Asalaam alaikum wa rahmatu llah wa barakatu Alhamdulillah rabil alamin Nashkuru mola Karima kwa kukuwezesha kutupa elimu Allah subhana wa taala akuzidishiye kila jema Sheikh kipenzi cha wa islam, vipi na weza kupata vitabu hivyo mana makao yangu ni hapa ulaya je na weza kutumia malipo na crédit card? nashukuru wa salam alaikum wa rahmatu llah wa barakatuh
Nanyie wakirsto subirien siku ya kiama huyo yesu atakavyo wakana mtalia na kusaga meno ngojen sasa mkaidi hafaidi mpaka siku ya idd nanyie endeleen kukaidi mtafaidi siku ya kiama
Wasilamu, mje kwa YESU Christo, yeye pekeyake, ndio njia ya ukweli kwa Mungu. Mje kwa Yesu, msipoteye. Shatani alisha wafunga macho yenu. But I pray that Lord Jesus would open your eyes to show you the true path.
Thank you honey, I pray that the Lord Jesus Opens your eyes and see the truth. Mungu akubariki, na ninakuombea sikumoja utajuwa ukweli, yakwamba Yesus ndio njia ya Ukweli yakufika Binguni. :)
Ukifuta hilo andiko utakua umefanya kitu cha maana, NA PEPO WACHAFU WALIPOMUONA YESU WALIANGUKA MBELE YAKE NA KUSEMA, KWELI WEWE NI MWANA WA MUNGU, kumbe pepo wachafu walikua marafiki wa yesu, wewe unadanganya, alafu nikukumbushe kua kila siku mnajitoa mapepo uko kanisani wakati kiti cha shetani cha henzi kiko kanisani bisha tu wewe, na hapa duniani hakuna uokovu waokovu niwale walio okoka na adhabu ya moto
darlin kiwanga mbaki na majini yenu kumbe mnaswali nayo. Kumbe majini wote ni waislam na Muhammad ni mtume wao!!! Kweli Mungu aliposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa aliwaona waislam. Vp dini ya Mungu iwe ya majini na mashetani
@@abbasmjatta3102 labda nikupe elimu maana umeongea utumbo na hiyo aya ulioitumia huijui inakwambia nini,kwanza kabisa jini alitangulia katika hii dunia,alafu ikiwa wewe ni msomi unajua kabisa shetani alikua malaika ila amelaani alipo kaidi maagizo ya m/MUNGU, hata wewe ni binadamu lakini uenda ukawa shetani hicho kiburi kikizidi maana ibilisi laana tulwahi alikua na kibri hivyo ivyo, pia hii inakuchanganua kwamba akhera ziko sehemu mbili,kuna sehemu ya watu wema na kuna sehemu ya watu wabaya,yaani wanaotenda mema na kuna wale wanatenda maovu,mfano wewe labda umekesha baa kufanya mahaswi wakati ndugu yako anafanya matendo mema,sasa wataka kuniambia wazazi wenu atawachukia nyinyi wote?alafu nikupe elimu maana umeongea utumbo hii ni haya ipo kwenye bibilia NA PEPO WACHAFU WALIPOMUONA YESU WALIANGUKA MBELE YAKE NA KUSEMA, KWELI WEWE NI MWANA WA MUNGU muulize pastar wako analijua hilo andiko kumbe pepo wachafu walikua marafiki wa yesu,jini nikiumbe na ujue kua wewe uko na kibri ndicho kinacho kusumbua lakini kaa ukijua huko uliko sio sehemu salama, maana wewe ikiwa unachukia jini na unampenda ibilisi laana tulwahi wewe ni chizi, hivi unajua kua kiti cha shetani cha henzi kiko kanisani? Muulize mchungaji wako atakuonyesha ilo andiko,pia nakushangaa ukitwambia kua unashangaa jini akisali!huo ndio utukufu wake Allah na hilo halipingiki,lakini nawashangaa nyinyi makafiri mnaosema mnachukia majini,sasa hiyo ni ishara kua mnaemuabudu hana mamlaka katika hii dunia, maana majini mnapishana nayo kila sehemu je mbona uyo mnaemuabudu hasiwaumbie dunia yenu muache kukanyaga ardhi iliokanyagwa na majini?ujue kua shetani ni mmoja tu na ndie anaetamba na aliaidi kuja kutumaliza na ndie yule aliewaangamiza nyinyi na hilo andiko ulilotumia linawahusu nyinyi na makanisa yenu,Ukiambiwa YESU MUNGU ALELUYAH, ukiambiwa YESU MWANA WA MUNGU ALELUYAH sasa huko sinikukosa maarifa
Shukrani sana sheikh Kwa Elimu hizi ALLAH Akujahalie kheri katika Dunia na kesho Akhera Amiin
Mashaa Allah sheikh wetu I love so much Allah akulinde na kila la Shari in shaa allah
Shekhe kishk, may God protect and bless you fi dunya Wal akhira
Jazakallahu kheir sheikh elimu muhimu
Masha Allah, Hafiduhullah
Baarak Allahu feekum for sharing !
thanks sh kishki we love u so much , may allah meet us on paradas love u
Shukran sana Sheikh Nurdin Kishki Allah akujaalie kila lakheri
Thank you sheikh sharifu suleyman ..may Allah reward you more and more
Shukran jazillan shekhe wetu Allah atujaalie sote twah binadamu na majini wema Amiin
Allah akupe umri mrefu
MashaAllah Allah akujalie InshaAllah 🙏
Asante nurdin kishk
Allah akulinde uwe na afya njema inshallah
Nakupenda kwaajili ya Allah
Mashallah Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuelimisha
Amiin
Mashallah Allah akuzidishie kila lakheri na akukinge na kila shali
Amiin
Asalamualeykum warahma tulahi wabarakatuh sheikh Mimi ni na maswali mengi saaana juu yako sijui Nita kupatake,,,, asalamualeykum shukran sana
Jazakallah khaira
Amin yarab
Subhanallah
Mashallah ya sheikh
Yesu pekee. Hakuna jini mwema. Yote ya kukemea kwa jina la Yesu
Mashaalah mungu akujaalie inshallah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Thank you kishki now I know
Inshallah!
masha Allah
jazaakLlahukhyra
amiin
Amen yarab
Jazakah Allah kheir
ameen yarbbi
Amin
Asalaam alaikum wa rahmatu llah wa barakatu
Alhamdulillah rabil alamin
Nashkuru mola Karima kwa kukuwezesha kutupa elimu Allah subhana wa taala akuzidishiye kila jema
Sheikh kipenzi cha wa islam, vipi na weza kupata vitabu hivyo mana makao yangu ni hapa ulaya je na weza kutumia malipo na crédit card? nashukuru
wa salam alaikum wa rahmatu llah wa barakatuh
sheikh nurdin Alla akulipe kila raheli
Amen aamen yarab😭😭😭😭
Assalam alaikumu ww shekh sasa yenye kukuingia anakuamurisha kua muganga naomba udutafusiriye kwahayo in Shaa Allah
Mashaalh
❤❤❤❤❤
Mashallah
Jazka llah heri
Shehke atoa wito kwa majini 😄😄😄😄
MashaAllah, wapi part 1. :).... BaarakAllahu feek for sharing
MashaAllah. Wapi part 1.
Yesu yesu yesu ni jibu.....majini yanalia
Naona mnawaongelea ndgu zenu
Shekh kila mtu anajini yategemea mwema au mbaya kapandisha ama laa
Kumbe jini ni shetaniiiii !!!! njooni kwa YESU.
Tulia Konga Yesu yenyewe pia ana Mungu wake ambae ndio Mungu wetu waislamu
@@ameirzapy1318 Mungu wa Yesu sio wenu waislam Mana Mungu wenu hawezi kuwa na mtoto kwa kuwa hana mke mtafutieni mke Mungu wenu
inshaa allah
Asalam alaikum sheikh, kwa mfano binaadam anafatwa na mashetani, na yeye ako na jini kwa mwili anamsaidiya,huyo naye ni jini gani?
Yani wachawi nimtihani kwakweli
Na je inakuaje kwa yule anaambiwa ana waalimu wanataka mja afanye tiba yaan atibie
wewe unasema yesu ni kiboko yao je yesu na mungu na mkuu wewe rudi shule!!
Shida ya wakristo. Hawajui tofauti kati Manabii Na Mungu Subhana Allah.
😘
Iweje awe sala 5 apandishe mashetani.... Kuna nini hapo.
Mbn Waislamu Na Wakristo Tunaishi Kwa Upendo Tu..
shekhe kishki ktk kuwataja hawa majini na ainaze..umetumia kitabu gani
Kweli Yesu nikiboko yao Njooni kwa Yesu jamani nizama zamwisho hizi Yesu anarudi tena
Sarah Wanjala Yesu pia ana MUNGU wake alie mtuma ambae ndiye Mungu wa waislamu
Hashim mbonde
yesu kama mna muona kiboko basi jiandaeni na moto wajahanam ss waisilam tunaimani na tunakubali nyiye wakilisito amuna faida
Nanyie wakirsto subirien siku ya kiama huyo yesu atakavyo wakana mtalia na kusaga meno ngojen sasa mkaidi hafaidi mpaka siku ya idd nanyie endeleen kukaidi mtafaidi siku ya kiama
swala inaleta amani nautulivu Ghhhbbv Allah akubariki sana pamoja na Majini wote kwa jina la mkuu wa majeshi Mohamed Abdalah s.a.w!Takbir!
Lailat mrs rajai Mustapha Allah akubariki kwa jina la Mohamed Abdalah!
Una akili ww nyie ndomjiaandae kwasababu ujuwi nn maana ya jini kwann kaitwa jini mme pumbazwa
Use good words
Nikweli Mimi nahisi ninawo baazi wananitesa sana
YESU KRISTO NI KIBOKO YA HAYO MAJINI
shenzi type wewe mshamba
Yesu sio rafiki wa majini ni adui wao
Yesu ni muislamu .Mfuateni kama munampenda
Wasilamu, mje kwa YESU Christo, yeye pekeyake, ndio njia ya ukweli kwa Mungu. Mje kwa Yesu, msipoteye. Shatani alisha wafunga macho yenu. But I pray that Lord Jesus would open your eyes to show you the true path.
wewe ndio unaefaa kuvukaa maana ujielewi unakotoka wala unakoenda ulifungwa macho kitambo sasa fikiria sana unayoyasema
Thank you honey, I pray that the Lord Jesus Opens your eyes and see the truth. Mungu akubariki, na ninakuombea sikumoja utajuwa ukweli, yakwamba Yesus ndio njia ya Ukweli yakufika Binguni. :)
+china china if jesus is ur lord and as u say jesus was killed, this means u av no God!
+china china ur religion has so many faults that u dnt knw of coz u avent learned abt it, u jst fllwng ur parents, study ur religion n u wl leave it!
china china nonsense
Hayo nikwa waislam tu kwetu tulio okoka Yesu ni kiboko ya hayo majini
Ukifuta hilo andiko utakua umefanya kitu cha maana, NA PEPO WACHAFU WALIPOMUONA YESU WALIANGUKA MBELE YAKE NA KUSEMA, KWELI WEWE NI MWANA WA MUNGU, kumbe pepo wachafu walikua marafiki wa yesu, wewe unadanganya, alafu nikukumbushe kua kila siku mnajitoa mapepo uko kanisani wakati kiti cha shetani cha henzi kiko kanisani bisha tu wewe, na hapa duniani hakuna uokovu waokovu niwale walio okoka na adhabu ya moto
clement james hakuna alie okoka wewe acha kukudanganya, tuseme wewe umekamilika ?
upuuzi mtupu....sheikh mzima kuongea vituko namna hii
munibullah marunda wewe ndio mpuuzi kwan apo kakosea wapi kazi kutafuta makosa tu
@@jamilamunisi1480 labda alivyosema kuwa msafi ni muhimu kwake yeye ni upuuz
Hadija mandanje umeona ee kuna wengine mawaidha ayo yanawachoma
Sasa hapo sheikh ameongea upuuzi gani sasa eti?
Sasa hapo sheikh ameongea upuuzi gan au ww ndo haujaelewa
Stop that chinachina everyone ana right yake ya dini utache sawa eheee kuwa na kristo wako wacha tuwe na Allah wetu simple
darlin kiwanga stupid
+Xubi Mohamed stupid ur dad and ur mother swan
Wewe ujielewi .Usipobadili dini yako utachomeka chungu kimoja na huyo ibilisi.
darlin kiwanga mbaki na majini yenu kumbe mnaswali nayo. Kumbe majini wote ni waislam na Muhammad ni mtume wao!!! Kweli Mungu aliposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa aliwaona waislam. Vp dini ya Mungu iwe ya majini na mashetani
@@abbasmjatta3102 labda nikupe elimu maana umeongea utumbo na hiyo aya ulioitumia huijui inakwambia nini,kwanza kabisa jini alitangulia katika hii dunia,alafu ikiwa wewe ni msomi unajua kabisa shetani alikua malaika ila amelaani alipo kaidi maagizo ya m/MUNGU, hata wewe ni binadamu lakini uenda ukawa shetani hicho kiburi kikizidi maana ibilisi laana tulwahi alikua na kibri hivyo ivyo, pia hii inakuchanganua kwamba akhera ziko sehemu mbili,kuna sehemu ya watu wema na kuna sehemu ya watu wabaya,yaani wanaotenda mema na kuna wale wanatenda maovu,mfano wewe labda umekesha baa kufanya mahaswi wakati ndugu yako anafanya matendo mema,sasa wataka kuniambia wazazi wenu atawachukia nyinyi wote?alafu nikupe elimu maana umeongea utumbo hii ni haya ipo kwenye bibilia NA PEPO WACHAFU WALIPOMUONA YESU WALIANGUKA MBELE YAKE NA KUSEMA, KWELI WEWE NI MWANA WA MUNGU muulize pastar wako analijua hilo andiko kumbe pepo wachafu walikua marafiki wa yesu,jini nikiumbe na ujue kua wewe uko na kibri ndicho kinacho kusumbua lakini kaa ukijua huko uliko sio sehemu salama, maana wewe ikiwa unachukia jini na unampenda ibilisi laana tulwahi wewe ni chizi, hivi unajua kua kiti cha shetani cha henzi kiko kanisani? Muulize mchungaji wako atakuonyesha ilo andiko,pia nakushangaa ukitwambia kua unashangaa jini akisali!huo ndio utukufu wake Allah na hilo halipingiki,lakini nawashangaa nyinyi makafiri mnaosema mnachukia majini,sasa hiyo ni ishara kua mnaemuabudu hana mamlaka katika hii dunia, maana majini mnapishana nayo kila sehemu je mbona uyo mnaemuabudu hasiwaumbie dunia yenu muache kukanyaga ardhi iliokanyagwa na majini?ujue kua shetani ni mmoja tu na ndie anaetamba na aliaidi kuja kutumaliza na ndie yule aliewaangamiza nyinyi na hilo andiko ulilotumia linawahusu nyinyi na makanisa yenu,Ukiambiwa YESU MUNGU ALELUYAH, ukiambiwa YESU MWANA WA MUNGU ALELUYAH sasa huko sinikukosa maarifa
Nyie mnaosema Yesu ndo wa kwanza kwenda kwa waganga huyo yesu mwenyewe alisalitiwa na Yuda na Yuda aliingiwa na shetan Mbona hakumtoa sasa
Amin
Mashallah
Subhanallah
Hayo nikwa waislam tu kwetu tulio okoka Yesu ni kiboko ya hayo majini
Ivi nyie wakristo nyie ndo majin
Mashallah