Je kama hakai mwilini anakudhuru tu lakini akijua unaenda kwenye kisomo anaenda mbali sana kisha ukimaliza anarudi....sababu mm Niko Kenya navisomo na Dawa lkn Niko vilevile hakuna tofauti..nimechoka kwa kweli ...miaka mitano sasa
Asalam Aleykum sheykh shukrna sana katika dalili ulizo zisema mimi nisema zote ninazo apa nasumbuliw na shingoni na kifuan kuna kitu kina tembea tembea to mda wote maumivu yake mpaka najiis ndo bas kwa ssiv nipo oman apa ninampango wa kulud nyumban To
Mashaallah mola akuhifathi
Mashallah llah xhukran shekhe othuman michaeli
Ustaz. m/mungu akubariki sana tena sana ubarikiwe mungu akupe umrimrefu unayoyasema nisahihi kabisa hujakosea hatakdogo nikwel yote.
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
ماشاءالله ماشاءالله بارك الله فيك
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Mashallah mabruk
Jazzak Allah khairan
اسلام عليكم ورحمة ألله وبركاته جزاك الله خير
Jazakallah khayran
Assallam aleikm sheikh nauliza gharama ya iyo tiba yote nikiasi gani?
Masaha Allah
Sheikh je waeza tuwa aliokumbwa na jini fiy sabiliLLAH yani Bure
Asalam waleikum...mm nko na hizo shida ..bt nko Dubai na angaika tu
Pole cz nsendie 4n no yko
Assalam alaikum sheikh umeongea maneno mazito kwamba ukifungua mafuta hayo Mimi mtizamaji niliye Kenya naweza dondoka hayo ni kweli?
A.alaikum mm niko kenya na hayo matatizo niko nayo itakuaje sasa ustadh
Je kama hakai mwilini anakudhuru tu lakini akijua unaenda kwenye kisomo anaenda mbali sana kisha ukimaliza anarudi....sababu mm Niko Kenya navisomo na Dawa lkn Niko vilevile hakuna tofauti..nimechoka kwa kweli ...miaka mitano sasa
Fauzia vipi
Asalam Aleykum sheykh shukrna sana katika dalili ulizo zisema mimi nisema zote ninazo apa nasumbuliw na shingoni na kifuan kuna kitu kina tembea tembea to mda wote maumivu yake mpaka najiis ndo bas kwa ssiv nipo oman apa ninampango wa kulud nyumban To
Allah atuondolee matatizo yote
Je ulipata tiba?niko na shida tu kama yako yakuskia vitu vikinitembea mwilini tafanthali saidia kama ulizaidika
Sheikh naomba nikushauri kuhusu hiyo nguo alama ya T. Je kama ukiachana mayo Kuna ubaya?
Yote hayo ninayo shekhe
Kuna wengine hatujasoma kiarabu,ongeeni kiswahili hatuwaelewi
Mm Niko Kenya nitapata hio dawa aje
Asalamu alaykum
usitangaze kuuza dawa toa na elimu jinsi ya kutengeneza kama wanavyofanya wenzio utakosa baraka
Asalam alaykum shekh mm nko uk napenda sana kuku fuatilia na pia naumwa
Unapatikana wapi?
Kama mimi
Mimi Niko Kenya nitapata aje
Mashaallah
Allah akbar
Mmmh
Gharama yake na zitazipata vipi shekh
Arusha tunapataje
SHEHE mbona dalili zote karibia robo tatu ninazo??
Sheh hayomafuta yanaitwaje
Aa nataka hizo dawa za jini nitazipata vp shekh
Mimi napitia hio unasema naweza kukupata wapi nilingizwa kwa masetani devolworshipper hua Niko nasetani mwilini kwangu nahua anaongea ndani yangu
Nimie number yako nikwongoze
Shekh mama yangu macho yanamsumbua kila hospital inshindikana nsaidie kwa kisomo iki 0694202507
Unapoongea ongea dawa ya subian baada ya kumhimidi allah isiwe kma ni khutba jamn mb zaisha