Kiukweli huu ndio uadilifu unaofaa zaidi kuigwa kwa viongozi wotee Wa madhehebu ya dini na Wa serikali kwa ujumla hapo ndipo tutapata jamii mpya na Tanzania mpya.Hongera sana mheshimiwa JPM.Barikiwa
itatumia muda sana kumuelewa mh raisi wetu jpm.sasa nimeshajua nn muheshimiwa anataka 1.kutofuja kodi za wananchi 2.kulinda na kutetea haki za wananchi 3.ukweli na uwazi 😎 kazi kazi kazi kazi jpm raisi ambaye hatosahaulika .(ukweli usemwe).sina chama
Rais nakuelewa sana DPP tukusanyie hizo pesa zitusaidie kuboresha Nchi hapo DPP utakuwa umeacha alama ktk nafasi yako tena ya kihistoria na Mungu atakuona ktk hili.
Yani mpaka machoz yananitoka kwa haya maneno wanayoambiwa wateuliwa dahh mungu katuzawadia allah akbarrrrrrr mungu mlinde raisi wetu kwa kila shari za walimwengu
Nakupenda sana tena sana Raisi wangu JPM, Ni ushauri mzuri kwa mahakama maana mahakama imelala. Tunapata faida gani mtuhumiwa ana Pesa zetu alafu amefungwa, alipe Hela zetu atoke gerezani.
Asante sana kwa mabadiliko huko Morogoro. Mzee umemvumilia sana mh. Kebwe. Naomba umulike na Polisi mzee wetu ikibidi mabadiliko yafanyike. Kubadili leseni pale trafiki ni shida sanaaa. mazingira ya kupata leseni mpya ni magumu sana. Morogoro mulika polisi. Kuna alama tatu ambazo hazipo ktk barabara za Tanzania lkn utaulizwa tu maana wanataka kukwamisha ku renew leseni.
Hapa Kazi tu , Yani hii Tumbua Tumbua inasaidia kuondoa Mazoea ya kazi , Kiongozi yoyote anatakiwa awe Mwepesi wa Maamuzi yenye Manufaa kwa Taifa , Congratulations Mr President
tuna mambo mengi ya kujifunza kwa mh rais, kwanza uvumilivu na hekima ya kuona nchi inapigwa na akaamua kunyenyekea akitafuta nafasi nzuri ya kuikomboa nchi kipindi chote alichokuwa kwenye uongozi, hii inatufundisha sana watanzania, hekima na busara ni muhimu sana
nakuerewa sana mzee wangu ila kwa sasa kunawatanzania wafanya niyashala bado wanaenderea kuhujum uchumi ukienda kununia kitu anakwabia kwa risit ni sh 12000/= bila risit sh 9500. /= ushauri wangu kwa watanzania tuwe wakweli kama mweshimiwa raisi anavotaka kuripeleka hili taifa mbere mungu ibariki tanzania mungu mbariki mr Rais wa jamuhuri ya muungano
👏👏👏salout make awa jamaa wanasumbuwa kweli juz nimeenda kununua godoro la super banco futi 3/6 nikaambiwa bila rst 95elf akinipa rist 120,000/=. Nikakubali aniuzie bila rst ila aniperekee mpaka nyumban kwangu nae akakubali kuliweka kwenye gr lake tukaelekea nymbn kwaiyo wafanyabihashara bado hawajakubr kutendea nchi yao haki.
hakuna kumtoa Mh Makonda Dar, mengi kafanya mazuri ,hakuna mwanadamu hasiye kuwa na kasoro, bado anayo sifa ya kuongoza jiji la Dar,bado anayo nafasi ya kujirekebisha
Si mkazi wa Dar, lakini Mh.Makonda amefanya mengi mazuri. Angalizo kwa Mh.Makonda,awe mkali, akicheka na.... atavuna mabua, alafu watamcheka, mazuri aliyofanya tumeyaona,ni binadamu ,hakamiliki
mh raisi hakika nafurahi kwa hili la mahabusu kwan wengi wanatamani hata msamaha wako mkuu, tunashukuru ila tukumbuke kwenye ajira sisi vijana hasa wa IT & Data Science bado soko letu la Technology lipo chini na vijana ni wengi wenye utaalam wa TEHAMA! asante sana mh raisi na mungu akupe afya tele kwa kazi unayoifanya maana wengi hawaelewi ila wataelewa tu!
Mheshimiwa Rais pole kwa kazi ngumu, hongera kwa nia njema, sisi wazalendo na tunaojua nia ya moyo wako kwa Tanzania na Africa kwa ujumla Tunaitafsiri nia hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuweza kukomboa uchumi wa nchi yetu toka katika makucha ya wakoloni wa kiuchumi. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa maono zaidi katika kutuongoza kwenda kanaani ya maendeeo yetu kama Taifa.
Well noted,,,stay blessed our Honourable President JPM. We promise you as Country men, we shall not be, STIFF NECKED PEOPLE!! To implement what is right in accordance to your Outstanding views"
Na ndio maana damu yako italeta laana kwa wengi na neema ya busara na hekima kisiasa,ki dini kwa wenye kuzitumia akili kwa weledi. Raha ya milele inakuatahili baba Magufuli. Utubee huko pema ulipo.
Mh. John Pombe Joseph Magufuli, Tunashukuru sana kwa kazi yako nzuri sana sana Mungu akubariki akupe maisha marefu yenye baraka na afya tele! Barikiwa sana kiongozi wetu.
Mungu akusimamie Raisi wetu,kazi ni ngumu kwa sababu nchi ilishaoza, Siasa nyingi kuliko utaalam Wanaokuelewa ni wachache. Mungu asaidie upate akina Majaliwa na Jaffo japo 10 tu
Napata shida sana kuona jinsi gani baadhi ya viongozi wa Serikali wanavyoshindwa kumuelewa Mh. Rais! Unajiuliza hivi hawa watu kusoma hawajui hata kuangalia picha wameshindwa! Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu.
Mwenyezi Mungu akulinde Mzee mweshimia Laisi Magufuli mimi ni mu Tanzania niliozalia uganda rakini naomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe nikuoni ila niongeye nawewe jina rangu Ibrahim
Nikipigo kikubwa kwa kupoteza kiogozi JPM mtu anaogea ukweli kama kiogozi wa ouma badhi yawatu wanao egemea unafusia wamesahu majukumu yao kuwatumikia maraia masikini mejisahaulisha kuwa majukumu yenyu nikuwatumikia kwa uwadilifu mpate fayida yenyu nawatumishi wenyu mougu kila aneteda mazuri mougu ndo mwenye malipo kwayale mloyatenda mougu niwahaki na anwapenda wenye kutenda HAKI
Daah rais umenifurahisha sana mungu aendelee kukusimamia una kumbukumbu hatari hausomi mahali popote ila ni martial matupu na pia hongera kwa kumwambia DPP awatoe hao wahujumuuchumi walipe miradi iiendelee hongera sana raisi wangu
IKULU TANZANIA mwambieni amtoe Makonda Dar aende Tabora na Mwanry wa Tabora aje Dar atamfaa Sana maana mheshimiwa anapambana ila viongozi walio chini yake hawajamuelewa
Ama kweli mweshimiwa uliweza kutoa mwelekeo mzuri wa nchi yetu na ulistahili kabisa kuwa mwalimu kwa ajili ya kuelimisha watanzania na waafrika wote...R I P Baba.
Sasa Bunge LA Nin wakati Magufuri Ana sifa ya Ubunge pia Ana Sifa ya Uwaziri ikiwa yeye ni RAIS . Dhu kwel kizur akidumu ila Namuombea Adumu zaid na Mungu ampiganie . Hakuka Utakumbukwa Sana Kama tutaleta Utani juu ya Uyu Mtu Jamani . Wamemuua ghadafi lakin naona Roho ya Ghadaffi inatenda kaz . You're the Best
@@ngalelefijo2545 hata kichaa anamuona mwenye akili ni maamuna.hata point uliyoongea inaonesha ni darasa la saba uliofeli .mpuuzi wewe.akili ndogo kutaka kutawala akili kubwa.
miaka 20 magufuli ngongeni like hapa,kuunga mkono
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu
Kiukweli huu ndio uadilifu unaofaa zaidi kuigwa kwa viongozi wotee Wa madhehebu ya dini na Wa serikali kwa ujumla hapo ndipo tutapata jamii mpya na Tanzania mpya.Hongera sana mheshimiwa JPM.Barikiwa
Alafu kuna baadhi ya watanzania wanasema Raisi hafai kwel? Allah katushushia neema ya huyu mzee Raisi magufuli
Shilungu Moshi
itatumia muda sana kumuelewa mh raisi wetu jpm.sasa nimeshajua nn muheshimiwa anataka
1.kutofuja kodi za wananchi
2.kulinda na kutetea haki za wananchi
3.ukweli na uwazi 😎
kazi kazi kazi kazi jpm raisi ambaye hatosahaulika .(ukweli usemwe).sina chama
4 kuchapa kazi
6 Kuacha majungu
5 Kila mmoja kujitambua na kuyajua majukumu yake
Shamik Tv
Mkuu wa mkoa wa tabora angeletwa Dar.
Rais nakuelewa sana DPP tukusanyie hizo pesa zitusaidie kuboresha Nchi hapo DPP utakuwa umeacha alama ktk nafasi yako tena ya kihistoria na Mungu atakuona ktk hili.
Allah mjalie Afya, wered, kheqma busara, na uchapa kazi Rais wetu, kwa niaba ya watanzania wote.
Amiiin Rabbil Alamiiin
Uyu president wengine wasubili
UsikukuhusumagerezakutorewawFungwa
Hongera mheshimiwa raisi kwa kuwaeleza ukweli ili waweze kujifunza unaowateua..
Ile nia yangu ya kumuandika Mheshimiwa Raisi Barua, sasa inatimia! Mungu Azidi Kukubariki JPM
Magufuli atabaki kuwa magufuli tu mjomba magu 2020 kula yangu utaipata panapo majaaliwa
Sawa nimeelewa wewe ndio Rais Magufuli wengine walikuwa ni mfano wa marais!
adeni Halisi nakubaliana ww
Wengine walikuwa
"symbols ",
Hahahaaa!
adeni Halisi
Kaka Makonda jipange vzr, juzi kakuripua Vingunguti leo Coco Beach. Fanya kazi mambo yasiwe mengi!!!
Makonda taa ya njano imeanza kuwaka
Huyu ndiye Raisi !
Red inakarbia ustoshe makonda nae mambo meng
utakumbukwa mheshimiwa Rais kwamema unayoyafanya ktk nchi yetu.
Yani mpaka machoz yananitoka kwa haya maneno wanayoambiwa wateuliwa dahh mungu katuzawadia allah akbarrrrrrr mungu mlinde raisi wetu kwa kila shari za walimwengu
Amin
Mheshimiwa hebu tupia jicho pale BRELA. Kuna changamoto kadhaa. Wachache watanielewa
Muheshimiwa wewe ni mwalimu tosha ktk utawala wako tusipo jifunza jombo basi Tz imeangamia na maendeleo ni hadithi ya mbali
Nakupenda sana tena sana Raisi wangu JPM, Ni ushauri mzuri kwa mahakama maana mahakama imelala. Tunapata faida gani mtuhumiwa ana Pesa zetu alafu amefungwa, alipe Hela zetu atoke gerezani.
Yona Mwakanyamale
Watumbue bhana Mi naona upo sawa tu JPM
Ukisikia Hapa ni Kazi... Ndo kama hivi zege halisubiri jumapil ipite
Leo imekaa vzr ili kesho tu waanze kazi
😀😁😂😂seven dayz kaz kaz
Viva Magufuli 2020 kura ipo gombea mpk miaka 20 mbele hk wote 2naongea lugha moja xaa hizi 😂😂
"Tanzania got amazing President"
Asante sana kwa mabadiliko huko Morogoro.
Mzee umemvumilia sana mh. Kebwe.
Naomba umulike na Polisi mzee wetu ikibidi mabadiliko yafanyike. Kubadili leseni pale trafiki ni shida sanaaa. mazingira ya kupata leseni mpya ni magumu sana.
Morogoro mulika polisi. Kuna alama tatu ambazo hazipo ktk barabara za Tanzania lkn utaulizwa tu maana wanataka kukwamisha ku renew leseni.
Mungu akutunze Rais wetu Rais wa watanzania uwafundishe viongozi wa Tanzania 🇹🇿 kuongoza bila kula rushwa inawezekana
Hawa Boko
Hapa Kazi tu , Yani hii Tumbua Tumbua inasaidia kuondoa Mazoea ya kazi , Kiongozi yoyote anatakiwa awe Mwepesi wa Maamuzi yenye Manufaa kwa Taifa , Congratulations Mr President
Fund mzr ni yule ajuae kujenga na kubomoa
tuna mambo mengi ya kujifunza kwa mh rais, kwanza uvumilivu na hekima ya kuona nchi inapigwa na akaamua kunyenyekea akitafuta nafasi nzuri ya kuikomboa nchi kipindi chote alichokuwa kwenye uongozi, hii inatufundisha sana watanzania, hekima na busara ni muhimu sana
FRANK REVELIAN
Magu anaongoza nchi na ana fundisha
nakuerewa sana mzee wangu ila kwa sasa kunawatanzania wafanya niyashala bado wanaenderea kuhujum uchumi ukienda kununia kitu anakwabia kwa risit ni sh 12000/= bila risit sh 9500. /= ushauri wangu kwa watanzania tuwe wakweli kama mweshimiwa raisi anavotaka kuripeleka hili taifa mbere mungu ibariki tanzania mungu mbariki mr Rais wa jamuhuri ya muungano
👏👏👏salout make awa jamaa wanasumbuwa kweli juz nimeenda kununua godoro la super banco futi 3/6 nikaambiwa bila rst 95elf akinipa rist 120,000/=. Nikakubali aniuzie bila rst ila aniperekee mpaka nyumban kwangu nae akakubali kuliweka kwenye gr lake tukaelekea nymbn kwaiyo wafanyabihashara bado hawajakubr kutendea nchi yao haki.
Mi machozi yanatoka tu, muoneeni huruma JPM, pigeni kazi jamani.
REST in eternal peace.
we miss from Burundi
Baba ♥️♥️♥️bado ninakupenda mnoo na tunakuhutaji 😭😭😭plz kila sku nakuombea na naamini uko uwepon wa Mungu,tuombee wanao🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏🙏
Safi Sana rais mangufuli
hakika mheshimiwa ana upendo wa dhati saaaana na watanzania,
Makonda fanya kazi kaka.... huyu mzee humtendei haki, achana na mambo yasiyokuwa na maana fanya kazi
Makonda naomba umsikilize mzee anataka nini juu ya Tanzania mpya bila uchafu kazini inawekana
Huyu ndio rais wa Tanzania... Mungu akulinde Baba... saluti mzee wangu! Wasio weza kasi yako wakupishe jembe letu upige kazi na wanaokuelewa tu
Uyuuu mzeee kweliii ni mfano sanaaa wakuigwaaa" upumzike baba yetuu mpendwaa
mzee wape wape hahahahahaa,huo ndo ukwel,nakupenda bure magu
Red Son 😁😁😁😁 yaanii
Magu unstisha unatumia kipaji
hakuna kumtoa Mh Makonda Dar, mengi kafanya mazuri ,hakuna mwanadamu hasiye kuwa na kasoro, bado anayo sifa ya kuongoza jiji la Dar,bado anayo nafasi ya kujirekebisha
Mipango ya watendaji wa dar kumwangusha makonda inakarbia
Makonda watendaji wako karbia wanafanikiwa kukwangusha kua mkali sana wanasubir kushangilia kW udhindi wao
Si mkazi wa Dar, lakini Mh.Makonda amefanya mengi mazuri.
Angalizo kwa Mh.Makonda,awe mkali, akicheka na.... atavuna mabua, alafu watamcheka, mazuri aliyofanya tumeyaona,ni binadamu ,hakamiliki
Leo naangalia hatuba ya kipenzi chetu tuliyependa gonga like kma ipo na Mimi
THE BEST PRESIDENT EVER, I REALLY LIKE YOU MR PRESIDENT AM PROUD OF MY PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI GOD BLESS AND PROTECT YOU.
Keep going Tanzania
Niliwa nakupenda kwa sababu ulikuwa hutumbui walk kuteua bila kufundisha l unataka nn kifanyike
Rest in peace Magufuli we shall remember you mungu ailaze mahali pema peponi.
Kitu hujakosea ni kumtumbua mkuu wa mkoa wa morogoro maana alishindwa kazi kabisa hafai
Macho ya bashite sasa duuuuu imepenya iyo mjomba, wape vidonge vyao ☠☠☠⚠⚠⚠
Kiukweli tuta kumiss ulikuwa mkweli daima so tuta kumbuka zaidi nazaid dady
safi sana mkuu wa nchi Tunakuelewa sana...Allah akulinde na akupe afya njema
Upo vzr magu Hongera sana
nakupenda Rais wangu Mungu akubarik sana
kweli JPM ni mti wa mpingo,asante kwa sindano imeingia!!!
mh raisi hakika nafurahi kwa hili la mahabusu kwan wengi wanatamani hata msamaha wako mkuu, tunashukuru ila tukumbuke kwenye ajira sisi vijana hasa wa IT & Data Science bado soko letu la Technology lipo chini na vijana ni wengi wenye utaalam wa TEHAMA! asante sana mh raisi na mungu akupe afya tele kwa kazi unayoifanya maana wengi hawaelewi ila wataelewa tu!
Mheshimiwa Rais pole kwa kazi ngumu, hongera kwa nia njema, sisi wazalendo na tunaojua nia ya moyo wako kwa Tanzania na Africa kwa ujumla Tunaitafsiri nia hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuweza kukomboa uchumi wa nchi yetu toka katika makucha ya wakoloni wa kiuchumi. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa maono zaidi katika kutuongoza kwenda kanaani ya maendeeo yetu kama Taifa.
Well noted,,,stay blessed our Honourable President JPM. We promise you as Country men, we shall not be, STIFF NECKED PEOPLE!! To implement what is right in accordance to your Outstanding views"
Na ndio maana damu yako italeta laana kwa wengi na neema ya busara na hekima kisiasa,ki dini kwa wenye kuzitumia akili kwa weledi.
Raha ya milele inakuatahili baba Magufuli.
Utubee huko pema ulipo.
Jiwe hili sijuwi lilikanyangwa na nini hadi kuvurugika?..
Good 👍👍👍👍👍
Yan nchi hii utazan viongozi wanaelekezwa kama ndio wanatoka chuo ,yan hawaelewi
Mungu akutangulie Rais wetu mpendwa JPM. LIVE LONG
Mh. John Pombe Joseph Magufuli, Tunashukuru sana kwa kazi yako nzuri sana sana Mungu akubariki akupe maisha marefu yenye baraka na afya tele! Barikiwa sana kiongozi wetu.
Nakutakia maisha marefu mh Rais hakika Mwenyezi Mungu ni mwaminifu
Mungu akusimamie Raisi wetu,kazi ni ngumu kwa sababu nchi ilishaoza,
Siasa nyingi kuliko utaalam
Wanaokuelewa ni wachache.
Mungu asaidie upate akina Majaliwa na Jaffo japo 10 tu
Napata shida sana kuona jinsi gani baadhi ya viongozi wa Serikali wanavyoshindwa kumuelewa Mh. Rais! Unajiuliza hivi hawa watu kusoma hawajui hata kuangalia picha wameshindwa! Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu.
Pole jpm na hongera kwa maamuz magumu
Mungu wangu,pumzika babaaa pumzika ,tunakukumbuka mnooo ,tunapata wapi MTU kama huyu
JPM alikuwa mzarendo kwelikweli mungu ampumzishe kwa amani,Nazi kafanya hakuogopa MTU yeyote
Uwa naona raha sana kukusiliza japo umelala, pumzika kwa amani ya MUNGU
Mwenyezi Mungu akulinde Mzee mweshimia Laisi Magufuli mimi ni mu Tanzania niliozalia uganda rakini naomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe nikuoni ila niongeye nawewe jina rangu Ibrahim
Jpm wewe ni zaidi ya Rais
Tambua kuwa msanii harmonize ndio aliye mfanya raisi wa Tanzania John pombe.. Kusamehe wafungwa.. Harmonize top..
Mheshimiwa raisi ukienda hospitali una miaka 60 Kama wanakuona unajiweza dawa zingine wanakuambia ukanunue
mh tunaomba uje na songwe utusalimie
Nikipigo kikubwa kwa kupoteza kiogozi JPM mtu anaogea ukweli kama kiogozi wa ouma badhi yawatu wanao egemea unafusia wamesahu majukumu yao kuwatumikia maraia masikini mejisahaulisha kuwa majukumu yenyu nikuwatumikia kwa uwadilifu mpate fayida yenyu nawatumishi wenyu mougu kila aneteda mazuri mougu ndo mwenye malipo kwayale mloyatenda mougu niwahaki na anwapenda wenye kutenda HAKI
My father President we were miss u. Good give you amon
MUNGU unawajua watu wako tubariki tena kwa rais kama Magufuli
Mungu akutenze mh raisi
Daah rais umenifurahisha sana mungu aendelee kukusimamia una kumbukumbu hatari hausomi mahali popote ila ni martial matupu na pia hongera kwa kumwambia DPP awatoe hao wahujumuuchumi walipe miradi iiendelee hongera sana raisi wangu
Kura yangu 2020 kwako mhe.Raisi maan kazi yako ni nzuri sisi wananchi wako tunafurahi sana
😭😭😭
I have been understanding your language since then
Frances Lenis .
@@imamuhemedi4387 yes Imamu
Mh. Makonda nakupenda sana, wewe ni mchapa kazi, usimwangushe Rais wetu kipenzi JPM, piga kazi bhana, achana na mambo ya kubembelezana.
Hakika mh, John pombe magufuri uriamua kutufia waafirika MUNGU nishaindi
IKULU TANZANIA mwambieni amtoe Makonda Dar aende Tabora na Mwanry wa Tabora aje Dar atamfaa Sana maana mheshimiwa anapambana ila viongozi walio chini yake hawajamuelewa
Lakini kwa ufasaa na kuweka wazi mambo Ni Jambo jema MUNGU akurinde akupe pumuziko la amani
Hotuba za mheshmiwa huwa hazichoshi kusikiliza.
HE IS THE BEST PRESDENT IN TOWN.
Ama kweli mweshimiwa uliweza kutoa mwelekeo mzuri wa nchi yetu na ulistahili kabisa kuwa mwalimu kwa ajili ya kuelimisha watanzania na waafrika wote...R I P Baba.
Ongera rais wetu speed hiyo hiyo ndo tunapenda hivo
Kwenye hilo nipesa tu lipa pesa utoke rupango
Tutakukumbuka milele Baba yetu 😭🇹🇿🙏❣️
Daaa hatatokea ka magufuri RIP JPM kipenzi cha wengi
Kuna PSSSPF pia ni janga mkuu!
Mungu awe nawe daima
Sijui kama atatokea mwamba kama JPM rest in peace
Mume wangu Kazana 😂😂😂😂😂😂
Abuu sufian he! Mume tena😁😁
Pole Kebwe. Ndio maisha.Kuna mazuri ulifanya,lkn dunia huwa inaangalia mabaya tu.
Jinsi hayati JPM alivyokua anawahurumia watu madhaifu. Mungu pia atamhurumia huko aliko
Mungu katuumbua watanzania kwa kutuchukulia huyu mtu .
Huyu ni nabii wa mungu
Watulivu kwakweli
Kabisakabisa, upo sahihi mzee wetu wa nchi!,chapa kazi tupo nawewe
Sasa Bunge LA Nin wakati Magufuri Ana sifa ya Ubunge pia Ana Sifa ya Uwaziri ikiwa yeye ni RAIS . Dhu kwel kizur akidumu ila Namuombea Adumu zaid na Mungu ampiganie . Hakuka Utakumbukwa Sana Kama tutaleta Utani juu ya Uyu Mtu Jamani . Wamemuua ghadafi lakin naona Roho ya Ghadaffi inatenda kaz . You're the Best
Atakumbukwa milele, mungu ampumzishe, na mazuri mengi ametuachia, sijaona wa kuvaa kiatu chake, tumepoteza, Ila safari ni moja.
Mzee ongea na wakuu vituo vya wakae peupe vituoni huwa tunapereka malalamiko. Hatuluusiwi kuwaona. Tunazuiliwa na askali wake wadogo.
Baada ya kutesa watu na serikali kufirisika munataka sasa kukwapua fedha za wananchi tulijuwa tu ilikuwa nguvu ya soda
Kamwambie mamako.fala kabisa.son of bitch.
@@godfreymbambe6834 praise team pole ndondocha mkubwa wewe
@@ngalelefijo2545 hata kichaa anamuona mwenye akili ni maamuna.hata point uliyoongea inaonesha ni darasa la saba uliofeli .mpuuzi wewe.akili ndogo kutaka kutawala akili kubwa.
Nakupenda mno rais wangu,hata sijui nikupendeje zaidi...nahisi haijatosheleza.
Alikuwa mtu wa wote. Apumzike kwà amani.
Magu umeniacha peke yangu mimi jamn nimekumiss njoo hata dk 2
Big up Dr. Magufuli. Nenda na kule kahama wakulima wa pamba mpaka sasa hawajalipwa. Tunaingia msingi mwingine wa kipimo.