kisomo cha kuangamiza majini na uchawi (yaasin mubiyn)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 850

  • @MauaMbaraka
    @MauaMbaraka 3 місяці тому +7

    Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤

  • @gmwanaabc7492
    @gmwanaabc7492 3 роки тому +48

    Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina

    • @iddyramadhani7202
      @iddyramadhani7202 Рік тому +2

      9

    • @rukiaomary
      @rukiaomary Рік тому +5

      Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia UA-cam nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake

    • @ZainabuNassor-j8s
      @ZainabuNassor-j8s 5 місяців тому +1

      Kwa hakika na mm leo nitalala inshallah Mungu yupo nami

  • @fatmafarijalayusuph5338
    @fatmafarijalayusuph5338 2 роки тому +24

    Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema

  • @aishamunga3056
    @aishamunga3056 3 роки тому +13

    Eweee muumba wangu naomba ukaniponye maradhi niliyo nayo na ukanifungulie milango ya kheri. Aamin Aamin

  • @FIRDAUSAWADH
    @FIRDAUSAWADH 5 місяців тому +8

    Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo

    • @Reyrahumisi
      @Reyrahumisi Місяць тому

      yarab niepushe na maradh yarab nipe afya njema kupitia kisomo hiki yarab

  • @macho_autosound1accessorie126
    @macho_autosound1accessorie126 2 роки тому +22

    Kwa Kupitia Dua hii Allah Atusaidie Ummat Muhammad Pamoja Na Ndugu zetu walio Tutangulia🙏

  • @lucygasper5547
    @lucygasper5547 3 роки тому +52

    Mashallah Molla anijalie nami niwe muislam ...

  • @seliidrashio6968
    @seliidrashio6968 4 роки тому +11

    Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."

  • @hirman2k03
    @hirman2k03 3 роки тому +40

    Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍

  • @emmygabriel2469
    @emmygabriel2469 3 роки тому +34

    Inshaallah Mwenyezi Mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo na ukanifungulie milango ya kheri, Inshaallah

  • @annethmhina5731
    @annethmhina5731 3 роки тому +12

    Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki.
    Ameen

  • @abbyits1178
    @abbyits1178 3 роки тому +30

    A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali

    • @sweetmeena5970
      @sweetmeena5970 3 роки тому +2

      Mashallah

    • @zenaahmedi8857
      @zenaahmedi8857 3 роки тому +2

      Mashaallah

    • @MwemaAli-f7n
      @MwemaAli-f7n 3 місяці тому

      Mashallah shekhe sharif mungu akupe umri mrefu na siha kwa dua yako nzuri mashallah

  • @annakasada1454
    @annakasada1454 3 роки тому +16

    Kwa kupitia dua hii mungu aniepushie mabaya yote na aniepushie na husuda za walimwengu maisha ni mwangu

  • @RUKUNDORADJABU
    @RUKUNDORADJABU Місяць тому

    Alhamdulillah cCheikh wetu Mungu akujalie , akuongezee umri , afya njema na barka zote

  • @swahibuomari176
    @swahibuomari176 3 роки тому +12

    Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 3 роки тому +24

    Yarabi M/MUNGU tuepushe na husda za walimwengu kupitia dua hiii nakuomba ya allah mpatie shekhe uyu kila kilicho chema hapa duniani kesho aelah

    • @mwanajinacayemite2336
      @mwanajinacayemite2336 3 роки тому +1

      Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe

    • @abdifatah9129
      @abdifatah9129 3 роки тому +1

      Inshaallah

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому

      Amiin

    • @islamislife2556
      @islamislife2556 4 місяці тому

      Amin yaraab

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 роки тому +3

    Shekhe unatupa duwaa nzuri mungu akujaalie afya njema shekhe yussuf

  • @delaizermsafi1442
    @delaizermsafi1442 2 роки тому +3

    Yallabi kwadua hii niondolee khofu katika nyoyo yangu niwe yakuwa nawasiwas sn naomba uniondoree maradhi niliyokuwa nayo yalabi mimi simkamirifu nisamehe pale nilipokosea wewe ndio mjuzi wayote na mtekerezaj niwew amiin

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Рік тому

      Assalam alaykum mm nilikua zaid yko alhmdullah naskiliza nikiwa nipo tohara natulia kwenye msala alhmdullah nipo swa leo ya tatu.

    • @salmaally2252
      @salmaally2252 8 місяців тому

      Hii shida hata mm naipitia

  • @Niyiturinda
    @Niyiturinda 3 роки тому +7

    Allahuma amiini.....kwa kisumu hiki kinisaidie.....kwa maisha yangu...na kizazi changu...

  • @wombozipashua63
    @wombozipashua63 2 роки тому +6

    Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Рік тому +1

      Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.

  • @MariamSaid-kl1mi
    @MariamSaid-kl1mi Рік тому +4

    Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @mct6866
      @mct6866 Місяць тому

      Amiin ya rabby

  • @salimajuma5530
    @salimajuma5530 3 роки тому +4

    Jazakalahu heri Allah akupe pepo yadunia nakesho ahera ameeen

  • @SharfaSharfaadamu
    @SharfaSharfaadamu 10 місяців тому +2

    Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢

  • @michatv239
    @michatv239 3 роки тому +4

    Namuomba mungu anifanyie kila wepesi kopitia kisomo hiki changamoto zote mbaya ninazopitia mungu aniponye nakunibarik aaamin. Ubarkiwe Sheikh

  • @EggyMiguel
    @EggyMiguel 2 місяці тому +1

    Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba ukaniondolee mabalaa yote nuksi mawazo machafu kwenye moyo wangu ukaniponye maradh ya mwili wangu ukanifanyie wepesi kwa kila jambo IshaaAllah Amin

  • @blemisheclat4969
    @blemisheclat4969 4 роки тому +10

    Shukran Sana shekh walai nimeumwa na mkono miaka miwili nimefatilia duwa hii kwa siku mbili naendelea vzr Mola akulipe inshallah

  • @khadijaahmed6411
    @khadijaahmed6411 4 роки тому +13

    Asalam aleikum warhamtillahi wabarakat,shukran sheikh,inshallwa mungu akujaze kila la kheri,na Allah atukinge na wachawi na mahasid yarab..

  • @RenePietersen-q9e
    @RenePietersen-q9e Рік тому +1

    Inshallah sheh duana takhabballii ❤

  • @rizikihaji800
    @rizikihaji800 2 роки тому +3

    Allah akupe kheri za dunia na Akhera na akuepushie kila mabalaa inshallah ,naamin Allah atanisaidia kupitia kisomo hiki inshallah

  • @Geeinitiatives-kp8fx
    @Geeinitiatives-kp8fx 2 місяці тому +1

    mwenyezi mungu nisaidie nilinde uniondole maovu mimi na familia yangu unifungulie rizq

  • @rukiammangammanga1166
    @rukiammangammanga1166 3 роки тому +12

    Mungu asaidiee yarabi❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭😭😭

  • @zynbtnzanya9870
    @zynbtnzanya9870 4 місяці тому +1

    Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin

  • @thuwaidamaulid3915
    @thuwaidamaulid3915 4 роки тому +12

    Maashaallah shekh Allah akufanyie wepesi Kila Jambo na akulinde na Shari zote🙏

    • @ashamohamed8248
      @ashamohamed8248 3 роки тому +1

      A.alykum sheikh Masha allah mungu a tupe wepesi kwa kilajambo

    • @allynassor8853
      @allynassor8853 2 роки тому +1

      Shekh nataka kujuwa duwa ya kusomea maji kwa ajili ya mtu anaesumbuliwa na shetan

  • @amyna2024
    @amyna2024 3 роки тому +3

    Yaa rabbi tuhifadhi na Kila baya la dunia kupitia dua hii...aaamiin

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 2 роки тому +3

    Allah akulinde na akuzidishie elimu zaidi uzidi kutusaidia,Shukrani sana sheikh

  • @DanielRocky-s8h
    @DanielRocky-s8h 3 місяці тому +1

    Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 роки тому +3

    Ameena Yarrabi ' allameen
    Shukrran sheikh Yussuf Allah akupe kheri na barka na afya na umuri i'nsha Allah

  • @mgeniali941
    @mgeniali941 3 роки тому +4

    Allah atufanyie wepes mashallah nimeianza leo na mm

  • @khadijaidd9032
    @khadijaidd9032 3 роки тому +5

    Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen

  • @bishakadhi3358
    @bishakadhi3358 4 роки тому +3

    MashaAllah wal alhamdulilah kwa kisomo hiki Allah akujalie kla lenye kheir nawe InshaAllah👌👌👌💕❤💓💞

  • @tabassamhemed1027
    @tabassamhemed1027 4 роки тому +5

    Shukran sana usdhadh.Allah akulipe mazuri hapa duniani na akhera

  • @empress236
    @empress236 3 місяці тому +1

    Assalam Alaikum
    Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah
    Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji
    Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲
    Amiin

  • @AmadeSefo
    @AmadeSefo Місяць тому

    Kupitia kisomo hiki allah nionyeshe njia nipe mwisho mwema 🙏 ya Allah♥️

  • @samirahassani8606
    @samirahassani8606 19 днів тому

    Mashallah,Allah Akbar inshallah kwa barka n utukutu na nguvu ya kisomo hiki maneno hay matukufu ya Allah subhanallah wataal namuomba Allah aniondoshee ili jambo lililojificha kwenye Moyo wangu na Akili yangu linavuruga Akili yangu linanikosesha Raha Allah analijua anifanyie wepesi Mola wangu Amin 🤲

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому +5

    Maa shaa Allah shukraan sana tuko pamoja in shaa Allah

  • @bashirunanguta1810
    @bashirunanguta1810 Місяць тому

    Allhamdulilah Mwenyezi Mungu akupe kila hitaji akuepushe na mabaya tumetibika

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya 8 місяців тому +1

    Yah Allah nifanyie wepesi katika kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu niponye hii Hali nilikua nayo ewe mungu nisaidie

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 4 роки тому +4

    Masha allahh najifunza kitu katika maisha yangu jazaq wahu kheir Allah atakulipa kwa jambo jema

  • @GloriaMillinga
    @GloriaMillinga 3 місяці тому

    Mwenyezi Mungu naomba uniepushe na majini wote na uniondolee vifungo vya aina zote

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 3 роки тому +4

    Mashaallah shukran sana..Allah akuzidishie..kheri.

  • @judymwangi9027
    @judymwangi9027 4 роки тому +5

    Shukran sheikh Allah akupe umri Mrefu, duniani uzindi kulingania ummah.

  • @zakialean3864
    @zakialean3864 4 роки тому +4

    Mashallah mwenyenzimungu akufanyie wepesi ktk mtihani ya dunia

  • @habibujamali5746
    @habibujamali5746 3 роки тому +4

    mashallah mungu akulipe sheikh sharif yusuf!! mungu akupe maisha marefu ili uendelee kutibu watu inshallah!! na akujaalie uwe miongoni mwa waja wema na akupe pepo inshallah!!

  • @nasramiraji7716
    @nasramiraji7716 Рік тому +40

    Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi

  • @rahmasaid762
    @rahmasaid762 3 роки тому +3

    Kupitia kisomo iki mungu nionyeshe njia nipe mwisho mwema 🙏🏼♥️

  • @ebrubed6040
    @ebrubed6040 6 місяців тому +1

    ‎بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
    Bismillahir rahmanir rahim.
    ‎وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ
    Ve kul rabbi euzu bike min hemezatiş şeyatin.
    ‎وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحْضُرُونِ
    Ve euzu bike rabbi en yahdurun.

  • @bittybitty2712
    @bittybitty2712 4 роки тому +3

    Masha Allah tabaraka Allah Allah akupe kila la kheri shukurani sheikh

  • @dareymcute5790
    @dareymcute5790 4 роки тому +6

    Mashallah mashallh shukran kwa nguvu za mungu yatuondokee mana sisi wengine tunateseka na mungu akuzidishie imani ya moyo inshaallh from kenya

    • @habibadiombera7505
      @habibadiombera7505 4 роки тому +1

      Salam aleikum warahmatullah wabarakatah, na mimi na anza kusikiliza roukiya hiyi na amini Allah na kubali bila chaka kama Coran ni chiffa, Allah atu ondoleye chari na fitna ya wa binadam na ma jini mimi lewo mwaka tano malade na nikapoteza yote kazi sina pesa akuna tena ata wakini zawadiye hayi nifayidiye nazulumiwa na kilakitu kila mutu na warafiki yote wamenitoka alhamdililah na mu chukuru ni mitihani nimekubali amri ya Allah na kwa nguvu yake ichallah ye joo yuko na wezo yaku ni ondoleya matatizo ata wa toto awapate za kuchunga wenye wanatumika. Yengine niko nabo apa akuna kazi umoja anaswali sana me anakuywa siku mojamoja paka analewa,wakwaza ame achika 15ans paka mimba ametoka nayo fille anakuwa musichana, na ye garçon wake anayiba aki ona tu franga wanachukuwa nachoka sana ,na tengemeya sana kwa mungu na aya za Coran, na duwa ya nabi ayub jo natumikicha nazingine mingi tena,na wewe ilmu enye Allah amekupa Naku omba uni fatiliye kunitunza na famille yangu, résidence yangu abidjan.unisamehe ndungu ni msg ya kutuma kwa SHEIKH SHARIF YUSUF, ika enda ku jubu zako, atafazali umutumiye nimechinda ku modifie

    • @nsabimanatonny6400
      @nsabimanatonny6400 3 роки тому

      Assalam alaikum a

  • @muhammadsalim4485
    @muhammadsalim4485 3 роки тому +4

    Allhamdullillahi Allah atuondoshe matatizo mi na family yangu nawaislam wote amiin

  • @reemyaswaleh833
    @reemyaswaleh833 4 роки тому +3

    Aslm.alkm my brother shukran.ilayka allaaah. Ebarik.feeky sheik.sharif.yusuf

  • @adamluwambo1494
    @adamluwambo1494 3 роки тому +2

    Kupitia kisomo hiki mungu anijalie aniepushe na wachaw na majin na anipe kheri na hitaji lamoyo wang yarabby

  • @janetmutua4275
    @janetmutua4275 3 місяці тому

    Naomba mungu aniodolee mamjini yanayo nipa mangonjwa ata Sina amani Amen

  • @safiyaalrawahi7526
    @safiyaalrawahi7526 4 роки тому +4

    Ahsante sana kwa kisomo chenye nguvu sana. Jazaka llahu khair

  • @asyaabas1037
    @asyaabas1037 3 роки тому +5

    yarrab baraka zako na utukufu wako nijalie kisomo kiwe dawa kwang kiwe ndo kisomo cha kuniondolea mattz yot nilonayo na kiwe ufunguzi wa kheri kwang amin yarrab yaan nakiskiliz machozi yananitoka

  • @humudingilante4460
    @humudingilante4460 3 роки тому +3

    Allah awaongoze duniani na akhera awakinge na shari ya mahasd wa kijini na kibinadam inshallaah.

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 3 роки тому +3

    Masha Allah... Allah bless you Maana umetusaidia Sna

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 роки тому +1

    Mashaallah shukrani sana mwenyezi mungu akulipeni pepo kwahaya mema .mnayofanya

  • @husnadjuma2525
    @husnadjuma2525 4 роки тому +2

    Manshaallah Tabarak'Rahman shukran jazzillah sheikh wetu kwa visomo mbal mbal Allah akujaze kheir na baraka?

  • @umfarid247
    @umfarid247 4 роки тому +9

    Asalaam aleykum shekh tunashukuru mungu akulinde na maadui na hasada akupe umri mrefu yaaraab shukraan

  • @ashanjango9937
    @ashanjango9937 3 роки тому +3

    Jazalallahu khairy. Inshaallah Rabby zidinan Elman Warzuquna fahama

  • @ktggtvgvtghadijaalifanichi1301
    @ktggtvgvtghadijaalifanichi1301 4 роки тому +3

    MashaAllah Allah akuzidishie dua nizuri sana jaza yako iko kwa Allah

  • @DeffoNotGarfield
    @DeffoNotGarfield 3 роки тому +4

    Shukran Shekh kwa msaada wako Allah akupe mema ya hapa duniani na Akhera.

  • @fatmayasin5861
    @fatmayasin5861 3 роки тому +2

    Allahumma Baraka llahu fihy.. Jazzakallahu khair

  • @nasranasra9781
    @nasranasra9781 3 роки тому +1

    Mashallah mashallah mashallah mashallah Allah akuzidishie kher dunia wafiri akhera

  • @nyihajjialiy2287
    @nyihajjialiy2287 4 роки тому +7

    SHAREEF... MashaAllah! MashaAllah! Tafadhali naomba ukirudie kisomo hiki kwani kuna kituo kimoja katika vituo ''MUBIIN'' uliruka bila du'a katikati yake. kama sikosei MUBIIN YA 4 AU YA TANO... Shukran, mie nasaidika na hiki kisomo ALHAMDULILLAHI..JAZAAKALLAHU KHEIR....

    • @karimasalahudeen334
      @karimasalahudeen334 3 роки тому +3

      Assalam Aleiykum. Naomba unifahamishe MUBIIN ni nn mm ni nislimu mwaka jana

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому +4

      @@karimasalahudeen334 mubiin ni part ya sentence mwenye hiyo sura. Surah inaitwa yasin. Ina mubiin 6. Kila kwenye mubiin anatia dua, ila kwenye mubiin moja kaacha kutia dua

    • @munirahemedi4340
      @munirahemedi4340 2 роки тому

      Ukamilifu niwa mwenyeezi mungu

  • @najmajoneke-sk7ld
    @najmajoneke-sk7ld Рік тому

    Mashaa Allah Shukuran sana Shekhe Wetu Kwa Kisomo Hiki Wallah Tangu Nianze Kukusikiliza Allahamdulillih Nimepata Afueni Mungu Akubaliki sana

  • @aminahamis9343
    @aminahamis9343 4 роки тому +4

    Masha Allah jazaka Allahu kheyran sheikh wetu Allah ajalie umri

  • @mariyashadiashadia714
    @mariyashadiashadia714 4 роки тому +5

    mashallh dua nzuri mungu akupe uzima na afya ostazi wetu

  • @thomassamwel4953
    @thomassamwel4953 Місяць тому

    MOLLA wangu nakushukuru kwanafasi hii niliyopata yakusikiliza hhi DUA, kwarehema zako nihurumie, unitakase uniondolee vifungo na kila vikwazo ktk milango yangu yote. Aminn🙏🏻

  • @aminaabdaallah944
    @aminaabdaallah944 3 роки тому +1

    Mashallah mashallah mwenyewe zimungu akubariki asant kwa dua nzuri na amina Allah atafanya wepesi nitaondokewa na maladhi yanayo nisumbua

    • @aminaabdaallah944
      @aminaabdaallah944 3 роки тому +1

      Ila ustadhi kila nikisikiliza hiki kisomo lazima nijisikie vabaya pia saingine natapika

  • @HadijaShango
    @HadijaShango 6 місяців тому

    ❤❤❤❤inshaallaah ostaz mungu akuzidishie kherii na umuri mrefu uwaombe navizazi vyetu inshaallah

  • @samiaasalamalykumshukranmo9489
    @samiaasalamalykumshukranmo9489 3 роки тому +2

    Allah akupe afyah ameen yarrab

  • @laylahasshim827
    @laylahasshim827 4 роки тому +3

    MashaAllah shukran shekhe🙏🙏🙏🙏🙏🙏Allah akulipeee inshaAllah

  • @zeinabjay4047
    @zeinabjay4047 3 роки тому +2

    Shukran shekhe sharifu najihisi mwenywe Amani mwepesi kila ninapo fuata na kusikiza dua zako Mola akujaalie kwakila Jambo lako inshallah

  • @saumujuma6172
    @saumujuma6172 4 роки тому +3

    Shukrun san Allah akulipe mema duniyani wa fliy Aheraaa

  • @زينببنتسعيد-د9ح
    @زينببنتسعيد-د9ح 4 роки тому +4

    Mwenyezi Mgu atupee shifaa na atufanyie wepesi kwa kila jambo la kheir tutakalo amilia kulifanya,na wewe Mwenyezi Mgu azidi kukupa uzima na umri mrefu kwa kutupa faida kwa kila jambo la kheir,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Shariff Yusuf

  • @MwanaishaMwanzowa
    @MwanaishaMwanzowa 8 місяців тому

    Waaleykumslm,shukran shekh wetu Allah akulinde na akuepushe na mabalaa Allah akupe maisha marefu yakupendeza apa duniani nakesho Akhera ameen Rabby❤❤❤

  • @aminakassim409
    @aminakassim409 3 роки тому +4

    Mashaallah allah akubarik..

  • @munaabdullahi6796
    @munaabdullahi6796 3 роки тому +3

    masha allah my allah s.w garnt u in janatul firdows amiiiin allahuma amiiin jazakalahu qeyran jazaa m.a

  • @راجيعواجي
    @راجيعواجي 2 роки тому +3

    Laaila haila Mohammed rousolu Allah atuondoshee mitihan na awe kinga bora kwetu Ameeen ameeen inshaaAllah

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj 4 місяці тому +1

    Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu

  • @bidallahamadi4076
    @bidallahamadi4076 4 роки тому +6

    MashaAllah Allahuma Barik🤲🤲🤲
    JazakaAllahu kheir

  • @ZainabuNassor-j8s
    @ZainabuNassor-j8s 4 місяці тому

    Kiukweli nashukuru can shekhe SHARIF dua zako zimenisaidia can wallah Allah akupe mwisho mwema inshallah 🙏🙏

  • @hamishamis922
    @hamishamis922 3 роки тому +1

    Allah atufanyie wepesi kila la kheri shekhe wetu amiin akuulinde na fitna na husda za walimwengu amiin amijna

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 4 роки тому +28

    Masha Allah Sheikh this supplication/Dua super powerfully special when we listen wearing headphones 🎧..We truly appreciate Sheikh Barak Allah Fik and May Almighty Allah grant you Tranquility and long life including your fans Ameen yarab

    • @zaniamohammed2258
      @zaniamohammed2258 4 роки тому +3

      Mwenyezi mungu atakulipa shekhe inshaalhah

    • @mariammwachiroho4464
      @mariammwachiroho4464 3 роки тому +3

      Alhamdulillah Sheikh nimeanza kuisikiza kulingana na maagizo na kwa hakika nimeoona tofauti kubwa ndani ya hizi siku saba .Allah ajua Zaidi tuzo na taji la kukuvisha InshaAllah

    • @mariammwachiroho4464
      @mariammwachiroho4464 3 роки тому +3

      Shukran jazakillah khairan Sheikh sharif yusuf

    • @elmanonline9397
      @elmanonline9397 2 роки тому +2

      @@mariammwachiroho4464 vVqq v

    • @بدريهعبدالرحمن-ق3ف
      @بدريهعبدالرحمن-ق3ف 2 роки тому +2

      Mimi naitwa hija nimkenya naomba usaidizi

  • @fayza576
    @fayza576 3 роки тому +2

    Asante sanna allah atakulipa Firdaus ishalah

  • @husnaali1610
    @husnaali1610 Рік тому

    Yarabii,tufungue,vifungo hivivya majni mabaya nahawa,mahaba,nahusda nawachawi wanao chezeawatu,Allah tupewepesi,Amin,Allah awape kilalakheri,,Amin♥️♥️♥️♥️💯

  • @salmarajabu1626
    @salmarajabu1626 Рік тому

    Allah kupiatia kisomo hiki naomba uniondoshee matitazo kwenye mwili wangu na watoto wangu wazazi wangu tuwe hofu ya mungu

  • @fatumasalim1479
    @fatumasalim1479 2 роки тому +1

    Mashallah Allah akujazie nshallah

  • @ramilialiy3725
    @ramilialiy3725 4 роки тому +3

    Subkhallakh subkhallakh yarrab yarrab mzidishie elim sheikh wetu ameen