Naaaam Sheikh Nurdin Kishk endelea kusimama ktk haqq namuomb Allah azid kukupa nguvu kutetea haqq na akulinde na killa hilla mbofu , amiin 🤲 2po pamoj naww Sheikh wetu , na hao masharif feki na wapamb wao namuomb Allah awaumbue dunian na akhera
Biidhni Alah ataanguka tu kila atakae udhalilisha uislam. Shukran sheikh Kishki Allah akujaalie umr tawil wenye kheri na barakah,Allah akuzidishie ilm naafi'a uzidi kutetea haki. Amiin Yaa Rabb Al a'alamiin
Huyo kishki ndo awafahamishe watu huyo sharifu olijino ni yup na Yuko wapi Kama huyo ni fake na wakati Kuna waumini wanasema kadri wanavyohudhuria visomo kwa huyo sharifu fek Kuna mwanga wanauona kutokana na majanga yao Sasa wewe Kish una maono gani ya kumjua huyu ni sharifu ama si sharifu na hata wewe una mapungufu usiwaingize wenzio motoni ikiwa Muhammad mtume Allah. Amemsamehe lakini bado alikuwa akiomba msamaha kwa mola wake
@@MoodyOne-g5tkila ubaya na uovu lazima ukemewe,ubainishwe ili watu wajue,ataekubali yuko sawa asiyekubali ni juu yake.Ufeki ktk dini upo na huo ni utapeli.
Masha Allah tabaraka Allah sheikh Allah atuhifadhi tuko na wewe benet sana yaani umenyooka sana kwani ukweli umewapa ukweli ingawa watakataa lkn uko sahihi kabisa
Allah akulinde na kila aina ya mabaya na akupe nguvu ktk kulingania mema na ukujalie pepo ya fridaus uwe pamoja na mtume nakupenda sana kwa ajili ya ALLAH
Safi kishki.maostax wengi ssv wamekuwa hawana misingi y allh wamekuwa machawa kama wakina mwijaku.wanashindwa tambua wameitwa masheq kwakuwa niwajumbe wamwenyezi mungu.ssv msikitini badala yakutajwa allah namtume wake mtu ana nadi watu nakutaja watu malufu misikitini kama wakongo kwenye Boling tunakwenda wapi tunaowategemea kutuongoza kwenye wislam😢
Biashara ya dua imekuw kubwa nshakutana na shkh akanammbia. Nna shaitwan dua yake ni lki mbili nilichoka anaejibu duaa n Mung xjui anampa kiasi gan mpka. Tunuunue dua
Mimi nilimuomba sheikh hukohuko Tanzania anisomee kisomocha dua nina shida .akaniambia nimtumie $100.akasema atanisomea siku Saba lakini siku yatatu akaniambia nimtumie $50 nikamtumia akaendelea kunisomea siku ya saba akasema nimtumie $500 nikamwambia nitapata wapi hiyo pesa na sijaona mabadiriko yoyote akasema nikachukue deni nimpatie yeye. Kwani mabadiriko yatakuja tu nisijali nimpe kwanza pesa yake.nilichoka sana nikamzimia simu akanitumia ujumbe kuwa yeye anajua kutengeneza na kuharibu pia nikamtumia $250 haijapita hata wiki mbili akasema nimalizie pesa iliyobaki nilijisikia vibaya sana nikamblock. Kama anaweza kinifanyia kitu kibaya afanye tu lakini nimechoka mtoto hadi sasa bado naishi na mzungu.kumuona mara moja kwa week
Uko swahihi sana shekh endelea kutunasihi na hao wapambe wao wanatetea upumbavu nawao ni miongoni mwao,,,,,njaa na umaarufu na vyeo vitawatia pabaya hao wengine wakubwa ktk milango ya dini eti wanatetea ujaahili ,,,,huli ni janga shekh
Huyu ndo sheikhe tuna mkubali Burundi sijuwi Tanzania mna matatizo gan yani mambo mengi wa Tanzania mna zusha muonekano wa hayo mambo si tafauti na makafiri huyu sheikhe ata pingwa sana ata tukanwa sana sababu si mtu wa maulidi
KEMEA MAPEPO HAYO NISHASEMA NIĹICHOKIONA KWA SHEKHE MAZINGE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI DKT SULE WOTE HAWA NI MAPEPO WATU WASHIRKI HAWA WANAFIKUNAA HAWA LAKINI NIKAAMBIWA MIMI KAFIRI MMESHINDWA KUJUA MAANA YA NENO KAFIRI NENO KFIRI NI MTU ANAYEENDA KINYUME NA MAMBO YA MWENYEZI MUNGU
shekh waambie awa maan wengi hawajui kitu ndo tunafata muongozo kwenu mashekh lakn baadhi yenu ndo kama iv wanatuvuruga tu na upako kwenye uislam we ulisikia wap
Basi usharifu upewe wew nurdin kishk na watu wote wanaenda pale waje kwako uwombee maana wewe ndo sharifu unatokanana na nasaba ya mtume Muhammad ila kaa ukijua masharifu kama hao wapo kibao tena ni wanafanya ugagnga umemuona huyo kijana tuu,muacheni anatafuta rizk zake atakutana na mola wake
Shekh kishki huyu kijana hana dini kabisa taratibu zote hizo za kikristo . Uislam hauna taratibu hizo za kudhalilisha wake zetu na watoto wetu huyu kijana hana nia nzuri kwanza hata ilmu ya dini hana .
ASANTE KWA KUFUATILIA UA-cam CHANNEL YETU PIA AHSANTE KWA KUTAZAMA VIDEO HII PIA TUNAOMBA USISAHAU KU SUBSCRIBE 🙏🙏
Mashaalah❤❤❤❤❤mashaalah tupo pamoja.nawewe
Naaaam Sheikh Nurdin Kishk endelea kusimama ktk haqq namuomb Allah azid kukupa nguvu kutetea haqq na akulinde na killa hilla mbofu , amiin 🤲 2po pamoj naww Sheikh wetu , na hao masharif feki na wapamb wao namuomb Allah awaumbue dunian na akhera
Biidhni Alah ataanguka tu kila atakae udhalilisha uislam.
Shukran sheikh Kishki Allah akujaalie umr tawil wenye kheri na barakah,Allah akuzidishie ilm naafi'a uzidi kutetea haki.
Amiin Yaa Rabb Al a'alamiin
Allah akudizishie kila la khery na azidi kukusimamia In sha Allah
Allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha shekhe wetu tuko pamoja nawewe wallah binafsi nimejifunza mengi kupitia mawaiza yako shekhe
Jazaka allah ghAiru sheikh mazinge kapambana kwenye din,ila anamaliza vibaya inauma Sanaa kuona mazinge kawa mwamposa
Allah akulinde sheikh akuweke mbali na shari zote mbaya Allah akuzidishiye nguvu ya kupambana na watu wabaya Allah akupe heri zote zaduniyani na Ahera
Allha akujaliye kishik uzidi kwakumbosha mema ❤❤❤
From Burundi Allah azidikukulinda sheih kish
Subhanallaah Allah akujaze khery shekhe
Asallam maalequ Maashallah Maashallah Maashallah Allahadulilah Allahadulilah Allah hjelp you Ishaallaha Ishaallaha shekh Kishnki Maashallah Maashallah Allahadulilah Allahadulilah ❤❤❤❤❤❤❤
Subuhanna llah Allah akuongoze na akujalie kauli sabiti sheikh kishk
Swadakta sheik kishki Allah akuifadhi na mabaya....wachane sana hao masharifu feki njaa tupu yawasumbua
ALLAH mlinde shekhe kishk umpe umri mrefu azidi kukemea mabaya yaso nahaki katika dini yetu YA ALLAH tupe mwisho mwema.
ameen
Amiin
Allah akulinde inshaa Allah
Mashallha shee mungu akuongoz mana Yule sio nabii anazuza
Asante haki isemwe hata kama inauma shekh kishnki
THE ONLY SHEIKH IN EAST AFRICA WHO CAN STAND FOR THE TRUTH WITHOUT FEAR
Masha'Allah Allah akupe umri twaweel shekh wetu
Allah akuhifadhi sheikh wetu
Natuko nawe kwa kwa vita hiyo ya kupinga hao wapotesaji
Kwa kweli shekh nakupenda kwa ajili ya Allah napenda ku fata mawaidha yako sana.Mimi naishi Rwanda . Tena Allah akupe maisha marefu
Allah akulipe niko na sheikh kishki mpk watuuwe 😊haki ifyatwe waislam tunaende wapi huu upako sijui umetoka wapi
Kabisa
Allah akuweke akulinde shekhe wetu umeongea point hao mashekhe wanao muunga mkono njaa Tu tena nimemshangaa Sana huyo walid
Sasa Walid si kapewa kibunda na sharifu fake unataka aseme nini😢
Amiin
aaamin inshallah
Huyo kishki ndo awafahamishe watu huyo sharifu olijino ni yup na Yuko wapi Kama huyo ni fake na wakati Kuna waumini wanasema kadri wanavyohudhuria visomo kwa huyo sharifu fek Kuna mwanga wanauona kutokana na majanga yao Sasa wewe Kish una maono gani ya kumjua huyu ni sharifu ama si sharifu na hata wewe una mapungufu usiwaingize wenzio motoni ikiwa Muhammad mtume Allah. Amemsamehe lakini bado alikuwa akiomba msamaha kwa mola wake
@@MoodyOne-g5tkila ubaya na uovu lazima ukemewe,ubainishwe ili watu wajue,ataekubali yuko sawa asiyekubali ni juu yake.Ufeki ktk dini upo na huo ni utapeli.
Jazakumukheri sheik kishiki
Allah akuhifadhi shekh wetu kipenzi unaeweza kutufunza sisi tusiyeweza kujua tunachokifanya katika kumtukuza Allah
❤amin mungu akulipe mema
Sheikh nakukubali nakupenda kwaajili ya Allag. Mwalimu wangu wa kwenye mtandao
Ndugu zangu katika dini Imani hajajariwa mwanadamu isipokuwa alie neemeka na Rahma za Allah
🎉ALLAHUAKBARU ALLAH AKUPE AFYAA MAALIM
Wallah nilikuwa na ngojea sana sheikh Kishki aongee kuhusu hili swala maana tumewachoka sana Hawa masharifu wa uwongo
ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH
Shukran sana Sheikh kishki .(ALLAH) akulinde akupe afya Na umri uzidi kupinga bidhaa zinazo kithiri.
Elimisha shekh uko sahihi kabisa
Allah akupe nguvu na afya ya kuwakemea maana sasa hiviwamezidi njaaa hao.
Shukran Shaikh
Allah akujaze Nuru sheikh wetu
Shekh wetu sisi Tuko pamoja na wewe 😢😢
Allah atulindiee shekh kishik Hawa matapeli
Masha Allah tabaraka Allah sheikh Allah atuhifadhi tuko na wewe benet sana yaani umenyooka sana kwani ukweli umewapa ukweli ingawa watakataa lkn uko sahihi kabisa
Allah akujalie Killah laheri
Hao ni mashekhee njaaa,wanaharibu sifa ya uislaam
Allah akulinde na kila aina ya mabaya na akupe nguvu ktk kulingania mema na ukujalie pepo ya fridaus uwe pamoja na mtume nakupenda sana kwa ajili ya ALLAH
Allah_akulipe_kwa_hilo_
Usiache kusema shehke Allah akupe nguvu
Allah tusaidiye uyu shalifu atumtaki❤❤❤❤❤
Shekhe wetu kishki Allah akuhifadhi
❤❤❤❤ unaongea vzr
Allah🤲 akupe akheri jmn😢
Allah akubaari
Allah akuongoza
Unayoyasema ni kweli tupu, Allah akuhifadhi, amiin
Be blessed Shkh Kishk
mashaallah jazakallahu khairan
Safi kishki.maostax wengi ssv wamekuwa hawana misingi y allh wamekuwa machawa kama wakina mwijaku.wanashindwa tambua wameitwa masheq kwakuwa niwajumbe wamwenyezi mungu.ssv msikitini badala yakutajwa allah namtume wake mtu ana nadi watu nakutaja watu malufu misikitini kama wakongo kwenye Boling tunakwenda wapi tunaowategemea kutuongoza kwenye wislam😢
Hata mtume Muhammad walimuita majnoon, sheikh kishki ni mwiba kwa ma conman
Allah akujaalie. Machawa na watu wa kishirikina.washirikina wote hao sharif
Subhan Allah
Tupo pa1 shekhe wetu
Mashallah
Uko sahihi KISHKI KAZIYA HAPO HAPO MZEE WA UKWELI MASHARIFU MAJINA NI MATAPELI TENA MATAPELI
Biashara ya dua imekuw kubwa nshakutana na shkh akanammbia. Nna shaitwan dua yake ni lki mbili nilichoka anaejibu duaa n Mung xjui anampa kiasi gan mpka. Tunuunue dua
Mimi nilimuomba sheikh hukohuko Tanzania anisomee kisomocha dua nina shida .akaniambia nimtumie $100.akasema atanisomea siku Saba lakini siku yatatu akaniambia nimtumie $50 nikamtumia akaendelea kunisomea siku ya saba akasema nimtumie $500 nikamwambia nitapata wapi hiyo pesa na sijaona mabadiriko yoyote akasema nikachukue deni nimpatie yeye. Kwani mabadiriko yatakuja tu nisijali nimpe kwanza pesa yake.nilichoka sana nikamzimia simu akanitumia ujumbe kuwa yeye anajua kutengeneza na kuharibu pia nikamtumia $250 haijapita hata wiki mbili akasema nimalizie pesa iliyobaki nilijisikia vibaya sana nikamblock. Kama anaweza kinifanyia kitu kibaya afanye tu lakini nimechoka mtoto hadi sasa bado naishi na mzungu.kumuona mara moja kwa week
Takbr
Uko swahihi sana shekh endelea kutunasihi na hao wapambe wao wanatetea upumbavu nawao ni miongoni mwao,,,,,njaa na umaarufu na vyeo vitawatia pabaya hao wengine wakubwa ktk milango ya dini eti wanatetea ujaahili ,,,,huli ni janga shekh
Shekhe kishki,,
Huku dk sure nae anamtetea sharifu feki 😢😢😢😢
Manyau nyau😂😂😂الله يحفظك شيخ❤❤
Alla akulind
Kishk u are the best
Huyu ndo sheikhe tuna mkubali Burundi sijuwi Tanzania mna matatizo gan yani mambo mengi wa Tanzania mna zusha muonekano wa hayo mambo si tafauti na makafiri huyu sheikhe ata pingwa sana ata tukanwa sana sababu si mtu wa maulidi
Watakuelewa tu shekhe wangu. Yani dini imeinguliwa na mashehe wa mchongo nchi hii
Zaidi ya kutafuta Tawheed ienee ktka maisha yetu
Gostei muito de che
Sisi sio wajinga tupo pamoja na kishki mpka mwisho nguvu moja 💪💪❤️tunaompenda kishki gonga like apo
Mm niko pamoja naww Sheikhe
Msema ukweli siku zote huonekana mbaya sema kwende shekhe wangu
Sheikh wa mkoa wa dareslaam hajiangalie
Mashaallah shekh
shalifu anapiga Pesa wanagawana na mashehe wapambe wanaficha ukweli
Tuko pamoja kishki
Upo sw shekh
KEMEA MAPEPO HAYO NISHASEMA NIĹICHOKIONA KWA SHEKHE MAZINGE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI DKT SULE WOTE HAWA NI MAPEPO WATU WASHIRKI HAWA WANAFIKUNAA HAWA LAKINI NIKAAMBIWA MIMI KAFIRI MMESHINDWA KUJUA MAANA YA NENO KAFIRI NENO KFIRI NI MTU ANAYEENDA KINYUME NA MAMBO YA MWENYEZI MUNGU
hawo wanawo jiita masharifu nawaombeya kwa Allah aweze kuwafunguwa macho kwasababu bado wako gizani
shekh waambie awa maan wengi hawajui kitu ndo tunafata muongozo kwenu mashekh lakn baadhi yenu ndo kama iv wanatuvuruga tu na upako kwenye uislam we ulisikia wap
Sina ilimu nigekuwa nawe kwenye membar mungu akujaliye umri ata kama sija soma kwa kili ya haraka haraka
❤❤
Majambazi haoo wamezidi ktk mitandao biashara zao za haramu hawana haya!! Allah atawaona kwa tamaa zao awadhalilishe Yarrab..
❤
Basi usharifu upewe wew nurdin kishk na watu wote wanaenda pale waje kwako uwombee maana wewe ndo sharifu unatokanana na nasaba ya mtume Muhammad ila kaa ukijua masharifu kama hao wapo kibao tena ni wanafanya ugagnga umemuona huyo kijana tuu,muacheni anatafuta rizk zake atakutana na mola wake
Kishik nakumbuka wewe ni mtu wa kwanza kupinga utapeli wa babu wa loliondo kwa hiyo 2ko pamoja siku zote
Sheik wangu ni kweli mtu ajisomee mwenyewe,jee kama hajui basi pia asitafute sheik wakumsomea?
Ila kisheria haijalatazwa
Yani hao ni Wana fiki wanajua wanayo yafanya ila wanadhihaki waislam Hadi mazinge ni chawa sija tegemea kweli!!
Asalam alaikum warahmaturullah wabarakatuh naombeni mtu ambaye ana namba yake shekh wetu anitumie kuna kitu nataka nijue
daah mtihani sana
Shekh kishki huyu kijana hana dini kabisa taratibu zote hizo za kikristo . Uislam hauna taratibu hizo za kudhalilisha wake zetu na watoto wetu huyu kijana hana nia nzuri kwanza hata ilmu ya dini hana .
Na hawa wadudu wajue kishki ni imamu shaafi ahmad ibnu hambal na masheikh wa aqida wote
Waeleze ukweli Shkh wetu mana Tznia inaongoza kwa wasanii aibu tupu vishekh uchwara njaa wizi vijambazi hawana hata aibu?
Mwatafuta umaarufu tu....kama mazinge amaliza vibaya huenda ikawa hata nyinyi mnamaliza vibaya.
Wengine unawaita kwako mbona hawa huwaiti wawaangaza hadharani?
Ukichunguza sana lamda mkongo kaja kwenye mpatizo tu kisha asepe zake
Mudiru wanaokupinga nafsi zao zinawasuta wallhahi,,,,,
10:28❤❤
Na ajue ya kuwa Allah amekataa kuangalia Haram