FANYA HIVI TATIZO LAKO LINAPOJIRUDIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 169

  • @izaknanyaro1411
    @izaknanyaro1411 3 роки тому +3

    Pastor nilianza kukuelewa sana tangu kwenye ule wimbo wa Muzina nakupenda sana Mungu akuinue zaidi na zaidi

  • @naomkerubo9860
    @naomkerubo9860 4 роки тому +3

    Amen mtume wa yesu nambarikiwa na maumbiri yako,,,, i'm watching from saudia i'm blessed🙏🙏🙏

  • @Devothakimei
    @Devothakimei 4 роки тому +2

    Waoooooh. What a powerful teachings? Asante mtumishi wa Mungu. Nimekuelewa sanaaaa. Hili somo ni applicable sector zote za maisha. Asante mlezi wetu

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 2 роки тому

    Ubarikiwe sana Apostle,mahubiri haya nizaidi ya mwaka nimeyafuatilia leo,kweli yamenivusha ninako pita, Haleluuuuya 💪🙏

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 3 роки тому +1

    Asante mtumishi. Injili ya kweli lazima ihubiriwe. Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya huduma hii na tunamshukuru Mungu na sisi wa mbali inatufikia.
    Mbarikiwe sana. Limekuwa neno langu siku ya leo

  • @godianmande4920
    @godianmande4920 4 роки тому +2

    A right sermon in a right time, the same way we defeated the first wave, we shall defeat whatsoever number of corona wave in the SAME and POWERFUL name of JESUS, Ameen!!
    God Bless you more Man of God.

  • @esthercharles2210
    @esthercharles2210 4 роки тому +2

    Asante sana Mtumishi wa MUNGU umenifundisha jambo sana hakika sitajisahau tena, Barikiwa sana Chief.

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 4 роки тому +1

    Mtumishi Apostle Mtalemwa Mwenyez Mungu akupe Neema ya ushindi katika utumishi wako ubarikiwe sana mafundisho yako yananibariki na kunifundisha sana naamin ujumbe uwako umewafikia wengi na umewagusa

    • @episonfelician7670
      @episonfelician7670 4 роки тому

      Amen Apostle Mtalemwa

    • @episonfelician7670
      @episonfelician7670 4 роки тому

      Mtumishi nimesoma ujumbe wako nakuuelewa lakin nataman kukutana na wewe nijue zaidi sijui unanisaidiaje kwa hili maana Naona moyon sijakaa swa

    • @episonfelician7670
      @episonfelician7670 4 роки тому

      Naweza kukupataje kesho nikuone maan ujumbe wako nimeusoma lkn bado ninayo ya kukuliza uweze kunisaidia Mtumishi naomba msaada wako

    • @SiaMlay
      @SiaMlay Місяць тому

      Huyu mchungaji anapatikana wap

  • @lydiamokeira6062
    @lydiamokeira6062 4 роки тому +7

    Napenda sana Mafundisho ya huyu Pastor. I always listen to your teachings 🙏🙏

    • @elwinushaule7805
      @elwinushaule7805 3 роки тому

      я

    • @ahmadronald6389
      @ahmadronald6389 3 роки тому

      pro tip : watch series at Flixzone. Been using it for watching loads of movies these days.

    • @kyeterrance6288
      @kyeterrance6288 3 роки тому

      @Ahmad Ronald Yup, been using flixzone for years myself =)

    • @adrielpablo53
      @adrielpablo53 3 роки тому

      @Ahmad Ronald yea, I've been using flixzone for since december myself :)

    • @korbynpaxton410
      @korbynpaxton410 3 роки тому

      @Ahmad Ronald Yup, I have been watching on Flixzone for years myself =)

  • @betkyasio6848
    @betkyasio6848 3 роки тому +3

    Mwanangu atapona kwa Jina la Yesu

  • @godwinmakomba2714
    @godwinmakomba2714 4 роки тому +3

    Mungu atusaidie tutegemee maandiko ktk biblia na sio media, kama mfalme wa shamu alikuja tena mwezi wa kwanza baada ya kushindwa mwaka jana
    Asante Apostle

    • @laurentiuschalles5925
      @laurentiuschalles5925 4 роки тому

      Na Ahimidiwe Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wake Apostle Mtalemwa.

  • @isackmapuli9720
    @isackmapuli9720 4 роки тому +5

    Hakika nimekukubari mtumishi was Mungu, karne hii inatakiwa iwe na mashujaa kama wewe. Barikiwa.

  • @mayalamashaka1526
    @mayalamashaka1526 3 роки тому

    Ninabarkiwa sanaàa namafundisho yako lkn naomba namm uniombee mtumishi Niko nachangamoto nying bwanaaa akuinue sana mtumishi

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 4 роки тому +1

    Asante sana Apostle nina barikiwa na neno lako nikiwa nchini Brazil

  • @janetmulongo2731
    @janetmulongo2731 3 роки тому

    AMEN..huu ujumbe umenibariki

  • @christinengule4718
    @christinengule4718 Рік тому

    asante mtumishi nabarikiwa nkiwa apa🇰🇪

  • @tumainimbogo5412
    @tumainimbogo5412 4 роки тому +1

    MUNGU akubariki Sana mtumishi wa MUNGU unaponya mioyo ya wengi Sana ,hakika wewe ni mtu tunapaswa kujivunia na kukuombea Sana ktk kipindi hiki Cha siku za mwisho.....wewe ni hazina 🙏🙏🙏🙏MUNGU akutunze....

  • @mercykimani9741
    @mercykimani9741 3 роки тому

    Thanx. Coz of the revelation man of God.Nkr city Kenya

  • @paulinalerise684
    @paulinalerise684 3 роки тому

    Ahsante Mtumishi wa Mungu. Ukweli ndio huo, tuache unafiki, ugonjwa wa korona upo nasi tuendelee kutumia silaha tulizonazo kama mwanzo pamoja na kuzidi kumwomba Mungu Muweza yote. Kwa jina la Yesu Kristo tutashinda

  • @mercykimani9741
    @mercykimani9741 3 роки тому

    Mtumishi wa Mungu wanibariki Sana. Nakuru_Kenya

  • @wijopowertv3261
    @wijopowertv3261 4 роки тому +1

    Powerful teaching, Asante mtumishi

  • @putgmedia
    @putgmedia 4 роки тому +2

    Eye opener. Be blessed man of great God. Am watching from Kenya.

  • @erycahkiwale8757
    @erycahkiwale8757 4 роки тому +2

    Mungu akuongezee miaka ya kuishi mtumishi wa bwana

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 3 роки тому

    Barikiwa mtumishi kweli IPO tuombe Mungu Sana tuchukue tahathari pia

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 3 роки тому +1

    Powerful teaching thanks may God bless you 🔥🔥🔥🔥

  • @isaacnandasaba6190
    @isaacnandasaba6190 3 роки тому

    Nimejazwa na mafundisho yako Mungu akuinue

  • @junioraria3428
    @junioraria3428 2 роки тому

    Amen amen mutumishi Mungu akuzidishiye

  • @janethmukala86
    @janethmukala86 3 роки тому +1

    Umenifanya nijue mengi juu ya Maisha yangu na napona na nitaendelea kupona .barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.

  • @alanlugano3322
    @alanlugano3322 3 роки тому +1

    Very powerful teachings
    Bravo! Pastor

  • @ElizabethJohn-g9f
    @ElizabethJohn-g9f Рік тому

    Ameeen barikiwe sana mtumishi

  • @joycemaige6838
    @joycemaige6838 3 роки тому

    Shalom shalom mtumishi haya mafundisho ndiyo tuna yatafuta wengine hatujui mpangilio wa Bible unakuta unafatilia maombi yako ya kukimbiza mapepo Kisha unabakia ujui kujipangilia ni neno gani la kusoma ili tatizo likiisha lisiludi au asiwe anakukalibia kwasababu pepo akukalibii kama ukiwa na neno la mungu kila siku na Imani ukiwa nayo pia tumishi

  • @leonbwenda1945
    @leonbwenda1945 4 роки тому

    Powerful teaching Apostle
    Asante kwa mafundisho

  • @geofreykilasi7354
    @geofreykilasi7354 3 роки тому

    Shalom shalom chief Apostle 10G

  • @hellenkendi7078
    @hellenkendi7078 3 роки тому

    Am blessed so much pst be blessed.
    .

  • @florianmgata1045
    @florianmgata1045 3 роки тому

    one ofe postler that never listen before, 💪💪

  • @grolianentikwiza1697
    @grolianentikwiza1697 4 роки тому +1

    Thank you so much apostle Mtalemwa God bless you so much my apostle

  • @samsonmgonja4014
    @samsonmgonja4014 4 роки тому +7

    Msumari wa inchi nane unaumaaa lakini tumepona,meseji sent,hata Roho mtakatifu kafurahi

  • @fatumasaleh9491
    @fatumasaleh9491 3 роки тому

    Thank you Chife apostle mtalemwa, sema baba that is true

  • @evelenev2877
    @evelenev2877 4 роки тому +1

    I like the Apostle so much God bless your ministry 🙏🙏

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek508 4 роки тому

    Nashukuru sana Mtumishi 🙏 unacho hubiri ni sahihi kabisa leo umenifumbua macho nimejifunza uhalisia wa maisha Asante sana 🙏🙏🙏

  • @juenjuen7536
    @juenjuen7536 3 роки тому

    Barikiwa mtumishi

  • @jamesdioniz3243
    @jamesdioniz3243 4 роки тому +2

    Powerful teaching God bless you Chief Apostle

  • @selinanyale5398
    @selinanyale5398 2 роки тому

    Be blessed man of God

  • @lucymbone8974
    @lucymbone8974 3 роки тому

    Powerful teachings pastor

  • @julianlaurent2107
    @julianlaurent2107 4 роки тому +1

    Hongera mtelemwa uko imara Sana maake watumishi wengi watia hofu waumini wao badala ya kuwapa moyo wa kua na Imani kamili

  • @elizabethchales2663
    @elizabethchales2663 4 роки тому +1

    Amina 2tasimama tena kwa jina la yesu

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 2 роки тому

    Huyu mtumishi nampenda Mungu azidi kumuweka hakika akifundisha Neno namuelewa

  • @lilianlubanga4010
    @lilianlubanga4010 3 роки тому

    Very encouraging and GOD BLESS you Apostle.

  • @rosemarymallya4458
    @rosemarymallya4458 3 роки тому

    ALUTA CONTINUE TUNAENDELEA KUPAMBANA🔥🔥🔥

  • @happyhappy-ym2su
    @happyhappy-ym2su 3 роки тому +1

    Jamani huwa nabarikiwa tu na masomo yako cjawahi kujuta Mana huwa napata nguvu mpyaaaaa kila ninaposkia,,,,,,,,MUNGU akubariki Sana mtumishi uzidi kuinuliwa na kufunuliwa zaidi

  • @neemaadam9256
    @neemaadam9256 3 роки тому

    Hallelujah 🙏 upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu

  • @jonsonnicholous1208
    @jonsonnicholous1208 3 роки тому

    Dar mungu ana vyombo nimeamini be bresed

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 роки тому +1

    It's true man of God if u relax they come again thanks for gud mission

  • @davidpeter7926
    @davidpeter7926 3 роки тому

    My.pastor

  • @aminamogan6547
    @aminamogan6547 4 роки тому

    Ubarikiwe Sana mtumishi karibu na kwetu Mbeya jmn

  • @kansiimesecurity4347
    @kansiimesecurity4347 4 роки тому +1

    Mungu akubariki umenena ukweli umetwambia

  • @misssharonerasmus
    @misssharonerasmus 3 роки тому

    YATOSHA 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Bless you Apostle

  • @monicabh1668
    @monicabh1668 3 роки тому

    Soooo 💥 powerful 🙏🙏it is done

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis753 3 роки тому

    Amena. Mungu akubariki sana

  • @paulmbegu9812
    @paulmbegu9812 3 роки тому

    Mungu akuzidishie hekima na maharifa

  • @rosemarymallya4458
    @rosemarymallya4458 3 роки тому

    Glory to God🙌🔥🙌Blessed Man of God the WORD PREACHED, HEAL RESTORE MY SOUL🤲🔥🤲🔥🙏🙏🙏

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 4 роки тому

    Wape wape hao hawajavaa barakoa wanafiki hao.Nakupenda mtumishi msema kweli.

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 3 роки тому

    From nchi yambali tunakupata sana

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 4 роки тому +6

    Bwana Yesu Asifiwe
    Naamini kupokea in Jesus mighty name above every name 💞

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 4 роки тому

    Asante mtumishi ni mafundisho ya leo imenibariki🙏🙏

  • @FaithNdahani
    @FaithNdahani 6 місяців тому

    Amina nimebarikiwa

  • @Mo_Classic_Brand
    @Mo_Classic_Brand 4 роки тому

    Ubarikiwe mtumishi.

  • @eastersanga6632
    @eastersanga6632 4 роки тому

    Thanks very much postor i understand you.🖒

  • @ireneminja1721
    @ireneminja1721 4 роки тому +1

    I hear you APOSTLE....let's fight again ... Mungu wetu atatusaidia

  • @noelmwikeve6255
    @noelmwikeve6255 4 роки тому +1

    Halleluya I learnt something even though am at school.

  • @gracekabigi9680
    @gracekabigi9680 4 роки тому

    Asante Mtumishi kwa somo umenifungua

  • @haikakombe8377
    @haikakombe8377 Рік тому

    Mtumishi shalom

  • @SiaMlay
    @SiaMlay Місяць тому

    Huyu mchungaji anapatikana wap

  • @mellenmsomi6974
    @mellenmsomi6974 3 роки тому +1

    🙏🙏🙏Amen

  • @siporajemes773
    @siporajemes773 4 роки тому

    Nimekukubari mtumishi

  • @florakamuzora5669
    @florakamuzora5669 4 роки тому

    Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya kweli

  • @jacobsimon7877
    @jacobsimon7877 4 роки тому +1

    mungu ndio muweza yayote sisi tutaendelea kumuomba hatuepushe tena ktk ugonjwa huu

  • @victoriousblessedmom4343
    @victoriousblessedmom4343 3 роки тому

    Amen in the mighty name of Jesus Christ Amen Hallelujah Glory be to God

  • @aminam267
    @aminam267 4 роки тому

    Mimi ni amina mu Kenya 🙏🙏🙏🙏

  • @katewinniewandoe2863
    @katewinniewandoe2863 3 роки тому

    Amina nimepata neno sitasahau kamwe kwa nn yanajirudia tu mambo

  • @catherinemosses5117
    @catherinemosses5117 3 роки тому +1

    Nashukuru kwa kunifundisha kuwa shetani anarudi sintazembea kuomba

  • @varieties2477
    @varieties2477 3 роки тому

    Amen man of God

  • @evelynjohn2706
    @evelynjohn2706 4 роки тому +1

    Powerful 🔥

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 роки тому

    Mungu azidi kukutumia na kukutunza, sema tufundishe tupone

  • @alicekhamayo1991
    @alicekhamayo1991 4 роки тому

    Amen kweli
    More grace

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 4 роки тому +1

    Wanefili wanafili Nuhu alitengeneza SAFINA kama Mungu alivyomwagiza, na kweli waliangamizwa na Mungu,.shida ni pale hatujui historia ikoje,.kanisa la Mungu likisimama kama Joshua na Kalebu walivyojipanga wakiwa na Mungu mwenyewe basi waiingia nchi ya Ahadi. EEEH Mungu nisaidie nisonge mbele..

  • @issamagabiro3162
    @issamagabiro3162 Рік тому

    Pasta, ukweli napenda sana mafundisho maana yamebase kwenye biblia

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Рік тому

    Sema.sema.sema.una.neema.ya.ajabu.yaa.eti.midhambi.inaendelea.matatizo.yakome.tanzania kama dhambi.inaendelea.basi.na.matatizo.yapo.yanaendelea

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 4 роки тому +1

    Neno la MUNGU ni upanga ukatao kuwili

  • @maxmiliannassary1835
    @maxmiliannassary1835 4 роки тому

    Amen amen
    Hallelujah hallelujah hallelujah

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 3 роки тому

    Nimejifunza kitu mtumishi wa Mungu

  • @basilkihanga8019
    @basilkihanga8019 3 роки тому +1

    It is done.

  • @kombeonaumishenaritv642
    @kombeonaumishenaritv642 3 роки тому

    Vyemaa

  • @lissajeruto5373
    @lissajeruto5373 3 роки тому

    Hallo, WA misri wako, Kuna wale wamenibariki na mavafi na pesa, wapo

  • @josephclemence4441
    @josephclemence4441 3 роки тому

    Mtumishi uje na bukoba jamani

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi5076 3 роки тому

    Mbona tumefundishwa kwa wakati ule waliomwabudu mungu waliwaita Wana wa mungu na wake uzao wa kaini (wapagani)wakaoleana ndipo ghadhabu ya mungu ikawaka halafu Wana wamungu ni wale ambao ktk uumbaji Bwana akasema na tumfanye mtu kwa sura yetu hao ndio Wana wa mungu yaani wanadamu malaika siyo Wana wa mungu huwezi kuniambia malaika ni Wana wamungu malaika hajawekewa mbegu za kuzaa watu hiyo ni wanadamu tu ndio walioambiwa wakazaane na kuongezrka kutosha malaika hawezi kuzaa!!!!

  • @williammathias1230
    @williammathias1230 4 роки тому

    God bless you

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday7174 3 роки тому

    Nimejifunza. Namtukuza MUNGU

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 роки тому

    Imani inanguvu kuliko tatizo ulilonalo au mabalaa ya uko

    • @bonifacebeatrice8077
      @bonifacebeatrice8077 3 роки тому

      Imani inanguvu kuliko kitu chochote Mungu atusaidie tusiwevinyonga ktk lmani na matendo(Neno la Mungu na kulielewa)

  • @katewinniewandoe2863
    @katewinniewandoe2863 3 роки тому

    Eeh ni mungu tu nimefika apa namimi niskie