EXCLUSIVE: JAMAA ABADILISHA DALADALA KUWA MGAHAWA - "POMBE MARUFUKU"
Вставка
- Опубліковано 19 лют 2022
- EXCLUSIVE: JAMAA ALIYEIBADILISHA DALADALA KUWA MGAHAWA "POMBE MARUFUKU"
Ni Ripoti kutokea Kibaha mkoani Pwani, Camera za Wasafi Digital zimenasa moja ya tukio la ubunifu uliofanywa na fundi wa magari, Shabani Mboga, mkazi wa Visiga kwa Kipofu.
Mboga ameamua kuibadilisha gari ya abiria aina ya DCM iliyokuwa ikibeba abiria kutoka. Mlandizi kwenda Bagamoyo, kuigeuza kuwa mgahawa, jambo ambalo limefanya sehemu yake ya biashara kuwa kivutio kwa watu wengi na wapita njia.
Anasema katika mgahawa huo, ni marufuku kutumia kilevi cha aina yoyote kwakuwa ukiwa ndani ya mgahawa huo unakuwa kama upo juu ya ghorofa, hivyo lolote linaweza kutokea wakati wa kushuka.
@hamisimguta
Talented man
Nice job🔥🔥
Safi sana ,, chakufanya apake rangi vizuri nje af afanye urekebishaji wa nje ili iwe na mwonekano bombaaa big up mzee
Mdogo mdogo kasema
jirani zangu wa tz you don't disappoint 😂😂😂💕🇰🇪🇪🇺
😅😅😅
@@Mpakauseme nitakuja bongo nile hapo matembele 😂😂😂
Ghana wanebadili ndegevkuwa mgahawa
Hii safi sana, hata Japan hakuna hii,👏👍👏
😃😃😂
Sio wengi hata, watu 10,000 tu ndugu zangu !
ua-cam.com/video/9rK399duqKM/v-deo.html Share the link na Ndugu/washkaji kwa Mitandao till we hit that ✊🏿
A new project will then be OUT ✊🏿
Unadhani ni Japan tu ndo hakuna hiv, Ni Duniani kote hamna hii kitu Ni Tz tu 😆😆😆😆😆
Ufanyanya hivyo pia huko Japan na mataifa mengine yalioendelea, utofauti wake ni mazingira tu na jinsi huyo alivyolipachika hilo bus juu kienyeji 🤣
🤣🤣🤣
Visiga Hapo Kibaha... Jamaa namkubali Sana... Kaka yanguuu
Visiga sehem gan
Hongera kwa ubunifu
Maswali ya waandishi jamani eti kilichokufanya ufanye hivi ni nini. Njaa mkono uende kinywani wajameni. Cha msingi ni usalama wa wateja Safety ndio cha msingi!!!
Atar San duuh mzee unajua sana
Visiga kwetu buana
BG up San mzee
Nzur ila ajaribu kufanya maboresho kdogo
Play don't worry by hakim sasha
Silazima kuliweka juu hilo gali, hiyo ni poa sana, bus restaurant wapo waliotumia ndege kwawenzetu chamsingi ni utengenezaji tu wa ndani ya hilo bus nakuweka vizuri mazingira
Uyo broo mpambanaji, kila nikienda congo lazima nichukue mazaga ikiwemo oryx, gass, namkubari broo.
Imeibana hata hainekan vizur huo mgahawa
Happy nje ungeweka bustani nzuri it's watu wa garden ili kuweka mvuto
hii nayo abari ✈️
😰 uliesema uchafu kwanza wewe mwenyewe mchafu tu ,si ajabu Ilo gari apo na iyo idea ya mzee itaishi kuliko umri wako . Jifunze kufikiri ulizaliwa na uchafu ukasafishwa na uliowakuta duniani. It's Shameless to oppose kitu ambacho huna ata theluthi ya ujuzi wake😡
Mkoani fani
Ebwana mie nimpe ongera uyo jamaaa
Rekebisha kiswahili chako.. Sio fundi gereji.. Ni fundi magari
Fundi gari sio fundi magari maana gari halina wingi mfano gari yang au gari yetu,zile gari,umeleta gari zote gerage umeelewa bro gari zetu zipo salama mifano mini mno
Bongo bhna
Pak rangi nzr safisha pawe👍😘👌
Mbona huu ni uchafu?
Hata mimi nimewaza hivyo
Ok
Nchi ina watu wanavituko sio powa 😃
Si vituko ni ubunifu pia ata na mataifa yalioendelea ufanya hivyo utofauti ni mazingira tu so angelifanya mzungu wala usingelisema ni kituko 🤣
Kuna mtu mwanza ana baba shop gar wateja kbao
Liahuahe litakija kuangulia watunhasa watoto .na wapita njia
DAWA YA MVUTO MKUBWA
m.ua-cam.com/video/Z5fZZHXGi3E/v-deo.html
Siku likianguka nani atalaumiwa
Sasa ngoja lishuke ndiyo mtajua
dah haya maisha ndg zngu atutakiw tumkashfu san
Ubunifu mzuli
Umejitahidi iboreshe ivutie kwa zaidi mazingira yawe mazuri mauwa chini rangi
Tunaweza tukiwa na mawazo huru
Ila kuwa makin na walevi wa maeneo ya Mbagala watakuwa wanapita madirishani
Vp mgambo hawajabomoa maana naona icho ni kibada tu kama vibanda vingine ambavyo avitakiwi
Tuseme ni gorofa la bati ama chuma maana hapa mnanichanganya basi pakeni rangi livutie limekaa kama borongoto fulan kwa mbaali
Vp tunaruhusiwa kupita madirishani
Eti daladala ???? Kiswahili kigumu🤣🤣🤣
Usitizame filamu iyi ukiwa na watoto 🤭ua-cam.com/video/KFawskkVrXM/v-deo.html
🤮🤮🤮🤮🤮🤮
Ii
Sio wengi hata, watu 10,000 tu ndugu zangu !
ua-cam.com/video/9rK399duqKM/v-deo.html Share the link na Ndugu/washkaji kwa Mitandao till we hit that ✊🏿
A new project will then be OUT ✊🏿
Yani mil3 hata haionekan ulichofanya mzee hana maalifa