Ruqyah ya kutibu hasad, uchawi na kutoa mashetani (Isikilize kila siku mpaka mpone, In Sha Allah)
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Ruqya ya kutibu hasad, uchawi na kutoa mashetani (Isikilize kila siku mpaka mpone, In Sha Allah).
------------------
Kasema Allah Subhanallah Wataalah:
"وَإِذَا قُرِئَ ٱلْقُرْءَانُ فَٱسْتَمِعُوا۟ لَهُۥ وَأَنصِتُوا۟ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ"
"Na isomwapo Qur'ani isikilizeni na mnyamaze ili mpate kurehemewa"
Eee mwenyezi Mungu naomba uniondoxhee shetwan aliyeko kichwani mwangu kupitia dua hii AMIN Amin
Atakuondoshea inshalah
Pole ujlnajisikiaje
❤❤❤@@ShamimMsofe
Amin Allah akufanyie wepesi
Lll
@@ShamimMsofe
Nmeshindwa lala mauzauza yananijia moyo umekuwa na wasiwasi lakin kwa dua hili nmepata ata nguvu ya kuandika ujembe huu siamin na nlichokuwa nakisikia nje ya nyumba 🙏 inshaallah shekhe ulietuwekea hii dua allah azidi kukuweka utuponye waislam wote🙏
Masha Allah, tabaraka Allah naskia moyo wangu una utulivu kabsa pindi tu Naskiza Qur'an inaposomwa ❤🧡💛💚💙💜🤎 jazakallahu kheri
Mashallah💗💜💖💕
ALLAH AKULIPE DUNIA NA AKHERA INSHAALLAH
Alhamdhulillah nashukuru Allah kwakunionyesha njia iliyo sahihi Alhamdhulillah naamini Quran n tiba kamili 🤲🤲🤲
Ya Allah nakuomba mungu wangu uniwekee wepes katika mazito nayopitia nijalie nipate mume mwiisilamu ya rabi bila wewe Mimi siwezi nipekipato Cha halali nirehemie wazazi wangu mabibi na wakubwa zangu na ndugu na jamaa walio tangulia mbele za haki inshallah
Utapata mume mwenye heri na wewe na kila mwenye kuhitaji basi Allah amtatulie shida zake
Kupitia dua hii namwomba Allah atulinde mie na familia yangu dhidi ya hasadi za walimwengu na kutujalia Afya njema
Amiin 🙏
Jazaakallahu khayral jazaa Sheikh, Allah atutatulie mazito yawe mepesi.... Allahumma Ameen
Amini yarabla Amin 🙏🙏♥️♥️
Jazakallaah lkheri
اللهم آمين يارب العالمين 🤲
Masha Allah, Jazzakhah Allah khery namuombea M/mungu aniondoshee aya mazito niliyo nayo ,nipo mbali na family Allah aniondoshee aya maradhi na anifanyie wepesi katika utafutaji wangu pia nipate ridhiki kwa wepesi🤲🤲
Amin inshaalah 🙏
Yaa Allah nakuomba kupitia dua hii km kuna kitu chochote kibaya kimo ndani ya mwili wangu,ndani ya nyumba yangu,ndani ya familia yangu basi insha'Allah leo yote yaishe na yatoke kwa uwezo wako sw pia muondolee mama angu mzazi magonjwa yote na arudi ktk hali yake ya kawaida pia na mama mkwe wangu nifungulie millango ya risk na undoe nuksi kwenye familia yngu zidi kuwapa uelewa wanangu ktk elimu ya ekhera na dunia waepushe na majanga ya dunia ya rabilla allamina 🙏🙏
Ameen yarrab
Amin amina yaarabbi takabal dual!
Yarabi naomba uniongoze katika njiya iliyonyooka isowe ya wale ulowakasirikia na unijaalie mimi pamoja na wazaza wangu na wadogo zangu na unipe moyo wa subra na uniepushe na kila asri na sheirwani la kike na la kiume amiiiiiin yarabilaala miiiiin
Masha Allah. Namuomba Allah anijaalie rizki ktk shughuri zang, aniondolee husda mbaya, aniepushe na mabalaa, anikingu na maradhi makubwa na madogo, awaajalie watoto wang elimu dunia na elimu akhera wawe vichwa wasiwe mkia, amfanyie Mama yangu wepesi na kumuondoshea maradhi makubwa na madogo, atujalie familia tyweze kuelewana na kuoendana. Amiina Insha Allah
Amiin yarabi
Manshalla🙏
Amiin ya Allah
Masha Allah naamini atatizo yangu yataisha nasumbuliwa na mashweitani yakiwanga,
Ameen
Mashallah mashallah alhamdu lilah ee mwenyezimungu muumba wavyote kupitia qulhan tukufu naomba uniondoshe namaradhi ya kishetwan ,uniepushe nahusda uniepushe nakila baya na unijalie mwisho mwema wa kukuabudu yarabi qarem
Mashaallah Shukran Allah awajalie nanyi afya njema awastri na mitihani kwa rehema zake Allah
Ameen kwa wote
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 Allahumma amin
Christina katana mwenyezi mungu aw zidishie her hap duniani na hahera
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲
Amiin
eeh mwenyezi mungu mwenye huruma telee, nihurumie mimi mkosefu mbele zako nipe moyo wa kukuabudu wewe pekee na kuachana na mambo ya dunia. Niondolee chuki na husuda za kila aina. eeeh mwenyezi mungu wajaalie makuzi mwma watoto wangu abdulrahim na alya, mjalie hekima mke wangu zulfa Ameen.
Ya allah tuondoree hasadi katika familia yetu inshallah na umponye mama yetu inshallah 🙏
Ya ALLAH ss waja wako tufanyie wepesi kwa kila mtihani tunayopitia ya RABBI tuondolee matatizo mwilini mwetu ya RABBI kupitia dua hii sheikh ALLAH akujalie mema duniani na akhera amiiiiiiiin
Mashaallah allah awafunguliye milango ya kher kwa kutuekea hiki kisomo
Yaarabi tujalie kheri kupitia hii dua inshallah tuepushie shari sisi waja wako jaza kalahukheri
Mashallah allah atujalie kile lenye hery kwenye maish yetu yaraby
YAALLH kupitia kisomo hiki Nina kuomba niondolee maradhi ya kichwa nuksi Asadi na sihiri nilizo wekewa na familia yangu Na Mwanangu nasri umuwezeshe kutambaa kwa araka kwa kudra zako yarabi subuhnna Allah muondolee matatizo sugu mke wangu swaumu m,bwana Alihamdu lilakhi
Mashallah Dua nzuri sn Allah akujaze kher ndugu yetu
Masha Allah Tabarakallah
Mashallah. Tabaraka llah
Ewe Allah kupitia dua hii naomba ukanifungulie mambo yangu yote pamoja na biashara yangu, na ukaniondolee mambo yote mabaya yaliyo katika mwili wangu. Ewe Allah pia nakuomba ukabariki biashara za wazazi wangu inshaallah🤲🏻🤲🏻
Mashaallah hii dua mwenyezi mungu haitikie amin kwa mazito ninayopitia
Eee Allah nilinde na Hasadi za huu ulimwengu… nipe muongozo mzur wa kuku tumikia kila siku niamkapo….linda familia yangu katika mabaya Allah ….. fungua riski ndogondogo na zile kubwa kubwa katika maisha haya ulio tupatia ya mda mfupi apa duniani…. Nilinde na magonjwa yasinipate.. nijaalie mume bora wa kunipenda na haliyangu pamoja na familia yangu.. hakika Allah nijaalie mwisho mwema 🤲 inshaallah nikiomb na kwakuamini ndivyo itakavyo kuwa… Amin 🙏
Mashallah hii dua nimzuri saa tunamuoma Allah SWT atujaalie shifaaa na atuonoshe matatizo yote tulionayo na atulinde na shari za maadui wetu wote 🤲🤲🤲
Allah ikubuke familia yangu tunayo pitia tufanyie wepesi kubuka babangu,mamangu, ndugu zangu dada zangu Na pia watoto wangu tukinge Na wachawi 🤲 Amin yarabi
MASHALLAH MASHALLAH JADHAKALLAH KHERI
In shaa Allah kupitia dua hii Allah aniponye maradhi ya wasiwasi. Sheikh jazakallahu kheir .
Maashalla mungu ni mukubwa😢
Allhamdulilh shukrani allah atakulipa leo niko nawiki moja naskiliza mambo nilo skiya jana haki duwa iyi nishifa kabisa vitu vimenitebeya tuboni naviskiya kitu kama mtoto anacheza
Ewe mungu wetu tujaalie wote wenye maradhi ya hasadi sihiri na majini wabaya utukinge kupita kisomo hiki cha khuroani ameeni
Amiiiina 🤲
Amiin
Amin inshallah
Amiiiina inshallah
Amiin
Ewe mwenyezi mungu nakuomba kupitia duwa hiii nipone hiii shida inayo nisumbua nakitu kilichopo katika mwili wangu kibaya kitoweke kwa uwezo wa Allah ewe mwenyezi mungu niponye mja wako 🙏
Mashallah mungu anifanyie wepesi katika mambo yangu na malengo yangu kwa kusikiriza dua hii
Ewe ya rabi niondolee wachawi ambao wanetuandama mimi na familia yang kupita dua hii Amiin hakika wew ni muweza wa kila kitu❤
Maa shaa Allah shukran kwa ku upload vitu napenda, Allah awalipe kila lilo na kheri
Allah humma amin
Masha Allah Allah atulinde na sharri aamin
Inshallah ALLAH pekee ndio kimbilio letu niondolee mitihani ya mwilini mwangu kupitia Dua hii amiin
Mashaallah mashaallah Allah akulipeni heri inshaallah
Shuklani Allah hatakulipa
Ameen kwa wote
Mwenyezi mungu kwa Dua hii mashwetani yote yanayonitesa kwa, magonjwa ya tumbo ya uzazi kwa Dua hii naomba vinitoke vyote vinavyo nitembea mwilini mwangu allah akuifadhi shehee
MashaAllah! Alhamdulillah!
Mashallaaah
Allahumaa Ameen Thuma Ameen Wallah Hii Dua Kisomo Cha Ruqya Ni Hatariii Kwa Mambo Machafu Naisikiliza Kila Siku Inatuponya Jamani Huyu Shekh Mwenyezi Mungu Amuondolee Shida Za Kidunia Hamuifadhi Dunia Na Akhera Ningejua Alipo At Zawadi Ningempa Naomba Allah Utujaliye Aman Kwenye Maisha Yetu Mimi Na Familia Yangu Kwa Ujumla Maradhi Yote Yaishe Kupitia Qur'an Yako Tukufu INSHA'ALLAH KHERI.
Alhamdulillah Mwenyezi Mungu kupitia Dua hii naomba uniponye matatizo yangu pia umponye mama angu kipenzi amekua mtu wa kukosa amani kwa kisumbuliwa na WACHAWI pia Mwenyezi Mungu naomba kupitia hii Dua iimarishe nyumba yangu maana maajabu hayaishi nyoka, paka na ndege wanakufa pasipo kupigwa mawe 🤲🙏 nitashukuru sana kama utaimalinsha kwa yeyote anaekuja vibaya basi aaibike na asifanikishe kitu kibaya anachotaka kukifanya " Allahuma Amiin 🙏 🤲..!
Alhamdulilaah If I listen to this prayer when I am sick, I am completely healed 🤲🤲🙏🙏
Ya Rabb Alaamiin Azza wa Jal,Muumba wa mbingu na ardhi,mwenye kurehem,neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo..nikaomba na kutubu mbele zako Allah,nayakabidh maisha yangu,wazazi wangu,wangu,mume wangu na ndugu zangu..ya rabb tuongoze katika njia salama na yenye kukupendeza.tusamehe madhambi yetu,tujaalie mwisho mwema ya Allah.kupitia duah hii naomba unifungue vifungo vyote ima vya binaadam ama majini,hakuna linaloshindikana kwako Allah.tabaqal duah 😢🥹🤲
Mashaallah Allah atuondoshee mabalaa ya majumbani na njiani biidhinillah lkareem
🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Ameen
Ameen
Ee mwenyezi mungu kwa, Dua hii takatifu naomba mateso yote ya tumbo yaondeke ndani ya mwili mzima
Ninaimani na Quran kitabu kitukufu hakika tutaponywa nayo kwa idhini ya ALLAH, Inshaallah
Maashaallah tabaraka’llah🙏🏾 huja kosea kweli Qur’an ni shifaa kwa wanao amini
Mashallah allhamdullillah namshukuru
Nashukuru allhadullillah naendelea vizuri bado kidogo mungu ataniondolea inshallah
Mashallaah🤲🤲
Mwenyezi mungu nakuomba uniondolee matatzo niliyonayo unifungulie liziki,baraka na uniweke mbari namaadui zangu
Mimi sio msilamu lakini anapenda kusikiliza Koran na dua yao🎉🎉
MashaAllah 🤝🏽
Mimi pia kwani naiman Mungu ni mmoja tunae mwabudu …. Inshaallah mwenyenzimungu atufanyie wepesi katika kila jambo 🤲
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI INSHALLAH SHEIKH
Ya Allah nifanyie wepesi mja wako kila lililo Baya ndani ya mwili wangu nateseka sana
Yalabi,naombA,uniondoshe,,maladhi,yanayo,nikabili,kupitia,duahii,amini,Amin 🙏
Yarabi naomba unijalie kupitia haya maneno yko matamu unitoe nuksi mwilini mwangu na unijalie niwe mtu wa kupendwa na watu na ujalie riski ya halali na unijalie mdomo wangu usitoe maneno machafu nijalie riski mungu wangu ili niowe mke mwema ameen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Maashallah Dua nzuri sana.....
Mwenyezi mungu nakuomba kupitia dua hii nijalie Heli katka maisha yangu naomba nifungulie milango ya heli nifungie milango ya shali naomba nitolee vifungo vyote nilivyofungwa ndani ya mwili wangu na nje ya mwili wangu nitolee majina machafu nifungilie liski zangu ndoa zangu kazi zangu naomba mwenyez mungu nilindie familia yangu 🙏 nilindie baba yangu mama yangu wadogo zangu wanangu mume wangu pamoja na ndugu zangu wengine waponye wanaoumwa wote waliopo hospital na majumban warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele za haki 🙏 Allah ninamengi ya kukuomba mungu wangu😭 yote unayaona na kuyajua nilioyasahau allah nakuomba nifanyie wepes mungu wangu🙏 hakuna wa kumuomba zaidi yako wewe mungu wangu 😭😭🙏
Naam kupitia dua hii imenisaidia sana Mashaallah jazakallah shukran❤❤❤
Oh Allah help us to over come setanic power
Ya allah tuponye mimi na mama angu kipenzi inshallah 🙏kimbilio letu ni wewe
Nakuomba Allah atufanyie wepesi inshallh na mmbo yng aniongoze inshallh
Mwache Mungu aitwe Mungu
Mashallah Allah aniondoshaa kila hasad inshaallah
Alihamdulilah mungu naomba unilinde na watu wabay naomba unipe mwisho.mwema naomba.unipe ridhik.ya mkono yangu nifanikishe ndoto yangu Alihamdulilah
AMEEN THUMA AMEEN 🤲🏽😔
Amin
Ya Allah nijalie ndoa Yang iwe na amani na unilindie wanangu uwaepush namaradhi
Ya allh nakuomba kupitia Qur'an yak tukufu uniondolee maradhwi yanayo nisumbua mwili na unijalie niwe afy njema na unijalie niwe mwenye kuipenda Qur'an ishaallh na utujarie mwisho mwema❤
Allah nijalie niendelee kuskiza Kila siku inshallah 🙏 nisaidike kuondoa matatizo yangu ,,, anisaidie kunifungua maskio akili nisikose swala na nisikose kutenda mema yanayo mridhisha mwenyez mungu 🙏🙏
Amin
Ma shaal
Ma shaalah
ALLAH nakuomba kupitia Dua hii nakuomba msamaha mimi na familia yangu, pia nakuomba uwarehemu wazazi wetu, nakushukuru kwa kila jambo, nakuomba unifanyie wepesi mimi na familia yangu na dunia nzima kwa kila gumu tulilonalo na tunayoyapitia , ALLAH nakuomba kwa ajili ya watoto wangu wawe watoto wema wenye hofu ya M.Mungu na wenye kuheshimu wakubwa na wadogo, wakawe vichwa mashuleni na sio mkia ukawalinde na mabaya na kila hasadi za ulimwengu huu, ALLAH nakuomba kwa kupitia Dua hii ukailinde Ndoa yangu na kila hasad na husda za walimwengu kila aliekusudia bay limrudie mwenyewe. Pia nakuomba uzilinde na Ndoa za wengine. Allah nakushukuru kwa kila jambo. Allahuma Amin 🤲
Naomba mwenyezi mungu uniponye kwa kutumia iki kisomo
Allah atulinde na kila shari katka safar zetu familia na awaondoshee roho mbaya wenyiji wetu
Mashaallah Allah akuongoze shekhe wetu
Alhamdulillah amin yarab Allah
Alhmdllh Allaah atupe shifaa..
Subhanallah
Nappa nipe barqkq zako nidumu katika kazi wasifikilie mwengine bali mm tu eemungu ninakuomba kwahili hakikq ww ndie ujuwae maisha yangu
Mungu niondolee maradhi nuksi na ndoto mbaya
Ehh mola wangu nakuomba unijalie uzima kutoka nisishikwe na ubaya wowote kwa wanadamu ehh mwenye zimungu nakuomba inshallah
Kupitia dua hii Allah nifanyie wepesi ktk kila zito lang
Mashallah very good
Shukrani jazzakkalaah Airaq
Mashaallah Allah anijaaliye wepes maan usiku ninamitihan mizito hatakulala silali wallah
ما شاء الله تبارك الله شكراً كوا أوز والله توتابون
Mashaallah. Dua hii mwili wote unatetemeka
Ndio maana harisi ya ruqyah Inshaallah Allah atuondolee maradhi tunayoyajua na tusiyoyajua na vitimbi vya majini amiin
MashaAllah MashaAllah
Maa shaa Allah Allah akujaze afya na salama Allah akulipe khery Allah atujaaliye mwisho mwema
Ameen
Mashaallah
Mashallah
Yarab naomba uniondoshee maradhi Yote yaliokua kwenye mwil wng
Mwenyezi. Mungu.akufanyie.wepesi.kaka.angu.
Mashallah Allah
Ewe Allah tujalie mwisho mwema waja wako
Nina imani katika hili Inshaallah uchawi wote Utaondoka na hasad zote zitafutika
Alhamdu li llah
Mashallah Shukran
Ewe mwenyezi mungu kupitia duwa hii mponye mwanangu
ALLAH ATUPE WESI SOTE INNSHA ALLAH
Inshallah Allah anifanyie wepes katika matatizo yangu
Jazakahu kher
Masha Allah😭😭🙏🙏🤲🤲
Mola wangu nakuomba kupitia dua hii uniponye
Amiin 🤲
Manshalla
Quran ndio speech (kauli) pekee isiyobadilika, toka nimejifunza Kiarabu, Quran ndio Muujiza wa Muhammad (s.a.w). Ukiachana na Miujiza ya Kisayansi iliyofahamika, Lugha ya Quran ni Muujiza. Kwa kifupi hakuna Muarabu na Msomi atakayeweza kuleta Quran nyingine. Allah Akbar, Muweza wa Yote.Alhamdullilah, Hakuna mfano wake hata kiushair.