HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 вер 2019
  • HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

КОМЕНТАРІ • 225

  • @coastermahenge8910
    @coastermahenge8910 4 роки тому +86

    miaka 20 magufuli ngongeni like hapa,kuunga mkono

  • @raymondshilatu2495
    @raymondshilatu2495 4 роки тому +27

    Mungu akupe maisha marefu Rais wetu

  • @shilungumoshi3732
    @shilungumoshi3732 4 роки тому +22

    Kiukweli huu ndio uadilifu unaofaa zaidi kuigwa kwa viongozi wotee Wa madhehebu ya dini na Wa serikali kwa ujumla hapo ndipo tutapata jamii mpya na Tanzania mpya.Hongera sana mheshimiwa JPM.Barikiwa

    • @ramadhankambalame4681
      @ramadhankambalame4681 4 роки тому

      Alafu kuna baadhi ya watanzania wanasema Raisi hafai kwel? Allah katushushia neema ya huyu mzee Raisi magufuli

    • @imamuhemedi4387
      @imamuhemedi4387 4 роки тому

      Shilungu Moshi

  • @shamirik_
    @shamirik_ 4 роки тому +46

    itatumia muda sana kumuelewa mh raisi wetu jpm.sasa nimeshajua nn muheshimiwa anataka
    1.kutofuja kodi za wananchi
    2.kulinda na kutetea haki za wananchi
    3.ukweli na uwazi 😎
    kazi kazi kazi kazi jpm raisi ambaye hatosahaulika .(ukweli usemwe).sina chama

  • @yohanamhanzi6797
    @yohanamhanzi6797 4 роки тому +21

    Rais nakuelewa sana DPP tukusanyie hizo pesa zitusaidie kuboresha Nchi hapo DPP utakuwa umeacha alama ktk nafasi yako tena ya kihistoria na Mungu atakuona ktk hili.

  • @mohamedkikale7241
    @mohamedkikale7241 4 роки тому +26

    Allah mjalie Afya, wered, kheqma busara, na uchapa kazi Rais wetu, kwa niaba ya watanzania wote.

  • @godfreynjamasi7403
    @godfreynjamasi7403 4 роки тому +29

    Uyu president wengine wasubili

  • @Teachercandle
    @Teachercandle 4 роки тому +13

    Hongera mheshimiwa raisi kwa kuwaeleza ukweli ili waweze kujifunza unaowateua..

  • @chumizola1847
    @chumizola1847 4 роки тому +12

    Ile nia yangu ya kumuandika Mheshimiwa Raisi Barua, sasa inatimia! Mungu Azidi Kukubariki JPM

  • @hajisalum3494
    @hajisalum3494 4 роки тому +13

    Magufuli atabaki kuwa magufuli tu mjomba magu 2020 kula yangu utaipata panapo majaaliwa

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 4 роки тому +21

    Sawa nimeelewa wewe ndio Rais Magufuli wengine walikuwa ni mfano wa marais!

  • @romeoromeo4125
    @romeoromeo4125 4 роки тому +14

    Kaka Makonda jipange vzr, juzi kakuripua Vingunguti leo Coco Beach. Fanya kazi mambo yasiwe mengi!!!

  • @seifmalijan8775
    @seifmalijan8775 4 роки тому +28

    utakumbukwa mheshimiwa Rais kwamema unayoyafanya ktk nchi yetu.

  • @ahmadateguro4886
    @ahmadateguro4886 4 роки тому +8

    Yani mpaka machoz yananitoka kwa haya maneno wanayoambiwa wateuliwa dahh mungu katuzawadia allah akbarrrrrrr mungu mlinde raisi wetu kwa kila shari za walimwengu

  • @ronaldsariah8760
    @ronaldsariah8760 4 роки тому +8

    Mheshimiwa hebu tupia jicho pale BRELA. Kuna changamoto kadhaa. Wachache watanielewa

  • @amirichaka355
    @amirichaka355 4 роки тому +10

    Muheshimiwa wewe ni mwalimu tosha ktk utawala wako tusipo jifunza jombo basi Tz imeangamia na maendeleo ni hadithi ya mbali

  • @yonamwakanyamale5023
    @yonamwakanyamale5023 4 роки тому +5

    Nakupenda sana tena sana Raisi wangu JPM, Ni ushauri mzuri kwa mahakama maana mahakama imelala. Tunapata faida gani mtuhumiwa ana Pesa zetu alafu amefungwa, alipe Hela zetu atoke gerezani.

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 4 роки тому +12

    Watumbue bhana Mi naona upo sawa tu JPM

  • @TheCvm229
    @TheCvm229 4 роки тому +24

    Ukisikia Hapa ni Kazi... Ndo kama hivi zege halisubiri jumapil ipite

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 4 роки тому +9

    Viva Magufuli 2020 kura ipo gombea mpk miaka 20 mbele hk wote 2naongea lugha moja xaa hizi 😂😂

  • @petermponzi411
    @petermponzi411 4 роки тому +22

    "Tanzania got amazing President"

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 4 роки тому +4

    Asante sana kwa mabadiliko huko Morogoro.
    Mzee umemvumilia sana mh. Kebwe.
    Naomba umulike na Polisi mzee wetu ikibidi mabadiliko yafanyike. Kubadili leseni pale trafiki ni shida sanaaa. mazingira ya kupata leseni mpya ni magumu sana.
    Morogoro mulika polisi. Kuna alama tatu ambazo hazipo ktk barabara za Tanzania lkn utaulizwa tu maana wanataka kukwamisha ku renew leseni.

  • @evelynmon9423
    @evelynmon9423 4 роки тому +3

    Mungu akutunze Rais wetu Rais wa watanzania uwafundishe viongozi wa Tanzania 🇹🇿 kuongoza bila kula rushwa inawezekana

  • @geminiflorian6237
    @geminiflorian6237 4 роки тому +6

    Hapa Kazi tu , Yani hii Tumbua Tumbua inasaidia kuondoa Mazoea ya kazi , Kiongozi yoyote anatakiwa awe Mwepesi wa Maamuzi yenye Manufaa kwa Taifa , Congratulations Mr President

  • @frankrevelian6919
    @frankrevelian6919 4 роки тому +7

    tuna mambo mengi ya kujifunza kwa mh rais, kwanza uvumilivu na hekima ya kuona nchi inapigwa na akaamua kunyenyekea akitafuta nafasi nzuri ya kuikomboa nchi kipindi chote alichokuwa kwenye uongozi, hii inatufundisha sana watanzania, hekima na busara ni muhimu sana

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 4 роки тому +7

    Magu anaongoza nchi na ana fundisha

  • @abuumussa2390
    @abuumussa2390 4 роки тому +4

    nakuerewa sana mzee wangu ila kwa sasa kunawatanzania wafanya niyashala bado wanaenderea kuhujum uchumi ukienda kununia kitu anakwabia kwa risit ni sh 12000/= bila risit sh 9500. /= ushauri wangu kwa watanzania tuwe wakweli kama mweshimiwa raisi anavotaka kuripeleka hili taifa mbere mungu ibariki tanzania mungu mbariki mr Rais wa jamuhuri ya muungano

    • @lovebusness8777
      @lovebusness8777 4 роки тому

      👏👏👏salout make awa jamaa wanasumbuwa kweli juz nimeenda kununua godoro la super banco futi 3/6 nikaambiwa bila rst 95elf akinipa rist 120,000/=. Nikakubali aniuzie bila rst ila aniperekee mpaka nyumban kwangu nae akakubali kuliweka kwenye gr lake tukaelekea nymbn kwaiyo wafanyabihashara bado hawajakubr kutendea nchi yao haki.

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 4 роки тому +5

    Mi machozi yanatoka tu, muoneeni huruma JPM, pigeni kazi jamani.

  • @niyonkurucanesius7773
    @niyonkurucanesius7773 8 місяців тому +3

    REST in eternal peace.
    we miss from Burundi

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 Рік тому +1

    Baba ♥️♥️♥️bado ninakupenda mnoo na tunakuhutaji 😭😭😭plz kila sku nakuombea na naamini uko uwepon wa Mungu,tuombee wanao🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏🙏

  • @jacksommndellah7794
    @jacksommndellah7794 4 роки тому +8

    Safi Sana rais mangufuli

    • @antonykahwage2189
      @antonykahwage2189 4 роки тому +1

      hakika mheshimiwa ana upendo wa dhati saaaana na watanzania,

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 4 роки тому +4

    Makonda fanya kazi kaka.... huyu mzee humtendei haki, achana na mambo yasiyokuwa na maana fanya kazi

    • @johnnkwabi8933
      @johnnkwabi8933 4 роки тому

      Makonda naomba umsikilize mzee anataka nini juu ya Tanzania mpya bila uchafu kazini inawekana

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 4 роки тому +3

    Huyu ndio rais wa Tanzania... Mungu akulinde Baba... saluti mzee wangu! Wasio weza kasi yako wakupishe jembe letu upige kazi na wanaokuelewa tu

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 9 місяців тому +1

    Uyuuu mzeee kweliii ni mfano sanaaa wakuigwaaa" upumzike baba yetuu mpendwaa

  • @thamu3133
    @thamu3133 4 роки тому +8

    mzee wape wape hahahahahaa,huo ndo ukwel,nakupenda bure magu

  • @kpatrick8468
    @kpatrick8468 4 роки тому +8

    hakuna kumtoa Mh Makonda Dar, mengi kafanya mazuri ,hakuna mwanadamu hasiye kuwa na kasoro, bado anayo sifa ya kuongoza jiji la Dar,bado anayo nafasi ya kujirekebisha

    • @ismailkhalid6186
      @ismailkhalid6186 4 роки тому

      Mipango ya watendaji wa dar kumwangusha makonda inakarbia

    • @ismailkhalid6186
      @ismailkhalid6186 4 роки тому +1

      Makonda watendaji wako karbia wanafanikiwa kukwangusha kua mkali sana wanasubir kushangilia kW udhindi wao

    • @user-my9hc6uf9l
      @user-my9hc6uf9l 4 роки тому

      Si mkazi wa Dar, lakini Mh.Makonda amefanya mengi mazuri.
      Angalizo kwa Mh.Makonda,awe mkali, akicheka na.... atavuna mabua, alafu watamcheka, mazuri aliyofanya tumeyaona,ni binadamu ,hakamiliki

  • @privamushi2512
    @privamushi2512 Рік тому

    Leo naangalia hatuba ya kipenzi chetu tuliyependa gonga like kma ipo na Mimi

  • @godsonmasawe5163
    @godsonmasawe5163 4 роки тому +1

    THE BEST PRESIDENT EVER, I REALLY LIKE YOU MR PRESIDENT AM PROUD OF MY PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI GOD BLESS AND PROTECT YOU.

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 4 роки тому +7

    Keep going Tanzania

  • @shufaashabn1235
    @shufaashabn1235 Рік тому

    Niliwa nakupenda kwa sababu ulikuwa hutumbui walk kuteua bila kufundisha l unataka nn kifanyike

  • @safari5774
    @safari5774 Рік тому +1

    Rest in peace Magufuli we shall remember you mungu ailaze mahali pema peponi.

  • @mathayothomas3744
    @mathayothomas3744 4 роки тому +4

    Kitu hujakosea ni kumtumbua mkuu wa mkoa wa morogoro maana alishindwa kazi kabisa hafai

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 4 роки тому +3

    Macho ya bashite sasa duuuuu imepenya iyo mjomba, wape vidonge vyao ☠☠☠⚠⚠⚠

  • @erickmmary4225
    @erickmmary4225 Рік тому

    Kiukweli tuta kumiss ulikuwa mkweli daima so tuta kumbuka zaidi nazaid dady

  • @rweumbiza255ommy7
    @rweumbiza255ommy7 4 роки тому +2

    safi sana mkuu wa nchi Tunakuelewa sana...Allah akulinde na akupe afya njema

  • @janeypheremmanuel9844
    @janeypheremmanuel9844 4 роки тому +3

    nakupenda Rais wangu Mungu akubarik sana

  • @fanbullalukasa486
    @fanbullalukasa486 4 роки тому +5

    kweli JPM ni mti wa mpingo,asante kwa sindano imeingia!!!

  • @omarimkuya
    @omarimkuya 4 роки тому +2

    mh raisi hakika nafurahi kwa hili la mahabusu kwan wengi wanatamani hata msamaha wako mkuu, tunashukuru ila tukumbuke kwenye ajira sisi vijana hasa wa IT & Data Science bado soko letu la Technology lipo chini na vijana ni wengi wenye utaalam wa TEHAMA! asante sana mh raisi na mungu akupe afya tele kwa kazi unayoifanya maana wengi hawaelewi ila wataelewa tu!

  • @omarykaita43
    @omarykaita43 4 роки тому

    Mheshimiwa Rais pole kwa kazi ngumu, hongera kwa nia njema, sisi wazalendo na tunaojua nia ya moyo wako kwa Tanzania na Africa kwa ujumla Tunaitafsiri nia hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuweza kukomboa uchumi wa nchi yetu toka katika makucha ya wakoloni wa kiuchumi. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa maono zaidi katika kutuongoza kwenda kanaani ya maendeeo yetu kama Taifa.

  • @nilagushaha1990
    @nilagushaha1990 4 роки тому +7

    Well noted,,,stay blessed our Honourable President JPM. We promise you as Country men, we shall not be, STIFF NECKED PEOPLE!! To implement what is right in accordance to your Outstanding views"

    • @rwenenahomechannel1634
      @rwenenahomechannel1634 Рік тому +1

      Na ndio maana damu yako italeta laana kwa wengi na neema ya busara na hekima kisiasa,ki dini kwa wenye kuzitumia akili kwa weledi.
      Raha ya milele inakuatahili baba Magufuli.
      Utubee huko pema ulipo.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Рік тому +1

    Jiwe hili sijuwi lilikanyangwa na nini hadi kuvurugika?..

  • @beatusmichael4688
    @beatusmichael4688 4 роки тому +5

    Good 👍👍👍👍👍

    • @pangarasfuko2383
      @pangarasfuko2383 4 роки тому

      Yan nchi hii utazan viongozi wanaelekezwa kama ndio wanatoka chuo ,yan hawaelewi

  • @angellarobert3892
    @angellarobert3892 4 роки тому

    Mungu akutangulie Rais wetu mpendwa JPM. LIVE LONG

  • @celinaweber7024
    @celinaweber7024 4 роки тому

    Mh. John Pombe Joseph Magufuli, Tunashukuru sana kwa kazi yako nzuri sana sana Mungu akubariki akupe maisha marefu yenye baraka na afya tele! Barikiwa sana kiongozi wetu.

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 4 роки тому +1

    Nakutakia maisha marefu mh Rais hakika Mwenyezi Mungu ni mwaminifu

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 4 роки тому

    Mungu akusimamie Raisi wetu,kazi ni ngumu kwa sababu nchi ilishaoza,
    Siasa nyingi kuliko utaalam
    Wanaokuelewa ni wachache.
    Mungu asaidie upate akina Majaliwa na Jaffo japo 10 tu

  • @georgewarioba9769
    @georgewarioba9769 4 роки тому

    Napata shida sana kuona jinsi gani baadhi ya viongozi wa Serikali wanavyoshindwa kumuelewa Mh. Rais! Unajiuliza hivi hawa watu kusoma hawajui hata kuangalia picha wameshindwa! Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu.

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 роки тому +1

    Pole jpm na hongera kwa maamuz magumu

  • @dorakiyao4509
    @dorakiyao4509 Рік тому +1

    Mungu wangu,pumzika babaaa pumzika ,tunakukumbuka mnooo ,tunapata wapi MTU kama huyu

  • @emmawilliamlemomo2837
    @emmawilliamlemomo2837 Рік тому

    JPM alikuwa mzarendo kwelikweli mungu ampumzishe kwa amani,Nazi kafanya hakuogopa MTU yeyote

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Рік тому

    Uwa naona raha sana kukusiliza japo umelala, pumzika kwa amani ya MUNGU

  • @wamalaibrahim1844
    @wamalaibrahim1844 4 роки тому

    Mwenyezi Mungu akulinde Mzee mweshimia Laisi Magufuli mimi ni mu Tanzania niliozalia uganda rakini naomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe nikuoni ila niongeye nawewe jina rangu Ibrahim

  • @frenkisaya1280
    @frenkisaya1280 4 роки тому +3

    Jpm wewe ni zaidi ya Rais

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 4 роки тому

    Tambua kuwa msanii harmonize ndio aliye mfanya raisi wa Tanzania John pombe.. Kusamehe wafungwa.. Harmonize top..

  • @juddykazoka3066
    @juddykazoka3066 4 роки тому +1

    Mheshimiwa raisi ukienda hospitali una miaka 60 Kama wanakuona unajiweza dawa zingine wanakuambia ukanunue

  • @neytoboy4925
    @neytoboy4925 4 роки тому +2

    mh tunaomba uje na songwe utusalimie

  • @alinassorkabouli5254
    @alinassorkabouli5254 Рік тому

    Nikipigo kikubwa kwa kupoteza kiogozi JPM mtu anaogea ukweli kama kiogozi wa ouma badhi yawatu wanao egemea unafusia wamesahu majukumu yao kuwatumikia maraia masikini mejisahaulisha kuwa majukumu yenyu nikuwatumikia kwa uwadilifu mpate fayida yenyu nawatumishi wenyu mougu kila aneteda mazuri mougu ndo mwenye malipo kwayale mloyatenda mougu niwahaki na anwapenda wenye kutenda HAKI

  • @AbdulMajid-kj5bi
    @AbdulMajid-kj5bi 7 місяців тому

    My father President we were miss u. Good give you amon

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 Рік тому

    MUNGU unawajua watu wako tubariki tena kwa rais kama Magufuli

  • @juddykazoka3066
    @juddykazoka3066 4 роки тому +1

    Mungu akutenze mh raisi

  • @rockzenamtui6296
    @rockzenamtui6296 4 роки тому

    Daah rais umenifurahisha sana mungu aendelee kukusimamia una kumbukumbu hatari hausomi mahali popote ila ni martial matupu na pia hongera kwa kumwambia DPP awatoe hao wahujumuuchumi walipe miradi iiendelee hongera sana raisi wangu

  • @imanbrettyjohn379
    @imanbrettyjohn379 4 роки тому

    Kura yangu 2020 kwako mhe.Raisi maan kazi yako ni nzuri sisi wananchi wako tunafurahi sana

  • @franceslenis4512
    @franceslenis4512 4 роки тому +1

    I have been understanding your language since then

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 4 роки тому

    Mh. Makonda nakupenda sana, wewe ni mchapa kazi, usimwangushe Rais wetu kipenzi JPM, piga kazi bhana, achana na mambo ya kubembelezana.

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Рік тому

    Hakika mh, John pombe magufuri uriamua kutufia waafirika MUNGU nishaindi

  • @amriharuna4236
    @amriharuna4236 4 роки тому +1

    IKULU TANZANIA mwambieni amtoe Makonda Dar aende Tabora na Mwanry wa Tabora aje Dar atamfaa Sana maana mheshimiwa anapambana ila viongozi walio chini yake hawajamuelewa

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Рік тому

    Lakini kwa ufasaa na kuweka wazi mambo Ni Jambo jema MUNGU akurinde akupe pumuziko la amani

  • @shabanmlekwa9513
    @shabanmlekwa9513 4 роки тому

    Hotuba za mheshmiwa huwa hazichoshi kusikiliza.
    HE IS THE BEST PRESDENT IN TOWN.

  • @meshackkanyetisahani5584
    @meshackkanyetisahani5584 2 роки тому +1

    Ama kweli mweshimiwa uliweza kutoa mwelekeo mzuri wa nchi yetu na ulistahili kabisa kuwa mwalimu kwa ajili ya kuelimisha watanzania na waafrika wote...R I P Baba.

  • @williamhalinga3584
    @williamhalinga3584 4 роки тому

    Ongera rais wetu speed hiyo hiyo ndo tunapenda hivo

  • @mpilimieston9982
    @mpilimieston9982 4 роки тому +3

    Kwenye hilo nipesa tu lipa pesa utoke rupango

  • @violetn.finnvik373
    @violetn.finnvik373 Рік тому +1

    Tutakukumbuka milele Baba yetu 😭🇹🇿🙏❣️

  • @gideonmarco8043
    @gideonmarco8043 Рік тому

    Daaa hatatokea ka magufuri RIP JPM kipenzi cha wengi

  • @stivejayngoga1403
    @stivejayngoga1403 4 роки тому +1

    Kuna PSSSPF pia ni janga mkuu!

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 Рік тому

    Mungu awe nawe daima

  • @deogratiasmbherwa609
    @deogratiasmbherwa609 Рік тому

    Sijui kama atatokea mwamba kama JPM rest in peace

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 4 роки тому +3

    Mume wangu Kazana 😂😂😂😂😂😂

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065 4 роки тому

    Pole Kebwe. Ndio maisha.Kuna mazuri ulifanya,lkn dunia huwa inaangalia mabaya tu.

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 11 місяців тому

    Jinsi hayati JPM alivyokua anawahurumia watu madhaifu. Mungu pia atamhurumia huko aliko

  • @user-sj4zh7cj1j
    @user-sj4zh7cj1j Рік тому

    Mungu katuumbua watanzania kwa kutuchukulia huyu mtu .

  • @EAGTmbagala
    @EAGTmbagala 4 роки тому +1

    Huyu ni nabii wa mungu

  • @edibertevarist1044
    @edibertevarist1044 4 роки тому +1

    Kabisakabisa, upo sahihi mzee wetu wa nchi!,chapa kazi tupo nawewe

  • @isackcsimba1436
    @isackcsimba1436 4 роки тому

    Sasa Bunge LA Nin wakati Magufuri Ana sifa ya Ubunge pia Ana Sifa ya Uwaziri ikiwa yeye ni RAIS . Dhu kwel kizur akidumu ila Namuombea Adumu zaid na Mungu ampiganie . Hakuka Utakumbukwa Sana Kama tutaleta Utani juu ya Uyu Mtu Jamani . Wamemuua ghadafi lakin naona Roho ya Ghadaffi inatenda kaz . You're the Best

  • @mamadevidevi2565
    @mamadevidevi2565 Рік тому

    Atakumbukwa milele, mungu ampumzishe, na mazuri mengi ametuachia, sijaona wa kuvaa kiatu chake, tumepoteza, Ila safari ni moja.

  • @robertfrank1207
    @robertfrank1207 4 роки тому +1

    Mzee ongea na wakuu vituo vya wakae peupe vituoni huwa tunapereka malalamiko. Hatuluusiwi kuwaona. Tunazuiliwa na askali wake wadogo.

  • @ngalelefijo2545
    @ngalelefijo2545 4 роки тому +1

    Baada ya kutesa watu na serikali kufirisika munataka sasa kukwapua fedha za wananchi tulijuwa tu ilikuwa nguvu ya soda

    • @godfreymbambe6834
      @godfreymbambe6834 4 роки тому

      Kamwambie mamako.fala kabisa.son of bitch.

    • @ngalelefijo2545
      @ngalelefijo2545 4 роки тому

      @@godfreymbambe6834 praise team pole ndondocha mkubwa wewe

    • @godfreymbambe6834
      @godfreymbambe6834 4 роки тому

      @@ngalelefijo2545 hata kichaa anamuona mwenye akili ni maamuna.hata point uliyoongea inaonesha ni darasa la saba uliofeli .mpuuzi wewe.akili ndogo kutaka kutawala akili kubwa.

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV 4 роки тому

    Nakupenda mno rais wangu,hata sijui nikupendeje zaidi...nahisi haijatosheleza.

  • @eliezermuganda750
    @eliezermuganda750 Рік тому

    Alikuwa mtu wa wote. Apumzike kwà amani.

  • @AbdulMajid-kj5bi
    @AbdulMajid-kj5bi 7 місяців тому

    Magu umeniacha peke yangu mimi jamn nimekumiss njoo hata dk 2

  • @michaelmayunga5301
    @michaelmayunga5301 4 роки тому

    Big up Dr. Magufuli. Nenda na kule kahama wakulima wa pamba mpaka sasa hawajalipwa. Tunaingia msingi mwingine wa kipimo.