1. KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Semina ya neno la Mungu Singida || Day 1 || Tarehe 17 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Bwana Yesu naomba uniondolee kila zuio katika kumiliki kwangu na uduma yangu. Na kila mazuio katika mazabau za ukoo zivunjike Katika jina la Yesu Amina.
Mungu wape nguvu mpya watumishi wako wa MANA waendelee kuifanya kazi yako katka jina la Yesu. Damu ya Yesu inene mema juu yao.
Mshahara wangu niliodhulumiwa kule mpunguzi naamn naenda kulipwa .... Sehem ya kumi nitakutolea Mungu 😢😢
Hallelujah! Hallelujah! Ubarikiwe sana babaetu mwl. Wewe ni chombo cha Bwana. Namuomba sana Mungu aweze kukulinda kukutunza na kukuimarisha katika kuwepo hapa duniani ili upate kulikamilisha kusudi la Mungu alilokupa
Mungu baba kaondoe Kila zuio ktk familia yetu ,vifungo vya kiuchumi,elimu,Afya,ndoa na kibali kutoka kwako baba Mungu naomba ukafungue nakuharibu madhabau chafu ktk Jina la Bwana wetu Yesu kristo naomba nikiamini🙏
Asantee Jehova kwa kutuletea mwakasege,Mungu aendelee kukuinua zaidi❤
Bwana ondoa zuio lililofanywa kwa njia ya matamko ,sadaka ili kuzuia mafanikia ya kiuchumi ,taaluma,ucha Mungu ktk watu wa nyumba ya baba zetu na mama zetu ktk kizazi hiki.Kwa jina la Yesu kristu wa Nazareti.Amen
Damu ya YESU iliyomwagika msarabani ikaondoe kila zuio ktk maishayangu kwa JINA LA YESU.am8na.
Kila zuio kwenye mfumo wa ndoa, elimu,AFYA, kazi lililo kwenye familia yangu uzao wangu,kwa mume wangu Deusdedit na familia yake liondoke kwa jina la YESU KRISTO wa Nazareth Alie hai.
Kika zuio kwenye mkutano huu liondoke kwa jina la YESU KRISTO wa Nazareth. Amen
Mungu akubariki sana mtumishi
Ubarikiwe sana unaetafsiri kwa ndugu zetu viziwi. Nao wanapata neno la mafundisho.
Kila zuio liondoke kwenye maisha yangu kwa jina la yesu
Asante kwa somo hili naamini Mungu anampango mzuri na Mimi kumfungua mifumo yangu
Mungu Baba wa mbinguni katika jina la Yesu ninaomba kila zuio lililoshika uchumi wa familia yangu Elimu shindwa kwa jina la yesu..
Hakika Mungu ni mwaminifu, asante kwa somo hili uliloachilia kwetu tukalisikia kama watumishi wako.
Amen 🙏 napokea miujiza ya kazi kila nilikotuma maombi yakazi nikaitwe kesho naamini kupitia mtumish wa Mungu milango itafunguka kwani nimechoka mazuio kwenye maendeleo yang 🙏🙏
Kazi.nzuri.
Mungu akubariki sana. Mara nyingi neno langu hupitia kinywa chako😊
Amen Barikiwa Mwalimu
Amen NAMI napokea furusa /milango ya mafanikio kwa uwepo huu mkuuu
Mungu wa Rehema naomba toba kwenye mifumo iliyofanya zuio kwenye uchumi wangu na tumbo la uzazi. Mungu naomba uniingize ndani yako. Amen
Kwa nguvu ya neno litokalo kinywani mwako Mungu, ninaomba utuondolee mazuio ya kumiliki nyota zetu utuondolee mazuio ya ya mifumo ya baraka zetu kiroho, kimwili na kiakili
Mungu uinuliwe katika yote uilinde madhabahu hii onyesha ukuu wako singida katika siku tano
Mungu ni mwema Singida tumefikiwa na semina. Kwa damu ya Yesu tukauone wokovu wake katika kila sehemu. Amen
Amen ubarikiwe napokea mamlaka ya kumrikii haki yangu
Mungu Akutunze na kukubariki Mwl Kwa Utukufu wake, wewe na familia na team nzima!!
Nifanye nini mimi zaidi ya kukuabudu na kukusifu mchana na usiku Ee Mungu, hakika Unajua kunipigania nisikate tamaaa, pamoja Na vita yoteeee lakini Bwana hunitia nguvu Na kunipa amani🙏🙏
Ahsante yesu kwa hii semina.mungu nakuomba tuondolee mifumo inayoleta audio la afya ,ndoa,elimu,uchumì.
Naungana pamoja katika semina na maombez mungu anapobark nam nibarikiwe saa hii
Jaman mafundi mitambo rekebisha kidogo tupate kuidanilodi jamn tunawaomba lakn
Mungu ni mwema NAMI anikumbuke na kuniondolea Kila zuio na kunipa mpenyo pamoja na familia yangu
Haki ya ardhi ya baba yangu tuliodhulumiwa mungu aturudishiiii
Mungu naomba umfungue mama yangu apate uponyaji kwa dam ya Yesu Kristo.naomben pia kila anaeomba amuombee mamangu apone stroke.
Nakuomba Bwana wewe utuamue wewe na kurejesha mfumo wako katika huduma yetu., katika familia, katika biashara zetu. Katika kazi za watoto wangu. Na wanaotafuta kazi wafungulie mifumo. Bwana pigana na mifumo yote iliyofungwa ee Bwana. Nipe kukutumaini wewe.
Ee YESU nirehemu
Hakuna wa kufananishwa na wewe Mungu wetu.Wewe huwarehemu watu wako wanaokulilia usiku na mchana
Damu ya agano jipya itufunike na kutufundisha neno lako
Barikiwa Baba yangu Mungu akulinde na kukutunza Amen...
Asante Mungu kwa elimu hii ni kubwa mno na yenye maelezo ya kina.Mbariki Mtumishi wako..
Namuombea mama angu apokee uponyaji wa miguu
mungu azidi kukueka wengi tunatengemea mafundisho yako
Watu wa sound Mungu awasaidie
Asante Yesu kwa upendo huu mkuu
Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki YESU ni mshindi nimepona
Yesu kumbuka kazi za mikono yangu
Mungu azidi kukutunza na Familia yako na team nzima ya Mana 🙏
Asante Yesu kwa ujumbe wa neno lako la uzima, mifumo yote ya hila inayozuia mafanikio yangu inaondoka kwa moto na kwa damu ya Yesu,
Mungu asinipite nijue mfumo mpya uliopo kwny maisha yangu
Killa zuio liondoke katka maisha yangu kwa neno la BWANA
Asante YESU KRISTO
Eeh! Mungu tupe maarifa ya kutosha ili kushughulikia ipasavyo udhalimu na ugandamizaji uliopo ktk mifumo ya maeneo mbalimbali kwenye familia na jamii yetu inayozuia mafanikio ya maisha yetu.
mungu wa mbinguni asante kwa mwalimu christopher mwakasege juu ya neno hili. aminaaa
Yesu kumbuka maisha yangu Amen
Yesu niko hapa usinipite mwokozi
Amen
Mbingu zikunenee mema mtumishi wa Mungu
Yesu nitetee na uwe nami kila siku
Yesu Napokea urejesho kwenye Maisha yangu katika Jina La Yesu Kristo
Haleluya utukufu kwa Bwana Yesu jidhihirishe katika mji wa singida
Asante Yesu kunisikizisha neno lako nchi ya utumwa 😊🇸🇦🇸🇦👋
Amen! 2:57
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Asante mungu mwema kila wakat tunazid kumtukuza kila wakat wewe ni Ebenezer
Mungu nimwema damu yako inenemema katika nyumbani kwangu mungu wasitahili bwana
Asante Baba Mungu kuniletea Neno
Amina ubarikiwe sana
Ameni
Yesu kumbuka biashara yangu
Amen❤❤❤❤😊
Amina kubwa ubarikiwe
NAAMINI NYUMBA YANGU YA MERU NITAIPATA WALE WANAOTAKA KUNINYANGANYA MUTUMA NA WENZAKE EE YESU INGILIA KATI NIWEZE KUPATA ADUI WAPATE KUSHINDWA MHARIBU.ASHINDWE KTK DAMU YA YESU
Amen 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen
Asante asante
🙏🏻🙏🏻
Tunashukuru mungu amekuwa msaada kwa wengi
🎉🎉🎉
Watu wa singida msikose kwenda kwenye semina nawaomba
Amen
Amen🙏
Eeeh Yesu mwema nakutumainia
Asant Yesu
Mungu nikumbuke kwenye uzO wa tumbo langu
Bwana yesu asifiweh.....kwa tv ni jina gani tu search
🙏🏼 🙏🏼
Mbona me funga download jaman
Navunja maagano yote yaliyofunga uchumi wa kaka yangu
Amina Amina
YESU usinipite
🙏🙏🙏
Ame
🙏
Asante sana naamini mfumo wangu umebadilika asante san mtumish wa MUNGU
Ameni🙏
Yesu ingilia kati mtoto wangu
Kila zui Katika upataj riziki naifungua ktk jina la yesu nafungua kila mahali adui alipo funga magonjwa nakemea hapa sio mahala pake
Najunganisha namaombi
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
A
MUNGU wa Mbinguni tufungue
Amen
Bwana Yesu Kristo tenda Sawa Sawa na kusudio lako Ameen
Amen🙏