NIMEKOMA (New Movie) Adam Leo, Kado Mwamba, 2023 Swahili Movie | Bongo Movie
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2023
- NIMEKOMA (New Movie) Adam Leo, Kado Mwamba, 2023 Swahili Movie | Bongo Movie
SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
Welcome to Adam Leo STudios UA-cam Channel.
Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios UA-cam channel.
SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#Nimekoma #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2023movies #adamleo - Розваги
Usiache kutazama Filamu yangu mpya ya SLAY hapa👇
ua-cam.com/video/UdUSLh0glcg/v-deo.htmlsi=72_bENQWV7-UIWdG
powa
Muendelezo wa SLAY tunangoja 😋😋
Adamu.hongelasana.mukubaliki
Is this slay part 2
Movie nzur sana ❤
Hii movie ina mafunzo mazur xna, inafinza kuhsu wale wanaume wenye tamaa na kpnda kufnya mapnzi ovyo na kla mwanamke big up xnaaa broo adamu nzuri xna ❤❤❤❤❤❤
Shukrani sana, nafurahi kama umepata funzo tulilolimaanisha🙏🙏🙏
Adam unaweza sana
@@user-mk3zl3yr3masante sana
Hongereni sana aiseee SEMA kuacha inakuaga ngumu sana aiseee
@@AdamLeoStudiosAdam mwendelezo wa Sabi unazingua ujueeeee
Leo nimecheka yangu yote watching from Saudi 🇸🇦 wakomeshe hao wanaume watabia kama hizo na akikisha pia umewakomesha pia wanawake watabia hizo❤❤❤❤❤
Kabisa kabisa🙏
I'm a kenyan watching from 🇸🇦big up bro
Thanks
Nafatilia sana muv zako Adam leo very Nice work,Big up my brother Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akili yako🙏maana unatoa mafunzo kwa jamii..
Amen na asante
Adam. Huyaki. UTI. Sugu. Nimecheka kwasauti. Daah. Kazizako. Nzuri sana. Hongera. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana
Eeeee!!!!!! hii kali,funzo kuu,eee bwana we adamu tia bidii
Shukranii
Penda San Kazi zako 🎉🎉
Asante
Duuuh movie tamu sana yenye mafunzo na yenye kuchekesha pia❤❤
Shukrani sana
Adam na kundi lako lote hongereni sana. Mna mafundisho mazuri mno, binafsi nawakubali hatari na nawaombea muendelee kutuelimisha hasa katika dunia hii inayonuka uovu.
Shukrani Lawyer❤️Nakupenda
@@AdamLeoStudios Asante dear
Mmmh napenda sana 254🇰🇪we r representing well
Shukrani sana
congrats kaka napenda kazi zako
Shukrani sana
Mimi nko Mombasa Kenya napenda movie zako jee pili na khanifa Salma wako wapi wako SAWA
Utawaona soon.
I'm a Kenyan watching from Spain. I love it😊. Thanks guys
Thanks a lot🙏🙏
ADAM UKO VIZURI MOVIE ZAKO ZINA FUNDISHA NA KUELIMISHA JAMII
Asante sana.
Leo ningekuwa wakwanza sema tu nimechelewa ibadani
Sio mbaya kikubwa umeitazama..
Adamu nmesuscribe nafrahia filamu zako xana kaka Mungu akubariki kama nko darasani vile.
Shukrani sana
Adam mov zako tu kaka zinamafunzo san mung azid kukupa afya uelimishe jamii❤❤❤❤
Amen
Asante sana adam leo,wenye tabia za umalaya jamani,iwafikie hiii,
Kabisa kabisa hii ni kwaajili yao.
Adam,nakupenda as my brother,watching from Burundi❤
Asante sana
Mh maajabu Adam kwenye movie hii hupendi madem adi unamshauri mwenzako ila movie nzuri nimeipenda na ina mafunzo mazuri kwa wanaume wenye kupenda madem
Asante sana😂😂😂sema dah jamani mimi🙏
Mdogo wangu,Adam,mbona unapenda makande saanaa,maana kila movie lazma utaje makande!
Haha
Its the best combination Uyo jamaa mrefu anajua sana kuigiza dah alinifurahisha san kwenye ile movie Adam umemchukulia mkewe afu ukaenda kukaa kwake
Dah mnatish kk Adam i see you both far
Shukrani sana kaka, we appreciate🙏
Asanteni
Inafunzo kukaa kwa watu shida
Congratulation kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
Umeona eh
Jiunge na Adam leo uenjoy 😊
Kabisa kabisa aisee🙏
Bro Adam much respect very well combination, we are going to get new kanumba, allah yuko pamoja na wewe kila la kheri kk
Shukrani sana, naendelea kupambana na kuhakikisha nawapa burudani kila leo, msiache kunisupport kwa ku SUBSCRIBE na kuSHARE filamu zangu🙏
Yaa huwa na Shea Sana na ku subscribe na ndo maana kila movie unapotoa lazima niione kaka angu adam
Asante sana.
@@AdamLeoStudios our next kanumba
Mashallah hongereni sana wadau nimejifunja kitu
Shukrani sana sana🙏🙏🙏
My favorite, tunaendelea kufuatilia movies zako, safi kabisa!
Shukrani sana
🤣🤣🤣🤣Thanks for the behind the scene, I was nearly convinced it was a true story. Lovely colours, nicely timed music and quality love you guys great job. Kadoo played very well congratulations
Glad you enjoyed it, we appreciate🙏
Mimi bado mdogo brother lakin nimejifunza mengi kupitia movie zako Zina ujumbe mzito unao hitaji moyo wa uvumilivu Ili uweze kuyabeba na kuyafanyia kazi HONGERA SANA BROTHER ADAM
Shukrani sana aisee...!! Mungu akubariki..
😅😅😅😅kinga jaman muhimu sna mashetani ya menda huyu mwisho hahahaha❤
Umeonaa eh
Penda sana Adam unaweza tena na tena
Asante tena na tena
😂😂😂movie nzuri sana kado kapata adabu kweli👏👏👏
Umeona eh
Adam Mungu anakuona hadi kaka Kado kaokoka 🤣🤣🤣🎉❤ nice movie
😂😂😂anampenda yesu..!
Good job man,am really addicted to your movie's tuned in from Kenya
Shukrani sana aisee.
❤🎉🎉🎉❤cogratulation movies zenu zina mafundisho mazuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤🤗🙏
Asante sana sana
Hata kama nimechela bora nimetazama,,, Asante kaka Adam kwa movie nzuri
Shukrani sana aisee..
Ingekua wazizi wote wafanywa ivyo wengi wangekoma😂😂😂 kudadeki wachezea kifo ww
Hiyo combination yenu Adam na Kado imekaa sawa sana. Sijawahi pitwa na leofix film hata moja.
Shukranii sanaa...!!! Aisee🙏🙏🙏
Mwamba kanyoka kweli mpaka anaomba daaah n hatari kwa kweli 😂😂😂😂😂😂
Kanyookankweli😂😂
Nimependa sana🎉🎉
Asante mno🙏🙏🙏
Adam tunamshukuru sana kwa kaz nzur,, umetumia akil nying kumbadilisha kaka yako unastahl pongez kaka hongera xana.
Asante sana
Hapo kwer ulimuweza blaza yako Adamu....tisha sana you are so creative 👊👊
Shukrani sana
Adam leo hongera sana kakaangu hizi movie zako zina mafunzo 💯💯💯💯💯🎉🎉🎉🎉
Asante sana sana aisee.
Congratulations kazi nzuri saana❤❤❤
Asante
Niwe tu mkweli nimejufunza kitu apo kwa uhuni aisee wanaume lazima wataacha tu wapenda wa sipende, i salute you and BIG RESPECT
Shukraniii
@@AdamLeoStudioskaribu sana kaka yetu kipenzi tuko pamoja na wewe twakupenda sana Jabali wetu King 👑❤❤❤
🙏🙏🙏❤❤
Adam Shukran sana kwa Movie nzuri ❤❤❤ Mungu akuongoze uzidi kutufurahisha 🤗👏👏👏😊
Asante na tupo pamoja.
Hi
@@user-gf6qz9fd8l Hi
Much love from Kenya adamu movie zako nzuri kweli kweli keep up bro ❤
Thanks🙏
Kaz nzuri mafunzo mazuri bt nmecheka hadi nkapaliwa n mate😂😂😂😂
Hahaha enjoy
Utakii kingaaa kwa hiyooo kadoo anapigaa kavuuuu dooooo😅😅😅 una hatariiii
Kado ana hatari sana
Adam kazi zako nzuri sana zinamafudzo
Asante
Hii movie nimewatch usiku peke yangu nyumba ya gorofa mbili Ile duru nimepiga kwa hiyo saduku kupotea mwaongopesha sana
Hahaha polleeee
Big up brother movie zako nimezipenda sana
Shukrani sana
Nakukubali snaa Mr Adam Leo hakika unatoa vitu vya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Shukrani🙏🙏
Watching from Nashville USA, Adam. Hongera
Thanks a lot🙏🙏🙏
@@AdamLeoStudios God is with you never give up Leo, Mark my words one day you'll be somewhere
I appreciate🙏🙏
Wewe kaka nimependa movie zako sana kbs yani kwa hii moja umejuwa kunikomolea mtu kbs
Shukrani sanaa😀😀
Atumbua macho kama mjuzi kabanwa n . Mlango n 😂😂😂😂😂😂nime wapenda sana kazi nzur sana
Hahahha acha kabisa
Adam leo unajuwa kuingiza filam
Shukrani sana
Watching from saudi arabia🎉🎉🎉❤❤❤
Thanks for coming
hii movie ni darasa tosha napnd sna mnavyo tuleteya movie zenye mafunzo allh wape nduvu Zaid
Asante mnoo🙏🙏🙏
Boss adamu alivyo mkubwa hivio hajuwi kaskazini ni wapi mungu wangu wwwweeee😂😂😂😂😂
Hahahaha acha kabisa.
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 nakupenda bure
Mi pia
Movie tamu sana 🎉🎉🎉
Shukrani sana
Nimejikuta kufunga macho kwa maombi ya kado ongereni kwa kazi nzuri ❤❤
Hahahah asante sana jamaniii, Kado alikuwa anashusha upako🙏🙏
Bro adam unajua cheza movie big up ❤🔥
Shukrani
Umetisha kaka angu Adam Mungu akuongoze ufanye vitu vizuri zaidi 🙏🙏🙏
Asante mno
Abana Adam mimi niko Australia lakini nazipenda movie zako sababu zinafundisha sana.
Asante sana
Nilkua sija jua kabisa lakini nimeisha kupata kabisa.
Shukrani
Mimi ni mtanzania nawaangalia nikiwa Germany 🇩🇪 kazi nzuri
Shukrani sana
Big up My brooo kazi nzuri sana congratulations 👏👏👏👍❤❤❤🎉🎉🎉 mungu azidi kukubariki kila wakati nawapenda wote mdau wako shabiki love you so much 💞 mbarikiwe nyote
Asante sana sister❤❤❤
Nakukubali xana brother 👍
Shukrani mno
Adam leo uko vizuri
Asante
Behind the scenes cracked 😂😂😂😂😂😂😂 my ribs, anyways thanks for killing my stress
Much love from Uganda 🇺🇬🇺🇬
Thanks Ug, endelea ku enjoy.
@@AdamLeoStudiosAsante sana
Kaka hiyo ya slay pia nishaangalia Iko vizuri na inaelimisha pia
Asante
Jaman napenda movie za uyu mkaka ❤
Asante sana
@@AdamLeoStudios me nataman kuigiza sna wallah tena na ww mana napenda kuangalia movie zko kila siku wallah
Movie ntamu hongera kkaangu Adam ❤❤❤
Asante sana sana.
hii movie nzuri sana yenye mafunzo❤❤❤
Shukrani sana
😂😂😂Nisiulizwe Nacheka nn Munipe likes thu😊
Endelea ku enjoy
Woow mmeigiza vizuri sana jamani na nimepata mafunzo yakutosha, asanteni ❤❤❤
Asante sana.
muvi zako zote kali kaka jitaidi utafika mbali
Shukrani
Huyu kaka anajua nyieeee ❤
Shukrani sanaa
Asante sanaaaaa Adam kwa movie nzuri asante 🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏
Asante nawe kwa kutazama🙏
nimeipena sana tena vijana tusikie
Nimewapenda
Asante sana
Nakupenda sana brother I wish nikuje kuishi dar Alf niigize kwenye filamu zako
Karibu
Mwamba mwenyew
Naam
Hi movie no Kali sana iko na mafunzo mazuri
Shukrani sana
MashaAllah movie nzur❤❤
Asante mnoo🙏🙏🙏 ume subscribe sasa
Vijana hii movie nikwajili yenu.
Mujitaidi kujibeba kwa kile kidogo unacho pata,sio kuegama (kukaa kwa mwenzio myezi yote).
Umeona eh
🤣🤣🤣daaaah funzo kubwa sana hongera sana kwa kuzidi kutuelimisha kaka ADAM
Shukrani
Kweliiii nimekoma umalaya nyoooo😂😂😂😂😂😂
Umalaya harudii tena
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣adam umemfanya mwenzio goigoi
Hahaha jamanii
We kado nuwiya vizuri 😂😂😂 navenye wewe ndo umekogota shida zote😂😂😂😂😂❤🇧🇮🇸🇦
Hahahah jamaniii
Asante. Sana. Kwa kutuerimisha wa dada. Na wa Kaka. Piatujilekebishe
Shukrani sana sana.
@@AdamLeoStudios asante nami pia kwa kutujali tulioko mbali na tz. Tunainjoy sana
Mwanzoni tu kazi inaonekana poa Sana hongera Sana mwamba kwa burudani hii
Shukrani sana aisee.
Hii movie nimependa sana tena inamafunzo❤❤❤ from kenya
Asante
Huyu jamaa kafanana na mc machet wa chumvi nyingi 😂😂ila movie mzuri sanaa hongereni sanaa washirika
Shukrani sana sana.
Kaz nzri Masha Allah
Shukrani sana
Hii move inafundisha Sana adamu nimefatilia Sana move zako uko vzr sana
Shukrani mno.
Hii muvi nimeipendaa buree Adam hongera sana kwa Ubunifu ,,,,nimependa
Asante kwa kuona hilo
Mamae kado 😂😂😂😂😂😂😂😂 ila ningekuwa mm ningemnyoosha kwanza huyo jini ndio nipeleke jeneza lake
Hahaha jamani