Na sisi watu wa kihinani unguja,,tuna shida ya eneo la kuzikiana,,,,ikiwa mh Bopar atauona ujumbe huu tunamuomba sana aje atusaidie kulinunua hili eneo mana wamiliki wamesema wanauza shamba lao Kama atauona ujumbe huu tunamuomba sana aje atustiri na sisi tupate eneo la kuzikiana,,kama alivyojaaliwa kuwastiri walio hai kwa kuwapa mahitaji mbali mbali,, Na tunamuomba allah azidi kumpa imani ya kuwastiri viumbe wa allah,,na yeye mtoaji allah azidi kumpandisha daraja duniani na akhera ,,na allah amjalie pepo ya firdaus inshaallah
Hakika Kumcha MUNGU, Ni tofauti na Shabiki wa MUNGU, Asubuhi njema kwa Kila kiumbe Cha Mwenyezi MUNGU wetu, Mtoaji wa Vyakula na Mahitaji muhimu kwa wanadamu wenzio, Hakika huku ndiko Kujenga Ukaribu Sana na (Allah Akbar) Natamani nipewe Roho Kama yake Huyu, Pepo make hazina kizuizi kwa Allah. Hongera Hakika Tuwe Makini kwenye Mambo Kama haya, hii Ni Baraka kwa Vizazi vyake milele na milele.
Allah amzidishiye zaid Said Gopar Afya njema na umri mrefu zaid. Msaada huo haukutoka kwa Hussein Mwinyi sababu tunaona wapambe (machawa)wanaingiza siasa sasa lazima tuweke mambo sawa.
KWA kweli anasaidia wanyonge allhamdullhah. Lakini mimi navoona inavotakiwa chochote anachotoa inatakiwa hata mkono wa kushoto usipate habari. Lakini yeye anatoa kwa kujionyesha. Hivi Allah mwenyewe hapendi. Yeye hafanyi kitu mpaka watu wamuone kwenye tv. Hivo haitakiwi kabisaa
Bismilahi Rahmani Rahim namshukuru mungu mpaka sasa alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwengine zaidi yake Amin Amin Amin yaaraab Amin mnavyoandika andikeni vizuri msiseme kwamba hatofilisikaa hapo mmekufuru kusema ivyooo mungu amjalie alhaamdulilaah na wako watu hutoa na hawajionywshi shukran
Inakubalika maana yy anahamasisha watu wapate kutoa ingawa dini imependekeza ukitoa ufanye siri ila sio vibaya ukitoa watu wakijua maana mola ndo anajua nia ya mja wake
Mashallah Allah amzidishie kheri duniani na Akhera
Lakini kama mwenge wapa pesa tu siwengekua hupati usumbufu sana wa kubeba vyakula siwengenunua wenyewe
Allah amzidishie kipato chake. Lkn ushauri wangu. Na miezi mengine pia watoe. Maana njaa ipo siku zote
Na sisi watu wa kihinani unguja,,tuna shida ya eneo la kuzikiana,,,,ikiwa mh Bopar atauona ujumbe huu tunamuomba sana aje atusaidie kulinunua hili eneo mana wamiliki wamesema wanauza shamba lao
Kama atauona ujumbe huu tunamuomba sana aje atustiri na sisi tupate eneo la kuzikiana,,kama alivyojaaliwa kuwastiri walio hai kwa kuwapa mahitaji mbali mbali,,
Na tunamuomba allah azidi kumpa imani ya kuwastiri viumbe wa allah,,na yeye mtoaji allah azidi kumpandisha daraja duniani na akhera ,,na allah amjalie pepo ya firdaus inshaallah
Biidhnillah ombi lako mmungu ataliwezesha soon kwa baraka zake na uwezo wake Allah.
Maa shaa allah...jamaaa yupo sawa sana alhamdullah nimejaribu kumfatilia kila mwaka hutoa alhamdullah ...Safi sana...bopa
Mashallah jamaa yupo vyema sanaa namkubali miaka mia mbele allah amjalie afya njema amn
Hakika Kumcha MUNGU, Ni tofauti na Shabiki wa MUNGU, Asubuhi njema kwa Kila kiumbe Cha Mwenyezi MUNGU wetu, Mtoaji wa Vyakula na Mahitaji muhimu kwa wanadamu wenzio, Hakika huku ndiko Kujenga Ukaribu Sana na (Allah Akbar) Natamani nipewe Roho Kama yake Huyu, Pepo make hazina kizuizi kwa Allah. Hongera Hakika Tuwe Makini kwenye Mambo Kama haya, hii Ni Baraka kwa Vizazi vyake milele na milele.
Ameen🤲
Hongera.atakupa zaidi ya ulichokitoa.Allah akulipe janah.ameen
Mungu ampe umri mrefu amzidishie imaan
Barak Allah feeq, Jazzaka Allah kheri.
Mashaallah jazakumllah kheir amiin kazi nzr sana mola amfanyie weps inshaallah
Mashallah Allah Amzidishie pale palipokuwa na Pungu Allah ampe afya njema
MASHAA ALLAH, mwenyezi mungu akuzidishie zaidi ya ulicho kua nacho
Mungu amkunjulie zaidi rizki yake
Mwenyezi Muungu amjaalie baraka katika biashara yake kwa kweli amejitahidi sana.
JazakAllah kheri, hy baba anajitahidi Allah amzidishie umri mrefu na afya njema
Mashallah Mashallah Mashallah Mabruq Mwenyezimngu awazidishieni pale mulipo punguza insha'Allahh kheir 🤲
Na Allah akulip pepo inshaallaah
Maa shaa Allah
Mmungu amjaalie kheri kubwa dunian na akhera yy pamoja na family yake
Allah amzidishiye zaid Said Gopar Afya njema na umri mrefu zaid. Msaada huo haukutoka kwa Hussein Mwinyi sababu tunaona wapambe (machawa)wanaingiza siasa sasa lazima tuweke mambo sawa.
KWA kweli anasaidia wanyonge allhamdullhah.
Lakini mimi navoona inavotakiwa chochote anachotoa inatakiwa hata mkono wa kushoto usipate habari.
Lakini yeye anatoa kwa kujionyesha. Hivi Allah mwenyewe hapendi.
Yeye hafanyi kitu mpaka watu wamuone kwenye tv. Hivo haitakiwi kabisaa
Mashallah
Maa shaa Allah 😢mpk natoka chozi😢 Allah akulipe kheri baba🤲
Bismilahi Rahmani Rahim namshukuru mungu mpaka sasa alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwengine zaidi yake Amin Amin Amin yaaraab Amin mnavyoandika andikeni vizuri msiseme kwamba hatofilisikaa hapo mmekufuru kusema ivyooo mungu amjalie alhaamdulilaah na wako watu hutoa na hawajionywshi shukran
Hatafilisika sikwamaana tu hapa Duniani, huyu Anafanya fanya biashara na Allah na anae fanya bishara na Allah hafilisiki kaka
subhnallah hatutak kufny biashar na Allah sw maneno mazito😭😭😭😭😭
Alhamdullillah mashaallah mashaallah jazakallah kheri.
الله يـزيده خــير ويبارك فيه🌹
Mashaallah mashaallah
Allah amzidishie ndugu yetu
Mashallah Allah amzaidishie barka lakini tunamuomba Allah ampe wepesi zaidi afike na maeneo mengine ambayo bado hajafikia
Inshaaala
Masha'allaaaah!!
Nooron alaanoor!!
Allah ambarikie kwa alichotoa na alochobakisha, YAA RABB
BIASHARA IPO ILA HATUTAKI KUFANYA BIASHARA NA MWENYEZI MUNGU .inamaana kubwa hii kauli
JazakAllah kher
اللهم اميين ياارب
Ma shaa allah
Mashallah.
Huyo hatoi kwa kujionesha huyo anatoa kwa jili ya wenzake wenye uwezo kama na wao wahamasike watoe
Hii sadka au zakka ya kuonyeshana tu ! Kila sadka au zaka basi iwe ni siri ya mja na Mola wake lkn namna hii kweli inakubalika? Allahu aalam
Inakubalika maana yy anahamasisha watu wapate kutoa ingawa dini imependekeza ukitoa ufanye siri ila sio vibaya ukitoa watu wakijua maana mola ndo anajua nia ya mja wake
Mashallah
Mashallah