UGOMVI HUU UNA FAIDA GANI KWAKO?
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Katika ujumbe huu Mtumishi wa Mungu Apostle Mtalemwa amesisitiza kuachana na vita na malumbano yasiyokupa faida katika maisha,Jiulize huyo/hao unaopambana nao ukishinda unapata nini?
Mtume anasisitiza kijufunza kwa Daudi aliyedharau vita na kaka yake Eliabu na kuendelea mbele kupigana na Goliath ili apewe thawabu baada ya kumshinda.
Usishau ku-subscribe channel hii na kuwaeleza wengine lakini pia tuma sadaka yako kuchangia huduma hii Aritel Money 0682979585.
Asante.
Tupate wapi tena mtu kama huyu Ambaye Roho wa MUNGU Ana kaa ndani yake,, GOD Bless you,,,,, Apostle Mtalemwa
Nabalikiwa sana naona kiwago chagu cha iman kinaogezeka ubalikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Somo zuri Sana nikufunguliwa tuu masomo yako tuu niufungulivu bila maombi
Nimebarikiwa na hii injili....Mungu Baba akubariki mtumishi wa Mungu...nimeachana nawo
Mungu akubariki sana
Nawapenda sana ECG dar 🔥 kwendraaaaa achana nao asante Chef
Barikiwa xana Mtalemwa Mungu akuongoze daima usirud nyuma"mpnz ya Mungu yatimizwe juu yako
I conect also
Nakuelewa saaaaaana apostle najifunza mengi sana ubarikiwe zaidi
🎉🎉🎉🎉aaaah very powerful explanation apostle God bless u my God my Lord
My God my Lord thenk u Jesus.......!
Hahaha hahahaha hah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Aloooh I love you apostle mwaka huu naoa
Barikiwa sanaaaaaaaaaa pastor Mungu akuzidishe
Nimeelewa sana. Yan barikiwa sana mtumishi.
Mungu akubaliki Sana mtumishi mungu azidi kukutumia kutu elimisha nime pata somo lingine ujuwe unaweza usipate maono mengine kiroho lakin mtumishi anaweza kutumiwa kukujibu pia apostle unatuambiaga ukipata maono ya kiroho usikulupuke kujaji subili utapata majibu na sasa nimepata majibu mengine asnt mungu kumjua huyu apostle sijuti
Mungu akubariki sana KUHANI somo hili la Daudi kutopoza muda. Tumepoteza muda mwingi visivyo nafaida.
Aki neno la mungu nitamu ukiipenda bibilia ni njia zetu za kuvuka na kuhotana mbara
Nimekuelewa mtumishi imenitokea mm asanteh kwa kunifungua
Asante chifu umeniongezea kitu,mimi wananiambiaga nina dharau kumbe nimeona vita ya kijinga haina faida
Nimekuelewa mtumishi
Hallelujah, Eeh Bwana Nipandishe.
Ahsante sana baba mlezi kwa funzo kubwa sana maishani mwetu. Nimebarikiwa. More Blessings and Wisdom my mentor.
That's true apostle am blessed with the message. May almighty God continue bless you with many more word's to teach us. Amen
nimekuelewa mtumishi🙏
Nimekuelewa SanA Mafundisho mazuri SanA ,,,,,,,,, Mungu aendelee kukutumia
Apostle Mutalemwa ubarikiwe 🇺🇸🌹💝🙏
Wooooooh 🔥🔥🔥🔥🔥this message is soo powerful thanks soo much Apostle mtalemwa bushiri
Mungu akubariki mtumishi wa Bwana nimeelewa somo
Haleluya 🙏🙏🙏more 🔥
Amen chief penda sana 😍 kila vita isiyo na faida kwendraaaaaaa
Ubarikiwe 🙌
Amen .today I see light and I received spiritual breakthrough I will counted the battle with gain not those I will losses. Be blessed
Powerful message
Blessed man of God. thanks
Amen
Amen Man of God.
Nimepona
Focus on the main battle 🙌
Thank you Apostle 🙏🏿
Ni kweli kabisa nimeelewa kweli achana nao
K
Ameeen
nime kuhelewana mtumishi
Powerful
Amen!🙏🙏🙏
Mh ila mtu kupatana ni anapata Amani,hawezi kupata material gain ila spiritual gain kama Amani hii ukipata itakupatia material Gain,hivyo ni vizuri wanaogombana waombewe pia although mchungaji unaona hutapata sadaka. Lakini Mungu ni mwema mmoja anaweza kurudi kutoa sadaka ya shukrani ya upatanisho .kama yule mkoma mmoja Kati ya kumi!.
So powerful
Ignoring the battles
. Those without benefits. Amen
Napenda mahubiri yako inaniinua sana mungu akubarki
Kweli kabisa
Ameeen and Ameen
Wow wow💪💪💪💪💪
Vita zingine Hazina mshiko wachana nazo ni upotezi wa time na faranga sometimes
Unagombana ba nini baada ya hapo unapata niini. Kwweeendra huko!!
Nabadilika leo
To forcus on MAIN BATTLES,ask two qns:-
A) ls that the CORRECT BATTLE??
B) What is the advantages or benefit Frm that battle??
IF NOT THAT IS JUST ELIABU minor battles🙇♀️🙌THANK YOU JESUS FOR THIS🤲
After battling what will u gain !!
Neno lenye nguvu sana; hakika limenipeleka ngazi nyingine
😅😅😅kweeendraaaa ile ya kimasai kabisa
Hili kanisa liko upande gani Tanzania
Makongo Juu Dar Es Salaam.
Pia kuna branch mikoa tofauti tofauti.
@@estherjohnmwambazi4679 thanks, nikifika Dar nachukua Gari ipi ya kunipeka huko kwa kanisa penye anahudumu apostle mtalemwa bushiri
Hakika mtumishi umenifikia leo kwani jaribu limekua karibu linifanye niforcas kwa vilivyoshindwa ili nipoteze baraka zangu
Kanisa hili hakuna wazee?
Utaitambuaje vita ambayo haina faida
Naachanayo
Barikiwa mtumish wa mungu sanaas
Apostle yo to much..sipigani vita visivo na faida..
Barikiwa mtumishi naona ,unaongea na. Mm nimefunguliwa sana
Vocha hairudi, muda pia. You don't qualify for big cities like DSM. You went there to battle with your own people. KWWEEENDRA!!
Nawapenda sana ECG dar 🔥 kwendraaaaa achana nao asante Chef
Amen
Ameeen
Amen