MAOMBI DHIDI YA KUDUMAA NA KUKAA HALI MOJA ||DAY 2|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 09/01/2024
Вставка
- Опубліковано 8 січ 2024
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
Unaweza Tuma Sadaka yako MPESA number +255 753 333 008
#jrcchurch #pastorgeorgemukabwa #tanzania #jrctz
Gospel Teachings for soul winning Purpose. - Фільми й анімація
Baba ninakushuru Kwa kuwa mmojawapo katika madhabahu hii siku hii ya Leo.
Nisaidie Baba kupitia mafundisho haya ya mtumishi wako nisaidie kulivingirisha jiwe ili malango yangu yawe wazi nipate kutoka katika mazingira haya Baba.
Naomba neema Yako Bwana ipitayo kipimo ka ajili ya kuniweka huru katika vizuizi mbalimbali katika mwaka huu🙏
Naomba niishinde Roho hii ya kudumaa katika jina la Kristo Yesu Alie hai.
Amen 🙏🙏🙏🤲🤲👏
Nimefuatilia hatua Kwa hatua naona huyu ni mimi, lakini kuanzia Leo mafuta Roho ya kudumaa Kwa jina Kristo Yesu Alie hai🙏
Natoka kwa Jina la Yesu Kristo.
I rebuke the spirit of stagnation
Victory be my portion 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙌🙏
Amen 🙏
Ameni
Amen
Naomba Roho ya Efrahim iniondoke kabisa Kwa jina la Yesu
Mungu napokea neema ya kuondoa hii roho ya kudumaa
Nabarikiwa sana mchungaji na mahubiri yako 🙌
Asante Pastor, ninatamani sana kupata hicho kitabu, Dar es salam
Very very powerful
Mungu ni wakati wangu wa kuinuliwa kutoka mavumbin
Nimepokea kwa jina la Yesu
Pamoja sana mchungaji, Mungu akubariki sana sana.
Mungu napiga hatua Mwaka Huu
Amen Amen
Mungu wewe wajua bwana
Amen Mtumishi
Amen 🙏🙏
Amen Amen 🙏🙏
Amen, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen!!!’n
YESU NISAIDIE NITOKE SASA KTK KUDUMAA,NAINUKA KUANZIA LEO
Mtumishi Mungu akutunze sana ili somo ni langu kabisa sifanikiwagi nafanya biashara Miaka yote nikole hapa hapa hakuna maendeleo yoyote
Amina
Sisi wa mikoani paster tunapataje hicho kitabu
Amen Amen Amen 🙏
Mi naomba kitabu mnitumie
Ninaomba maombi kwenu mi nimedumaa
Nahitaji kitabu kwa soft copy. Je naweza pataje?
Naomba Mungu anisaidie nitoke katika hiki kiriba Cha kudumaa ili niwe na shukra mpya na wimbo mpya🙏
AMENI 🙏🙏, Naamini mungu anaenda kuniinua tena katika viwango vingine kupitia somo na maombi haya
Amen
Ameni
Amen
Amen
Amen