I’m so grateful to have the grace to hear this truth revelation 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙇🏽♀️🙇🏽♀️🙇🏽♀️ Thank you Lord God almighty in the name of Jesus Christ Amen amen 🔥🔥🔥 God bless you and give you revelation Apostle 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙇🏽♀️🙇🏽♀️👏🏽👏🏽🤗 you are a gift man from God
Shalom and blessing thanks so much apostle mtoto wangu anachekwa ana dharauliwa apostle naomba umuombee mwanangu afunguliwe. Thanks kwa haya mafundisho god bless you apostle mungu azidi kukutumia.
Amen...Ni Mimi mtumishi Ni Mimi nimekusikliza kwa makini mahubiri yako yamenilega Mimi napitia uchungu katika familia yangu tuko kumi kwa mama moja baba moja. Kwenye ukoo Ni Joseph njoroge
Mungu atusamehe kwa kutojua maarifa haya ni kweli kuna wengi tumewapoteza kwa kuona hawafai , asante Mtumishibwa Mungu kwa mafunuo haya Mungu aendelee kukupa mafuo tupone.Mungu turehemu.
Siongei Sana apostle mung azidi kukuongoza kwa huu unabii ulio tumwa kwangu maana unanihusu kiundani zaidi nandio maana nasema siongei Sana nina mengi baba nina mengi itatimia siku yangu nikija kukuona apo ecg church mungu akulinde na mimi anilinde maana bwana ndio mchungaji wetu azidi kutulinda 🙏
Hakika mtumishi tuna kuombembea afianjema Mungu azidikukutumia nawatuwoote wenyemapenzi mema tufunguliwe katika familia zetu,koozetu,mijiyeetu,vijiji vyetu,wilaya,mikoa na hatimae Taifazima balikiwa MTU wa MUNGU
Oooh hallelujah kumbe nimetengwa na Mungu amenikomboa nafunguliwa vifungo walivyonifunga.kwasababu nimebeba hatima ya familia na ndio maana wanapesa Ila hawana furaha wanahangaika sasa
Hivi kwanini kila mtu nabii au ndiyo mwisho wa dunia maana agano lake linasema kutatokea manabii wa uongo naugonjwa usiotibika sasa kweli tunayaona kila mtu nabii na mponyaji
Asante MUNGU kwakutupatia mtumishi huyu mwenye mafundisho mazuri yakutufungua
I’m so grateful to have the grace to hear this truth revelation 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙇🏽♀️🙇🏽♀️🙇🏽♀️ Thank you Lord God almighty in the name of Jesus Christ Amen amen 🔥🔥🔥 God bless you and give you revelation Apostle 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙇🏽♀️🙇🏽♀️👏🏽👏🏽🤗 you are a gift man from God
Uishi myaka mingi apostle Mungu akuinue zaidi katika huduma yako
Amen nabarikiwa mnooo namafundisho yako Apostle
Najiunganisha nami ktk jina la Yesu na mafundisho haya
Nashukuru mungu Kwa kunielekeza hapa,mungu anasababu ya kunichagua,hizi mapepo zitaniachia ili nikauone baraka za familia yangu.
Nimebarikiwa sana asubuhi ya leo KWA ajiri ya hilo neno mpakww mafuta wa Bwana ubarikiwe zaidi ya kubarikiwa
Shalom and blessing thanks so much apostle mtoto wangu anachekwa ana dharauliwa apostle naomba umuombee mwanangu afunguliwe. Thanks kwa haya mafundisho god bless you apostle mungu azidi kukutumia.
Thx Jesus kwakuwatoa ndugu zetu mashimoni🙏
Amen...Ni Mimi mtumishi Ni Mimi nimekusikliza kwa makini mahubiri yako yamenilega Mimi napitia uchungu katika familia yangu tuko kumi kwa mama moja baba moja. Kwenye ukoo Ni Joseph njoroge
Powerful revelation. Barikiwa mtumishi wa Bwana
Amina nimewaleta madhibahuni mtoto wangu valarie vigehi na ndungu wangu Gilbert kabusundu haoi ndiyo yusufu wa kwetu
Amen .Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Mungu atusamehe kwa kutojua maarifa haya ni kweli kuna wengi tumewapoteza kwa kuona hawafai , asante Mtumishibwa Mungu kwa mafunuo haya Mungu aendelee kukupa mafuo tupone.Mungu turehemu.
Amen
Ubarikiwe sana kwakweli,sipati cha kisema nimeguswa,Daudi wetu 🙏🙏🙏
Huyo Daud wenu ! Inatakiwa kwenda kanisani na apate wazazi wa kiroho ili wam link na roho mtakatifu.
Asante mtumishi kwa neno zuri nahisi kufahamu zaidi na zaidi 🙌🙌
Ahsantee Apostle Mtalemwa, hakika nabarikiwa na huduma unayoifanya.
Ameen Apostle kunaktu nimejifunza
Yes yes sir. Very true God bless you apostle
Nashukuru kwa mahubiri yako pastor, God bless you 🙏🙏🙏 amen 🌹🌹🌹🌹🌹
Ahsante pastor kwa huduma yako unatufunulia na unatujengea ufahamu ktk neno
SHALOOM🙋♀️VERY TRUE🙇♀️IT MAKE SENSE🙇♀️KWA KWELI BINAFSI NATAKIWA KUFUNGULIWA😭SI KWA MAPITO NA MATESO HAYA🙌🙌
Love the way you explained everything
Amen, barikiwa mtumishi
Powerful...Thank you Apostle! Be Blessed Always...Amen!
Pray for us dear Apostle. God bless you 🙏
Nimeelewa Mungu Ahsante kwaajiri yamtumishi uyu
With this teaching,God is good
Siongei Sana apostle mung azidi kukuongoza kwa huu unabii ulio tumwa kwangu maana unanihusu kiundani zaidi nandio maana nasema siongei Sana nina mengi baba nina mengi itatimia siku yangu nikija kukuona apo ecg church mungu akulinde na mimi anilinde maana bwana ndio mchungaji wetu azidi kutulinda 🙏
Mungu anirehemu na mm katika maisha yangu yote
Amen,wewe ni msema kweli,kutoka kenya
Hakika mtumishi tuna kuombembea afianjema Mungu azidikukutumia nawatuwoote wenyemapenzi mema tufunguliwe katika familia zetu,koozetu,mijiyeetu,vijiji vyetu,wilaya,mikoa na hatimae Taifazima balikiwa MTU wa MUNGU
Ameeen, ameeen, ameeen watumishi, nimebarikiwa Sana na somo hili.
Aminaaaaaaaaaaa.nimejifunza baba ubarikiwe sanaaa
Asee Apostle
Haya mafundisho ni konki..
Nimekuelewa sana
Barikiwa sana apostle
Hii injili ni yangu,barikiwa mtumishi wa.mungu
Amèeeeeeeeeen. Glory to Almighty God.
Asante yesu kwa kutufungua
Oooh hallelujah kumbe nimetengwa na Mungu amenikomboa nafunguliwa vifungo walivyonifunga.kwasababu nimebeba hatima ya familia na ndio maana wanapesa Ila hawana furaha wanahangaika sasa
Amen waliofungwa wakafunguliwe.
Apostle Mungu akupe Nguvu katika maisha ya Huduma yako
Thanks so much apostle god bless you
Amina! MUNGU akubariki sana kwa kuelimisha WATU wa MUNGU.
Mungu azidi kukupa mafunue maana najivunia kukufam napenda injili unayoubir
Napeta sana mafudisho yako. Inatuba nguvu. Barikiwa sana
Yusufu alikua na Hatima Ya Dunia nzima Maana njaa ilikuepo dunia yote!!!!
Amen! Asante sana
Deliver us from those demons Man of God amen I receive in Jesus powerful name Amen
Amazing grace to God ,break those chains of evilness in our families in the might Name of Jesus Christ. Amen
Asante kwa enlightening
Thank you Apostle 🙏🏿
Am here after the viral video of Muzina...u made my day mtumishi
Naomba mtumishi FARAJA na CAROLINE
afunguliwe. Ubarikiwe sana
Amen nakuelewa vizuri 🔥
I love the message
God bless you.
You have blessed me.
Glory to Jesus Christ in Heaven and Earth. Amen
Amina baba nme barikiwa sana sana
😍😍😍😍mungu akuinue
Amen man of God
Baba baba baba ubarikiwe hakika nimefunguliwa
Amen Mtumishi
Amina mtumishi
Baba nimekuelewa barikiwa sana
Apostle ayo mambo unayo ongea nmekuwa nkiptia plz qwetu iko naopa maobii plz
I'm so so blessed
Naomba unifungulie brother yangu JOASH IDAKWA
Naomb inifungulie mume wangu elvis zacharia
Mungu baba nimewaleta kwako watu wa kwetu Frank Rweyemamu na Wichlaus Baguma
ASANTE BWANA YESU CHRIST 💕🙏
Toka.zanzibar wapooo dady
Wapooo kabisa ata kwetu wapo mtumishi tupone Leo
Sema baba
I receive in Jesus name🙏
Duuuh hii Ni Hatari Sana
Nimeguzwa,maombi kwa kijana wangu,Emmanuel.
Miami nawaweka ndugu zangu madhabauni wafunguliwe katika jina LA Yesu.
Kwangu kaka anaitwa safari,, upande wa babu ni babangu kesi ni yeye kila mwezi hata sasa ako ngerezani, hasikii la mtu
Aristark,Daudi,
My brother Fregustus my sister zipporah Paul mwaniki and my brother in-law musyoka my beatrice
Jamani sisemi kitu Yesu tutembelee ktk familia zetu
Mafundisho mazuri Sana..nafarijika sana
Hakika mungu Ni mkuu
Soor +ombeni Mungu wafungue
AMINA KUBWA AMINA AMINA 🙏🏿
Very true and powerful
Amen.
THIS FULL TRUTH REVELATION
Natamani kila anaekusikiliza akuelewe kama mimi.
Faustine
Amen
Na manabii wengi baadhi yao wanatumia nguvu za giza sana chuma ulete
Somo Tamu zuri
Hivi kwanini kila mtu nabii au ndiyo mwisho wa dunia maana agano lake linasema kutatokea manabii wa uongo naugonjwa usiotibika sasa kweli tunayaona kila mtu nabii na mponyaji
Samweli polly na saraphina saidi
Baadhi yao wengi ni wasaka tonge wanakimbia kubeba zege wanataka kukomba watu sadaka zao maana wamekuwa to much of anything is harmful
amen
Yaani mchungaji umehubiri kweli kabisa ndio maana hatufanikiwi katika familia kisa pepo waliokaa ndani ya ndugu yagu kila tukifanya jambo hayaendi
Amen tuko pamoja Mtalemwa"
Apostle unafundisha hatarii yaaaani unarikiwe na Bwana
kwann hauna kipnd kwenye tv jaman s wakt wote tuna bando napenda san hYa mahubr
Apostle naomba unifungue hata kwa njia ya simu natafuta mawasiliano yako siyapati....
Kweli kabisa
Nakuelewa mtumishi wa jehova hata kwetu wapo