Vunja bei atoboa siri ya mafanikio yake, "Mpenzi alinikataza"/'"Sijawahi kulala polisi".
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- #Kumekucha #Kishindo, Aprilii 22, 2021.
#ITVTanzania #KumekuchaKishindo #Mubashara
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our UA-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Very humble speaking
Sichokagi kumsikiliza uyu brother, Mungu akubariki sanaa brother...Very inspiring
>>>Me pia
Huyu jamaa kiukwer nimemuona Kama Ruge Mtahaba
@@jasperleopord4838 kweli kabisa
Nimejifunza kitu kikubwa Sana ubarikiwe sana
Barakoa yenyew inasemaj
Matangazaji ya ITV yamelala lala tu, hata hayana maswali ni kuitikia tu, sasa mtu amesema alikua mtumishi wa Umma hata kumuuliza alikua anafanya kazi gan hamna, mtu anasema amesoma sana hata kumuuliza elimu yake hamna, nnnhhhiiii!!! aaanhhaa!!!
amesoma BCom pale UDSM na MBA mzumbe.Huyu jamaa ni smart
Unadharau sana boya wewe
Ulidhani ana form4,asingesema kasoma LA saba Na form4 ni elimu ya taifa
Barakoa linamchanganya..anatangaza na Barakoa jmn khaa
nnnhhhiiii!!! aaanhhaa!!!
Khaaa jamaa anatangaza na barakoa
Hongera kaka wewe kweli Ni kioo Cha jamii una tuhamasisha Sana vijana broo
Kuna kitu huwa najifunza kupitia ww kila ninapokusikiliza
Go baby
Uko vzur xana vunja bei
Duuu kuajiriwa inatakiwa kujiangalia
Gudi bro
Mika 2 mbele nitakuja nikiwa karibia wewe Umeongea point nzito..wakinga nawakubali Sana ..mnajituma ,,najifunza kutoka kwako kwa kusikia ..hii comment note
Kalibu kwetu ukingani tukupe elimu ya biashara
Eti mtu ana dislike hii duuuh! Kweli hakuna kitu utatoa kitakuwa perfect kwa kila mtu
Ana wivu
Dunia ina mambo ya Ajabu Sana😅
😎
Kabisa binadamu wa ajabu sana
Huwa sipitwi na interview zako hata wiki iishe ntafungua tu maana huwa napata vya kujifunza,,,,,uje na moshi ,,,, laki tano na sisi wa moshi
Correct
Mapembeloo kinga jangu
Uyu jamaa nae anasifa sn kila cku ctori ioio moja mamaee
Utabaki hivyohivyo
Very smart guy reminds me of Ruge Mutahaba RIP.
Big inspiration to the youth
#Tomuchmoney
Sure
Hana tofauti na mtu anakuwa kwenye gari mwenyewe ukiwa umevaa barakoa. Very pathetic
Mask ya nn bro😒
Mnatisha watoto bnaa distance ur self wash ur hands mask doesn't protect that much only that t prohibit u from touching ur 👃
Mwandishi very low,vunja Bei alikuwa na vingi vya kusema
Litangazaji libovu sana
Fred ana mengi sana kichwani ,kuhusu biashara
Sasa wewe na hilo libarakoa lako what for? Huyo director wako nae Taahira kama wewe
Sio uwongo nawajua vzr familia yake niwafanya biashara kaka ake namjua vzr sio ajabu haya maendeleo
Fredi na CF/Makambako wana uhisiano wowote ki Familia?
Yupo smart sana lakini nimependa hakuibeza elimu ! Bado elimu Ina mchango mkubwa sna
Ndio wakinga wengi na wachaga
Huyu jamaa anafaa apewe hata saa nzima maana anakitu Cha kufunza vijana.
Na siyo mchoyo wa material, harafu muwazi tu yuko open kinyamaa
Iko poa sana
Huyu mbwa aliye vaa barakoa mpaka kafanya kipind kiwe kinaboa!
Baba ako nae sio mbwa kwani ?
Unaboa sana sasa kwann umwite mwenzako mbwa kwa kua amevaa barakoa
yaan nimependa umekuja media yakiustarabu ukavaaaa kiustarabu
Mungu nisaidie na mimi nitoboe
✊✊
Huyu jamaa ni kichwa
Upo vizuri maliza na biashara ya chakula hasa mafuta ya alzet hio no moja kwa wewe unaweza kwani Ina biasha Mara 2 shudu na mafuta Nina PhD ya mtaa
Xx hilo li barakoa tutajuaje ka ww n kijana mwenzetu,...litoe bhna,
jamaa unajibu maswali vizuri sana
that's My broo Vunjabei
Nashukuru kaka kwa kutufungua
Nice........fredy...( Vunja bei )
Kuna vitu vingi nimejifnz
Uko juu sana.una akili nyingi
Barakoa linaboa kaka sauti kama uko kwenye chungu...
Hahahaha
Hongera Fred nakukubali sana
😂😂😂
What
Sawa sawa
Good message
Man of fact
Mungu azidi kumuinua maana ana moyo sana ya kusaidia vijana wenzake
Unanihamasishaa sana fread kibiasharaaa
Vunjabei mimi nakubari sana wewe nimuekezaji mzuri nakuombauwekeze na kweujenzi wa majumba nibiashara nzuri
Kuwekeza kwenye nyumba ni kulaza Hela ya mzunguko...hiyo ni akili ya kizamani
Napingana na wewe ...biashara ya majengo kama una mtaji mkubwa ndo biashara bora kbs...ishu ni mtaji wako tu
Mmmmh kijana wangu ur a
Very smart nafurahia SN hudaharau kabila lako umeongea uhalisia wako mm ninaekujua all ur are talking is real tumekua wote Safi bro nakuombea ufike mbali maana umebeba wakinga wengi SN nyuma wanakutegemea kwa maono yko.. mm mwenyew kwa uwezo wa Allah nitapambana.
Unastahili kua ulipo
Braza Fred my role model..nakukubal san
5:48 Brother kuna wasambaa wakina Makurunge wamejazana hapo kariakoo
Wakinga weng sana kkoo hao wasambaa hata 200 hawafik pale
Na wanyakyusa kibao wapo Kama wakina rungwe palace hotel wengi tuu wanna maduka pale kariakoo
@@amenyemwansile631 idadi yao bado hawafikii wakinga kwa wing
mim sio mkinga ila wakinga bro nawasikia sanaaaaa, ni wengi kariakoo pale
@@innocentherman5101 unaamini Cha kuambiawa Mimi nilidhani umewaona ndugu
Kula dislike kwa kuvaa barakoa.
Kweliii Kaka vijana unatufundsha njia za kutokea
Wekeni access ya kudownload please
Smart Generation tuko nyuma yako.
M
Hongera sana