JINSI MTOTO WA DAWA ANAVYOPATIKANA,INATISHA!-SHEHE OMARY MNYESHANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2019
  • Ni mwanzo wa semina ya mtumishi wa Mungu shehe Omary,ambaye kwenye video hii yupo katika kansa la ufufuo na uzima-Tabora.Somo ni mtoto wa dawa na jinsi anavyopatikana,endelea kufatilia nina hakika utabarikiwa.

КОМЕНТАРІ • 127

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 роки тому +2

    Damu ya Yesu itusaidie,Asante kwa ushuhuda huu nmebarikiwa saaana 🙏🙏

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 4 роки тому +4

    Atukuzwe Mungu wangu kwakuwa mganga hajawahi kugusa mwili wangu

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 2 роки тому +1

    Yesu mwana wa Mungu uturehemu wanawake na vizazi vyetu

  • @babumrisha
    @babumrisha Місяць тому +1

    kuna kitu nimejifunza, kumbe ili jini litokee linahitaji maandalizi sahihi, hio inamaanisha ili Mungu wa kweli akutembelee unahitaji kumfanyia maandalizi sahihi.

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 4 роки тому +5

    Duuuh!!!! Ni kweli kabisa nilishachanjwa ivo ivo

  • @erickykifaru1923
    @erickykifaru1923 Рік тому +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 роки тому

    Thanks for uploading

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 роки тому

    Ubarikiwe mtumishi kweli wengi wanawatoto walio wapata kwa njia hii kweli sio watoto harali ni vipepo vya kimajini

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 4 роки тому +2

    Nasubiri mwendelezo 🙏🙏🙏

  • @zlfamz3540
    @zlfamz3540 3 роки тому +1

    Kwa mungu kuna raha sana

  • @joycehojes8331
    @joycehojes8331 4 роки тому

    Mungu akubariki sana

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 4 роки тому +1

    Mungu anilinde

  • @devothabishagazi2311
    @devothabishagazi2311 4 роки тому +2

    Huyu shehe ana madini mengi,Jacktan mshauri aandike vitabu na atoe DVD na CD

  • @tulialembao6718
    @tulialembao6718 3 роки тому +1

    Sarawa

  • @feristerkumbuka1837
    @feristerkumbuka1837 4 роки тому +1

    MUNGU atusaidie sana

  • @faridashaban8853
    @faridashaban8853 4 роки тому

    Amina

  • @chamwinoduka7446
    @chamwinoduka7446 4 роки тому +3

    huyu anawafndxha ili tucpende kwnda kwa waganga maan anatuelimisha ili tujue huko hakufai

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 4 роки тому +2

    Mmmh nasikiliza Lakin naogop!

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 Рік тому

    Yesu anatupenda

  • @EngLex-vo7te
    @EngLex-vo7te 6 місяців тому +1

    Hivyo ndivyo wale malaika waasi walivyozaa na binadamu

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 роки тому

    Mungu tutetee na hawa watu wabaya,tulinde na utupe imani.

  • @mwimbajinamwalimujaphetgeo1718
    @mwimbajinamwalimujaphetgeo1718 4 роки тому +1

    Ushuhuda NI JINSI gani aliokoka, tafuteni clip ya kwanza zimo himuhumu ndani.

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 Рік тому +1

    Mahali ambapo biblia haitumiki hapo ukriasto HAUPO ....na aina hii ya wafuasi hawatakuwa waislamu wala wakristo bali waganga wa JADI....sasa wanaobarikiwa ,nn kinawabariki...

  • @fadhili2293
    @fadhili2293 4 роки тому +2

    Hayo mambo hata uislam hauyakubali, Sema ulikuwa mchawi tu na sio sahihi kuweka uislam kundi moja na uchawi.

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 4 роки тому

      Unacho kiongea umekifanyia uchunguzi usije sema kitu usichokijua mbona sisi tunajua kama usitake ushirikiane toa vitabu hivi kitabu cha majini sura ya 72 na albadili pia itoe usipovitoa hivyo lazima uislamu usalimike maana hawawezi majini wakawa waislamu na waislamu wasiwe wachawi maana wanashirikiana na majini

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 2 роки тому

      @@lusekelomwinsasu318 Ww ndoo hauna Elimu na hata uelewa hauna!

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 4 роки тому +1

    Hakika shetani anajua kutuchezea kweli.

  • @yustakipenyakipenya9117
    @yustakipenyakipenya9117 4 роки тому

    Binam yangu alienda kwa mganga akaambiwa aoge maji yanayotembea yaani aogee hapohapo anunue sufulia mpya na hela ya sarafu aviache kwenye maji nilimsindikiza mtoni je kunamadhara naweza kuyapata mimi niliyemsindkiza kuoga japo sikujua anatatzo gani mpaka kwenda kwa mganga

    • @festokapela4833
      @festokapela4833 4 роки тому +1

      tatizo lipo maana umeshiriki kumsindikza. soma hesabu 25:1-7

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 4 роки тому +1

    Kanisani siku hizi mnafundishwa uganga tena!!!

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 роки тому

      Hii miaka ndo Injili,kila anayeokoka toka uchawi anakuja kutoa sera zake

  • @benwater4957
    @benwater4957 4 роки тому +1

    Balaa duniani 😣

  • @daudmaikomwakapoma213
    @daudmaikomwakapoma213 4 роки тому +5

    Huyu mtu nimemfuatilia saana lakini hajawahi sema sababu iliyompelekea KUOKOKA
    Naomba siku nijue kutoka kwake

    • @tumainigeofrey9702
      @tumainigeofrey9702 4 роки тому

      sababu ni ya nini? kwani amekosea?

    • @reubenbusanji2904
      @reubenbusanji2904 4 роки тому +1

      Ukiifahamu kweli itakuweka huru. Alipoifahamu kweli akaokoka.

    • @mbithejustus246
      @mbithejustus246 4 роки тому +6

      Alisema, walienda kufanya ushindani wa uchawi, lakini jina la Yesu ikitajwa, hanapata shida sana, (angalia video ya ufufuo na uzima kwa UA-cam) utapata ushuhuda wake

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 роки тому +1

      Tafuta ktk account ya gwajma utamuelewa kipindi iko yupo kijana mdogo

    • @alexdalali4599
      @alexdalali4599 4 роки тому

      @@tumainigeofrey9702 ua-cam.com/video/FCeZjpGzBsA/v-deo.html

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka4319 4 роки тому

    Mimi nashangaa mtu eti anajivunia kuwa muislamu kwa kweli shetani kajipatia

  • @emanuelmathew3067
    @emanuelmathew3067 4 роки тому +3

    Ama kweli waisilam wanatakiwa waokoke, Duuu! Kumbe dua same time wanaitaga majin

    • @allyawadh8492
      @allyawadh8492 4 роки тому +3

      Sasa kama mafundisho yenyewe ndio hayo ya kichawi hatagwi mungu hata kidogo kweli kuna mwislamu yoyote atatamani kuwa mkristo kweli? kwasababu ninachokiona hapo huyo jamaa anachofundisha ni uchawi tu lkn kwa upande wa wakristo wanaona huyo jamaa kazungumza mambo makubwa sana harafu nyie wakisto mnaonekana mnaabudu sana mambo ya kichawi kila unayemskia hata wale wanaejiita mitume na manabii feki ni mambo yanayohusiana na mambo ya majini mambo ya kichawi mnaonekana wakristo wengi mnamatatizo ya mashetani nahawa jamaa wamejua kusoma nyakati hizi tulionazo ndomana kila. mkristo anatoa mapepo wanamafuta ya upako maji ya baraka wanatoa utajiri tena walivyo waongo wanasema mambo hayo wanayafanya kwanguvu ya yesu kumbe wanaingia maagano na mikataba ya shetani yaani wanakwenda kununua uchawi kwagrama yoyote harafu anafungua kanisa baada muda mfupi tu utamuona kashakuwa tajiri, yaani wakristo mnatapeliwa sana bila ya kujijua kwa sababu ya tamaa.

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 3 роки тому

      Sio kweli huo ni uzushi musijue ukweli fanya utafiti wako binafsi utajua ukweli wacha kuskiza hawa wezi

    • @gladnesssidiu4922
      @gladnesssidiu4922 3 роки тому +2

      @@allyawadh8492 Vita vyetu si vya damu wala nyama
      Tumepewa jukumu la kupigana na hila za shetani kwahiyo uchawi na uganga ni moja ya hila za shetani ndo maana tunapigana nazo
      Waislamu ndo wengi wamevamiwa na hizi mambo na mnaona sawa tu

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan 3 роки тому

      Uyo hana ushekhe wowote arikuwa mchawi kachaa sasa kamuwa atafute kiki aongope yeye shekhe kaokoka hajuwi haya atamoja hapo alipo shekhe gani huyo mchawituu acha awatapeli wakirisoto wasilamu hawaburuzw wange mpiga maswali tena yatoki kwenye kitabu

    • @gressjoseph5615
      @gressjoseph5615 3 роки тому

      @@MishiPapalan haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anajua zote hizo aya sema ujamfatilia toka mwanzo

  • @richardkaogo3433
    @richardkaogo3433 4 роки тому +1

    Alikutana na nn mbaka anaokoka?

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 4 роки тому +3

    Haya mafundisho yanamsaada gani kwa washirika.

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 4 роки тому +2

      Ndo ushangae badala afundishe neno la Mungu anafundisha mbinu wanazotumia waganga,anapromote uchawi

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 4 роки тому

      @@WinWilly4162 huyu anafundisha uchawi aliokuwa anafanya halafu anafundisha jinsi ya kuepuka na kupiga kwa jina LA Yesu Kristo kama umeshadhurika

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 4 роки тому

      @@WinWilly4162 huyo anacho kiongea kinamaana sana kwa mtu mwenye kutafakari maana kuna watumishi wa Mungu wengi sana wanapenda kwenda huko kwa waganga wa kienyeji ukiwaambia mbona mnaenda huko watumishi wa Mungu utaambia Mungu amesema jisaidie nami nitakusaidia ko siyo dhambi kwenda kwa waganga wa kienyeji ko unafundishwa usiende huko Ahsante sana

    • @estasage5506
      @estasage5506 3 роки тому

      Maneno haya haina maana. I'm extremely disappointed. I can't believe people think this is a testimony.

    • @estasage5506
      @estasage5506 3 роки тому

      Should have stayed with pastor Gwajima in order to grow spiritually and give a quality testimony

  • @estasage5506
    @estasage5506 3 роки тому +1

    Mtumishi went to unnecessary details za kuchanja instead of going straight to the point. May be he needs a mentor to explain how to give testimonies. Should have just summarize of how getting a child from witch doctors is evil, a hassle and a mistake. But all the details are not a part of a spiritual. breakthrough.

  • @samhuyunimsaniiharuna7499
    @samhuyunimsaniiharuna7499 4 роки тому +2

    Huyu. Ni. Msanii anaongopa. Kua. Yeye shee. Ili wakristo wamuamini.

  • @maryammaryam5789
    @maryammaryam5789 4 роки тому +2

    Jacktan tunaomba Nmber za shehe

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому

      0755 025 821

    • @leonardkadete6603
      @leonardkadete6603 4 роки тому +1

      @@PromovertvTz nitumie namba za huyo mtumish kwa kwenye namba zangu hizi 0687292762

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому

      @@leonardkadete6603 0755025821

  • @adamgobega1946
    @adamgobega1946 4 роки тому

    Kweli mola atupiganie

  • @chumachadollar5917
    @chumachadollar5917 4 роки тому

    Jitahidi uwe naweka number maana video zinachanganya

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 роки тому

    Huyu Bado hajaacha kabisa,Msibweteke Wakristo,

  • @lightm2225
    @lightm2225 4 роки тому +3

    Tunamba ushuhuda kwaza na. Atumie bibilia kufundisha nahilokanisa likowapi

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 4 роки тому

    innalillahi wa innalillahi rajiun

  • @irenemangoina7848
    @irenemangoina7848 4 роки тому +2

    Makubwa

  • @magdalenamatiko9995
    @magdalenamatiko9995 4 роки тому +1

    Huyu in sheikh omari alietoa ushuhuda kwa Gwajima miala hy io au

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому

      ndiye

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 3 роки тому

      Huyu c sheikh ni mganga

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 роки тому

      @@shaloboy3861 alikuwa shekh na mganga wengi ni wale wale maana Dini inaruhusu haimtengi akiwa mganga au mchawi na hasa mchukia Mkristo

  • @chancelinechuchu7333
    @chancelinechuchu7333 4 роки тому +4

    nivizur mtupe ushuhuda wake kusema aokoke

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому +1

      Ushuhuda utakuja

    • @susynjambi
      @susynjambi 4 роки тому +1

      @@PromovertvTz ndio tunangoja.ungetupea hio kwanza ndio tuelewe kule ametoka

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому +1

      @@susynjambi Haya mafundisho yamejitegemea kabisa hayahusiani ya ushuhuda wake japo kuna kufanana.

  • @sosom14
    @sosom14 4 роки тому +2

    Twambiyeni alivo okoka please

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому +1

      Subiri ushuhuda wake

    • @hairesellasie1667
      @hairesellasie1667 4 роки тому

      @@PromovertvTz Kaka umeshaupload ushuhuda wake?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому

      @@hairesellasie1667 bado

    • @hairesellasie1667
      @hairesellasie1667 4 роки тому

      @@PromovertvTz nashukuru kaka, pia ilikuwa vizuri kama ungekuwa unazipa shuhuda namba ili kuturahisishia kujua mpangilio wake, Mungu akubariki na kukufungulia milango kwa kuifanya kazi yake, Amen.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому

      @@hairesellasie1667 Shuhuda zote zina namba,angalia kupitia playlists ndo utapata mtiririko mzuri

  • @khamisrajab6663
    @khamisrajab6663 4 роки тому

    Futa jina shekhe

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 4 роки тому +2

    Kumbe wewe umeokoka? sijaelewa!!!

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому +1

    Shehe mnyeshani kumbe una kanisa yako

  • @annamaryladislaus6377
    @annamaryladislaus6377 4 роки тому +1

    Uyu mi ata simuamini niporojo tu ajui ata kutumia bibilia uyu

    • @Baba-JJ
      @Baba-JJ 4 роки тому +1

      Anajua ila nafikiri anachokielezea hapo hakina au kina nukuu chache sana kwenye biblia. Mfuatilie vizuri kwenye ushuhuda wake. Ameokoka siku nyingi sana nafikiri zaidi ya miaka kumi iliyopita na anafanya huduma.

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 4 роки тому +1

      Usitake umuelewe kilazima maana kuna watu hawatamwelewa na kuna wengine watamwelewa atakaye muelewa atajifunza mengi sana na kuanzia hapo atasimama na Mungu kisawasawa Mimi nitakuibia kidogo maana yake acha kumtegemea mganga wa kienyeji maana mganga hana msaada wowote kwako mnadanganywa na waganga bali mtegemee Mungu tu huyo ndo yote Katina yote Ahsante kwa yote Mungu awe anakupa ufahamu wa kuyaelewa maneno kama anavyo kupa ufahamu WA kusoma biblia na kuielewa mistari yake

    • @annamaryladislaus6377
      @annamaryladislaus6377 4 роки тому

      Atakama alikuwa anaabudu na gwajima gwajima mwenyewe anamapungufu yake sio malaika adi akamilike hivo hivo uwezi jua yaliyo mpaka yeye aliyeko sirini mungu mwenyezi ndiye anamajibu yote ya maswali yetu

    • @estasage5506
      @estasage5506 3 роки тому

      @@Baba-JJ Kweli. Anazungumziya details hazihitajike wakati za kutowa ushuhuda. Ndiyo mana maombi ni ya lazma kabla ya ushuhuda

    • @estasage5506
      @estasage5506 3 роки тому

      @@annamaryladislaus6377 Gwajima wetu ni muombaji

  • @frauleinbergerjaneaika4872
    @frauleinbergerjaneaika4872 4 роки тому

    Halijuaje yote ayaaaaaaaa? Eh!

    • @marykibwana9413
      @marykibwana9413 4 роки тому +1

      Alitoa Ushuhuda kwa Askofu Gwajima search shehe Omary kwa Gwajima " UA-cam"

    • @briansancedo9336
      @briansancedo9336 3 роки тому

      Nenda you Tube Andika Ostadhi Omary utajua jinsi alivyo okoka maka sasa

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 4 роки тому +2

    Nashangaa shetani ni mchafu.... Very disgusting.. Haya Maisha bila yesu unarisk tu

    • @abdullatifshambe280
      @abdullatifshambe280 4 роки тому

      Without holiness no one can see God ZION DAUGHTER hivi na akili yenu mganga wa kienyeji mnamwita shehe huyu ni mshirikina tu na uislamu unafundisha kila mshirikina makazi yake motoni

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 3 роки тому

    Sasa ndio mnaabudu hapo mana kanisani hahahaaaaa au kilingeni hapo