#GOODLUCK
Вставка
- Опубліковано 20 гру 2021
- #GeorDavieTV Nabii mkuu Mheshimiwa Dr. GeorDavie Alimzawadia mwimbaji wa nyimbo za injili Goodluck Gozbert gari aina ya Mercedes Benz C Class yenye usajili wa namba T 256 DRC kwenye dhifa ya kitaifa kwa wana-vituo juu ya mwamba iliyofanyika GLC/MMD tarehe 10/12/2021.
Sifa na utukufu kwa Mungu wetu aliyeinua watu wakuu katika kizazi chetu wanaofanyika Baraka katika maisha yetu Amen🙏
Zile zama zote za agano la kale naziona nyinyi bado chache tu yesu arudi tu bora ukweli ujulikane
Mambo mengine mi huona kama ndoto. Imagine watching this when am this hungry and empty in my stomach....my tomorrow is greater. Ebu niendelee kulinda kusudi la mungu.
Shukrani yangu kwa kipawa cha gari kwa kijana Goodluck. Mungu huwa na sababu zake.
Iko siku mimi nika pewa gari mpya hapa niishiko. Wakati nilikuwa na upweke, umasikini hata kujiweza nafsi yangu na jamii ilikuwa shida.
Mungu huonekana wakati wake kupitia kwa watu wake.
Jina lake liabudiwe.
Waimbaji wametekwa kabisa,na wanasema; Mungu kafanya miujiza nyoooo!!!
Haki
Nyooo!!! Lazima wapimwe suti.
Bishop wacha kutudanganya,waongea hivyo juu amekua celeb na pesa mingi ndio wamsifia na kumzawadi,kuna masikini wengi Sana wako kanisani kwako ,wazuri zaidi,wanajitolea kuosha kanisa,kubeba vitu,kufanya shuguli ndogo ndogo na kujituma zaidi ila watoto wao hawana kitu hata chakula,hajui atatoa wapi Karo ya shule,wala nguo,hautaki hata kupata nafasi na kukula nao ,na kuwasikiza ,na kuwasaidia hata Kari Tu,simchukii good luck,nampenda Sana niliokoka kupitia nyimbo zake ,ila wachungaji wengi nu wanafuki,wanawazingatia Sana watu mashuuri juu wanajua wataonekana na followers WA mtu shujaa na watapata followers wengi.wachungaji kuna watu wanateseka kanisani kwenyu,...na sijutii kuandika hii coment yangu
Mtumishi nakupenda sana
Hakuna nabii zaidi ya yesu
Kusema ukweli Mungu ndo anajua yupi ni mtumishi wake wa kweli mengine tuache tu yapitee
Hii umenitoa machozi, machozi ya furaha, acha mungu aitwe mungu,
Barikiwa sana kwa nyimbo zako hakika umeonyeaha inawezekana
Kuna watu wanaumwa hawana hata Ela ya kwendea hospitali!!!!!!!!!!
Nabii mkuu asante kwa ajiri ya zawadi kwa goodrack na kwa wote uliowazawadia Bajaji pia najua umebadilisha maisha yao na Mungu azidi kukutumia Amen
Nabii mkuu kapewa kitabu?
Hahahha hahaha nabii wa mchongo
Amen
Si nabii wa bajaji 😅 au we hujui ukitaka kumteka binadamu we dili na mazaifu yake tu 😅@@khalfanikishki7465
Kondooo wangu wanapotea kwa kukosa maarifa🙆
Even me I love this man anaimba ukweli Mungu akubariki
Kwali mungu awasaidiy na atusaidy sote❤
God bless you l listen to your music last night until now,l can't stop listening, watching from Namibia. God bless your gift and your minstry.
neema ya bwana wetu yesu kristo na upendo wa Mungu baba na ushirika wa roho mtakatifu ukae nasi sote tangu sasa na hata milele amima
Nabii mkuu ni wapeke sana napoa nimtu wamui sana duniani kote kama yupo hajitokeze nione.
The great prophet is only God.Zingine achia Mungu siku ya kiama
amen mtumishi wa Mungu Good luck mungu hamekubariki sana Mimi najua nyimbo zangu kwazia leo zitakuwa nyimbo bora sana sana nimebarikiwa sana mtumishi 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naomba mungu anibariki pamojana famille yangu
ningetamani siku moja nifike kanisani mwako baba nabii wa mwenyezi mungu ila uwezo sina isitoshe niko mbali kidogo niko kongo drc
Huyu sio mutumishi wa Mungu.taayali huyu kijana kwiingia kwa shetani
kweli mungu amekujibu make uliwahi imba ipo siku yako utabarikiwa Glory to God 🙏🙏.
Amen,,hata yangu siku yaja in Jesus Name.
Uyo siyo MUNGU muhumba ni mungu
Amen Amen. Nami nimelia machozi ya furaha. Baba MUNGU akubariki zaidi pia👏👏🙏🙏
ongera xan gud,ulichokipata kinadhiilixha ubora unacho kitenda usikate tamaa ongeza juhudi zaidi sababu yu mwema amina❤❤❤
Mungu akubariki sana kwa ulivyo utambua uwepo wake ndani yako
Hakuna machozi asio jibiwa ❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮Mungu nimwema....
Ati tofauti na waimbaji wengine,Wewe sema unampenda tu basi,mbona kunawaimbaji wazuri tu sana,Ambao nyimbo zao Zinaimbwa karibu Afrika Mashariki na Na kati.j
Acha wivu🤣🤣🤣
hawezi waita wote, huyu kawakilisha.
Eh jamani acheni wivu waimbaji wako wengi
nime falijika sana kaz ya wimbo zako kat ya moja wapo naona ume jibiwa leo bila kutegemea mungu ni mwema
vrmt j'aime aussi la chanson mitindo ya nyele 🙏🙏🙏🌹 Mungu akubariki
Ngoja niigoogle nijue thaman yake
Mungu nimwema.
Mungu uwarudi nakuwaonya wale wote awapendao mzeeeeeee or nabiiiiii kumbuka atabahali aliitwa nabi mzeeeeeee tubu tenatoba ya mabadiliko lasvyo itakupa hukum
I felt God is going to touch through this video
Papa. 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏am watching from kenya no one is like God
Na amini na mimi Salman,iko siku moja na mimi tafanikiwa kwani,hiyo ni mipango ya Mungu Baba.
Na haya mambo haya ya kugawiwa gari kila anayekuja huko Kisongo napata mashaka kidogo, lakini mmmhh haya bhana, yangu macho na masikio. But there must be something behind the scene.
May Almighty God protect you from evil gifts cause nowadays people are serving evil spirits soo be wise bro
Thank you jesus 🙌🙌🙌hakuna machozi isiojibiwa thanks father 🙏🙏🙏
Mungu AKUTUZE wa mbinguni IPO siku atanikumbuka tu namimi injili ienderee kusonga mbere
Ashukuliwe mungu kwayote anayotenda mungu amubaliki nabii kwakujitoa jaman wakati ukifika hakuna wakuzuuia baraka zatu
Mungu akufikishe mbal zaid
Truelly God lives ... I shed tears of joy . One day God will lead me to the right destiny helper
Amen
Sharome
Nabi Mungu akuongeze mafuta
Peana number
Sisi tuko
Burundi
Tunwafata 100/100
Wengi mnacoment kua uyu sio nabii ila iko hivi usiuvunje moyo wa mtu aaminie maana ni sawa na kuuwa ko kimfano awo watu wnaamini kua yuko MUNGU ndani ya uyo nabii sasa wew unasema wanapotea pita kimya kimya kama hapakufai
Amen,,,Wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
Amen hakika akuna machozi yasiyo jibiwa kwa Mungu ukweli,❤
Waw ni mungu haki mungu uko I wishe hata Mimi kilio changu Amen
Mungu ndo ajuae jmn ila tumtegemee munguu
Cought myself crying,, glory be to ,Good
Nabii Mkuu Mungu azidi kukubariki baba. Nakufata sana nikiwa congo Bukavu
Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
____________
Mungu anaangalia moyo..mambo ya rohoni ni kwa watu wa kiroho.. Kwa wasio wa rohoni ni upuuzi
Huu mwezi na pata mtoto wangu. Mungu wacha ni ku one
Hii no hatali ya hatali jamani kuweni makini sana
Mungu alitembea na masikini kuliko matajili usimtumikie mungu kwa kutegemea zawadi mana si KILA zawadi ni zawadi
Nabi muku Burundi tunagupenda sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nabii wa yesu hana tamaa na vitu vya kidunian i belief in jesus
Goodluck Gozbert nyimbo zako zimejaa shuhuda tele za Mungu na matendo yake makuu.
Umefanyikwa wa baraka katika kizazi hichi.
Mh!
Yesu anatumia watumishi wake kubariki watu wake. Neno la Bwana li hai, Tena Lina nguvu.
Ahimidiwe Mungu Baba anayetupa kushinda na zaidi ya kushinda, katika hayo tunapokea amani ya kweli.
Asante Kwa shuhuda hizi kutoka Gudluck Gozbert mwimbaji na Nabii mkuu 🙏🙏
Mungu hana choyo kwa wakat atatenda
Wanaomchukia baba nabii joedavie wanamchukia MUNGU sababu alisema MUNGU anaesaidia maskini anaifanya kazi ya MUNGU..baba nabii hongela sana
ko uyo ni Mungu wako au sio
Mungu hakisema hatatenda hatatenda I love your song's so much uendele na hinjili ya mungu
Na amini utabarikiwa na huu wimbo pia 👉🏻ua-cam.com/video/9uJYAtHEXR8/v-deo.html God bless you🙏🙏🙏🙏🙏
Yesu ni mwema barikiwa nabii wetu
Good luck jaman kuwa mkin Sana Kila kitu kina galama hiyo gari ni bure lakin utalipia hakuna kitu Cha bure
Much love from Kenya
Nnaomba mungu na.mimi unibariki 🙏🙏🙏
Mungu ni mwema ,na pia mungu hajawahi kumtupa mja wake
Asante sana Mungu muumba wa mbingu na dunia kwa kumkumbuka uyo kijana Zablon kwa kumbariki na gari aina ya mazendez benz kutoka kwa nibii wako mkuu. Hakika ni ushuhuda mkuu 🙇🙇🙇 asante sana Mungu bariki pia uyo nabii kwa njia kubwa sana 🙇🙇🙇
No wonder he has touché me too .What a blessing he is to the church.Machozi yaishe how nice
Mungu utusahehe
Kiukwel nimesikitika juu ya hili Mungu akusamehe Goodluck
Mungu nimuweza akikuahidi hakuna wakupinga zidi kujituma utainuka zaidi. Kweri imani yako hakika imeng'ara,pia unaombwa kwajiranizetu Rwanda nenda kaseme yesu nibwana
Gozbert usisahau kurudi Ngurumo ya Upako be blessed Bro.
Nabii tembelea Hospital na mitaani kwa watoto wenye mahitaji maalumu Hali ni mbaya , tofauti na Hao wenye Harrier af unawaongezea Benz"
Amen too am blessed with his gospel music.God bless you so much.
kijana mzuli kashapotea uyo washamchukuwa tayali nguvu kazi iyooo imeondoka
Amen ,amen ,katika kutumikiya Mungu kuna faida . Asante nabii mkubwa kwa kumutiya kijana nguvu !!
Huy mchungaji yup wap
Namuomba mungu namimi anibariki nabii zidi kutuombea watoto wako
Umeambiwa uimbe ule wimbo,,napenda mitindo ya nywele angalia usije ukanyanganywa zawadi
Mtumishi mimi nakupenda vile unavyoludisha shukrani kwa watu Tazama unavyowazawadia watu Mabajaji na magari tena magari ya kifahari Mungu azidi kukuinuwa Mtumishi NAKUPENDA SANA
Mungu akusameh maana mandiko yanatimia na nyie waimbaji hanna kiasi wala macho
Kuyaelewa haya mpaka uwe na jicho la tatu angalau hata kwa kupapasapapasa
@@isongacharlesnilanga2582 Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume; sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi
Kwanini sasa anapondea nyimbo za watu wengine wakati nyimbo zote mimi naamini wanamtukuza kristo mmmmh pia Mungu ndo anajua yaliyomo ndani moyoni mwa mtu
Mungu ashukuliwe Kwa yote🙏🙏
Hakuna chozi lisilo namajibumbele za mungu
Yesu atanifuta siku moja amen 🙏
Luka 18:18,19) Zaburi 118:1) Mwema muumbaji, siyo Yesu.
I always love this musician music.. Is a blessings to his life
nabii mkuu me siku amini kabisa yani unaimba
muzic acha kupumbaxa watu
Joy comes in the morning😭😭... I am blessed and its not in vain to serve God, Goodluck God has remembered you and I partake in this favor from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Who's God may your name be raised for ever God bless you nabii
Mungu akubariki kwa nyimbo zako nzr
😳😳😳🚔🚔🚔👑👑👑👑👑👑👑🎓🎓🎓🎓 passi
Hakuna mtume wala nabii ispokuwa wa mwisho ni mtume Muhammad SAW
Het nabii daah yaan kweli sio poa
I always love the man of God,May God continue keeping you for these generation 🙏 ,from Kenya 🇰🇪
Na amini utabarikiwa na huu wimbo pia 👉🏻ua-cam.com/video/9uJYAtHEXR8/v-deo.html God bless you🙏
Hatuna haja ya pesa ao gari tuna haja ya ufalme wa Mungu.
Mtumishi wa Mungu ubarikiw sana wew njoo mwalimu mzur ulio tumwa na Yesu kristo kusaidia watu na mimi naomba muniombee na teseka na maisha
Amna uyu ni freemason pesa zote izo anazitoa wapi ni sadaka ai
Bwanayesu akubaliki
Mutumichi wamungu Mimi nimelogwa
Eti pesa yangu iyiche Kira kiyu nanaco masatani mapepu kipiga migukunimaliziya nguvu nimerogwa kuhangayika
Bwana yesu asifiwe balikiwa ameeeeeen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳
Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏 naomba nipate kibali kama cha baba baba
Mungu naomba unifungue na Mimi fungya family mzima nawadogo zangu.naomba nisaidie.
we nabiii unapenda maigizo sana, ila tunashukuru maana umekuwa ni alama ya nyakati za mwisho,
Duh
Pesa wewe😢😢inafanya adi tunaeda kinyume na mungu 😢
Kampigia mpaka magoti
Kinachonipa faraja zaidi ni unabii unazidi kutimia
Umeona acha unabii utumie mambo ya mwilini haya watu wanaamini kuwa na majumba kuwa na magar ndo wana Mungu
Watu wangu wanaangamia Kwa kukos. Maarifa
True
Kabisaaa
Jiangalie kaka good luck ni manabii wakuzimu
Tuendelee kuutafuta uso wa Mungu atuonyeshe njia sahh ya kupita
Daa ukiamini neno la mungu ujuwe mungu atakuangalia TU hawezi kukuacha tu hivihivi Kam mm naomba mungu anijalie tu nipone hay magonjwa
Mwenyezi Mungu na asikie maombi Yako dada
All glory and honour is yours almighty God . thank you man of God be blessed
Let your Light Shine on All the Continents of this Universe As you are a Shinining Star.