LUSINDE na OLE SENDEKA WAPISHANA BUNGENI MADUDU RIPOTI ya CAG - ''TUSIJIDANGANYE, SIPOKEI TAARIFA''

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 кві 2023
  • LUSINDE na OLE SENDEKA WAPISHANA BUNGENI MADUDU RIPOTI ya CAG - ''TUSIJIDANGANYE, SIPOKEI TAARIFA''
    Ni mkutano wa 11 kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania....
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

КОМЕНТАРІ • 20

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉

  • @husseintwaha1737
    @husseintwaha1737 Рік тому +3

    Ila huyu jamaa ni ana kiwango kikubwa cha unafiki cjui hata ubunge huwa anaupataje,sema mfumo unawabeba sana ni mjinga sana huyu

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Рік тому +1

    U huru wa kufanya kazi walio pewa watumishi ndiyo tatizo lenyewe maana watakuwa wakiiba bila woga so Kwa Hili siyo sawa Kwa Raisi wetu tunaomba abadiri gia awabane watumishi ili wawe na nidham.

  • @nelsonjackson7995
    @nelsonjackson7995 Рік тому +1

    Wewe mbunge unakitu, kuku na binadamu tofauti wezi wapo kwanini mzunguke San Sheria ifate mkondo,kiongoz akihiba mnachelewesha ukum ila wananchi wa Hali ya chini wakifanya makosa fasta ukumu inatok km mnashindwa tutawahuku sisi wananchi.

  • @alenialex6941
    @alenialex6941 Рік тому

    Kuna wabunge wengine Makuma tu inatia uchungu vitu vimepandaa Bei era imeliwa jitu linatetea wizi mbwa mkubwa

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Рік тому

    Lusinde kapewa pesa na hao wezi

  • @misosikonki
    @misosikonki Рік тому

    Mungu awe nasi

  • @beatusimakwaya3346
    @beatusimakwaya3346 Рік тому

    HUYU NAYE RUSINDE AMESHAKUWA CHAWA ,SIJUI KALOGWA NA NANI , WATU WANAIBA YEYE ANASEMA ETI TARATIBU , HUYU HAGAI KABISA

  • @JohnMalambo-hk5hk
    @JohnMalambo-hk5hk Рік тому

    Ww umehongwa pesa zote

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Рік тому

    Mafisadi na majizi matupu.!!! Ona yanavyonenepa.

  • @bminawandu
    @bminawandu Рік тому

    Huyu wame mchagua wakina nan awa ndio wezi wenyewe

  • @ndimuelias6183
    @ndimuelias6183 Рік тому

    Kibajaji Ni gari la Zima Moto msishangae kuona kaanza kazi yake

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Рік тому

    Lusinde anatafuta uwaziri

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Рік тому

    Huyu ni hamnazo

  • @emanuelgella8201
    @emanuelgella8201 Рік тому

    Aina ya wabunge kama Hawa ndio wanafanya bunge lionekane dhaifu, atatetea wezi, mbunge wa kusifu tu, ungekuwa muimbaji basi wa nyimbo za injili, Hana akili Hana hoja Hana ana tumbo tu, hizi pimbi hizi😢

  • @isaacmollel345
    @isaacmollel345 Рік тому

    Uongo hayomagari yakuchimba maji yako wapi panda kwako

  • @abedibyaese1771
    @abedibyaese1771 Рік тому

    ZOTE iso si zamikopo

  • @domycossan1395
    @domycossan1395 Рік тому

    Rais amewapa uhuru mkubwa sio wa kufanya kazi bali ni wa kuhujumu fedha bila kufuatiliwa