MIKATABA YA MOTO YA KICHAWI | UNAINGIA KWA LAZIMA NA HUWEZI KUJITOA-SHEHE OMARY MNYESHANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 жов 2019
  • Mhubiri Shehe Umari bado anaendelea na semina katika kanisa la ufufuo,na sasa ameanza somo kwa jina 'Mikataba ya Moto'

КОМЕНТАРІ • 71

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 роки тому +2

    Hakuna faida kwa shetani,jameni tusimameni imara ktk Bwana wetu Yesu kristo ndiye tu njia ya uzima wa milele

  • @danielmatemu9698
    @danielmatemu9698 Рік тому +1

    Mtu aliyekuwa sio Mkristo (kwa mfano muislam), akija kumjua Kristo, anakuwa na imani sana kuliko sisi wakristo tulio wengi. Sheikh Omary ni mfano mmoja mzuri sana. Mungu azidi kumbariki

  • @sospetermasanja3224
    @sospetermasanja3224 4 роки тому +9

    Kila mamlaka ina amri zake huyu jamaa Mungu anampenda sana!

  • @jubethraphael9909
    @jubethraphael9909 4 роки тому +4

    Jacktan hongera kwa kazi ya mungu unayoifanya mungu akusaidie shuhuda zako zinaelimisha Sana

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 3 роки тому +3

    Jina la mwokozi wa ulimwengu wote Yesu au Mungu wa miungu yote ni Makosa kuandika kwa kuanza na herufi ndogo, tafadhali sana ndgzngn hili ni jambo la kulizingatia daima.

    • @fanuelmpakele9280
      @fanuelmpakele9280 2 роки тому

      Yesu anajulikana vzr kupitia sh Omar anaelekeza,anafundisha,anashuhudia ubaya wa shetan km kuna yoyote asiyeelewa kuwa Yesu ni Bwana bc ni ujeur wake.asante sn Omar

    • @fanuelmpakele9280
      @fanuelmpakele9280 2 роки тому

      Yesu ni Bwana nimekuelewa askar wa Yesu wa Nazaret,

  • @franciskabila8136
    @franciskabila8136 4 роки тому +3

    Nishasema huwa wanibariki sana mifano yako iko 100% sure

  • @florangido202
    @florangido202 10 місяців тому +1

    Hakuna kinachomshinda yesu
    Ata ukiwa na mkataba wa shetani
    Unaweza kutoka.
    Yesu alisema njooni kwangu note mnaolemewa na Zambi nami nitawapumzisha, Tazama ya kale yamepita na takazama yamekuwa Mapya.
    Wachawi wanasalimisha ndunguli kwa Mwamposa bana.

  • @myself4128
    @myself4128 4 роки тому +3

    Kweli kabisa wakristo tumekuwa wapole sana mpaka tunafanyishwa dhambi....hatuna hofu ya Mungu tena tumekuwa waumini poa poa tuu ili mradi tusiwakwaze watu,tunashinda kwenye mabar na kumbi za starehe eti sababu tuwafurahishe washikaji zetu tusionekane washamba na ndio maaana tunaanguka dhambini kirahisi sana

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 4 роки тому +6

    Daah huyu shehe nimemkubali bwana yesu anampenda sana shehe lete ripoti shetani asitunasi namitego yake ili tusimtende dhambi mwana wa mungu aliyehai ubarikiwe

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 4 роки тому

      Na ataumia kweli! Allah anamsubiri kwa hamu. Kamuacha Mwenyezi Mungu, kaenda kumuabudu Bwana Yesu Makanisani. Na Wakati Bwana Yashua hakuwahi kuwaamrisha watu wamuabudu. Soma Matayo 4:10) hana jipya njaa tu ndio inayomuangaisha. Anafuata nyayo za Ibilis Aley Laana!

    • @noelashaoona
      @noelashaoona 4 роки тому

      Halfani Land subiri we utanguliye alafu uje utu ambie allah au yesu

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 4 роки тому

      @@noelashaoona una maana gani?

    • @noelashaoona
      @noelashaoona 4 роки тому

      Halfani Land ukifa uta jua ukweli kuhusu yesu na allah

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 4 роки тому

      @@noelashaoona Allah ni jina la Mwenyezi Mungu, Qur,an 17:110) Yesu jina la Nabii, Matayo 21:10)

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 Рік тому

    Njoo Mombasa mtumishi utuhudumie na sisi

  • @apostlekepha3328
    @apostlekepha3328 11 місяців тому

    MUNGU akuwezeshe zaidi

  • @mbithejustus246
    @mbithejustus246 4 роки тому +4

    Jina la yesu ni kali mno nikitajwa hio Kuzimu inalipika, kukutishia watu jina la Yesu ni tosha

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 4 роки тому +6

    Somo la Leo nzuri sana... Inabidi watu wasimame imara kwa yesu

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 4 роки тому

      Injili sahihi ya Yesu, kumbe kuna Injili feck ya Paulo. Mbona sasa haweki wazi sasa.

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 4 роки тому

      Halafu kuokoka Duniani hakuna. Huyo Pastor muongo mnafiki. Matayo 10:22) 1 Petro 1:5) Kuokoka kuwa na hakika yakuingia Peponi, tena siku ya Mwisho.

    • @joycenganyule3231
      @joycenganyule3231 4 роки тому

      injili ni habar njema ileyayo wokovu so kama ihubiriwayo iko kinyume na uchaw, majini yote na kila aina ya ushirikina basi itakuwa sahihi

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 4 роки тому

      @@joycenganyule3231 Sister Bwana Mungu awe nawe. Nikuulize swali? Kwanini huwendi kushiriki Ibada Msikitini kama alivyokuwa akienda Yashua? Soma Yohana 18:19)

    • @hairesellasie1667
      @hairesellasie1667 4 роки тому

      @@halfaniland3850 kaka hivi mtume Mohamad SAW ndie mwanzilish wa uislam au?

  • @miriamlotti7297
    @miriamlotti7297 3 роки тому

    Safi Sana Shehe endelea kumwaibisha Shetani

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 4 роки тому +1

    Kwa Yesu kuna raha jamani,Mungu atusaidie tusije kumuacha.shetani ni muongo na baba wa uongo.

  • @maryammaryam5789
    @maryammaryam5789 4 роки тому +2

    Mwendelezo tnasubr

  • @annacheq5272
    @annacheq5272 4 роки тому +2

    Huyo mama analala aka Kae huko nyuma

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 4 роки тому +1

    Big up sana

    • @hahahahabhggniyi9904
      @hahahahabhggniyi9904 4 роки тому

      Huna lolote unaoufundisha2 ww ni uchawi uliyonai sas wadanganye hao ndungu zako wa kanisani wakina ndiyondiyo

  • @neemabwana1062
    @neemabwana1062 4 роки тому +3

    Mtumishi wa Mungu Omary, tuandikie namba yako ya simu

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому +2

      Shehe Omary.0755025821 / 0719356206

    • @neemabwana1062
      @neemabwana1062 4 роки тому +1

      @@PromovertvTz Asante sana mtumishi

  • @luckylucas2125
    @luckylucas2125 4 роки тому +5

    Mbona unajiita sheihk bado badili Jina uwe najina lakikristo

    • @maryammaryam5789
      @maryammaryam5789 4 роки тому +1

      Mhm jaman mungu ni mwema ubarikiwe shakhe

    • @rosemarymwandu6426
      @rosemarymwandu6426 4 роки тому

      Lucky Lucas kabisa

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 4 роки тому

      Nehemia 12:40) Mashekhe walisimama kwenye nyumba ya Mungu wakimuabudu. Hapo ndipo utapata jibu Uislamu umetoka mbali sana! Hata Qur,an bado haijashushwa.

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 4 роки тому

      @@maryammaryam5789 Mi naomba kujua Bwana Yesu ni nani? Mungu au Nabii?

    • @josephinemuhonja743
      @josephinemuhonja743 4 роки тому

      Yesu Kristo ni Mungu @Halfani Land.

  • @chumachadollar5917
    @chumachadollar5917 4 роки тому +1

    Naweza pata number zake za simu?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому

      Shehe Omary. 0755025821 / 0719356206

    • @christineotieno52
      @christineotieno52 4 роки тому

      @@PromovertvTz Naomba number ni +255 au +254

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому

      @@christineotieno52 tazama hapa kupata namba zote ua-cam.com/video/Mh8u1ZTS-XE/v-deo.html code ni +255

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 4 роки тому

    Sheh hajasoma elimu ya kawaida??

    • @myself4128
      @myself4128 4 роки тому +1

      Inahusiana nini na injili?