1. KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Semina ya neno la Mungu Singida || Day 1 || Tarehe 17 JULAI 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

КОМЕНТАРІ • 119

  • @victoriaodhiambo6071
    @victoriaodhiambo6071 Місяць тому +8

    Bwana Yesu naomba uniondolee kila zuio katika kumiliki kwangu na uduma yangu. Na kila mazuio katika mazabau za ukoo zivunjike Katika jina la Yesu Amina.

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Місяць тому +6

    Mungu wape nguvu mpya watumishi wako wa MANA waendelee kuifanya kazi yako katka jina la Yesu. Damu ya Yesu inene mema juu yao.

  • @adventinahevaristo9558
    @adventinahevaristo9558 Місяць тому +6

    Mshahara wangu niliodhulumiwa kule mpunguzi naamn naenda kulipwa .... Sehem ya kumi nitakutolea Mungu 😢😢

  • @justicemollel4928
    @justicemollel4928 27 днів тому +1

    Hallelujah! Hallelujah! Ubarikiwe sana babaetu mwl. Wewe ni chombo cha Bwana. Namuomba sana Mungu aweze kukulinda kukutunza na kukuimarisha katika kuwepo hapa duniani ili upate kulikamilisha kusudi la Mungu alilokupa

  • @josephinesisso6598
    @josephinesisso6598 Місяць тому +4

    Mungu baba kaondoe Kila zuio ktk familia yetu ,vifungo vya kiuchumi,elimu,Afya,ndoa na kibali kutoka kwako baba Mungu naomba ukafungue nakuharibu madhabau chafu ktk Jina la Bwana wetu Yesu kristo naomba nikiamini🙏

  • @ulumbimtua8876
    @ulumbimtua8876 Місяць тому +15

    Asantee Jehova kwa kutuletea mwakasege,Mungu aendelee kukuinua zaidi❤

  • @LucyGasper-df2uc
    @LucyGasper-df2uc Місяць тому +4

    Bwana ondoa zuio lililofanywa kwa njia ya matamko ,sadaka ili kuzuia mafanikia ya kiuchumi ,taaluma,ucha Mungu ktk watu wa nyumba ya baba zetu na mama zetu ktk kizazi hiki.Kwa jina la Yesu kristu wa Nazareti.Amen

  • @user-rh9uj3ye6x
    @user-rh9uj3ye6x Місяць тому +12

    Damu ya YESU iliyomwagika msarabani ikaondoe kila zuio ktk maishayangu kwa JINA LA YESU.am8na.

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 Місяць тому +4

    Kila zuio kwenye mfumo wa ndoa, elimu,AFYA, kazi lililo kwenye familia yangu uzao wangu,kwa mume wangu Deusdedit na familia yake liondoke kwa jina la YESU KRISTO wa Nazareth Alie hai.
    Kika zuio kwenye mkutano huu liondoke kwa jina la YESU KRISTO wa Nazareth. Amen

  • @MercyLaman
    @MercyLaman Місяць тому +5

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @petergasper7957
    @petergasper7957 Місяць тому +2

    Ubarikiwe sana unaetafsiri kwa ndugu zetu viziwi. Nao wanapata neno la mafundisho.

  • @AnitherFideri
    @AnitherFideri Місяць тому +2

    Kila zuio liondoke kwenye maisha yangu kwa jina la yesu

  • @anethsiame8789
    @anethsiame8789 28 днів тому

    Asante kwa somo hili naamini Mungu anampango mzuri na Mimi kumfungua mifumo yangu

  • @DinnaRossana
    @DinnaRossana Місяць тому +1

    Mungu Baba wa mbinguni katika jina la Yesu ninaomba kila zuio lililoshika uchumi wa familia yangu Elimu shindwa kwa jina la yesu..

  • @noelamboya5698
    @noelamboya5698 Місяць тому +2

    Hakika Mungu ni mwaminifu, asante kwa somo hili uliloachilia kwetu tukalisikia kama watumishi wako.

  • @nuruelkeneth9940
    @nuruelkeneth9940 Місяць тому +1

    Amen 🙏 napokea miujiza ya kazi kila nilikotuma maombi yakazi nikaitwe kesho naamini kupitia mtumish wa Mungu milango itafunguka kwani nimechoka mazuio kwenye maendeleo yang 🙏🙏

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Місяць тому +2

    Kazi.nzuri.

  • @AnthoniaMaji-zm9tf
    @AnthoniaMaji-zm9tf 20 днів тому

    Mungu akubariki sana. Mara nyingi neno langu hupitia kinywa chako😊

  • @priscaTweve-l2y
    @priscaTweve-l2y Місяць тому +3

    Amen Barikiwa Mwalimu

  • @EvEmanuelSamson
    @EvEmanuelSamson Місяць тому +2

    Amen NAMI napokea furusa /milango ya mafanikio kwa uwepo huu mkuuu

  • @angelbachuba9036
    @angelbachuba9036 Місяць тому +1

    Mungu wa Rehema naomba toba kwenye mifumo iliyofanya zuio kwenye uchumi wangu na tumbo la uzazi. Mungu naomba uniingize ndani yako. Amen

  • @SalomeMwakilambo
    @SalomeMwakilambo 7 днів тому

    Kwa nguvu ya neno litokalo kinywani mwako Mungu, ninaomba utuondolee mazuio ya kumiliki nyota zetu utuondolee mazuio ya ya mifumo ya baraka zetu kiroho, kimwili na kiakili

  • @user-eg8yq7nf2m
    @user-eg8yq7nf2m Місяць тому +2

    Mungu uinuliwe katika yote uilinde madhabahu hii onyesha ukuu wako singida katika siku tano

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Місяць тому +1

    Mungu ni mwema Singida tumefikiwa na semina. Kwa damu ya Yesu tukauone wokovu wake katika kila sehemu. Amen

  • @user-yd2zi9lo1f
    @user-yd2zi9lo1f Місяць тому +1

    Amen ubarikiwe napokea mamlaka ya kumrikii haki yangu

  • @ruthgreen3274
    @ruthgreen3274 Місяць тому +1

    Mungu Akutunze na kukubariki Mwl Kwa Utukufu wake, wewe na familia na team nzima!!

  • @salomengowi3383
    @salomengowi3383 Місяць тому +1

    Nifanye nini mimi zaidi ya kukuabudu na kukusifu mchana na usiku Ee Mungu, hakika Unajua kunipigania nisikate tamaaa, pamoja Na vita yoteeee lakini Bwana hunitia nguvu Na kunipa amani🙏🙏

  • @NdeshiStephen
    @NdeshiStephen Місяць тому

    Ahsante yesu kwa hii semina.mungu nakuomba tuondolee mifumo inayoleta audio la afya ,ndoa,elimu,uchumì.

  • @EvEmanuelSamson
    @EvEmanuelSamson Місяць тому +1

    Naungana pamoja katika semina na maombez mungu anapobark nam nibarikiwe saa hii

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala Місяць тому +3

    Jaman mafundi mitambo rekebisha kidogo tupate kuidanilodi jamn tunawaomba lakn

  • @user-gv7xo2ib8q
    @user-gv7xo2ib8q Місяць тому +1

    Mungu ni mwema NAMI anikumbuke na kuniondolea Kila zuio na kunipa mpenyo pamoja na familia yangu

  • @danielmamelafrokenya3816
    @danielmamelafrokenya3816 Місяць тому +3

    Haki ya ardhi ya baba yangu tuliodhulumiwa mungu aturudishiiii

  • @siahulomi1445
    @siahulomi1445 Місяць тому

    Mungu naomba umfungue mama yangu apate uponyaji kwa dam ya Yesu Kristo.naomben pia kila anaeomba amuombee mamangu apone stroke.

  • @user-tv4fm7rf1p
    @user-tv4fm7rf1p Місяць тому +1

    Nakuomba Bwana wewe utuamue wewe na kurejesha mfumo wako katika huduma yetu., katika familia, katika biashara zetu. Katika kazi za watoto wangu. Na wanaotafuta kazi wafungulie mifumo. Bwana pigana na mifumo yote iliyofungwa ee Bwana. Nipe kukutumaini wewe.

  • @MwaminiMuumbaji
    @MwaminiMuumbaji Місяць тому +1

    Ee YESU nirehemu

  • @LucyGasper-df2uc
    @LucyGasper-df2uc Місяць тому +1

    Hakuna wa kufananishwa na wewe Mungu wetu.Wewe huwarehemu watu wako wanaokulilia usiku na mchana

  • @joelkimario42
    @joelkimario42 Місяць тому +2

    Damu ya agano jipya itufunike na kutufundisha neno lako

  • @wilfredjohn4829
    @wilfredjohn4829 Місяць тому +1

    Barikiwa Baba yangu Mungu akulinde na kukutunza Amen...

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile Місяць тому

    Asante Mungu kwa elimu hii ni kubwa mno na yenye maelezo ya kina.Mbariki Mtumishi wako..

  • @furahangilangwa7904
    @furahangilangwa7904 Місяць тому +1

    Namuombea mama angu apokee uponyaji wa miguu

  • @user-cr7te4bh7r
    @user-cr7te4bh7r Місяць тому +1

    mungu azidi kukueka wengi tunatengemea mafundisho yako

  • @reginalderasto5247
    @reginalderasto5247 Місяць тому +1

    Watu wa sound Mungu awasaidie

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 Місяць тому +1

    Asante Yesu kwa upendo huu mkuu

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w Місяць тому

    Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki YESU ni mshindi nimepona

  • @HadijaMwakaselema
    @HadijaMwakaselema Місяць тому +1

    Yesu kumbuka kazi za mikono yangu

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Місяць тому +1

    Mungu azidi kukutunza na Familia yako na team nzima ya Mana 🙏

  • @marymessay2768
    @marymessay2768 Місяць тому

    Asante Yesu kwa ujumbe wa neno lako la uzima, mifumo yote ya hila inayozuia mafanikio yangu inaondoka kwa moto na kwa damu ya Yesu,

  • @philipomollel4677
    @philipomollel4677 Місяць тому

    Mungu asinipite nijue mfumo mpya uliopo kwny maisha yangu

  • @EvelynRwegasira
    @EvelynRwegasira Місяць тому +1

    Killa zuio liondoke katka maisha yangu kwa neno la BWANA

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Місяць тому +1

    Asante YESU KRISTO

  • @jullymosi9943
    @jullymosi9943 Місяць тому

    Eeh! Mungu tupe maarifa ya kutosha ili kushughulikia ipasavyo udhalimu na ugandamizaji uliopo ktk mifumo ya maeneo mbalimbali kwenye familia na jamii yetu inayozuia mafanikio ya maisha yetu.

  • @jackeniibraimusenga2200
    @jackeniibraimusenga2200 Місяць тому

    mungu wa mbinguni asante kwa mwalimu christopher mwakasege juu ya neno hili. aminaaa

  • @MARTHAALEX-p6o
    @MARTHAALEX-p6o Місяць тому +1

    Yesu kumbuka maisha yangu Amen

  • @user-yl6be8wx5x
    @user-yl6be8wx5x Місяць тому +1

    Yesu niko hapa usinipite mwokozi

  • @furahangilangwa7904
    @furahangilangwa7904 Місяць тому

    Amen

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 Місяць тому +1

    Mbingu zikunenee mema mtumishi wa Mungu

  • @fatnasaid4301
    @fatnasaid4301 Місяць тому +1

    Yesu nitetee na uwe nami kila siku

  • @elizabethalex6138
    @elizabethalex6138 Місяць тому

    Yesu Napokea urejesho kwenye Maisha yangu katika Jina La Yesu Kristo

  • @mwendwanoah5225
    @mwendwanoah5225 Місяць тому

    Haleluya utukufu kwa Bwana Yesu jidhihirishe katika mji wa singida

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 Місяць тому

    Asante Yesu kunisikizisha neno lako nchi ya utumwa 😊🇸🇦🇸🇦👋

  • @AllenMpeta
    @AllenMpeta Місяць тому

    Amen! 2:57

  • @emmanuelelias7589
    @emmanuelelias7589 Місяць тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @user-vz6lu3fd1m
    @user-vz6lu3fd1m Місяць тому

    Asante mungu mwema kila wakat tunazid kumtukuza kila wakat wewe ni Ebenezer

  • @user-ve1wl3jv6r
    @user-ve1wl3jv6r Місяць тому

    Mungu nimwema damu yako inenemema katika nyumbani kwangu mungu wasitahili bwana

  • @user-lj7oq5hp4f
    @user-lj7oq5hp4f Місяць тому

    Asante Baba Mungu kuniletea Neno

  • @user-cs8cl3ty8p
    @user-cs8cl3ty8p Місяць тому

    Amina ubarikiwe sana

  • @HadijaMwakaselema
    @HadijaMwakaselema Місяць тому

    Ameni

  • @marynakei2621
    @marynakei2621 Місяць тому +1

    Yesu kumbuka biashara yangu

  • @user-kv3ng8jp5w
    @user-kv3ng8jp5w Місяць тому

    Amen❤❤❤❤😊

  • @user-sn9lh6gv7t
    @user-sn9lh6gv7t Місяць тому

    Amina kubwa ubarikiwe

  • @gracenashengena3366
    @gracenashengena3366 Місяць тому +19

    NAAMINI NYUMBA YANGU YA MERU NITAIPATA WALE WANAOTAKA KUNINYANGANYA MUTUMA NA WENZAKE EE YESU INGILIA KATI NIWEZE KUPATA ADUI WAPATE KUSHINDWA MHARIBU.ASHINDWE KTK DAMU YA YESU

  • @Lovenessimon-zz8qg1jz6j
    @Lovenessimon-zz8qg1jz6j Місяць тому

    Asante asante

  • @user-gv1op9qg3l
    @user-gv1op9qg3l Місяць тому

    🙏🏻🙏🏻

  • @HopeMbise-k9n
    @HopeMbise-k9n Місяць тому

    Tunashukuru mungu amekuwa msaada kwa wengi

  • @AnitherFideri
    @AnitherFideri Місяць тому

    🎉🎉🎉

  • @MariaEnock
    @MariaEnock Місяць тому +1

    Watu wa singida msikose kwenda kwenye semina nawaomba

  • @Lovenessimon-zz8qg1jz6j
    @Lovenessimon-zz8qg1jz6j Місяць тому

    Amen

  • @JoyceAmos-p2s
    @JoyceAmos-p2s Місяць тому

    Amen🙏

  • @benadethamlay3395
    @benadethamlay3395 Місяць тому

    Eeeh Yesu mwema nakutumainia

  • @EvaEzekiel
    @EvaEzekiel Місяць тому

    Asant Yesu

  • @dianamlowe1950
    @dianamlowe1950 Місяць тому

    Mungu nikumbuke kwenye uzO wa tumbo langu

  • @user-zz9fn8bv2n
    @user-zz9fn8bv2n Місяць тому

    Bwana yesu asifiweh.....kwa tv ni jina gani tu search

  • @LinahRasia
    @LinahRasia Місяць тому

    🙏🏼 🙏🏼

  • @user-bt9uy5wn8y
    @user-bt9uy5wn8y Місяць тому

    Mbona me funga download jaman

  • @furahangilangwa7904
    @furahangilangwa7904 Місяць тому

    Navunja maagano yote yaliyofunga uchumi wa kaka yangu

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath Місяць тому

    Amina Amina

  • @user-yl6be8wx5x
    @user-yl6be8wx5x Місяць тому

    YESU usinipite

  • @user-kc5le8wi3z
    @user-kc5le8wi3z Місяць тому

    🙏🙏🙏

  • @marymfoi9349
    @marymfoi9349 Місяць тому

    🙏

  • @PendMartinShalua
    @PendMartinShalua Місяць тому

    Asante sana naamini mfumo wangu umebadilika asante san mtumish wa MUNGU

  • @JoyceAmos-p2s
    @JoyceAmos-p2s Місяць тому

    Ameni🙏

  • @Emmylyimo
    @Emmylyimo Місяць тому

    Yesu ingilia kati mtoto wangu

  • @nancysimon4453
    @nancysimon4453 Місяць тому

    Kila zui Katika upataj riziki naifungua ktk jina la yesu nafungua kila mahali adui alipo funga magonjwa nakemea hapa sio mahala pake

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 Місяць тому

    Najunganisha namaombi

  • @mamsaramamassawe.4797
    @mamsaramamassawe.4797 Місяць тому

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sarahboke9352
    @sarahboke9352 18 днів тому

    A

  • @happymaimu4330
    @happymaimu4330 Місяць тому

    MUNGU wa Mbinguni tufungue

  • @SalomeLyakurwa
    @SalomeLyakurwa Місяць тому

    Amen

  • @elizabethalex6138
    @elizabethalex6138 Місяць тому

    Bwana Yesu Kristo tenda Sawa Sawa na kusudio lako Ameen

  • @JoyceAmos-p2s
    @JoyceAmos-p2s Місяць тому

    Amen🙏