GB64 NA MUHINDI WA SIMBA WAMWAGA SIFA KWA WACHEZAJI WA SIMBA MASHABIKI WA YANGA WAKASILIKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лип 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

КОМЕНТАРІ • 107

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 7 днів тому +12

    Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima

    • @AzizaMayemba-td8po
      @AzizaMayemba-td8po 7 днів тому

      Mungu awalinde wachezaji wetu na majin ya majilani Amina

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 7 днів тому

      @@AzizaMayemba-td8po Usajili nguvu moja simbasc ndoo zote tunabeba mwakani

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n 7 днів тому

      ​@@AzizaMayemba-td8poAminaaaaa

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 День тому

      Omba Mwenyezi Mungu Vitabu vyote Akufunulie Wenye Uwe na Uzima wa Afya Njema tuyaone Mema yote ya Simbasc

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 днів тому +1

    Sema sema kaka. Simba hoyooo Mahindiiiiii❤❤❤❤👍👍👍🎉🎉🎉😁😁😁😁😁😁

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 7 днів тому +2

    Gb 64 nkufatilia sana cheus cheus cheupe cheupe unabalaaa

  • @user-hm6uz7zc5b
    @user-hm6uz7zc5b 2 дні тому

    Kaka unajua kuongea ❤mungu akulinde

  • @PaulSengo
    @PaulSengo 6 днів тому +1

    ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 7 днів тому +2

    😅😅😅 eti Baleke kapewa VITS...😅😅

  • @georgeuswege5905
    @georgeuswege5905 7 днів тому +2

    Uzuri hivi vitu vipo na tunavihifazi tutawakumbusha Mandunduka

  • @eliwazadaniel6535
    @eliwazadaniel6535 7 днів тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂nampenda buree❤❤❤❤❤

  • @barakamwacha8214
    @barakamwacha8214 7 днів тому +1

    Mtayala maneno yenu, mwenyewe naogopa kusifia kwanza.
    Huyu ndo atarudi hapa kulia

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 7 днів тому +2

    yanga jiandaeni kisakologia

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 7 днів тому +1

    GB 64 imekuwa msajili wa vizazi na vifo mtaimba mwaka huu.mmekuwa NIDA

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale235 7 днів тому +2

    Jamaa anajua kuongea huyo utafikiri kameza betree,maua yake

  • @user-wh3so3px2y
    @user-wh3so3px2y 7 днів тому +1

    Ila hichi kingeleza😂😂😂😂

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 7 днів тому +1

    Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 7 днів тому +1

    Duwa kwa wachezaji alafu badilishini wapishi wafuwa jezi.

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 7 днів тому +1

    Namuunga mkono mhiindi dua muhimu wasiingize kichwa kichwa wabaya wengi

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 7 днів тому +1

    Tatizo umri, uwezo wanao?
    Timu bora na nzuri huwa na wachezaji wenye umri tofauti lakini wenye uwezo katika pitch

  • @user-co5qk5xo8i
    @user-co5qk5xo8i 7 днів тому +1

    Uyu Jamaa anaongea hatari unatakiwa uwe na mwamvuli pembeni lasivyo unatoka umelowa😂😂

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 7 днів тому

    Sahihi kabisa kuwalisha viapo sisi tumechoka kuhujumiwa#🎉🎉🎉

  • @juliussimion7187
    @juliussimion7187 6 днів тому +1

    Huu ndo mda wa kufurahia ss wana simba ila ligi ikiaanza duuu

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus 7 днів тому

    Injinia soma iyo❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @georgekagwebe2461
    @georgekagwebe2461 6 днів тому

    Gb64 nitaenjoy one day ukiwa semaji la mnyama

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 7 днів тому

    Uko vizuri kaka

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 7 днів тому +1

    Daah 😅 kashakua chawa nayeye skuhz😂😂😂

  • @MgangaShabani
    @MgangaShabani 7 днів тому +1

    Unabaya mwalimu

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 7 днів тому

    Alie sikia kizungu aseme ndioooo

  • @PeterMussa-sm7if
    @PeterMussa-sm7if 3 дні тому

    Yanga hata ya msimu Jana ilikuwa inatosha kabsaaa sasa wenzangu na mimi Wana bweka nawachezaji ambao hawaujui hata uwezo wao

  • @user-or3bg6oj9v
    @user-or3bg6oj9v 7 днів тому +1

    Naomba namba ya sim gb 64

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa 7 днів тому +2

    We kweli chizi ndo maana ulifeli Azania

    • @festoissa7476
      @festoissa7476 2 дні тому

      Ukweli unauma,,, kipi kadanganya apo? Kufeli shule hakuwez kuondoa uhalisia wa hoja

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelis 7 днів тому +1

    Lakini mzamiru mpambanaji

  • @user-pm2ww1ir8z
    @user-pm2ww1ir8z 7 днів тому +4

    🎉🎉🎉🎉 pokea chapu mauwa yako mwamba 64 GB mwanao hapa kutoka tete mozambique ❤❤

  • @ShaibuShaibu-c3e
    @ShaibuShaibu-c3e 7 днів тому

    Machine yakuongea gb mwamba

  • @HamisiAthumani-vz1oi
    @HamisiAthumani-vz1oi 7 днів тому

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 7 днів тому +1

    Muda utaongea maneno mengi ya nn

  • @muharamiamiri9750
    @muharamiamiri9750 5 днів тому

    Huyo anasema fa nne ni ipi na ipi kama sio uongo

  • @RevocatusKambimbaya
    @RevocatusKambimbaya 7 днів тому

    GB aminia mwanang

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 5 днів тому

    Muindi wa simba YUPO SAHIHI kabisa.Duaaa MUHIMU

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 7 днів тому

    Kweri 😂😂

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 7 днів тому

    GB 64 nakuerewa

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 7 днів тому

    useme vizur timu ya watoto simba hiii ni alayance,😁😁😁 ngoja tuone

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 7 днів тому

    GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane.
    Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani

  • @ChivaKayange
    @ChivaKayange 7 днів тому

    Huyu jamaa mwamba

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 7 днів тому

    Wambie 😂😂😂😂

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 6 днів тому

    Mmeyavagaa kwa Gb 64 kazi mnayooo simbaaaaa nguvu mojaa zipo mashine zimesajiliwa hahaha kulia lia sasa basiii wacha tuenjoy

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 7 днів тому

    Kweri

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 7 днів тому

    Fei ToTo karibu msimbazi rahatu

  • @user-tv5px7mw7k
    @user-tv5px7mw7k 7 днів тому

    Sawa msija pamoja

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 5 днів тому

    Tim mpya ya vijana watakoma uto

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 7 днів тому

    Nimekuerewa mwamba

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 7 днів тому

    Mambo yote uwanjani bwashe sio maneno vijiweni tusubiri.hamna haya mlichangia poit 6 ubingwa wa wananchi?

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 7 днів тому

    Yanga wanasajili wachezaji waliotelekezwa

  • @MatulizoMahenge
    @MatulizoMahenge 15 годин тому

    Huna baya

  • @SalumSevingi
    @SalumSevingi 7 днів тому

    Saluti gb 64

  • @user-em7xh9cn4y
    @user-em7xh9cn4y 7 днів тому

    Ndiyomanaanaitwa gb 64

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el 6 днів тому

    Wewe hujui Simba timu mbovu mpaka mashabiki wabovu

  • @peterchande957
    @peterchande957 7 днів тому

    Bado hujasema

  • @user-ck1vr4iu7p
    @user-ck1vr4iu7p 4 дні тому

    Ngao yanga 5 vs simba 1 vurugu zamangungu zinaanzia apo

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 7 днів тому +1

    Wawalinde tu wachezaji wetu usajili Bora kabisa wawalinde hawatoto wafike mbele

    • @TABIAMBWATE
      @TABIAMBWATE 6 днів тому

      mm Simba lakini yanga atuwawez

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 7 днів тому

    Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.

  • @mahamedabdi1881
    @mahamedabdi1881 7 днів тому +1

    Unamaanisha mume wenu karudi 😂😂😂😂😂😂 baado ujasema

  • @Shirimaaloyce
    @Shirimaaloyce 7 днів тому +1

    😂😂😂

  • @user-em7xh9cn4y
    @user-em7xh9cn4y 7 днів тому

    Pamojasana

  • @user-ru3ct5en2m
    @user-ru3ct5en2m 7 днів тому

    Hahah jipe moyo

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 7 днів тому +1

    Wachezaji wa bei nafuu tusubiri. Msianze kufungiana

  • @user-ip6xg6jx3g
    @user-ip6xg6jx3g 7 днів тому +2

    Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.

  • @tosh7671
    @tosh7671 7 днів тому

    ULIONA WAPI WATOTO WANASHINDA KOMBE. MIGOGORO INAANZA RASMI BAADA YA KOMBE LA NGAO.MWEZI UJAO TU.

  • @user-ov6kd3jz6c
    @user-ov6kd3jz6c 7 днів тому +1

    LEO UNAONGEA KESHO UKIGONGWA UNASEMA ,HATUMTAKI MANGUNGO

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga 7 днів тому +2

    Viongozi wa Simba msi sahau kuwafanyia maombi wachezaji

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 7 днів тому

      Wanalifahamu ndiyo maana Jana walikaa kikao na Tajiri

  • @AnordKapalamba
    @AnordKapalamba 6 днів тому

    Wivuwako unakusumbua

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo 7 днів тому +1

    Wanasimba tubakize maneno isije tokea kama mwaka jana subiri matokeo wenzetu wanaenda kimyakimya na wataonyesha uzee wao

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 10 годин тому

      Hakuna cha kubakusha kama hujiamini kavae jezi ya Utopolo ukafie huko

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 7 днів тому +2

    Kwani Mo hakuwepo?

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 7 днів тому

      Mughonile? Kaa huko huko Tukuyu funga mdomo sio viazi mbatata hv. Huu mpira wa Mjini. Kajiunge kuchukua Ndago.

  • @salehemsumi615
    @salehemsumi615 7 днів тому +1

    Boss karudi,kwani alienda wapi?😊nyie ndio baadae mnakimbia maneno yenu!!!Azam unahamia lini maana Chama tayari yupo Yanga!

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 7 днів тому

      Wewe haujitambui,huyu alikuwa anawapoza mashabiki wawe na Hali ya kawida,,huyu ni shabiki wa kweli sana

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 7 днів тому

      Na mimi ndo nashangaa! Hawajui kama wahindi si watu wa soka

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 3 дні тому

      ​@@mohdkhatib223acha ujinga wewe

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 7 днів тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ 7 днів тому

    Tusubiri mpigwe chuma tano halafu tuskie kelele za mangungu 😂

    • @RashidiMwiga
      @RashidiMwiga 7 днів тому +1

      @@Papycon22_ maisha hayana formula so ukikalili utaferi

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ 7 днів тому

    Kipindi cha usajili makolo wanaongea sana ila ligi ikifika katikati ni mtafutano 😂

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 7 днів тому +1

    SIMBA impe kitengo GB64...Jamaa anajua vibaya sana

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi 7 днів тому

    Kwani saido mlipomsajili hajatokea Yanga?

    • @bone102
      @bone102 7 днів тому +1

      Katokea geita gold

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd 7 днів тому +1

    😂😂😂😂leo unamtukana chama?kweli kolo kolo tu,..ngojeni legue ianze mtaanza ohooo viongozi wanakula 10% ohoo wametuletea magalasa

    • @edwarddastani3691
      @edwarddastani3691 7 днів тому

      Tuliza mbulolo mzee muda utaongea 🙌 🙌 🙌 🙌

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z 7 днів тому +1

    Ropokeni tu subirini goli nane mpalanganane tena na this time unaenda segerea kabisaaaa bwege wewe

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne123 7 днів тому +3

    Mzamiru Yassin 😂😂😂 ni 30 bhana

  • @georgeuswege5905
    @georgeuswege5905 7 днів тому

    Ndo maana walikufurumusha kwa vyeti feki, angalia mazee yamekosa kazi ya kufanya yanamsikiliza kolo vyeti feki

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 10 годин тому

      Wewe mwenyewe uamaliza hela ya kununulia kitumbua kwa kununua MB😂😂😂

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 7 днів тому

    Washirikina nyie, wanalogwa na nani? Mpira unachezwa mahari peupee.