GWAJIMA 'AWASHA MOTO' BUNGENI, OLE SENDEKA ASIMAMA NA 'KUMLIPUA'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2023
  • GWAJIMA 'AWASHA MOTO' BUNGENI, OLE SENDEKA ASIMAMA NA 'KUMLIPUA'
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 231

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Рік тому +1

    Gwajima Mungu anakuona ujue! Unatetea bila uoga 80 kwa 20 kweli bila kujali maslahi mapana ya taifa! Tena Bora ungeshauri vijengwe viwanda tutengeneze wenyewe vijana wapate ajira! Tunashukuru serikali kwa kusimamia hili! Mali tulizonazo ni za watanzania

  • @JosephBigabwa-wo2bf

    Aksante sana Mch.Gwajima kwaajili ya inchi yetu🇹🇿🇹🇿

  • @sadalaramadhani104
    @sadalaramadhani104 Рік тому +3

    Asante sana osendeka saiz gwajima umekua mwizi kabisa umebadilika sana tulikuamini saiz umekua ovyo sana

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Рік тому +5

    Asante ccm Kwa kujidhihirisha jinsi mlivyo wa hovyo na kuipiga nchi hii kwa kina

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Рік тому +2

    Hapa Gwajima umechemka. Naweza kusema Mheshimiwa ametumiwa kufikisha hoja na kutoa vitisho. Ukweli unabaki muwekekezaji alikuwa hana uwezo kifedha na hafai kuwa muwekezaji katika mradi huo.

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki226 Рік тому +11

    Gwojima umefeli kwa Hoja! Hii hoja kuisimamia itazidi kukuchafua kwa sura na Sifa ..! Sendeka yuko Sahihi.

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Рік тому +3

    Eti gwajima awashamoto kumbe kazimws hoja zake zamaslahiyawachina na wazalendo walioona watanzania wanapigwa

  • @phylliskaluki1028
    @phylliskaluki1028 Рік тому +6

    Hongera sana mheshimiwa Ole Sendeka

  • @ahmedmajid1795
    @ahmedmajid1795 Рік тому +1

    Hongera sana Askofu Gwajima kwa kuliona Hilo jambo kwa “jicho la tatu,”, hao wengine wanabisha tu bila kuwa na documents..

  • @lazarokambaine74
    @lazarokambaine74 Рік тому +1

    Big up sana olesendeka,Mungu aendelee kukutunza.

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 Рік тому +5

    Gwajima achana na hii serikarikari ya wanawake harafu ccm waache wanyukane urudi ukatafakari wapi ukawekee hoja. Serikari mlionauo sasa niyamaelekezo ama yakuelekezwa na mtu furasi tugiye mjua bado. Kwa ile miradi yooooooote ambayo marehemu alituachia kama angelikuwa hai hakuna ambae angikuwa anakusumbua. Waache hii ni ile CCM ya (chukua chako mapema)

  • @manjalemakongoro4014
    @manjalemakongoro4014 Рік тому +6

    Mnatuchanganya Sana, hatutaki upigaji na upigwaji, kwa suala Hilo vyama vya upinzani vinahitjika nchini kwetu , Sana Tena Sana ,

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Рік тому +11

    Askofu Gwajima 🔥🔥👍🏽

  • @onesmomlinga804
    @onesmomlinga804 Рік тому +2

    Gwajima nakukubali Kwa hili umechemka sana utakuwa umelambishwa asali

  • @Duduqwe234
    @Duduqwe234 Рік тому +2

    Kwani Gwajima Ni Nani Kwenye Huo Mradi anaoutetea? Kwa Mwenye Akili Timamu Hawezi kukubali! Huyu Gwajima Achunguzwe !

  • @mukasanoordin5966
    @mukasanoordin5966 Рік тому +6

    hongera sana bunge wetu olendeka

  • @victorkisenha7583
    @victorkisenha7583 Рік тому

    Big bishop ,we ni mbarikiwa, and your very bright man,

  • @abubakarimburu9096

    Hakuna Cha uchungaji hapa ujanjaujanja tu na ni vizuri mmeanza kumfahami mungu Huwa hapendelei

  • @izrajoseph1406
    @izrajoseph1406 Рік тому +12

    KATIKA hili Gwajima sikuungi mkono,big up Olesendeka

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 Рік тому +9

    Gwajima nikichwa cha habari sana,anajuwa sana sana,sema kumuuelewa mpaka uwe umesoma cuba