Mtu aliyekuwa sio Mkristo (kwa mfano muislam), akija kumjua Kristo, anakuwa na imani sana kuliko sisi wakristo tulio wengi. Sheikh Omary ni mfano mmoja mzuri sana. Mungu azidi kumbariki
Jina la mwokozi wa ulimwengu wote Yesu au Mungu wa miungu yote ni Makosa kuandika kwa kuanza na herufi ndogo, tafadhali sana ndgzngn hili ni jambo la kulizingatia daima.
Yesu anajulikana vzr kupitia sh Omar anaelekeza,anafundisha,anashuhudia ubaya wa shetan km kuna yoyote asiyeelewa kuwa Yesu ni Bwana bc ni ujeur wake.asante sn Omar
Hakuna kinachomshinda yesu Ata ukiwa na mkataba wa shetani Unaweza kutoka. Yesu alisema njooni kwangu note mnaolemewa na Zambi nami nitawapumzisha, Tazama ya kale yamepita na takazama yamekuwa Mapya. Wachawi wanasalimisha ndunguli kwa Mwamposa bana.
Kweli kabisa wakristo tumekuwa wapole sana mpaka tunafanyishwa dhambi....hatuna hofu ya Mungu tena tumekuwa waumini poa poa tuu ili mradi tusiwakwaze watu,tunashinda kwenye mabar na kumbi za starehe eti sababu tuwafurahishe washikaji zetu tusionekane washamba na ndio maaana tunaanguka dhambini kirahisi sana
Daah huyu shehe nimemkubali bwana yesu anampenda sana shehe lete ripoti shetani asitunasi namitego yake ili tusimtende dhambi mwana wa mungu aliyehai ubarikiwe
Na ataumia kweli! Allah anamsubiri kwa hamu. Kamuacha Mwenyezi Mungu, kaenda kumuabudu Bwana Yesu Makanisani. Na Wakati Bwana Yashua hakuwahi kuwaamrisha watu wamuabudu. Soma Matayo 4:10) hana jipya njaa tu ndio inayomuangaisha. Anafuata nyayo za Ibilis Aley Laana!
Nehemia 12:40) Mashekhe walisimama kwenye nyumba ya Mungu wakimuabudu. Hapo ndipo utapata jibu Uislamu umetoka mbali sana! Hata Qur,an bado haijashushwa.
Hakuna faida kwa shetani,jameni tusimameni imara ktk Bwana wetu Yesu kristo ndiye tu njia ya uzima wa milele
Mtu aliyekuwa sio Mkristo (kwa mfano muislam), akija kumjua Kristo, anakuwa na imani sana kuliko sisi wakristo tulio wengi. Sheikh Omary ni mfano mmoja mzuri sana. Mungu azidi kumbariki
Kila mamlaka ina amri zake huyu jamaa Mungu anampenda sana!
Jacktan hongera kwa kazi ya mungu unayoifanya mungu akusaidie shuhuda zako zinaelimisha Sana
Ameen
Jina la mwokozi wa ulimwengu wote Yesu au Mungu wa miungu yote ni Makosa kuandika kwa kuanza na herufi ndogo, tafadhali sana ndgzngn hili ni jambo la kulizingatia daima.
Yesu anajulikana vzr kupitia sh Omar anaelekeza,anafundisha,anashuhudia ubaya wa shetan km kuna yoyote asiyeelewa kuwa Yesu ni Bwana bc ni ujeur wake.asante sn Omar
Yesu ni Bwana nimekuelewa askar wa Yesu wa Nazaret,
Nishasema huwa wanibariki sana mifano yako iko 100% sure
Hakuna kinachomshinda yesu
Ata ukiwa na mkataba wa shetani
Unaweza kutoka.
Yesu alisema njooni kwangu note mnaolemewa na Zambi nami nitawapumzisha, Tazama ya kale yamepita na takazama yamekuwa Mapya.
Wachawi wanasalimisha ndunguli kwa Mwamposa bana.
Kweli kabisa wakristo tumekuwa wapole sana mpaka tunafanyishwa dhambi....hatuna hofu ya Mungu tena tumekuwa waumini poa poa tuu ili mradi tusiwakwaze watu,tunashinda kwenye mabar na kumbi za starehe eti sababu tuwafurahishe washikaji zetu tusionekane washamba na ndio maaana tunaanguka dhambini kirahisi sana
Daah huyu shehe nimemkubali bwana yesu anampenda sana shehe lete ripoti shetani asitunasi namitego yake ili tusimtende dhambi mwana wa mungu aliyehai ubarikiwe
Na ataumia kweli! Allah anamsubiri kwa hamu. Kamuacha Mwenyezi Mungu, kaenda kumuabudu Bwana Yesu Makanisani. Na Wakati Bwana Yashua hakuwahi kuwaamrisha watu wamuabudu. Soma Matayo 4:10) hana jipya njaa tu ndio inayomuangaisha. Anafuata nyayo za Ibilis Aley Laana!
Halfani Land subiri we utanguliye alafu uje utu ambie allah au yesu
@@noelashaoona una maana gani?
Halfani Land ukifa uta jua ukweli kuhusu yesu na allah
@@noelashaoona Allah ni jina la Mwenyezi Mungu, Qur,an 17:110) Yesu jina la Nabii, Matayo 21:10)
Njoo Mombasa mtumishi utuhudumie na sisi
MUNGU akuwezeshe zaidi
Jina la yesu ni kali mno nikitajwa hio Kuzimu inalipika, kukutishia watu jina la Yesu ni tosha
Somo la Leo nzuri sana... Inabidi watu wasimame imara kwa yesu
Injili sahihi ya Yesu, kumbe kuna Injili feck ya Paulo. Mbona sasa haweki wazi sasa.
Halafu kuokoka Duniani hakuna. Huyo Pastor muongo mnafiki. Matayo 10:22) 1 Petro 1:5) Kuokoka kuwa na hakika yakuingia Peponi, tena siku ya Mwisho.
injili ni habar njema ileyayo wokovu so kama ihubiriwayo iko kinyume na uchaw, majini yote na kila aina ya ushirikina basi itakuwa sahihi
@@joycenganyule3231 Sister Bwana Mungu awe nawe. Nikuulize swali? Kwanini huwendi kushiriki Ibada Msikitini kama alivyokuwa akienda Yashua? Soma Yohana 18:19)
@@halfaniland3850 kaka hivi mtume Mohamad SAW ndie mwanzilish wa uislam au?
Safi Sana Shehe endelea kumwaibisha Shetani
Kwa Yesu kuna raha jamani,Mungu atusaidie tusije kumuacha.shetani ni muongo na baba wa uongo.
Mwendelezo tnasubr
Huyo mama analala aka Kae huko nyuma
Big up sana
Huna lolote unaoufundisha2 ww ni uchawi uliyonai sas wadanganye hao ndungu zako wa kanisani wakina ndiyondiyo
Mtumishi wa Mungu Omary, tuandikie namba yako ya simu
Shehe Omary.0755025821 / 0719356206
@@PromovertvTz Asante sana mtumishi
Mbona unajiita sheihk bado badili Jina uwe najina lakikristo
Mhm jaman mungu ni mwema ubarikiwe shakhe
Lucky Lucas kabisa
Nehemia 12:40) Mashekhe walisimama kwenye nyumba ya Mungu wakimuabudu. Hapo ndipo utapata jibu Uislamu umetoka mbali sana! Hata Qur,an bado haijashushwa.
@@maryammaryam5789 Mi naomba kujua Bwana Yesu ni nani? Mungu au Nabii?
Yesu Kristo ni Mungu @Halfani Land.
Naweza pata number zake za simu?
Shehe Omary. 0755025821 / 0719356206
@@PromovertvTz Naomba number ni +255 au +254
@@christineotieno52 tazama hapa kupata namba zote ua-cam.com/video/Mh8u1ZTS-XE/v-deo.html code ni +255
Sheh hajasoma elimu ya kawaida??
Inahusiana nini na injili?