaa anaongea hatari unatakiwa uwe na mwamvuli pembeni lasivyo unatoka umelowa😂😂
Sahihi kabisa kuwalisha viapo sisi tumechoka kuhujumiwa#🎉🎉🎉
Huu ndo mda wa kufurahia ss wana simba ila ligi ikiaanza duuu
Injinia soma iyo❤❤❤❤🎉🎉🎉
Gb64 nitaenjoy one day ukiwa semaji la mnyama
Uko vizuri kaka
Daah 😅 kashakua chawa nayeye skuhz😂😂😂
Unabaya mwalimu
Alie sikia kizungu aseme ndioooo
Yanga hata ya msimu Jana ilikuwa inatosha kabsaaa sasa wenzangu na mimi Wana bweka nawachezaji ambao hawaujui hata uwezo wao
Naomba namba ya sim gb 64
We kweli chizi ndo maana ulifeli Azania
Ukweli unauma,,, kipi kadanganya apo? Kufeli shule hakuwez kuondoa uhalisia wa hoja
Lakini mzamiru mpambanaji
🎉🎉🎉🎉 pokea chapu mauwa yako mwamba 64 GB mwanao hapa kutoka tete mozambique ❤❤
Machine yakuongea gb mwamba
🎉🎉🎉🎉🎉
Muda utaongea maneno mengi ya nn
Huyo anasema fa nne ni ipi na ipi kama sio uongo
GB aminia mwanang
Muindi wa simba YUPO SAHIHI kabisa.Duaaa MUHIMU
Kweri 😂😂
GB 64 nakuerewa
useme vizur timu ya watoto simba hiii ni alayance,😁😁😁 ngoja tuone
GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane.
Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani
Huyu jamaa mwamba
Wambie 😂😂😂😂
Mmeyavagaa kwa Gb 64 kazi mnayooo simbaaaaa nguvu mojaa zipo mashine zimesajiliwa hahaha kulia lia sasa basiii wacha tuenjoy
Kweri
Fei ToTo karibu msimbazi rahatu
Sawa msija pamoja
Tim mpya ya vijana watakoma uto
Nimekuerewa mwamba
Mambo yote uwanjani bwashe sio maneno vijiweni tusubiri.hamna haya mlichangia poit 6 ubingwa wa wananchi?
Yanga wanasajili wachezaji waliotelekezwa
Huna baya
Saluti gb 64
Ndiyomanaanaitwa gb 64
Wewe hujui Simba timu mbovu mpaka mashabiki wabovu
Bado hujasema
Ngao yanga 5 vs simba 1 vurugu zamangungu zinaanzia apo
Wawalinde tu wachezaji wetu usajili Bora kabisa wawalinde hawatoto wafike mbele
mm Simba lakini yanga atuwawez
Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.
Unamaanisha mume wenu karudi 😂😂😂😂😂😂 baado ujasema
Tulia sindano ikuingieee
😂😂😂
Pamojasana
Hahah jipe moyo
Wachezaji wa bei nafuu tusubiri. Msianze kufungiana
Chiziiiii hiloooo
Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.
Hahah wewe mmbustani....
ULIONA WAPI WATOTO WANASHINDA KOMBE. MIGOGORO INAANZA RASMI BAADA YA KOMBE LA NGAO.MWEZI UJAO TU.
LEO UNAONGEA KESHO UKIGONGWA UNASEMA ,HATUMTAKI MANGUNGO
Chiziiiiii
Hii haiondoi ubovu wa Mangungu
Viongozi wa Simba msi sahau kuwafanyia maombi wachezaji
Wanalifahamu ndiyo maana Jana walikaa kikao na Tajiri
Wivuwako unakusumbua
Wanasimba tubakize maneno isije tokea kama mwaka jana subiri matokeo wenzetu wanaenda kimyakimya na wataonyesha uzee wao
Hakuna cha kubakusha kama hujiamini kavae jezi ya Utopolo ukafie huko
Kwani Mo hakuwepo?
Mughonile? Kaa huko huko Tukuyu funga mdomo sio viazi mbatata hv. Huu mpira wa Mjini. Kajiunge kuchukua Ndago.
Boss karudi,kwani alienda wapi?😊nyie ndio baadae mnakimbia maneno yenu!!!Azam unahamia lini maana Chama tayari yupo Yanga!
Wewe haujitambui,huyu alikuwa anawapoza mashabiki wawe na Hali ya kawida,,huyu ni shabiki wa kweli sana
Na mimi ndo nashangaa! Hawajui kama wahindi si watu wa soka
@@mohdkhatib223acha ujinga wewe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tusubiri mpigwe chuma tano halafu tuskie kelele za mangungu 😂
@@Papycon22_ maisha hayana formula so ukikalili utaferi
Kipindi cha usajili makolo wanaongea sana ila ligi ikifika katikati ni mtafutano 😂
Usiishi kwa kukariri
SIMBA impe kitengo GB64...Jamaa anajua vibaya sana
Kwani saido mlipomsajili hajatokea Yanga?
Katokea geita gold
😂😂😂😂leo unamtukana chama?kweli kolo kolo tu,..ngojeni legue ianze mtaanza ohooo viongozi wanakula 10% ohoo wametuletea magalasa
Tuliza mbulolo mzee muda utaongea 🙌 🙌 🙌 🙌
Ropokeni tu subirini goli nane mpalanganane tena na this time unaenda segerea kabisaaaa bwege wewe
Kubalini ukweli
Mzamiru Yassin 😂😂😂 ni 30 bhana
Kumanina wewe ndo baba yake chizi 😂
Au 35 umefurahi xaxa
Ndo maana walikufurumusha kwa vyeti feki, angalia mazee yamekosa kazi ya kufanya yanamsikiliza kolo vyeti feki
Wewe mwenyewe uamaliza hela ya kununulia kitumbua kwa kununua MB😂😂😂
Washirikina nyie, wanalogwa na nani? Mpira unachezwa mahari peupee.