Ole Sendeka alivyomkalia kooni Mwigulu Nchemba kisha Spika akamtaka asijbu Bungeni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 кві 2023
  • Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole-Sendeka leo Alhamisi Apri 6,2023 wakati alipoomba Muongozo kuhusu taarifa ya Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba wakati akimpa taarifa Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Ester Matiko wakati alipokuwa akichangia maoni yake kwenye mpango wa mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2023/2024 bungeni jijini Dodoma.

КОМЕНТАРІ • 11

  • @EnenendoipoLaizer
    @EnenendoipoLaizer 3 дні тому

    Pole sana baba yetu mungu akutangulie

  • @SAMSONFORGOD-ex6zd
    @SAMSONFORGOD-ex6zd Рік тому +1

    Wooooote ni kama Mnababaika, Ole Sendeka anasema Mwigulu amemsingizia Rais, Spika naye unajaribu kufichaficha, labda angetokea mtu aseme Mezani kwa Mama kunapitishwa Mabomu ye anasaini au idhinisha bila kujua...

  • @DaitoniChamenda-zm7ur
    @DaitoniChamenda-zm7ur Рік тому

    Amina

  • @olenkukuu1666
    @olenkukuu1666 Рік тому

    Maasai Simba mkali God bless you my leader

  • @kingibandajembe2247
    @kingibandajembe2247 Рік тому

    Huyu sinde noma

  • @salmoomorefeelingproductio1744

    Mbona alipo fafanua hamja weka

  • @hermanhhaaly9685
    @hermanhhaaly9685 Рік тому +2

    Wizara ya fedha wanawashangaa Kama kuna maisha bila upigaji kwasababu kwao ni utaratibu wa kawaida na mshahara ni pocket money tu.Mmesahau wakati sisi tunaomboleza msiba wa Marehemu Magufuli,sisi tupo kwenye kilio,wao wizarani wanagawana hela mpaka Majaliwa alipoingilia Kati.Inatakiwa wote wapitishwe kwenye chujio,kuna Miradi mikubwa ya pesa nyingi wanazo hela wamepata wapi Kama siyo hizo za kuchelewesha malipo ya wakandarasi kwa makusudi ili wagawane riba.Wabunge hapo ndio mahali 2025 tusilaumiane!!!!

    • @eliamanmollel5085
      @eliamanmollel5085 Рік тому

      Hatutaki lawama, wakishindwa kutuwakilisha vema tutatafuta wawakilishi wetu hukuhuku mtaani

  • @fmleli.tz2004
    @fmleli.tz2004 Рік тому

    Jicho darubini :Waziri wa fedha kutaka kumuingiza Raisi NI Eiza ni kutaka kupunguza pawa ya wanao hoji kwa kuhofia kumchafua au