Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina
Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia UA-cam nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema
Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo
Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."
Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍
Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki. Ameen
A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali
Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;
Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe
Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin
Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.
Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢
Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba ukaniondolee mabalaa yote nuksi mawazo machafu kwenye moyo wangu ukaniponye maradh ya mwili wangu ukanifanyie wepesi kwa kila jambo IshaaAllah Amin
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen
Assalam Alaikum Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲 Amiin
Mashallah,Allah Akbar inshallah kwa barka n utukutu na nguvu ya kisomo hiki maneno hay matukufu ya Allah subhanallah wataal namuomba Allah aniondoshee ili jambo lililojificha kwenye Moyo wangu na Akili yangu linavuruga Akili yangu linanikosesha Raha Allah analijua anifanyie wepesi Mola wangu Amin 🤲
mashallah mungu akulipe sheikh sharif yusuf!! mungu akupe maisha marefu ili uendelee kutibu watu inshallah!! na akujaalie uwe miongoni mwa waja wema na akupe pepo inshallah!!
Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ Bismillahir rahmanir rahim. وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ Ve kul rabbi euzu bike min hemezatiş şeyatin. وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحْضُرُونِ Ve euzu bike rabbi en yahdurun.
Salam aleikum warahmatullah wabarakatah, na mimi na anza kusikiliza roukiya hiyi na amini Allah na kubali bila chaka kama Coran ni chiffa, Allah atu ondoleye chari na fitna ya wa binadam na ma jini mimi lewo mwaka tano malade na nikapoteza yote kazi sina pesa akuna tena ata wakini zawadiye hayi nifayidiye nazulumiwa na kilakitu kila mutu na warafiki yote wamenitoka alhamdililah na mu chukuru ni mitihani nimekubali amri ya Allah na kwa nguvu yake ichallah ye joo yuko na wezo yaku ni ondoleya matatizo ata wa toto awapate za kuchunga wenye wanatumika. Yengine niko nabo apa akuna kazi umoja anaswali sana me anakuywa siku mojamoja paka analewa,wakwaza ame achika 15ans paka mimba ametoka nayo fille anakuwa musichana, na ye garçon wake anayiba aki ona tu franga wanachukuwa nachoka sana ,na tengemeya sana kwa mungu na aya za Coran, na duwa ya nabi ayub jo natumikicha nazingine mingi tena,na wewe ilmu enye Allah amekupa Naku omba uni fatiliye kunitunza na famille yangu, résidence yangu abidjan.unisamehe ndungu ni msg ya kutuma kwa SHEIKH SHARIF YUSUF, ika enda ku jubu zako, atafazali umutumiye nimechinda ku modifie
SHAREEF... MashaAllah! MashaAllah! Tafadhali naomba ukirudie kisomo hiki kwani kuna kituo kimoja katika vituo ''MUBIIN'' uliruka bila du'a katikati yake. kama sikosei MUBIIN YA 4 AU YA TANO... Shukran, mie nasaidika na hiki kisomo ALHAMDULILLAHI..JAZAAKALLAHU KHEIR....
@@karimasalahudeen334 mubiin ni part ya sentence mwenye hiyo sura. Surah inaitwa yasin. Ina mubiin 6. Kila kwenye mubiin anatia dua, ila kwenye mubiin moja kaacha kutia dua
Mwenyezi Mgu atupee shifaa na atufanyie wepesi kwa kila jambo la kheir tutakalo amilia kulifanya,na wewe Mwenyezi Mgu azidi kukupa uzima na umri mrefu kwa kutupa faida kwa kila jambo la kheir,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Shariff Yusuf
Masha Allah Sheikh this supplication/Dua super powerfully special when we listen wearing headphones 🎧..We truly appreciate Sheikh Barak Allah Fik and May Almighty Allah grant you Tranquility and long life including your fans Ameen yarab
Alhamdulillah Sheikh nimeanza kuisikiza kulingana na maagizo na kwa hakika nimeoona tofauti kubwa ndani ya hizi siku saba .Allah ajua Zaidi tuzo na taji la kukuvisha InshaAllah
Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤
Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina
9
Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia UA-cam nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake
Kwa hakika na mm leo nitalala inshallah Mungu yupo nami
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema
Amin inshallah kwa uwezo wake Allah
Eweee muumba wangu naomba ukaniponye maradhi niliyo nayo na ukanifungulie milango ya kheri. Aamin Aamin
Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo
yarab niepushe na maradh yarab nipe afya njema kupitia kisomo hiki yarab
Kwa Kupitia Dua hii Allah Atusaidie Ummat Muhammad Pamoja Na Ndugu zetu walio Tutangulia🙏
😘
Amiin ya rabby
Mashallah Molla anijalie nami niwe muislam ...
Amin!! Inshallah!!
Usichelewe mungu kesha kuchagua uwe muislamu
Karibu mpenz
Asanteee
Inshallah afanye wepes
Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."
Allah awaweke mashehe wetu
Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍
Aamin
@@musamgonda3910 she
@@timamahmud942 ?
Amiin
Amina
Inshaallah Mwenyezi Mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo na ukanifungulie milango ya kheri, Inshaallah
P⁰
Amin yaraab
Amiin ya rabby
Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki.
Ameen
Sacr@v😅😅😅😅
A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali
Mashallah
Mashaallah
Mashallah shekhe sharif mungu akupe umri mrefu na siha kwa dua yako nzuri mashallah
Kwa kupitia dua hii mungu aniepushie mabaya yote na aniepushie na husuda za walimwengu maisha ni mwangu
Alhamdulillah cCheikh wetu Mungu akujalie , akuongezee umri , afya njema na barka zote
Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;
Amin yaraab
Amiin ya rabby
Yarabi M/MUNGU tuepushe na husda za walimwengu kupitia dua hiii nakuomba ya allah mpatie shekhe uyu kila kilicho chema hapa duniani kesho aelah
Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe
Inshaallah
Amiin
Amin yaraab
Shekhe unatupa duwaa nzuri mungu akujaalie afya njema shekhe yussuf
Yallabi kwadua hii niondolee khofu katika nyoyo yangu niwe yakuwa nawasiwas sn naomba uniondoree maradhi niliyokuwa nayo yalabi mimi simkamirifu nisamehe pale nilipokosea wewe ndio mjuzi wayote na mtekerezaj niwew amiin
Assalam alaykum mm nilikua zaid yko alhmdullah naskiliza nikiwa nipo tohara natulia kwenye msala alhmdullah nipo swa leo ya tatu.
Hii shida hata mm naipitia
Allahuma amiini.....kwa kisumu hiki kinisaidie.....kwa maisha yangu...na kizazi changu...
Amin inshallah kwa sote kipenz
Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin
Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.
Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Amiin ya rabby
Jazakalahu heri Allah akupe pepo yadunia nakesho ahera ameeen
Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢
Namuomba mungu anifanyie kila wepesi kopitia kisomo hiki changamoto zote mbaya ninazopitia mungu aniponye nakunibarik aaamin. Ubarkiwe Sheikh
Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba ukaniondolee mabalaa yote nuksi mawazo machafu kwenye moyo wangu ukaniponye maradh ya mwili wangu ukanifanyie wepesi kwa kila jambo IshaaAllah Amin
Shukran Sana shekh walai nimeumwa na mkono miaka miwili nimefatilia duwa hii kwa siku mbili naendelea vzr Mola akulipe inshallah
Asalam aleikum warhamtillahi wabarakat,shukran sheikh,inshallwa mungu akujaze kila la kheri,na Allah atukinge na wachawi na mahasid yarab..
Inshallah sheh duana takhabballii ❤
Allah akupe kheri za dunia na Akhera na akuepushie kila mabalaa inshallah ,naamin Allah atanisaidia kupitia kisomo hiki inshallah
mwenyezi mungu nisaidie nilinde uniondole maovu mimi na familia yangu unifungulie rizq
Mungu asaidiee yarabi❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭😭😭
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
Maashaallah shekh Allah akufanyie wepesi Kila Jambo na akulinde na Shari zote🙏
A.alykum sheikh Masha allah mungu a tupe wepesi kwa kilajambo
Shekh nataka kujuwa duwa ya kusomea maji kwa ajili ya mtu anaesumbuliwa na shetan
Yaa rabbi tuhifadhi na Kila baya la dunia kupitia dua hii...aaamiin
amin.. mungu akubariki inshallah!!!
Allah akulinde na akuzidishie elimu zaidi uzidi kutusaidia,Shukrani sana sheikh
Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah
Ameena Yarrabi ' allameen
Shukrran sheikh Yussuf Allah akupe kheri na barka na afya na umuri i'nsha Allah
Allah atufanyie wepes mashallah nimeianza leo na mm
Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen
MashaAllah wal alhamdulilah kwa kisomo hiki Allah akujalie kla lenye kheir nawe InshaAllah👌👌👌💕❤💓💞
Shukran sana usdhadh.Allah akulipe mazuri hapa duniani na akhera
AMIIN AMIIN
Assalam Alaikum
Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji
Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲
Amiin
Kupitia kisomo hiki allah nionyeshe njia nipe mwisho mwema 🙏 ya Allah♥️
Mashallah,Allah Akbar inshallah kwa barka n utukutu na nguvu ya kisomo hiki maneno hay matukufu ya Allah subhanallah wataal namuomba Allah aniondoshee ili jambo lililojificha kwenye Moyo wangu na Akili yangu linavuruga Akili yangu linanikosesha Raha Allah analijua anifanyie wepesi Mola wangu Amin 🤲
Maa shaa Allah shukraan sana tuko pamoja in shaa Allah
Allhamdulilah Mwenyezi Mungu akupe kila hitaji akuepushe na mabaya tumetibika
Yah Allah nifanyie wepesi katika kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu niponye hii Hali nilikua nayo ewe mungu nisaidie
Masha allahh najifunza kitu katika maisha yangu jazaq wahu kheir Allah atakulipa kwa jambo jema
Mwenyezi Mungu naomba uniepushe na majini wote na uniondolee vifungo vya aina zote
Mashaallah shukran sana..Allah akuzidishie..kheri.
Shukran sheikh Allah akupe umri Mrefu, duniani uzindi kulingania ummah.
Mashallah mwenyenzimungu akufanyie wepesi ktk mtihani ya dunia
mashallah mungu akulipe sheikh sharif yusuf!! mungu akupe maisha marefu ili uendelee kutibu watu inshallah!! na akujaalie uwe miongoni mwa waja wema na akupe pepo inshallah!!
Amiin ya Rabbil Allamin
@@زينببنتسعيد-د9ح amin inshallah
Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi
Amina
Allahumma ameen
Amiin ❤
Amiin
Kupitia kisomo iki mungu nionyeshe njia nipe mwisho mwema 🙏🏼♥️
𝑎𝑚𝑚𝑒𝑒𝑛
@@kimolohammy3887 kwa sote
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
Bismillahir rahmanir rahim.
وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ
Ve kul rabbi euzu bike min hemezatiş şeyatin.
وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحْضُرُونِ
Ve euzu bike rabbi en yahdurun.
Masha Allah tabaraka Allah Allah akupe kila la kheri shukurani sheikh
Mashallah mashallh shukran kwa nguvu za mungu yatuondokee mana sisi wengine tunateseka na mungu akuzidishie imani ya moyo inshaallh from kenya
Salam aleikum warahmatullah wabarakatah, na mimi na anza kusikiliza roukiya hiyi na amini Allah na kubali bila chaka kama Coran ni chiffa, Allah atu ondoleye chari na fitna ya wa binadam na ma jini mimi lewo mwaka tano malade na nikapoteza yote kazi sina pesa akuna tena ata wakini zawadiye hayi nifayidiye nazulumiwa na kilakitu kila mutu na warafiki yote wamenitoka alhamdililah na mu chukuru ni mitihani nimekubali amri ya Allah na kwa nguvu yake ichallah ye joo yuko na wezo yaku ni ondoleya matatizo ata wa toto awapate za kuchunga wenye wanatumika. Yengine niko nabo apa akuna kazi umoja anaswali sana me anakuywa siku mojamoja paka analewa,wakwaza ame achika 15ans paka mimba ametoka nayo fille anakuwa musichana, na ye garçon wake anayiba aki ona tu franga wanachukuwa nachoka sana ,na tengemeya sana kwa mungu na aya za Coran, na duwa ya nabi ayub jo natumikicha nazingine mingi tena,na wewe ilmu enye Allah amekupa Naku omba uni fatiliye kunitunza na famille yangu, résidence yangu abidjan.unisamehe ndungu ni msg ya kutuma kwa SHEIKH SHARIF YUSUF, ika enda ku jubu zako, atafazali umutumiye nimechinda ku modifie
Assalam alaikum a
Allhamdullillahi Allah atuondoshe matatizo mi na family yangu nawaislam wote amiin
Aslm.alkm my brother shukran.ilayka allaaah. Ebarik.feeky sheik.sharif.yusuf
Kupitia kisomo hiki mungu anijalie aniepushe na wachaw na majin na anipe kheri na hitaji lamoyo wang yarabby
Naomba mungu aniodolee mamjini yanayo nipa mangonjwa ata Sina amani Amen
Ahsante sana kwa kisomo chenye nguvu sana. Jazaka llahu khair
yarrab baraka zako na utukufu wako nijalie kisomo kiwe dawa kwang kiwe ndo kisomo cha kuniondolea mattz yot nilonayo na kiwe ufunguzi wa kheri kwang amin yarrab yaan nakiskiliz machozi yananitoka
tatizo pengine ni nini dadangu?
Allah awaongoze duniani na akhera awakinge na shari ya mahasd wa kijini na kibinadam inshallaah.
Masha Allah... Allah bless you Maana umetusaidia Sna
Tukitaka kukuona ustadh yawezekana
Mashaallah shukrani sana mwenyezi mungu akulipeni pepo kwahaya mema .mnayofanya
Manshaallah Tabarak'Rahman shukran jazzillah sheikh wetu kwa visomo mbal mbal Allah akujaze kheir na baraka?
Asalaam aleykum shekh tunashukuru mungu akulinde na maadui na hasada akupe umri mrefu yaaraab shukraan
Jazalallahu khairy. Inshaallah Rabby zidinan Elman Warzuquna fahama
MashaAllah Allah akuzidishie dua nizuri sana jaza yako iko kwa Allah
Shukran Shekh kwa msaada wako Allah akupe mema ya hapa duniani na Akhera.
Amiin
Amina mungu atuonfosheye maradhi kwa sote ishaala🙏🙏🙏
Allahumma Baraka llahu fihy.. Jazzakallahu khair
Mashallah mashallah mashallah mashallah Allah akuzidishie kher dunia wafiri akhera
SHAREEF... MashaAllah! MashaAllah! Tafadhali naomba ukirudie kisomo hiki kwani kuna kituo kimoja katika vituo ''MUBIIN'' uliruka bila du'a katikati yake. kama sikosei MUBIIN YA 4 AU YA TANO... Shukran, mie nasaidika na hiki kisomo ALHAMDULILLAHI..JAZAAKALLAHU KHEIR....
Assalam Aleiykum. Naomba unifahamishe MUBIIN ni nn mm ni nislimu mwaka jana
@@karimasalahudeen334 mubiin ni part ya sentence mwenye hiyo sura. Surah inaitwa yasin. Ina mubiin 6. Kila kwenye mubiin anatia dua, ila kwenye mubiin moja kaacha kutia dua
Ukamilifu niwa mwenyeezi mungu
Mashaa Allah Shukuran sana Shekhe Wetu Kwa Kisomo Hiki Wallah Tangu Nianze Kukusikiliza Allahamdulillih Nimepata Afueni Mungu Akubaliki sana
Masha Allah jazaka Allahu kheyran sheikh wetu Allah ajalie umri
mashallh dua nzuri mungu akupe uzima na afya ostazi wetu
Masha Allah
Kwa kweli shekh jini mahaba linanitesa sana
Nisikilize kwa muda gani
MOLLA wangu nakushukuru kwanafasi hii niliyopata yakusikiliza hhi DUA, kwarehema zako nihurumie, unitakase uniondolee vifungo na kila vikwazo ktk milango yangu yote. Aminn🙏🏻
Mashallah mashallah mwenyewe zimungu akubariki asant kwa dua nzuri na amina Allah atafanya wepesi nitaondokewa na maladhi yanayo nisumbua
Ila ustadhi kila nikisikiliza hiki kisomo lazima nijisikie vabaya pia saingine natapika
❤❤❤❤inshaallaah ostaz mungu akuzidishie kherii na umuri mrefu uwaombe navizazi vyetu inshaallah
Allah akupe afyah ameen yarrab
MashaAllah shukran shekhe🙏🙏🙏🙏🙏🙏Allah akulipeee inshaAllah
Shukran shekhe sharifu najihisi mwenywe Amani mwepesi kila ninapo fuata na kusikiza dua zako Mola akujaalie kwakila Jambo lako inshallah
Shukrun san Allah akulipe mema duniyani wa fliy Aheraaa
Mwenyezi Mgu atupee shifaa na atufanyie wepesi kwa kila jambo la kheir tutakalo amilia kulifanya,na wewe Mwenyezi Mgu azidi kukupa uzima na umri mrefu kwa kutupa faida kwa kila jambo la kheir,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Shariff Yusuf
amin.. inshallah!!
@@habibujamali5746 amiin ya Rabb
Waaleykumslm,shukran shekh wetu Allah akulinde na akuepushe na mabalaa Allah akupe maisha marefu yakupendeza apa duniani nakesho Akhera ameen Rabby❤❤❤
Mashaallah allah akubarik..
masha allah my allah s.w garnt u in janatul firdows amiiiin allahuma amiiin jazakalahu qeyran jazaa m.a
Laaila haila Mohammed rousolu Allah atuondoshee mitihan na awe kinga bora kwetu Ameeen ameeen inshaaAllah
Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu
MashaAllah Allahuma Barik🤲🤲🤲
JazakaAllahu kheir
Kiukweli nashukuru can shekhe SHARIF dua zako zimenisaidia can wallah Allah akupe mwisho mwema inshallah 🙏🙏
Allah atufanyie wepesi kila la kheri shekhe wetu amiin akuulinde na fitna na husda za walimwengu amiin amijna
Masha Allah Sheikh this supplication/Dua super powerfully special when we listen wearing headphones 🎧..We truly appreciate Sheikh Barak Allah Fik and May Almighty Allah grant you Tranquility and long life including your fans Ameen yarab
Mwenyezi mungu atakulipa shekhe inshaalhah
Alhamdulillah Sheikh nimeanza kuisikiza kulingana na maagizo na kwa hakika nimeoona tofauti kubwa ndani ya hizi siku saba .Allah ajua Zaidi tuzo na taji la kukuvisha InshaAllah
Shukran jazakillah khairan Sheikh sharif yusuf
@@mariammwachiroho4464 vVqq v
Mimi naitwa hija nimkenya naomba usaidizi
Asante sanna allah atakulipa Firdaus ishalah
Yarabii,tufungue,vifungo hivivya majni mabaya nahawa,mahaba,nahusda nawachawi wanao chezeawatu,Allah tupewepesi,Amin,Allah awape kilalakheri,,Amin♥️♥️♥️♥️💯
Allah kupiatia kisomo hiki naomba uniondoshee matitazo kwenye mwili wangu na watoto wangu wazazi wangu tuwe hofu ya mungu
Mashallah Allah akujazie nshallah
Subkhallakh subkhallakh yarrab yarrab mzidishie elim sheikh wetu ameen