LUSINDE na OLE SENDEKA WAPISHANA BUNGENI MADUDU RIPOTI ya CAG - ''TUSIJIDANGANYE, SIPOKEI TAARIFA''
Вставка
- Опубліковано 10 кві 2023
- LUSINDE na OLE SENDEKA WAPISHANA BUNGENI MADUDU RIPOTI ya CAG - ''TUSIJIDANGANYE, SIPOKEI TAARIFA''
Ni mkutano wa 11 kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉
Ila huyu jamaa ni ana kiwango kikubwa cha unafiki cjui hata ubunge huwa anaupataje,sema mfumo unawabeba sana ni mjinga sana huyu
U huru wa kufanya kazi walio pewa watumishi ndiyo tatizo lenyewe maana watakuwa wakiiba bila woga so Kwa Hili siyo sawa Kwa Raisi wetu tunaomba abadiri gia awabane watumishi ili wawe na nidham.
Wewe mbunge unakitu, kuku na binadamu tofauti wezi wapo kwanini mzunguke San Sheria ifate mkondo,kiongoz akihiba mnachelewesha ukum ila wananchi wa Hali ya chini wakifanya makosa fasta ukumu inatok km mnashindwa tutawahuku sisi wananchi.
Kuna wabunge wengine Makuma tu inatia uchungu vitu vimepandaa Bei era imeliwa jitu linatetea wizi mbwa mkubwa
Lusinde kapewa pesa na hao wezi
Mungu awe nasi
HUYU NAYE RUSINDE AMESHAKUWA CHAWA ,SIJUI KALOGWA NA NANI , WATU WANAIBA YEYE ANASEMA ETI TARATIBU , HUYU HAGAI KABISA
Ww umehongwa pesa zote
Mafisadi na majizi matupu.!!! Ona yanavyonenepa.
Huyu wame mchagua wakina nan awa ndio wezi wenyewe
Kibajaji Ni gari la Zima Moto msishangae kuona kaanza kazi yake
Lusinde anatafuta uwaziri
Huyu ni hamnazo
Aina ya wabunge kama Hawa ndio wanafanya bunge lionekane dhaifu, atatetea wezi, mbunge wa kusifu tu, ungekuwa muimbaji basi wa nyimbo za injili, Hana akili Hana hoja Hana ana tumbo tu, hizi pimbi hizi😢
Uongo hayomagari yakuchimba maji yako wapi panda kwako
ZOTE iso si zamikopo
Rais amewapa uhuru mkubwa sio wa kufanya kazi bali ni wa kuhujumu fedha bila kufuatiliwa