Ole Sendeka alipuka bungeni akitaka shingo ya mtu, Venant akichangia; Mwigulu na Mhagama wasimama
Вставка
- Опубліковано 1 лис 2023
- Mbunge wa Simanjiro (CCM) Christopher Ole Sendeka amewataka Mawaziri ambao Wizara na taasisi zilizochini yao zimetajwa katika ubadhirifu, wawajibike wenyewe.
Ole Sendeka amesema kama hawatawajibika basi bunge liondoke na alichokiita shingo ya yule ambaye wanamamlaka naye kwa alichosema “wanachezea sana.”
Mbunge huyo ametoa kauli hiyo bunge leo Alhamisi Novemba 2,2023 alipokuwa akichangia kwenye taarifa za Kamati za bunge kuhusu ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Mkongwe huyo ametoa kauli hiyo alipoomba kutoa taarifa wakati mbunge wa Igalula Venant Protas alipokuwa akichangia.
“Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba kumpa taarifa mzungumzaji ambaye anachangia vizuri sana, napendekeza kuwa, mawaziri wote ambao taasisi zilizochini yao zimetajwa wawajibike haraka lakini wasipowajibika twendeni na shingo ya yule ambaye tuna mamlaka naye, wasituchezee,” amesema Olesendeka.
Katika mchango wake Protas amemuomba Naibu Waziri Mkuu kwenda na kalandinga (gari la polisi) akabebe watumishi wote wa kampuni ya Tan Oil isipokuwa mhudumu pekee ndiye anastahili kubaki.
Protas kwenye mchango wake amesema kuna mashaka hata katika ofisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo nayo amepombe ifanyiwe ukaguzi maalumu.
Kwa mujibu wa mbunge huyo, kwenye kesi ya Escrow kampuni ya IPTL ilichukua mabilioni ya fedha lakini Mwanasheria alisimama hadharani na kusema kuwa fedha hizo hazikuwa za Serikali lakini inashangaza muda mfupi imekuja taarifa kuwa Serikali inadaiwa.
Best speech mbunge, Mungu akulinde
Jizi kubwa et Tàarifa
Kazi kumfungia mwambukusi
Ongera sana kiongozi olesendeka
Hvi kweli kwastaili hii Nchi hii kwa uongozi wa CCM hatutoboi na hata hivyo Bunge hili haliwezi tena kuishugilikia Serikali hata KIDOGO! Watanzania tujipange tu kupata Bunge lingine!
Halafu mwigulu angetuacha kabisa tukimkamata kwenye kumi na nane we ngoja
Kwa bunge hili, wakichukua hatua nmekaa palee👉👉
😂😂mzee wa tozo,trab na trat, kodi ya stoo. 😅 😅 mwigulu mwizi wa kutupa.***Mwigulu mwizi afukuzwe kazi huyooo....kazoea kuhamishwa hamishwa.
Mbona wabunge wote kwenye ripoti ya CAG ya mwaka huu wote wamenyooka uchaguzi imekaribia e tunawaona vizuri sasa kila mwaka watanzania wenzangu kamati ya CAG inaleta taarifa za wizi na hakuna hatua kana kwamba mnafanya chombo hicho cha CAG na takukuru ndio zinatoa ripoti za uongo na kama ni wao sio waaminifu tuanze na hao!!!
Wacha mungu aitwe mungu wapinzani hawamo.
Apo funika kikombe mwanaharamu apite wapigaji ni ccm haohao
Mwigulu mwigulu mungu anakuona
Safi sana! Wote wangekuwa na mtazamo kama huyu mbunge tungekuwa mbali
Asante sana mh mbunge wa igalula
Mwigulu kumbuka hapo hukujiweka, kwa nn mnadharau hivi au mnafikiri hatuon wala kusikia?!!! Au mnahisi hatuwezi chukua hatua za ghafla endeleeni tu
Akina Tundu Lisu wakisema juu ya mikata mibovu mnawatukana mlikuwa wapi.
Kabisa mkuu
Mliye na mamlaka naye ....😂😂😂😂 yani mumpige chini Majaliwa
Huyu mwigur ajinyamauie tu maana kwenye wiz wa serekalini ni Nr 1, alafu hanaga huruma kabisa kwenye swala hilo.
Ole Sendeka asante
Mbunge anaongelea wizi , huyu mama anataka kutufunika na maendeleo ya mchongo bado mnafikiri kuna watanazania wa hivyo kweli?!!!
Kwani huyu Mwigulu nyuma yake kunanani? Subirini 2025 mtatujua vizuri
Mwigulu yani simpendi
Hamnalolote kilasiku hayohayo mbona enzi zamagufuli yalikoma raiya hatuna Imani nawabunge ninyi ibenitu kulenitu sisi hatuna chakufanya
Wezi wakubwa hawa
Hongera ole sendeka
Huyu Mwigulu huyu sijui
Ni vizuri tukienda hvi
Ongea baba
Serikali wenyewe ndio wezi wetu sasa
Sisi wananchi tunapambana kutafuta msosi kwa jasho ninyi mpo kivulini tusaidieni
Hatujawahi ona hatua zote zinachukuliwa juu ya ufisadi mna kazi yakupia kelele tu Kila siku kumeibiwa matilion ya hela wakati huku mtaan mtu Hana hata buku ya kula hanjui ni dhambi kubwa lkn mjue Kuna kufa na hukumu ipo Kodi za masikin Kila kukicha zinaibiwa watu wenye vyeo wale Bata na familia zao hii ni haki
Sekali ya ahamu ya tano inanyanyasa masikini kama ngombe zinauzwa efu kweli ni halalo tungalie hila
Kuchekacheka kwenye vitu serious ni ujinga
....among the worst Govt ever this country got, never even foreseen
Mwigulu katubu umetuibia sana
Pesa kapeleka fountain gates
Mali ya masikin tu ndiyò ya selikali lakin majiri niyakao
CCM wote ni wezi watupu
Paulo siria
Huyo Jennifer anaongea nini?
Mambo ya system nchi hii ya wandwale😂😂😂😂
Kazi iendelee
Weusidanganywe na Hawa kuku niporojotu
Tudamani
Tunaomba mheshimiwa sendeka uweze kuongelea swala la Barbara ya simanjiro ni mbaya mno
Mwigulu muogope mungu.
Tuanze na mwigulu!
Yaani utafikiri nchi hii ni mali yake😢😢
Huyu sendeka nae hajui chochote mlarusha wa simanjiro
Wewe mwigulu ni mpumbavu tu mwehu,watanzania wanaumia halafu unaleta ushuzi wako we mwehu
Bunge la chama wanachoongea hata hakina utekelezaji hayo maneno ya hapo
Tunaomba wabunge mtusaidie wananch
Uyu jamaa kiboko
We mama umechanjwa chanjo ya korona hakuna kizuri
Sasa mmeanza kazi
Hamna kazi yeyote hawaniwapigaporojo hamna bunge hapa kazi Yao ndiyoooooo
,🤣🤣🤣🤣
Tuwapeni Chadema hii Nchi
Mwiguru nchemba wewe chanjo ya korona inakusumbua mwizi wewe
Wote mliokaa hapo ni wezi tu. Mwigulu ndiyo mwizi mkubwa huyo. Mbunge Venant yupo sahihi
Mnaheshimika kwa wizi tokeni huko ndio maana mnatia Aibu sana
Ninaamini muda si mrefu bandari mtajirarua nyie wenyewe, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂