Sheikh KISHKI - {2/2} - MAJINI NIVIUMBE AINAGANI ?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ •

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 2 роки тому +1

    Shukrani sana sheikh Kwa Elimu hizi ALLAH Akujahalie kheri katika Dunia na kesho Akhera Amiin

  • @bahatihadijabahati7456
    @bahatihadijabahati7456 5 років тому +5

    Mashaa Allah sheikh wetu I love so much Allah akulinde na kila la Shari in shaa allah

  • @aminahamisi2837
    @aminahamisi2837 4 роки тому +2

    Shekhe kishk, may God protect and bless you fi dunya Wal akhira

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim8256 5 місяців тому

    Jazakallahu kheir sheikh elimu muhimu

  • @Som-Hanoolaato
    @Som-Hanoolaato 10 років тому +8

    Masha Allah, Hafiduhullah
    Baarak Allahu feekum for sharing !

  • @xubimohamed6128
    @xubimohamed6128 8 років тому +9

    thanks sh kishki we love u so much , may allah meet us on paradas love u

  • @jamilamunisi1480
    @jamilamunisi1480 5 років тому +2

    Shukran sana Sheikh Nurdin Kishki Allah akujaalie kila lakheri

  • @madinaabc4825
    @madinaabc4825 5 років тому +2

    Thank you sheikh sharifu suleyman ..may Allah reward you more and more

  • @kadejahoe6543
    @kadejahoe6543 6 років тому +2

    Shukran jazillan shekhe wetu Allah atujaalie sote twah binadamu na majini wema Amiin

  • @maryamkasonso6029
    @maryamkasonso6029 5 років тому +2

    Allah akupe umri mrefu

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 6 років тому +2

    MashaAllah Allah akujalie InshaAllah 🙏

  • @maryamkasonso6029
    @maryamkasonso6029 5 років тому +2

    Asante nurdin kishk

  • @abdrazackhashim6549
    @abdrazackhashim6549 6 років тому +1

    Allah akulinde uwe na afya njema inshallah

  • @hamisimuhammad6225
    @hamisimuhammad6225 3 роки тому

    Nakupenda kwaajili ya Allah

  • @abdul693
    @abdul693 13 років тому +4

    Mashallah Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuelimisha

    • @rahmahrahmah6683
      @rahmahrahmah6683 6 років тому

      Amiin

    • @jamilamunisi7484
      @jamilamunisi7484 6 років тому

      Mashallah Allah akuzidishie kila lakheri na akukinge na kila shali

    • @fadhilyallyomarysangore9704
      @fadhilyallyomarysangore9704 6 років тому

      Amiin

    • @freedomgin1758
      @freedomgin1758 6 років тому

      Asalamualeykum warahma tulahi wabarakatuh sheikh Mimi ni na maswali mengi saaana juu yako sijui Nita kupatake,,,, asalamualeykum shukran sana

  • @hanifahamis3402
    @hanifahamis3402 4 роки тому

    Jazakallah khaira

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 років тому +1

    Amin yarab

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 років тому +4

    Subhanallah

  • @lijibra
    @lijibra 12 років тому +2

    Mashallah ya sheikh

  • @makariospeter9447
    @makariospeter9447 4 роки тому

    Yesu pekee. Hakuna jini mwema. Yote ya kukemea kwa jina la Yesu

  • @nasorcholo7333
    @nasorcholo7333 5 років тому +1

    Mashaalah mungu akujaalie inshallah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @brendawambui5808
    @brendawambui5808 2 роки тому

    Thank you kishki now I know

  • @abdulzackawami7780
    @abdulzackawami7780 5 років тому +1

    Inshallah!

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 4 роки тому +1

    masha Allah

  • @humudmarhoon8044
    @humudmarhoon8044 8 років тому +5

    jazaakLlahukhyra

  • @ashaselemanskai5063
    @ashaselemanskai5063 6 років тому +2

    amiin

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 років тому

    Amen yarab

  • @nnbb8402
    @nnbb8402 6 років тому

    Jazakah Allah kheir

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 років тому +1

    Amin

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400 11 років тому +3

    Asalaam alaikum wa rahmatu llah wa barakatu
    Alhamdulillah rabil alamin
    Nashkuru mola Karima kwa kukuwezesha kutupa elimu Allah subhana wa taala akuzidishiye kila jema
    Sheikh kipenzi cha wa islam, vipi na weza kupata vitabu hivyo mana makao yangu ni hapa ulaya je na weza kutumia malipo na crédit card? nashukuru
    wa salam alaikum wa rahmatu llah wa barakatuh

  • @ashaselemanskai5063
    @ashaselemanskai5063 6 років тому

    sheikh nurdin Alla akulipe kila raheli

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 років тому

    Amen aamen yarab😭😭😭😭

  • @samsacute8672
    @samsacute8672 6 років тому

    Assalam alaikumu ww shekh sasa yenye kukuingia anakuamurisha kua muganga naomba udutafusiriye kwahayo in Shaa Allah

  • @bwirizasitta2062
    @bwirizasitta2062 6 років тому +1

    Mashaalh

  • @AlhajNasoro
    @AlhajNasoro 9 місяців тому

    ❤❤❤❤❤

  • @nadiahas
    @nadiahas 12 років тому +1

    Mashallah

  • @mariamally7355
    @mariamally7355 6 років тому

    Jazka llah heri

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 2 роки тому

    Shehke atoa wito kwa majini 😄😄😄😄

  • @WeBorn2DieAnyTime
    @WeBorn2DieAnyTime 11 років тому +1

    MashaAllah, wapi part 1. :).... BaarakAllahu feek for sharing

  • @cmsa1r
    @cmsa1r 12 років тому +1

    Yesu yesu yesu ni jibu.....majini yanalia

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 роки тому

    Naona mnawaongelea ndgu zenu

  • @khamisjuma5863
    @khamisjuma5863 5 років тому +1

    Shekh kila mtu anajini yategemea mwema au mbaya kapandisha ama laa

  • @tuliakonga2614
    @tuliakonga2614 5 років тому +2

    Kumbe jini ni shetaniiiii !!!! njooni kwa YESU.

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 5 років тому

      Tulia Konga Yesu yenyewe pia ana Mungu wake ambae ndio Mungu wetu waislamu

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 роки тому

      @@ameirzapy1318 Mungu wa Yesu sio wenu waislam Mana Mungu wenu hawezi kuwa na mtoto kwa kuwa hana mke mtafutieni mke Mungu wenu

  • @bakarisalumu2797
    @bakarisalumu2797 7 років тому

    inshaa allah

  • @idrisidris5299
    @idrisidris5299 6 років тому +1

    Asalam alaikum sheikh, kwa mfano binaadam anafatwa na mashetani, na yeye ako na jini kwa mwili anamsaidiya,huyo naye ni jini gani?

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 3 роки тому

    Yani wachawi nimtihani kwakweli

  • @tausiramadhan7927
    @tausiramadhan7927 4 роки тому

    Na je inakuaje kwa yule anaambiwa ana waalimu wanataka mja afanye tiba yaan atibie

  • @abaisani3485
    @abaisani3485 8 років тому +3

    wewe unasema yesu ni kiboko yao je yesu na mungu na mkuu wewe rudi shule!!

    • @abshiroduba3501
      @abshiroduba3501 5 років тому

      Shida ya wakristo. Hawajui tofauti kati Manabii Na Mungu Subhana Allah.

  • @warda7373
    @warda7373 6 років тому +1

    😘

  • @TheGame-nz7um
    @TheGame-nz7um 6 років тому +1

    Iweje awe sala 5 apandishe mashetani.... Kuna nini hapo.

  • @dannyasavela
    @dannyasavela 7 років тому +1

    Mbn Waislamu Na Wakristo Tunaishi Kwa Upendo Tu..

  • @sarahwanjala6601
    @sarahwanjala6601 5 років тому +1

    Kweli Yesu nikiboko yao Njooni kwa Yesu jamani nizama zamwisho hizi Yesu anarudi tena

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 5 років тому

      Sarah Wanjala Yesu pia ana MUNGU wake alie mtuma ambae ndiye Mungu wa waislamu

  • @sarehhaitham7862
    @sarehhaitham7862 6 років тому +1

    Hashim mbonde

  • @swalainaletaamaninautulivu2239
    @swalainaletaamaninautulivu2239 8 років тому +4

    yesu kama mna muona kiboko basi jiandaeni na moto wajahanam ss waisilam tunaimani na tunakubali nyiye wakilisito amuna faida

    • @lailatmrsrajaimustapha1384
      @lailatmrsrajaimustapha1384 6 років тому +1

      Nanyie wakirsto subirien siku ya kiama huyo yesu atakavyo wakana mtalia na kusaga meno ngojen sasa mkaidi hafaidi mpaka siku ya idd nanyie endeleen kukaidi mtafaidi siku ya kiama

    • @daviddavid-gq8zp
      @daviddavid-gq8zp 5 років тому

      swala inaleta amani nautulivu Ghhhbbv Allah akubariki sana pamoja na Majini wote kwa jina la mkuu wa majeshi Mohamed Abdalah s.a.w!Takbir!

    • @daviddavid-gq8zp
      @daviddavid-gq8zp 5 років тому

      Lailat mrs rajai Mustapha Allah akubariki kwa jina la Mohamed Abdalah!

    • @fetrishakaza1473
      @fetrishakaza1473 5 років тому

      Una akili ww nyie ndomjiaandae kwasababu ujuwi nn maana ya jini kwann kaitwa jini mme pumbazwa

    • @alhabibismail3031
      @alhabibismail3031 5 років тому

      Use good words

  • @swaumtadeo386
    @swaumtadeo386 7 років тому

    Nikweli Mimi nahisi ninawo baazi wananitesa sana

  • @clementjames7274
    @clementjames7274 8 років тому

    YESU KRISTO NI KIBOKO YA HAYO MAJINI

  • @Richesfam
    @Richesfam 10 років тому

    Wasilamu, mje kwa YESU Christo, yeye pekeyake, ndio njia ya ukweli kwa Mungu. Mje kwa Yesu, msipoteye. Shatani alisha wafunga macho yenu. But I pray that Lord Jesus would open your eyes to show you the true path.

    • @Almasiherbs
      @Almasiherbs 10 років тому

      wewe ndio unaefaa kuvukaa maana ujielewi unakotoka wala unakoenda ulifungwa macho kitambo sasa fikiria sana unayoyasema

    • @Richesfam
      @Richesfam 10 років тому

      Thank you honey, I pray that the Lord Jesus Opens your eyes and see the truth. Mungu akubariki, na ninakuombea sikumoja utajuwa ukweli, yakwamba Yesus ndio njia ya Ukweli yakufika Binguni. :)

    • @mohammedhegdah
      @mohammedhegdah 8 років тому

      +china china if jesus is ur lord and as u say jesus was killed, this means u av no God!

    • @mohammedhegdah
      @mohammedhegdah 8 років тому

      +china china ur religion has so many faults that u dnt knw of coz u avent learned abt it, u jst fllwng ur parents, study ur religion n u wl leave it!

    • @xubimohamed6128
      @xubimohamed6128 8 років тому

      china china nonsense

  • @clementjames7274
    @clementjames7274 8 років тому

    Hayo nikwa waislam tu kwetu tulio okoka Yesu ni kiboko ya hayo majini

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 6 років тому +1

      Ukifuta hilo andiko utakua umefanya kitu cha maana, NA PEPO WACHAFU WALIPOMUONA YESU WALIANGUKA MBELE YAKE NA KUSEMA, KWELI WEWE NI MWANA WA MUNGU, kumbe pepo wachafu walikua marafiki wa yesu, wewe unadanganya, alafu nikukumbushe kua kila siku mnajitoa mapepo uko kanisani wakati kiti cha shetani cha henzi kiko kanisani bisha tu wewe, na hapa duniani hakuna uokovu waokovu niwale walio okoka na adhabu ya moto

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 5 років тому

      clement james hakuna alie okoka wewe acha kukudanganya, tuseme wewe umekamilika ?

  • @munibullahmarunda7051
    @munibullahmarunda7051 6 років тому

    upuuzi mtupu....sheikh mzima kuongea vituko namna hii

    • @jamilamunisi1480
      @jamilamunisi1480 5 років тому

      munibullah marunda wewe ndio mpuuzi kwan apo kakosea wapi kazi kutafuta makosa tu

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 5 років тому

      @@jamilamunisi1480 labda alivyosema kuwa msafi ni muhimu kwake yeye ni upuuz

    • @jamilamunisi1480
      @jamilamunisi1480 5 років тому +1

      Hadija mandanje umeona ee kuna wengine mawaidha ayo yanawachoma

    • @abdulzackawami7780
      @abdulzackawami7780 5 років тому

      Sasa hapo sheikh ameongea upuuzi gani sasa eti?

    • @abdulzackawami7780
      @abdulzackawami7780 5 років тому +1

      Sasa hapo sheikh ameongea upuuzi gan au ww ndo haujaelewa

  • @darlinmamawatatu6411
    @darlinmamawatatu6411 9 років тому +3

    Stop that chinachina everyone ana right yake ya dini utache sawa eheee kuwa na kristo wako wacha tuwe na Allah wetu simple

    • @xubimohamed6128
      @xubimohamed6128 8 років тому

      darlin kiwanga stupid

    • @darlinmamawatatu6411
      @darlinmamawatatu6411 8 років тому

      +Xubi Mohamed stupid ur dad and ur mother swan

    • @bigandsmall5047
      @bigandsmall5047 6 років тому

      Wewe ujielewi .Usipobadili dini yako utachomeka chungu kimoja na huyo ibilisi.

    • @abbasmjatta3102
      @abbasmjatta3102 6 років тому

      darlin kiwanga mbaki na majini yenu kumbe mnaswali nayo. Kumbe majini wote ni waislam na Muhammad ni mtume wao!!! Kweli Mungu aliposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa aliwaona waislam. Vp dini ya Mungu iwe ya majini na mashetani

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 6 років тому

      @@abbasmjatta3102 labda nikupe elimu maana umeongea utumbo na hiyo aya ulioitumia huijui inakwambia nini,kwanza kabisa jini alitangulia katika hii dunia,alafu ikiwa wewe ni msomi unajua kabisa shetani alikua malaika ila amelaani alipo kaidi maagizo ya m/MUNGU, hata wewe ni binadamu lakini uenda ukawa shetani hicho kiburi kikizidi maana ibilisi laana tulwahi alikua na kibri hivyo ivyo, pia hii inakuchanganua kwamba akhera ziko sehemu mbili,kuna sehemu ya watu wema na kuna sehemu ya watu wabaya,yaani wanaotenda mema na kuna wale wanatenda maovu,mfano wewe labda umekesha baa kufanya mahaswi wakati ndugu yako anafanya matendo mema,sasa wataka kuniambia wazazi wenu atawachukia nyinyi wote?alafu nikupe elimu maana umeongea utumbo hii ni haya ipo kwenye bibilia NA PEPO WACHAFU WALIPOMUONA YESU WALIANGUKA MBELE YAKE NA KUSEMA, KWELI WEWE NI MWANA WA MUNGU muulize pastar wako analijua hilo andiko kumbe pepo wachafu walikua marafiki wa yesu,jini nikiumbe na ujue kua wewe uko na kibri ndicho kinacho kusumbua lakini kaa ukijua huko uliko sio sehemu salama, maana wewe ikiwa unachukia jini na unampenda ibilisi laana tulwahi wewe ni chizi, hivi unajua kua kiti cha shetani cha henzi kiko kanisani? Muulize mchungaji wako atakuonyesha ilo andiko,pia nakushangaa ukitwambia kua unashangaa jini akisali!huo ndio utukufu wake Allah na hilo halipingiki,lakini nawashangaa nyinyi makafiri mnaosema mnachukia majini,sasa hiyo ni ishara kua mnaemuabudu hana mamlaka katika hii dunia, maana majini mnapishana nayo kila sehemu je mbona uyo mnaemuabudu hasiwaumbie dunia yenu muache kukanyaga ardhi iliokanyagwa na majini?ujue kua shetani ni mmoja tu na ndie anaetamba na aliaidi kuja kutumaliza na ndie yule aliewaangamiza nyinyi na hilo andiko ulilotumia linawahusu nyinyi na makanisa yenu,Ukiambiwa YESU MUNGU ALELUYAH, ukiambiwa YESU MWANA WA MUNGU ALELUYAH sasa huko sinikukosa maarifa

  • @abdulzackawami7780
    @abdulzackawami7780 5 років тому

    Nyie mnaosema Yesu ndo wa kwanza kwenda kwa waganga huyo yesu mwenyewe alisalitiwa na Yuda na Yuda aliingiwa na shetan Mbona hakumtoa sasa

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 років тому +1

    Amin

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 років тому +1

    Mashallah

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 років тому

    Subhanallah

  • @clementjames7274
    @clementjames7274 8 років тому +1

    Hayo nikwa waislam tu kwetu tulio okoka Yesu ni kiboko ya hayo majini

  • @SelemaniHassan
    @SelemaniHassan Рік тому

    Mashallah