MAPYA MWANZA! UKAGUZI WA MABASI ZA SHULE KUANZA!
Вставка
- Опубліковано 28 чер 2024
- Chama cha wamiliki wa shule binafsi mkoani Mwanza kimewaonya kuwafuta uanachama na kuwashtaki polisi na kwa mamlaka za elimu wamiliki wa shule watakaokiuka sheria inayowataka kuweka waangalizi (Matron /Patron) kwenye mabasi ya wanafunzi ili kuimarisha usalama wa watoto wanapofafiri na magarihayo.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE UA-cam Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram