WAKILI MADELEKA ''NAWADAI HELA ZANGU WANIPE HELA ZANGU'' WAACHE KUTUMIA JESHI LA POLISI''..
Вставка
- Опубліковано 13 лис 2023
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hongera Kiongoz Wakili Msomi
Hongera sana wakili msomi Madereka, wewe ni mtumishi watu mwenye kusudi la Mungu na ni mmoja wa watu wachache wenye uthubutu wakujiuzulu nafasi kubwa kwa kuona mfumo hauko sawa, hongera sana.
Wow! The truth will keep you free😂😂😂
Very good bro wakli msomi
Kumbe hyu mm nilikua cjui kama alikua kwenye Kaz hyo mm nikajua ni Wakili Msomi na kama alikua kwenye ngaz hyo anayosema mh anayajua mengi mno
msomi wa kweli awezi fanya kazi na ccm hao wasomi wa ccm ni wachumia tumbo tu
wakili madeleke unajihamini na unatisha sana sikujua kama ni.mtu hatari sanabunajihamini
Huyu jamaa anajua
Pengine umekuwa ukitumika vibaya kwa maelekezo yasiyokupa amani kitaluma sasa wanawaza mafanikio yako😂
Ndio maana aliamua kuandika barua ya kuacha kazi ndan ya masaa 24.
Mungu pekee ndio mwenye haki na kumchagua nani awe mtu fulani sio uwezo wako
Nina mashaka.
Wakili Msomi ..peter madereka ." Man & a half
Wakili hawakuwezi, embu waachane nawe, hawana kazi ? Lazima wafanye kazi kupitia wewe kha embu waone aibu
Hiki kichwa sio kabisa! 😂
Huyu jamaa anadharau
Kichwa kingine toka kanda ya ziwa
Yaani huyu jamaa ni msomi. Basi tu nchi hii.
Mbona mnakata kata interview
Kuna Jamaa Alikua Kama Uyu kumbe Askari...Hamuaminiki Nchi ngumu hiiii
yupi mtaje
Alifanyaje
Utakuwa tajili
Acha dharau
Ni kweli akikutana na wasiojua, bonge la msomi.
Miaka hiyo yote kwenye tope asilione!! Halafu hiyo Lk. 3:14 aliijua kabla hajaenda huko .
Boya huelea kwenye maji
makaka kwanza kaisadiee family yako kaka yako hana kazi anaweweseka kwa kufukuzwa kazini kwa rushwa anza na kaka yako mbunurie hata daradara ndio kszi yake
Public coments
Hii ni kashfa kubwa sana kwa jeshi la polisi
Kesi yako ya utolo ililipotiwa kituo cha polsi miaka mitano iliyopita ila tumefanikiwa kukutia nguvuni sasa,mambo mengine usiipangie polisi.