GWAJIMA 'AWASHA MOTO' BUNGENI, OLE SENDEKA ASIMAMA NA 'KUMLIPUA'
Вставка
- Опубліковано 31 січ 2023
- GWAJIMA 'AWASHA MOTO' BUNGENI, OLE SENDEKA ASIMAMA NA 'KUMLIPUA'
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Gwajima Mungu anakuona ujue! Unatetea bila uoga 80 kwa 20 kweli bila kujali maslahi mapana ya taifa! Tena Bora ungeshauri vijengwe viwanda tutengeneze wenyewe vijana wapate ajira! Tunashukuru serikali kwa kusimamia hili! Mali tulizonazo ni za watanzania
Aksante sana Mch.Gwajima kwaajili ya inchi yetu🇹🇿🇹🇿
Asante sana osendeka saiz gwajima umekua mwizi kabisa umebadilika sana tulikuamini saiz umekua ovyo sana
Asante ccm Kwa kujidhihirisha jinsi mlivyo wa hovyo na kuipiga nchi hii kwa kina
Hapa Gwajima umechemka. Naweza kusema Mheshimiwa ametumiwa kufikisha hoja na kutoa vitisho. Ukweli unabaki muwekekezaji alikuwa hana uwezo kifedha na hafai kuwa muwekezaji katika mradi huo.
Gwojima umefeli kwa Hoja! Hii hoja kuisimamia itazidi kukuchafua kwa sura na Sifa ..! Sendeka yuko Sahihi.
Eti gwajima awashamoto kumbe kazimws hoja zake zamaslahiyawachina na wazalendo walioona watanzania wanapigwa
Hongera sana mheshimiwa Ole Sendeka
Hongera sana Askofu Gwajima kwa kuliona Hilo jambo kwa “jicho la tatu,”, hao wengine wanabisha tu bila kuwa na documents..
Big up sana olesendeka,Mungu aendelee kukutunza.
Gwajima achana na hii serikarikari ya wanawake harafu ccm waache wanyukane urudi ukatafakari wapi ukawekee hoja. Serikari mlionauo sasa niyamaelekezo ama yakuelekezwa na mtu furasi tugiye mjua bado. Kwa ile miradi yooooooote ambayo marehemu alituachia kama angelikuwa hai hakuna ambae angikuwa anakusumbua. Waache hii ni ile CCM ya (chukua chako mapema)
Mnatuchanganya Sana, hatutaki upigaji na upigwaji, kwa suala Hilo vyama vya upinzani vinahitjika nchini kwetu , Sana Tena Sana ,
Askofu Gwajima 🔥🔥👍🏽
Gwajima nakukubali Kwa hili umechemka sana utakuwa umelambishwa asali
Kwani Gwajima Ni Nani Kwenye Huo Mradi anaoutetea? Kwa Mwenye Akili Timamu Hawezi kukubali! Huyu Gwajima Achunguzwe !
hongera sana bunge wetu olendeka
Big bishop ,we ni mbarikiwa, and your very bright man,
Hakuna Cha uchungaji hapa ujanjaujanja tu na ni vizuri mmeanza kumfahami mungu Huwa hapendelei
KATIKA hili Gwajima sikuungi mkono,big up Olesendeka
Gwajima nikichwa cha habari sana,anajuwa sana sana,sema kumuuelewa mpaka uwe umesoma cuba