Wana ccm mbona hamko makini kulinda rasilimali za Tanganyika yetu. Hasa wewe mheshimiwa spika tunakutegemea. lakini unaonekana kuibeba mno serikali. Kuna hoja za msingi za akina Mpina. Bulaya. Salome makamba na mdee huzipi nafsi. Simamia vizuri taifa mama tegemeo na jicho letu watanganyika limebakia kwako.
Kwani mbugan akiwepo tembo mkubwa kuliko wote hawez kufahamika? Mbona swali la spika linatia mashaka? Kwamba mwindaji hakujua kuwa kuna mamba mkubwa. Inasikitisha sna kuona viongozi wenye dhaman wakipindisha ukweli. Daah hii inch bhana!!!!
Hapa kuna ukweli mbona kauliza kitu cha maana hapa kuna ukweli unaofichwa
Wana ccm mbona hamko makini kulinda rasilimali za Tanganyika yetu. Hasa wewe mheshimiwa spika tunakutegemea. lakini unaonekana kuibeba mno serikali. Kuna hoja za msingi za akina Mpina. Bulaya. Salome makamba na mdee huzipi nafsi. Simamia vizuri taifa mama tegemeo na jicho letu watanganyika limebakia kwako.
Mmhhhh haya tutaona mengi mwaka huu duuu hawawezi kuunga mkono wako mbali kabisaa mwanangu acha tu
Kwani mbugan akiwepo tembo mkubwa kuliko wote hawez kufahamika? Mbona swali la spika linatia mashaka? Kwamba mwindaji hakujua kuwa kuna mamba mkubwa. Inasikitisha sna kuona viongozi wenye dhaman wakipindisha ukweli. Daah hii inch bhana!!!!
Kama kawaida Tanzania ni shamba la bibi
Wabunge wetu hawa , hayaa
Mzee mpina acha tu, CCM washapiga hela hao achana nao spika kapiga hela kibao.
Huwa nakukubali ila kwenye mnrt huna data Bora utulie
Mwindaji jooshioiiiii😂😂
hapo unaonekana huna la maana iksifia ndo deal
Huko wanakushangaa ufisadi na rushwa ndio mashujaa na huko toka haraka mpina
😂😂 mwanangu uyo mpina
Nilipogeuka
Hakuna spika hapo a.k.a spika mbovu
Hili ni kosa tena kubwa lazima tulinde malizetu sasa kama yule ndio mamba mrefu duniani si ndokivutio kwanini muruhusu kuuwawa
hb tanzania tuna spika kweli?
Oya hakuna ufala Tanzania kama kufuatilia siasa, utajiumiza bure, mtu bora ufanye yako tu.
Viongozi wetu mtetee na kuthamini vya kwetu, penye makosa turekebishe na sio kupingana
haaaahaaaaa, mpina uko visor,naspika changamoto kweri ipo yakutokuwa na aramaza mazao yetu
Ujinga, uvivu, na kutothamini vyako, Tanzania
It's very sad. How can we justify this??
Tayari waziri na spika lao moja
Spika huyu anahusika?