SLAY - New African Movie | 2024 Swahili Movie (Subtitled in English) Adam Leo Bongo Movie
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2023
- SLAY - New African Movie | 2024 Swahili Movie (Subtitled in English) Adam Leo Bongo Movie
SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
Welcome to Adam Leo STudios UA-cam Channel.
Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios UA-cam channel.
SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#slay #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2023movies #adamleo #adamleobongomovie - Розваги
Kwa filamu nyingine nzuri kutoka Adam Leo Studios, bonyeza hapa👇👇
ua-cam.com/video/1clnd17DCHk/v-deo.htmlsi=BvO7AJPGPTLNlFFP
Instagram unatumia jina gani Adam??
Nomaaa Sana
Thanks broo unaweza xna movie zko ziko saw xnaa❤❤
Adam nataka kuigiza na wewe
Stor nzuri kiukweli. Haichoshi kutazama
Hii ya moto xna ❤❤ ila tujitahid like kwa wingiiiii Jaman 😢😢😢
Shukrani kwa kweli
Jamani muvi tamu sana yenye mafunzo ❤❤❤ part 2 iko wapi
Nyieeeee kumekucha hukuuuu mambo motrooooo tulokuwa tunasubiri hii kitu tujuane❤❤❤
Wengiii, asante jamani! Tunasubiri maoni yako ukimaliza kuitazama yote.
Kma umejifunza kitu kutoka kwa team Adam tupatane kwa likes 💞💞🔥
Enjoy sisy
Nipeni likes za mamake Adam na Adam mwenyewe kapata mchumba aki mbavu zangu leo nimecheka mno, ongereni nawapenda bure.
Shukraniii jamani tunakupenda pia..
Weee Adam kapata mwanamke🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamaniii🙏🙏
Uko handsome saan Adam❤ na mov zako ni za mafunzo mno safi saaan❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Shukrani
Mashallah Kaz nzuri san kak Ang 🎉🎉🎉 like tano tu ❤❤❤❤😅
Asante
Safi kabisa tunaendelea kufuatilia movies zako, kiukweli nilikuwa nimechelewa kuangalia movies zako. Hii ndio ya pili, nitahakikisha nimeona zote!
Shukrani sana
Hongera hajj yaani wewe uko vizuri mno kuigiza Mungu akubariki kipaji chako 🙏nakupenda sana kakangu❤hili ni funzo kwa kila mwanamke n mwanamume😢
Asante sana🙏🙏
Vizuri,ongereni kwa kazi nzuri.
Ndivyo walivyo wa dada wanao jiita eti wao niwa mjini wamezaliwa mjini.
Umeona eh
Daaah hii ni funzo kubwaa sana adamu ukuje chuga tukuone live bwna kaz zako nzuriiiiiiiiii mnooooo
Asante sana jamani🙏🙏🙏
Nyie yote tisa Adam n mzuri bwana❤🥳 nampenda yeye na movie zake
Asante sana jama.
😅😅😅We kiboko
Ni kweli he is so handsome ❤ na sauti yake sasa wah😊
Hatar sana. Unajua mpaka unajua tena
Shukrani sana
I like watching your videos from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks
you kill it broo,wadada tujifunzen jaman ndoa n majaliwa ujaliwa iheshimu na umpe nafas mumeo ajivunie na kujiona wa thaman ya kukupata wew,Big up sana kwa MAMA ametisha sana
Shukrani mno kwa maoni yako.🙏🙏🙏
Mama yuko vizur mashsllah
Huyu mama nimemkubali Sana sio poa anajua Sana mama hongera yako
Yaani anajua mnoo
adamu good safi sana
Shukrani sana
Talented :100
Creative :100
Educative :100
❤❤❤❤
Thanks
Asante sana adam kwa movie nzuri unajuwa kuigiza🎉🎉 kilasiku natazama movie zako kama tatu
Asante
Mama nimejifunzaaa kituuuu Adam mama anaona mbaliiiii🥰🥰🥰
Kabisa yaani
Hii movie imenifnza k2 bro...na c hii pekee.Bro God bless you!
Thanks a lot
Adam Una kipaji cha kuigiza kweli mungu azidi kukupa maarifa, kutoka Kenya nafuatilia wewe ❤️
Ameen
Nimepitwaa huyu kaka napendaga kazi zake 😍😍💕hendsam boi🤣
Shukrani jamani🙏🙏🙏
Slay kama Slay😂😂😂😂 kavunja nyumba kwa mokono yake mwenyewe. Unajua kaka ❤
Asante sana🙏🙏
Safi sana Adam tunakupenda kutoka Kenya
Asante nawapenda pia
Weu si Adam wewe ni mcute sana😂😂😂 ubaya niko Kenya ningekutafuta unioe mimi😂😂😂😂❤❤❤❤❤napenda sana movie zenyu
Asante sna shukrani
Hakuna unakofeli kakaangu kilanikitazama move zako ziko powa sana🎉🎉🎉❤❤❤
Asante
Movie nzuriiii saaanaaa😊🎉
Asante
Una baya kwanza uko vzl kimuonekano sauti ya mahaba na kazi zako mzuli sana jaman
Shukwani
Adam.leo.nakubali
Shukrani
Duuuuh hatar sanaaaa 😢😢😢😢Adam huyo Naomi sio mwanamke wa kuoa ,msikilize mama
Ni kweli kabisa
Much love adam from kenya 🇰🇪🇰🇪
Thanks a lot
Hongera nice movie much love from Kenya
Shukrani
Kaka Adam m/mungu akujaalie Sana na azid kukupa Afya akuweke miaka 1000 uendelee kuelimisha upo vizur Sana
Asante sana🙏🙏
Adam is a gifted actor...keep it up kaka
Thanks a lot🙏🏻🙏🏻
Movie mzuri Sana bro adam
Shukrani
Tamthilia tamu yenye mafunzo nimejifunza hongera
Asante
Hatareeee❤❤❤ kiukwel nainjoy sana kaka Adam nakupenda
Nakupenda pia
So sweet, proud of you Adam 👏 much love from Uganda 🇺🇬 ❤️
Shukrani sana UG nawapenda🙏🙏
@@AdamLeoStudios tunakupenda zaidi
Movie Kali sana Adam,sound track💯, picture💯,kila kitu on point 👌👌big fan from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks a lot man, I really apreciate.🙏
Thank you for adding subtitles. Please do this with all your movies. I know it’s extra work but it’s very much appreciated for us that are beginners learning Swahili . Happy holidays 🎉
Thanks a lot🙏🏻🙏🏻 we will!
napenda sana move zako jaman we kaka nakupenda sana ❤❤❤😇
Asante sana
Hongreni filamu nzur sna❤
Asante sana sana
Kazi nzuri sana kaka Adam ujawai kosea tunajifuza mengi kwenye move nyimbo na memo maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤ Naiwakilisha Tanzanian kutoka Oman 🇴🇲
Shukrani sana aisee.🙏🙏🙏
Congratulations mum ❤️❤️❤️ mother you are the best very interesting movie 🔥🔥🔥🔥Atu such respected givl 👏Adam keep up the good work ❤️❤️❤️
Thanks for watching
To be honest , I got alot of lessons from this film as a bachelor big up sana the whole team involved..Nice work 🎉🎉🎉.... Oe Adamu nakutambua too much love from 254..muko TOP👊🙏👍❤️💯💥💥💥💥💥
Shukrani sana sana.
Nani kama Mama Adam Good job 👍👍💪🤛
Thanks
Yaani navwomfatilia kwa sasa uyuu kaka kama amenloga❤️❤️❤️
Hahaha jamani nashukuru.
Duuh movie hii kama vile nimesemwaa mimi jamani 🇧🇮🇧🇮🇧🇮Am so proud of you guyz
Thanks a lot
Kvp
Dah huyu dada wa kitambo sana toka kwenye saladini ile bongo movie ya kutisha Kama umemtambua like 10 tu👊👊
🙏🙏🙏kweli kabisaa umepatiaaa
Aliseme kabisa tumesikia adam
Uneona eh
Waaa Adam ameingiza atu box haraka bila kuchelewa😂😂mapema ndio best😋..halafu mm hupenda sana atu akiwa pamoja na Adam.. pia wapo vizuri kwa kuingia hakika nime enjoy him movie sana❤❤❤❤keep going brother Adam
Thanks a lot🙏
Mwamba nimekubali hii ya moto 🔥🔥 Msumbiji apa 🇲🇿
Shukrani sana Msumbiji.
Kazi nzuri xana Adam I love u
Me too!
Wallahy hii movie ina mafunzo ila adam niambie jina la hyo nyimbo bila kusahau😊
Tutaziweka kwenye channel utaziona.🙏🙏
Weee slay kweli😂😂😂❤❤❤
Hahaha
Masha Allah nani kama mama ❤❤❤❤🎉
Mama ni mama❤❤❤
Mashaallh filamu nzuri sana nimeipenda
Asante sana
Unatisha Adamleo hiii kitu nifundisho tosha kwa vijana wa leo ambao wanajiandaaa kuingia kwenye ndoa. Wahenga wanasema kungulu hafugiki . Safi sana aiseee!!! Unatisha @Adamleo
Shukrani sana sana.
Napenda unavyo ongea hasa ukisema angaliaa❤️❤️❤️
Asante jamanii🙏🏻
Mama yuko sahihi Adam ata regret
Kabisaa yaani
Am madly addicted to your movie's 🥰 tuned in from Kenya
Enjoy sisy.🙏🙏
I liked your movie!. How are you?. I'm Jean Baptista from Rwanda in Kigali city. Thank you guys
You are welcome and thanks for watching!
ADAM bro nakukubali sana from London big up movie zako nzuri sana sana M Mungu akuzidishie nguvu ufike mbali zaidi ❤❤❤
Ameen
Good lesson learned from. This movie❤❤❤all thanks to Adam ❤❤❤❤❤great job, much love from Kenya ❤❤❤
Glad you enjoyed it
Hugo mamma anamatatizo sana,maana nikama mchawi tu
Jamaniii
Congratulations 🎊 appreciate my G
Thanks 💯
Najivunia ww kaka Adamu Unajua unajua tena ❤❤❤❤mm napenda Adamu kuanzia mwonekano kazi kwenye sauti sasa aiiiii kaka una kiti chako mbinguni❤
Amen
Good job brother
Thank you so much 🙏🙏
NIMECHELEWA SAANA KUIJUA HII CHANNEL... NI YA MOTOO🔥🔥🔥🔥🎉
Hakikisha una SUBSCRIBE ili mpya zisikupite sasa.🙏🙏
Asante sana. Na hongera Adam kwa bonge la show hii nzuri. Iko na tension kibao, inatumbuiza na muhimu zaidi, kufunza vizuri. Hapa Kenya tunakupenda kengele tumebonyeza ukiangusha tunaipata.
Mungu akubariki kila siku.
Ameen, nawapenda Kenya🙏🙏🙏
Adam. Adam jamani unatuerimisha Sana likes ma ua yako. Pokea 🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Mmmmm. 😂😂😂Adam mama alisema 👎. Asie sikia la mkuu huvunjika mguu😊😊nabado😂😂
Kwelii asieee mpaka niseme😪
Much love ❤ from kenya 🇰🇪
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Adam leo wewe unajua hongera sana kaka good job
Thanks a lot🙏🙏🙏
Adam leo😂 Kutoka Mwanza❤ Nina kukubali sana.Ina fundisha Sana
Asante mno.
Next plz ina mafunzo wou so amazing 🎉❤❤❤❤
Thanks a lot🙏🙏🙏
Asante bro napenda hiyo filimu Zako. Endelea ndugu yangu ❤❤❤❤
Shukrani
@@AdamLeoStudios aina shida rafiki yangu
UYU MAMA NIMEMUKUBALI SAAANA WAZAZ WOT WANGEKUWA KAM HUY AKI TUNGE JENGA NDOA ZET VIZURI❤❤❤❤MAMA 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮FROM BURUNDI AND SAUDI ARABIA
Shukrani
Kazi nzuri ina mafunzo sana be blessed bro🙏
Thanks a lot
🎉🎉 hongereni wahusika wote. Mafunzo maridhawa aisee
Shukrani sana
Hongera kaka nimejifuza k2 kutoka kwako hongera sana
Asante sana
Mashallah movie safi sana,hujambo Adam za masiku 😂
Salama
Slay namba1mvivuatar kijan waatu anasubilinibadilike nmependa na badilika
Asante
Adam mama yupo sahihi
Kabisa nakubaliana nae.
Uko vzuri bro kip it up🎉
Shukrani sana sana
Hongera kaka napenda sna , kaz vzur❤
Asante sana
kaz nzurii sana bro
Shukrani sana
Jamani hongeteni sn kazi nzuri heshima kwake mama amejuakukuelekeza mwanae kwa vitendo
Asante sana kwa kweli.
Waooh kaz nzur sana...ila Adam kwann hujatoa majib apo mwisho?😂😂😂
Yap
Wanaume njooni mu skié sauti ya huu mke mtarajiwa wa Adam
Jamaniii🫶🫶
Wanawake tujifuze kitu adam barikiwa hakika unatupa elimu tosha
Shukrani sana
Mashallah naomba iyo song y background 😂 nakupend san adam
Nakupenda pia, asante.
Adam na mimi naomba nafasi niolewe na wew nipo oman mimi ni zanzibar halisi baba mama unafurahisha adam mtaratibu sana
Jamaniii nakuja omaniii fastaa😂
daaaah hili bonge la filam wanangu... Adam 👌👌👌
Shukrani🙏
Mke anastahili aeshimu nyumba yake na mume wake marafiki ni wanafiki achunge kazi safy kaka ❤❤❤❤❤
Shukrani sana.🙏
Mbona haliji 😂😂😂😂😂hahaa nae Adam anafurahia 😂😂😂
Hahaha acha kabisa.
Kila nnapo angalia movie zko Adam najifunza kitu hongera sana kwa hilo❤🇰🇪🇰🇪
Asante sana kwa kweli.🙏🙏🙏
Adam kazi unayo danga ilo😂😂😂😂😂 moto wa kifufu
Ovyo kabisa
Asante kwa movi mzuri endelea kuhelimisha jamii na kutufunza kitu nimefurahi sana nakufuatilia toka marekani ...hongera sana
Asante sana