DIAMOND AMPA SALUTI ALIKIBA, WIMBO wa 'MNYAMA' WAMKOSHA, AMSINDIKIZA NA KIJEMBE
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- DIAMOND AMPA SALUTI ALIKIBA, WIMBO wa 'MNYAMA' WAMKOSHA, AMSINDIKIZA NA KIJEMBE
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Si MAKOLO walijifanya wajuaji Ila hapo Diamond platnumz kajibu Kwa Akili salute sana 🔨🔨🔨
Vizur🎉❤❤❤
Sema Platinums amekua🎉
Uko vzr diamond
❤❤king for life
Amazing
Huyu mwamba ni mnafki
Dunia ya saba
@wisedupshop2731 kwani uongoo
Wewe ndo mnafiki, Kuna watu mnawaza bifu tu kichwani
Vizur
Moja katika siku nimemkubali mond ni leo kajua kujibu mno
Amekua😊
Mr Boom was here
Apo safi
Sanaaaa
Huna baya#platnumz
mimi sikukibali ila kwa aya majibu ya mwisho nimekukubali leo tu😂😂😂
Mi najuwa we ni simba
Mond Anapenda Sana Utani Lakini Sio Kwenye Levo yake Hapana
💥
Umekera sana kwa kuvaa nguo za Uraia wa UAE not good kabisa
Uko sahihi lakini hvy ndio shekhe mansouli anavyo vaa kwa hy hana uwakilisha umansouli wenyw
Niambie nguo zakiafrica unazo vaaag ww
@@fadhiligenda4646😅😅😅😅
Kwa sisi Waislam ni kawaida kuvaa mavazi haya.
Umekerwa na vazi la uislam sio iyo nguo ww ni anti-islamic
Diamond simba jameni
😂😂😂😂 huyu ni Diamond kweli ama ni mchongo?
Daaaah!! Amekua na busara leo ❤❤❤😂😂😂😂 platnum
Kapigwa na kitu kizito lazima akubali
😂😂😂 mwishowe itabidi atafte baraka za King
😂😂😂 kwa sasa hivi.
Simbaaa 🔥💯
Kumbe unajifanyaga MJINGA kumbe akili unazoo uemjibu vzr snaa
Mondi anajua kusocialize
😂😂😂😂
Erick
Upo Uto kimwili😂 ila kiroho upo Simba
Kajua kujibu mno sasa kajibu nn maaan kesho ndo kuna kazi za kujibuu mbele ya alllah
Wenzio wako Madrasa wewe sijui unatafuta nini huku kujifanya kujua dini kumbe hamna kitu hata juzuu moja mtihan😂
@@gunbizzo1970😂😂😂😂😂😂😂😂
@@gunbizzo1970😂😂😂
Nguo za kiislam zikoje bro
Unataka zweje
Huyu jamaa ni muongooo sana Yan alafu ni mnafiki sna
Alikuahdi kukukaza akazngua ama
@@kingcostaking516😂😂😂😂😂
Mkumbafu tu daimond Malaya sana
"Kwa sasa hvi ni Yanga"
Ila mondi
Umezingua sna mondi apo simba ndo unyama
MONDI ASIDANGANYE WATU NI SIMBA KINDAKINDAKI KAMA SIMBA BASI AFUTE JINA LA SIMBA wewe umeachana na mumeo wa zamani umepata mume mpya mjaaliwa mtoto unampa jina la mumeo wa zamani duh huyo mume mpya atakuelewa kweli?
Mavazi yanakupendeza xana naseeb Sasa ungekuwa unaujuwa hata msikiti uliko ingekufaa lakini wa vaa hivyo Ila makanisani kuimba kwaya na wakristu muige Ally mwenzio pamoja na ufirauni wake msikiti anaujuwa ww Ila ww upo kuangalia dunia tuu!! 😂😂
Weeee 'yeeeenga ka Carpoza😅😅
nilazima tu mkubali
Mondi anajiita Simba hivyo kachukulia wimbo Wa kiba umempa heshima mondi kama Simba,yaani kiba kamkubali mondi
kaka umekuwa mkubwa majibu ya kisomi . simba kama simba
Diamond amekua Sasa amejitambua
Sijapata mwona mond anaonea point kama leo
Achauongo
😂😂😂😂
Mondi moyo wake uko Simba sema hataki kuweka wazi huwez kuhama tumu.
Mbona unahangaika kijana ndo kakwambia
@@abiaslimadyanse1842 ww unafanyaje km huhangaiki 😆😆😆😆
@@salamasaidi6620 kuna kuongea kumuongelea mtu na mtu kuongelea yake
WEWE NI SIMBA NA SIO UTOPOLO USITUHANGAISHE UNGEKUWA UTOPOLO USINGEJIITA SIMBA TENA MNYAMA , AAAAAAAA!!!!! TUACHE BWANAAA
Ni mrpenda majibu yako leo simba
Mbona unavaanguo za kislam katika maswala ya miziki na mziki ni haramu
Uislamu sio nguo uislam ni dini tusiadaike na nguo
Hio ni nguo kama nguo nyingine
Ni vazi la hisma ambalo Waarab wanatumia. Usilete mambo ya dini hapa.
Kavae wewe
Huyu aliendika anajuwa kweli hili vazi ni la watu gani.....safiri middle east utajuwa wenye hili vazi acha umwehu
hata wewe simba bwana sema sasa utafanyaje na pesa uliitaka kule😅😂
Kuna jambo la kisiasa la kuzima mambo flani
Ukwel mtupu
Uko utopolo bosheni
NYOKO WEWE MONDI😂😂😂😂😂😂😂😂
Upumbavu
Mnafiki tu uyu
Nilicho gundua diamond ni simba dam 😅😅
Muda mwingine ndomo unakuwa na akili