SADAKA NA FUNGU LA KUMI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • By; Askofu Amon Lukama

КОМЕНТАРІ • 25

  • @grasherchavala2732
    @grasherchavala2732 Рік тому +1

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @felisternyakina9873
    @felisternyakina9873 2 роки тому +1

    Fungua la kumi limenifunza mambo mengi Asante Mungu 🙏🏼 moyo wangu🙏🏼 haukunungunika kwa kutoa fungu lako

  • @ananialuoga4885
    @ananialuoga4885 3 роки тому +1

    Hatuko chini ya sheria tena kama tutatoa fungu la kumi haina maana ya Yesu kufa msalabani ila katika agano jipya Mungu anasema sisi pamoja na tulivyonavyo ni mali ya Mungu hivyo tunatakiwa kutoa zaidi ya fungu la kumi

  • @grasherchavala2732
    @grasherchavala2732 2 роки тому

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa neno la mungu juu ya sadaka

  • @adelaidekisinda2115
    @adelaidekisinda2115 5 років тому +1

    Powerful preaching from a man of God. I'm blessed

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 3 місяці тому +1

    Fungu la kumi hutolewa pale Mungu alipokuelekeza

  • @AmaniPascal-go3ux
    @AmaniPascal-go3ux 9 місяців тому

    Hongera mtu wamungu

  • @user-kq9je6zf3v
    @user-kq9je6zf3v 2 місяці тому

    Amen and amen 🙏🙏

  • @osphatmwahalende6184
    @osphatmwahalende6184 3 роки тому

    Aminaa Bishop kwa ujumbe mzuri na wenye nguvu,

  • @friminitv5589
    @friminitv5589 3 роки тому

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu..

  • @josephmasonga8714
    @josephmasonga8714 5 років тому

    Ujumbe mzuri Mungu azidi kukutumia

  • @nkurukiyesamuel4043
    @nkurukiyesamuel4043 9 місяців тому +1

    Huu ujumbe una kasoro,kwa sababu mitume,Yesu,hawakutoza au kutoa fungi la kumi.😢
    Walipewa walawi sababu hawakua na mashamba au kazi nyingine,Leo wachungaji anamiliki magari,maduka,manyumba,ndege….
    😅
    Unaniombea nipate hela wewe unashindwa kujiombea uzipate!
    Tunaishi nyakati nguma za mwisho mapato na maisha magumu haviwiani, unapewa miezi mitanu bila kulipa loan(deni) kwa sababu ya corona au vita za ukrain utapata fungu la kumi lini?
    Mungu Alijua hali ambavyo ingekua Leo.
    Ingekua ni ujumbe unaowahusu hawahawa wachungaji ungesikia hii kutoboka mifuko na kuharibikiwa katika hali halisi ,mara simu :WANGESEMA NI KATIKA HARI YA KIROHO,mbona sabato ipo agano jipya na Yesu aliihudhuria,iko katika amri,lakini wanaipuuza wakazana na 10%?
    Mchungaji afanye kazi ,makanisa mengine yasiofundisha hivi ,hauwezi kua mchungaji ukiwa mvivu ,usiwe na kazi yako.

  • @sirnunda3758
    @sirnunda3758 Рік тому +1

    Wagalatia 3:13 Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya torati maana yeye alifanyika laana kwa ajili yetu maana imeandikwa amelaaniwa yeye aangikwaye juu ya mti.Pia kumbuka torati ilkuja kwa mkono wa Musa Neema na kweli ilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.Pia 1Petro inasema tumekombolewa si kwa vitu viharibikavyo si kwa fedha au dhahabu bali ni kwa damu ya thamani ya Yesu Kristo.Katika agano jipya tunatoa kwa moyo wa shukrani hatutoi kwa kufuata masheria ya torati.Maana wana laana wote waifuatayo torati na masheria yake

  • @evangelistelishamwasile4380
    @evangelistelishamwasile4380 3 роки тому

    nashukuru kwa ujumbe bishop

  • @shillahelisha8581
    @shillahelisha8581 Рік тому +1

    Mm sijawahi kuona ktk Agano jipya kanisa linahangaika na Fungu la 10. Halafu Kama lilikuwa ni moja ya Shera ya Taifa la Israel, Mbona tumechagua kwenda na sheria hyo tu, Je Mbona tumeacha sheria zingine, Hv ukiacha sheria moja ktk agano si tunakuwa tumekosea ktk yote

  • @rgctoangoma
    @rgctoangoma  5 років тому

    Glory to God

  • @arafaswalehe4660
    @arafaswalehe4660 3 роки тому

    Hivi sadaka kubwa ni IPI kama sio kujitoa mwenyewe kama yesu alivyojitoa! Nauliza tu wapendwa

  • @leonardanzurunipombi2499
    @leonardanzurunipombi2499 2 роки тому

    Ubarikiwe mtumishi ila nina swali ni sahihi kutowa sehemu ya kuhani ambaye kanisani kwake hawali meza ya Bwana?

  • @ananialuoga4885
    @ananialuoga4885 3 роки тому

    Wachungaji msifundishe masomo ambayo hayapo ni kwaajili ya matumbo yenu mmekuwa wachungaji wa mishahara siku ya mwisho mtahukumiwa na ukifatilia hizo fedha haziendi kwenye maendeleo ya kanisa utakuta yote yanaenda kwa mchungaji hii ni hatari sana

  • @samwellaiser8421
    @samwellaiser8421 3 роки тому

    Samahani mtumishi unawafunndisha wazungu au watanzania usichanganye lugha

  • @ananialuoga4885
    @ananialuoga4885 3 роки тому

    Fundisha kwanini agano la kale waliambiwa watoe fungu la kumi? na tumia agano jipya wapi Mungu amesema tutoe fungu la kumi? katika agano jipya hatujalimitiwa kumtolea Mungu usiwafunge watu wa Mungu

  • @sangameshack8007
    @sangameshack8007 3 роки тому

    Uwongo umekuwa mwingi kuliko ukweli ktk haya mafundisho

    • @thomaswegoro4331
      @thomaswegoro4331 3 роки тому

      barikiwa sana mtumishi.
      ukiona mchungaji anahubiri habari za sadaka na zaka au fungu la kumi huku akitumia AGANO LA KALE kuliko Agano jipya jua kuna tatizo. Aidha hajui kua kwa mujibu wa yeremia 31:31-34 au wagalatia 3:24-27 agano la kale limeondolewa na sasa dunia nzima itahubiriwa injili(AGANO JIPYA)
      wachungaji wanatumia ujinga(sio tusi)wa wahumini wao katika maandiko ili kujiimarisha kiuchumi.
      Wachungaji wanapenda agano hilo katika mambo ya utoaji tuu ila ukiwambia wafate amri sheria na maagizo waliopewa waizrael hawataki.

  • @sangameshack8007
    @sangameshack8007 3 роки тому

    Kumb.14 tusomee yote.Usikatekate mchungaji,kuna ukweli uko hapo