Ole Sendeka alipuka bungeni akitaka shingo ya mtu, Venant akichangia; Mwigulu na Mhagama wasimama

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лис 2023
  • Mbunge wa Simanjiro (CCM) Christopher Ole Sendeka amewataka Mawaziri ambao Wizara na taasisi zilizochini yao zimetajwa katika ubadhirifu, wawajibike wenyewe.
    Ole Sendeka amesema kama hawatawajibika basi bunge liondoke na alichokiita shingo ya yule ambaye wanamamlaka naye kwa alichosema “wanachezea sana.”
    Mbunge huyo ametoa kauli hiyo bunge leo Alhamisi Novemba 2,2023 alipokuwa akichangia kwenye taarifa za Kamati za bunge kuhusu ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
    Mkongwe huyo ametoa kauli hiyo alipoomba kutoa taarifa wakati mbunge wa Igalula Venant Protas alipokuwa akichangia.
    “Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba kumpa taarifa mzungumzaji ambaye anachangia vizuri sana, napendekeza kuwa, mawaziri wote ambao taasisi zilizochini yao zimetajwa wawajibike haraka lakini wasipowajibika twendeni na shingo ya yule ambaye tuna mamlaka naye, wasituchezee,” amesema Olesendeka.
    Katika mchango wake Protas amemuomba Naibu Waziri Mkuu kwenda na kalandinga (gari la polisi) akabebe watumishi wote wa kampuni ya Tan Oil isipokuwa mhudumu pekee ndiye anastahili kubaki.
    Protas kwenye mchango wake amesema kuna mashaka hata katika ofisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo nayo amepombe ifanyiwe ukaguzi maalumu.
    Kwa mujibu wa mbunge huyo, kwenye kesi ya Escrow kampuni ya IPTL ilichukua mabilioni ya fedha lakini Mwanasheria alisimama hadharani na kusema kuwa fedha hizo hazikuwa za Serikali lakini inashangaza muda mfupi imekuja taarifa kuwa Serikali inadaiwa.

КОМЕНТАРІ • 65

  • @tusajigwe7491
    @tusajigwe7491 8 місяців тому +1

    Best speech mbunge, Mungu akulinde

  • @user-uy2dk2yv2c
    @user-uy2dk2yv2c 8 місяців тому +3

    Jizi kubwa et Tàarifa

  • @user-bd1zr4vn1b
    @user-bd1zr4vn1b 8 місяців тому +2

    Kazi kumfungia mwambukusi

  • @musayohana3274
    @musayohana3274 7 місяців тому

    Ongera sana kiongozi olesendeka

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 8 місяців тому +1

    Hvi kweli kwastaili hii Nchi hii kwa uongozi wa CCM hatutoboi na hata hivyo Bunge hili haliwezi tena kuishugilikia Serikali hata KIDOGO! Watanzania tujipange tu kupata Bunge lingine!

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 8 місяців тому +2

    Halafu mwigulu angetuacha kabisa tukimkamata kwenye kumi na nane we ngoja

  • @mlumez
    @mlumez 8 місяців тому +1

    Kwa bunge hili, wakichukua hatua nmekaa palee👉👉

  • @user-hb1iw9uj3x
    @user-hb1iw9uj3x 8 місяців тому +2

    😂😂mzee wa tozo,trab na trat, kodi ya stoo. 😅 😅 mwigulu mwizi wa kutupa.***Mwigulu mwizi afukuzwe kazi huyooo....kazoea kuhamishwa hamishwa.

  • @partysekemi5
    @partysekemi5 8 місяців тому +1

    Mbona wabunge wote kwenye ripoti ya CAG ya mwaka huu wote wamenyooka uchaguzi imekaribia e tunawaona vizuri sasa kila mwaka watanzania wenzangu kamati ya CAG inaleta taarifa za wizi na hakuna hatua kana kwamba mnafanya chombo hicho cha CAG na takukuru ndio zinatoa ripoti za uongo na kama ni wao sio waaminifu tuanze na hao!!!

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 8 місяців тому +1

    Wacha mungu aitwe mungu wapinzani hawamo.

  • @chademaelfhasmolell
    @chademaelfhasmolell 8 місяців тому +2

    Apo funika kikombe mwanaharamu apite wapigaji ni ccm haohao

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 8 місяців тому +1

    Mwigulu mwigulu mungu anakuona

  • @benedictchagula8739
    @benedictchagula8739 8 місяців тому +1

    Safi sana! Wote wangekuwa na mtazamo kama huyu mbunge tungekuwa mbali

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 8 місяців тому +1

    Asante sana mh mbunge wa igalula

  • @patrickngumbi2766
    @patrickngumbi2766 8 місяців тому +1

    Mwigulu kumbuka hapo hukujiweka, kwa nn mnadharau hivi au mnafikiri hatuon wala kusikia?!!! Au mnahisi hatuwezi chukua hatua za ghafla endeleeni tu

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 8 місяців тому +3

    Akina Tundu Lisu wakisema juu ya mikata mibovu mnawatukana mlikuwa wapi.

  • @aud548
    @aud548 8 місяців тому +1

    Mliye na mamlaka naye ....😂😂😂😂 yani mumpige chini Majaliwa

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 8 місяців тому +1

    Huyu mwigur ajinyamauie tu maana kwenye wiz wa serekalini ni Nr 1, alafu hanaga huruma kabisa kwenye swala hilo.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 8 місяців тому

    Ole Sendeka asante

  • @patrickngumbi2766
    @patrickngumbi2766 8 місяців тому +1

    Mbunge anaongelea wizi , huyu mama anataka kutufunika na maendeleo ya mchongo bado mnafikiri kuna watanazania wa hivyo kweli?!!!

  • @marymchina6557
    @marymchina6557 8 місяців тому +1

    Kwani huyu Mwigulu nyuma yake kunanani? Subirini 2025 mtatujua vizuri

  • @HusseinseifSachirama-tn2fj
    @HusseinseifSachirama-tn2fj 8 місяців тому +2

    Mwigulu yani simpendi

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 8 місяців тому

    Hamnalolote kilasiku hayohayo mbona enzi zamagufuli yalikoma raiya hatuna Imani nawabunge ninyi ibenitu kulenitu sisi hatuna chakufanya

  • @francismwantolwa2329
    @francismwantolwa2329 8 місяців тому +1

    Wezi wakubwa hawa

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 8 місяців тому

    Hongera ole sendeka

  • @kristiankitali5505
    @kristiankitali5505 8 місяців тому +1

    Huyu Mwigulu huyu sijui

  • @user-bg2zt8xw3d
    @user-bg2zt8xw3d 8 місяців тому

    Ni vizuri tukienda hvi

  • @bahatiangle4424
    @bahatiangle4424 2 місяці тому

    Ongea baba

  • @user-bx2hd9ek4b
    @user-bx2hd9ek4b 6 місяців тому

    Serikali wenyewe ndio wezi wetu sasa

  • @IsraelMgilitwe
    @IsraelMgilitwe 8 місяців тому +1

    Sisi wananchi tunapambana kutafuta msosi kwa jasho ninyi mpo kivulini tusaidieni

  • @amizatibakari7385
    @amizatibakari7385 8 місяців тому

    Hatujawahi ona hatua zote zinachukuliwa juu ya ufisadi mna kazi yakupia kelele tu Kila siku kumeibiwa matilion ya hela wakati huku mtaan mtu Hana hata buku ya kula hanjui ni dhambi kubwa lkn mjue Kuna kufa na hukumu ipo Kodi za masikin Kila kukicha zinaibiwa watu wenye vyeo wale Bata na familia zao hii ni haki

  • @user-rh4qo6on4g
    @user-rh4qo6on4g 6 місяців тому

    Sekali ya ahamu ya tano inanyanyasa masikini kama ngombe zinauzwa efu kweli ni halalo tungalie hila

  • @alexkatama4341
    @alexkatama4341 8 місяців тому

    Kuchekacheka kwenye vitu serious ni ujinga

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 8 місяців тому +2

    ....among the worst Govt ever this country got, never even foreseen

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 8 місяців тому +1

    Mwigulu katubu umetuibia sana

  • @user-bd1zr4vn1b
    @user-bd1zr4vn1b 8 місяців тому

    Pesa kapeleka fountain gates

  • @user-rh4qo6on4g
    @user-rh4qo6on4g 6 місяців тому

    Mali ya masikin tu ndiyò ya selikali lakin majiri niyakao

  • @epiphanmsolina5321
    @epiphanmsolina5321 8 місяців тому

    CCM wote ni wezi watupu

  • @user-cm1jo7jz5q
    @user-cm1jo7jz5q 5 місяців тому

    Paulo siria

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 8 місяців тому

    Huyo Jennifer anaongea nini?

  • @joelramadhan6062
    @joelramadhan6062 8 місяців тому

    Mambo ya system nchi hii ya wandwale😂😂😂😂

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 8 місяців тому

    Kazi iendelee

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 8 місяців тому

      Weusidanganywe na Hawa kuku niporojotu

  • @KashindyeGidion
    @KashindyeGidion 3 місяці тому

    Tudamani

  • @HappinessminjaHappysiami-xx4df
    @HappinessminjaHappysiami-xx4df 8 місяців тому

    Tunaomba mheshimiwa sendeka uweze kuongelea swala la Barbara ya simanjiro ni mbaya mno

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 8 місяців тому +1

    Mwigulu muogope mungu.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 8 місяців тому

    Huyu sendeka nae hajui chochote mlarusha wa simanjiro

  • @user-gg7ig1qc5o
    @user-gg7ig1qc5o 8 місяців тому

    Wewe mwigulu ni mpumbavu tu mwehu,watanzania wanaumia halafu unaleta ushuzi wako we mwehu

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 8 місяців тому

    Bunge la chama wanachoongea hata hakina utekelezaji hayo maneno ya hapo

  • @IsraelMgilitwe
    @IsraelMgilitwe 8 місяців тому

    Tunaomba wabunge mtusaidie wananch

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf4928 8 місяців тому

    Uyu jamaa kiboko

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 8 місяців тому

    We mama umechanjwa chanjo ya korona hakuna kizuri

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 8 місяців тому

    Sasa mmeanza kazi

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 8 місяців тому

      Hamna kazi yeyote hawaniwapigaporojo hamna bunge hapa kazi Yao ndiyoooooo

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 8 місяців тому

    ,🤣🤣🤣🤣

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 8 місяців тому +1

    Tuwapeni Chadema hii Nchi

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 8 місяців тому

    Mwiguru nchemba wewe chanjo ya korona inakusumbua mwizi wewe

  • @raymondkafyulilo6636
    @raymondkafyulilo6636 8 місяців тому

    Wote mliokaa hapo ni wezi tu. Mwigulu ndiyo mwizi mkubwa huyo. Mbunge Venant yupo sahihi

  • @user-sf3ou8uu8q
    @user-sf3ou8uu8q 8 місяців тому

    Mnaheshimika kwa wizi tokeni huko ndio maana mnatia Aibu sana

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 8 місяців тому

    Ninaamini muda si mrefu bandari mtajirarua nyie wenyewe, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂