Tunda Special- Mwinjuma Muumini

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024
  • Mkongwe wa muziki wa dansi, Mwinjuma Muumini almaarufu kama Kocha wa Dunia.

КОМЕНТАРІ • 662

  • @hassanimatenga-du2ct
    @hassanimatenga-du2ct 4 місяці тому +18

    Kipindi hicho wangapi tupo pamoja kwenye ngoma hii 2024 kuskiliza gonga like tuendelee kupata burudani

  • @user-uk6to4vw2w
    @user-uk6to4vw2w 4 місяці тому +20

    13 _4_2024 nasikiliza enzi hizo Kama tuko pamoja gonga like

  • @travismichael5190
    @travismichael5190 4 роки тому +31

    Kama na wew ni kijana wa nyimbo hizi gonga like yako tujuane

  • @honestytimber9962
    @honestytimber9962 5 років тому +153

    23/04/2019 kama bado waxkilza weka like za kutoxha hapa

  • @borahhanzuruni1872
    @borahhanzuruni1872 7 місяців тому +12

    Nani yupo nami 2024

  • @martineznangale4025
    @martineznangale4025 4 роки тому +103

    Nani yuko nami hapa mwaka huu 2020 weka like tufurahie nyimbo nzuri

  • @rajabusalum6709
    @rajabusalum6709 4 роки тому +124

    Kma bado unasikiliza Ngoma hi 2020 gonga like

  • @daimunicatha7173
    @daimunicatha7173 3 місяці тому +3

    2024 from marekani Florida, ilike this song from Tanzania 😊😊

  • @ZuwenaKabwe
    @ZuwenaKabwe 4 місяці тому +3

    2024 nani yuko hapa kwa kocha wa dunia

  • @biparilakiyao9337
    @biparilakiyao9337 5 років тому +222

    Tarehe 03/03/2019. Naangali old music km ww umeangalia baada yangu gonga like tujuane

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu 7 місяців тому +11

    2024 wapi

  • @saidiomali3324
    @saidiomali3324 5 років тому +145

    22/3/2019 nipeni like 100 tu jamani kwani hii nyimbo kipindi niko mtoto nilikua naicheza wana nipa sh tano duu kitambo sana.

    • @mwitathedon7270
      @mwitathedon7270 5 років тому +1

      Daaa hiii kitu inanikumbusha mbali sana

    • @kelvinlaurent2844
      @kelvinlaurent2844 5 років тому +1

      Acha 2

    • @marthamollelloth7673
      @marthamollelloth7673 4 роки тому +1

      Hongera ulikuwa na makomfidensi yoote

    • @kaizjulius2326
      @kaizjulius2326 3 роки тому

      😁😁😁😁😁😁😁😁😁acha tu mzee tena wakinipa mi fasta kwenye mihogo

    • @milanalberto9222
      @milanalberto9222 3 роки тому

      a tip : watch series at flixzone. Been using them for watching a lot of movies lately.

  • @evancemushi8529
    @evancemushi8529 5 місяців тому +5

    Childhood song ❤ here in 2024.. Nostalgia brought me here

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 4 роки тому +24

    Nakumbuka huu wimbo miaka ya mwanzon mwa 2000/2001ulipotoka Kipindi hicho nna miaka 6 au 7 hivi
    Nlkuwa nausikia wakat nachezea vigari vyangu vya kitoto
    Ilikuaga club moja wanaupiga balaa miaka hiyo
    So naukubali sana kazi ilifanyika hasa kocha wa dunia🔥🔥🔥🔥

    • @albinusnyaiyo2614
      @albinusnyaiyo2614 Рік тому

      Sio kwmba umetoka 2002

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 Рік тому

      @@albinusnyaiyo2614 Hapana Kabla Ya 2002
      Nakumbuka 2001 nilikuwa Nausikia Unapigwa

  • @yahyayusufu5030
    @yahyayusufu5030 4 роки тому +9

    Kipindi hichooooo nlikua natoka nyumbani naredio yangu Naenda kuchunga mbuzi mlimani nakuna msichana nlikua nampenda sana nikifika hapo naiweka hii nyimbo.leo tarehe 25,7,2020 nakusikiliza hapa gonga like zakutosha

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan 2 місяці тому +1

      Kipindi hicho nikiogopa wanawake nikisikia ukimwi unauwa alafu nikitamani lakini nikiskiliza nyimbo hii nikichanganikiwa sana

  • @iandarlington5490
    @iandarlington5490 Місяць тому +1

    My fellow Gen z 2024 hii inashaka ukiwa majii ,mapenzi jamani😊

  • @ramadhanij.s9537
    @ramadhanij.s9537 4 роки тому +10

    January 2020 kama nawe unasikiliza tungo tamu za Muumin Mwinyuma weka like yako hapo

  • @dadyabdullatif7011
    @dadyabdullatif7011 5 місяців тому +2

    Old is Gold 2024 !!! Still rocking 🔥 🔥

  • @justusbenjamin9
    @justusbenjamin9 4 роки тому +15

    13/12/2019 majira ya 18:17 nipo naangalia kama naww like twende pamoja

  • @celletex
    @celletex 2 роки тому +9

    Kwa wale wanao appreciate good music, kali sana

  • @user-qj1io1qz8i
    @user-qj1io1qz8i 4 місяці тому +1

    Hii nyimbo ilipotoka ndo nilikuwa nimependwa na mume wangu wa Sasa,Sasa nikikasirika ananiimbia huu wimbo nabaki kucheka tuu 2024

  • @vhchjff6523
    @vhchjff6523 4 роки тому +11

    Jamaan baby nampenda kulikoni wote !4/11/2019@gonga like kama umeguswa 😚😚

  • @maryamhawai4287
    @maryamhawai4287 14 днів тому

    NANI YUPO HAPA 2024 GONGA LIKE❤❤

  • @sajiduathuman1560
    @sajiduathuman1560 4 роки тому +7

    12/02/2020 nipo nakula good music weka like zangu jamani

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 4 роки тому +20

    10/11/2019 Baada ya kukumbuka wakati huo nasoma ilikuwa hatari sana. Gonga like tujuane

    • @nicholasobori1738
      @nicholasobori1738 2 роки тому +1

      i was in class 7 when i listened first time 2000

    • @t.n.9868
      @t.n.9868 2 роки тому

      I was in class 7 in 1998 when I enjoyed the song for the first time

  • @user-yh9fc6ql3m
    @user-yh9fc6ql3m 3 місяці тому +1

    Kuna wimbo wake, ameimba kiu ya mapenzi( Naomi) natafuta siuoni hata. Kama Kuna mtu anajua vile naeza kuupata, aniambie. Tafurahi Sana kuusilia Tena.

  • @mauwam3627
    @mauwam3627 5 років тому +58

    Nan jaman anakumbukia enzi 2019 gonga likes apa

    • @michaelpaulo626
      @michaelpaulo626 5 років тому +1

      Kama unagapia 5.5.2019 19;52 goga like

    • @ropedwai5118
      @ropedwai5118 4 роки тому

      Hii tareee 04-10-2019 nimelikumbuka hili

    • @ezekielimbwambo4761
      @ezekielimbwambo4761 4 роки тому

      Mkulima kala mbegu hatari 12/04/ 2020/ hatari kubwa Leo pasaka nakula tunda spisho

  • @johnShijakalidushi
    @johnShijakalidushi 3 місяці тому +1

    Nilkuwa cli ukpigwà huu wimbo maana nilkwa na Dada mmoja nilimelewa sana

  • @azizimandia6128
    @azizimandia6128 5 місяців тому +1

    Dah mwanamuziki mwenye nidhamu ya kiwango Cha hali ya juu muumini mwinjuma na anajua kuimba sanaa

  • @laizermaina690
    @laizermaina690 Рік тому +5

    2023 like kama mapenzi yanauwa😍😍

  • @salmaramadhan9580
    @salmaramadhan9580 4 роки тому +22

    Leo trh 13 December 2019 naisikiliza hii nyimbo na ndo nafunga nayo mwaka nakumbuka nilikua drsa la 5 kila nyumba ilikua inapigwa hii nyimbo daah kweli nimeshakua muhenga

  • @joycesamwel3356
    @joycesamwel3356 5 років тому +3

    Mume wangu ulikuwa ukiniimbia huu wimbo sikujua unamaanisha nini ila sasahivi ndo najua nini ulimaanisha rip kipenz changu

  • @anithaphilip3526
    @anithaphilip3526 2 роки тому +11

    I wish lavalava afanye cover ya hii song, naona sauti zao kama zinaendana afu pia lavava yuko vizuri kwenye style hizi za kulalamika

  • @IflaMussa
    @IflaMussa 6 місяців тому +6

    1/3/2024 ni kwenye hii hali nifanyeje

  • @fautha1salim767
    @fautha1salim767 5 років тому +34

    Tarehe 3/7/2019 twendee pamoja like kma zote

  • @tatuomary6624
    @tatuomary6624 Рік тому +9

    Now 2023 but I'm listening this song

  • @mandelasakara-no3bw
    @mandelasakara-no3bw Рік тому +3

    Nakumbuka mbali huyu mwamba Mungu amjali maisha marefu🙏

  • @janethtv2585
    @janethtv2585 4 роки тому +5

    Nani anasikiliza huu wimbo like zenu twende sawa

  • @wangwemrongoti3
    @wangwemrongoti3 5 років тому +39

    Bonge la song nakumbuka hii nyingi nmetoroka nymbn xana kwendaa kuicheza disco daaaah👏

  • @mauajohn949
    @mauajohn949 4 роки тому +7

    naangalia tar 16/12/2019😭😭mapenz jamani yanitesa naweza kufa kwaajil ya mapenz 😭😭😭😭😭😭

  • @mankakweka3460
    @mankakweka3460 5 років тому +10

    Jamaani weeeee daaa Kama unasikiliza hiii nyimbo 2019 gongo like kwa wingi🕵🏾👰👍👍

  • @budimutv6751
    @budimutv6751 4 роки тому +7

    Twenty twenty gonga like twende

  • @shabanijuma7566
    @shabanijuma7566 4 роки тому +7

    Leo 1...11...2019...10:02pm naipiga hii ngoma naikubal hatar sana jmn like zenu wapendwa ...peoples power 4rever

  • @nguddajrjoseph1197
    @nguddajrjoseph1197 4 роки тому +11

    2020 Vibe lile lile kama ndio imetoka leo😁😁

  • @superbillionairea5987
    @superbillionairea5987 2 роки тому +1

    Huyu jamaa anayo sauti bana, Kama angezipiga leo Angelia tajiri

  • @amalshamis2018
    @amalshamis2018 11 місяців тому +3

    Gonga like hapa km unasikiliza leo hii Sept 12,2023😅❤

  • @emmygalicioz4290
    @emmygalicioz4290 4 роки тому +7

    Wasanii walikua hawa leo 7.1.2020 naskiliz nyimbo ambayo mama zang ndo wameskiliz haichuji kamwe

  • @wilsonwaziri7969
    @wilsonwaziri7969 5 років тому +27

    Bro hii nyimbo ilikuzidi umri ulifikiria zaidi ya uwezo wako,,

    • @yusuphchakanga3829
      @yusuphchakanga3829 4 роки тому +1

      Kweli kabisa yaani aliitunga na ikamzidi uwezo na umli wake maana ujumbe mkali sana duuuuh! Pamoja MM

    • @shabanikimbega8003
      @shabanikimbega8003 4 роки тому +1

      Kabisa

    • @eliamalima1718
      @eliamalima1718 3 роки тому +1

      Muumini nyimbo hii siku iripotoka nilikuwa nimeaingiziwa mwanafunZi nimemtorosha acha inanikumbuaha mbali heshima kwako kaka

    • @prisscakalasa4996
      @prisscakalasa4996 3 роки тому +1

      @@eliamalima1718 duuuh,una Mambo ww,Ila yote maisha best....

  • @mussakongakonga6416
    @mussakongakonga6416 3 роки тому +2

    Duuuuhhhh siku zinaenda miaka inakwenda ili nyimbo hii imekuwa bora muda wote bdo inaishi mpka kesho nakumbuka mbali Sana yaaan kipindi kilee

  • @luthermbio7581
    @luthermbio7581 3 роки тому +3

    Nimenunua smartphone jaman nyimbo ya kwanza kusikiliza ni hii coz kitambo sana mpaka leo 2021

  • @officialK-looh
    @officialK-looh 8 років тому +9

    huu wimbo japo nilikuwa mdogo sana lakini nilikuwa nimeukariri na kuuimba kila muda japo nilikuwa sijui lolote kuhusu mapenzi

  • @user-je8cu3nu2s
    @user-je8cu3nu2s 18 днів тому

    Ngoma ilipigwa Jaman 2024 Bado naisikiliza

  • @hamdanifuku3936
    @hamdanifuku3936 7 років тому +28

    Ivyo vitu vya kale si mchezo Hawa vijana wa Leo wasubir sana

  • @mamlomalocho2675
    @mamlomalocho2675 5 років тому +20

    Leo Tar 02.07.2019 Nasikiliza Vitu vyenye maana na kunirudisha hadi Raha.

  • @sangomamoricee6533
    @sangomamoricee6533 5 років тому +5

    moja kati ya sauti tamu isiyochosha masikio asante kwa kukuona live

  • @fadhymtanga
    @fadhymtanga 10 місяців тому +1

    Ni 2023 na bado naisikiliza hii ngoma.

  • @chazkoillah2652
    @chazkoillah2652 5 років тому +45

    Wahenga ndio tunaelewa hii mambo good sana

  • @johnmagolanga6829
    @johnmagolanga6829 8 років тому +12

    Duh huo wimbo wa tunda special unanikumbusha mbali,kazi nzuri onyango

  • @kuvetamzazi8689
    @kuvetamzazi8689 Рік тому +1

    Tuliofanikiwa kung'oa chuchu miaka hiyo kupitia wimbo huu njoo tujuane. Leo 12. 6. 2023 lakini wimbo utafikiri umerekodiwa jana

  • @harunimanyama2362
    @harunimanyama2362 2 роки тому +5

    14/06/2022 bado nasikiliza muziki mzuri kutoka kwa Mwinjuma Muumini. Nakumbuka miaka hiyo ya 2000 na 2001 ndio ilitoka hii. Kama na wewe pia ni mkongwe tujuane.

  • @joelnassari105
    @joelnassari105 6 років тому +9

    Old is Gold...Congratulation Mwijuma Muumin Mwana Bagamoyo...Enzi hizo kuna ushindani halisi wa African Revolution a.k.a Wana Tamutamu ....Apa Muumin..Badi Bakule..Halima Ngaluma na wengine...Dar ilikua Dar

    • @allysaidy9109
      @allysaidy9109 6 років тому

      iko sana yani inanikumbusha mbali sana

  • @pendojemsi7036
    @pendojemsi7036 4 місяці тому

    Wakati huo nikiwa na umri wa miaka 10 saivi nishakuwa shangazi kweli ya kale ni dhahabu

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 24 дні тому

    Ni kweli mapenzi ni dude kubwa na la ajabu

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 5 років тому +6

    11/09/2019 bado tupo p1 gonga like yko kama na ww ni miongoni mwao

  • @msemakweldaima1685
    @msemakweldaima1685 4 роки тому +4

    Daah nakumbuka mbali sana still listening this song in 31/09/2019
    Gonga like kama naww uko kwenye jahazi hili

  • @georgerichard6706
    @georgerichard6706 Рік тому +1

    Nko apa 2023 🥃🥃

  • @jacobshauri5603
    @jacobshauri5603 6 років тому +32

    Kitamboo rahaa sanaaa sio sasa wap mwinjumaa duuuuh

  • @erlindabernard4475
    @erlindabernard4475 5 років тому +25

    2018...siku hizi hakuna nyimbo Kuna vituko..

  • @t.n.9868
    @t.n.9868 2 роки тому +20

    Today Saturday 22/1/2022 at 7:05 am,
    Nairobi, Kenya. I have woken up listening to this timeless hit. A song I adored in 1998...nalia sana....

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 2 роки тому +1

      2022 m hereeee baada ya kuachwaa 😂😂😂😂😂

  • @SharifaMkwangia-vc6tw
    @SharifaMkwangia-vc6tw Рік тому

    Pole sana kwani usilo lijua sawa na usiku ŵa kiza

  • @mohamednoti1401
    @mohamednoti1401 2 роки тому +2

    Hizi ni nyimbo nazikumbuka sana wakati nko mtoto mwaka 2003 zilipigwa sana kipindi hicho nna miaka tisa.. mpaka sasa bado nazikumbuka nikiwa na miaka 28…

  • @ibrahimmlata2260
    @ibrahimmlata2260 2 роки тому +1

    Lala salama babaangu hiz nyimbo ulikuwa unazipiga jumapil huend kazin utazunguka nyumbani,utafanya USAF wote hiz nyimbo zitapigwa asbh had jion duuuh 😭 baba bs tu kifo hich mim mwenzenu simsahaug babaangu ❤️

  • @omarinhomoudy
    @omarinhomoudy 7 років тому +17

    R.I.P babu yangu.. allipenda sana hii nyimbo nami nikiwa mdogo sijui hili wala lile lakini sasa ni mkubwa najua nini maana yake...

    • @herryhamis5390
      @herryhamis5390 5 років тому

      15.09.2019 naskiliza hatar hiii mapenzi jamanii yataniua

  • @farajimatorwa3226
    @farajimatorwa3226 6 років тому +4

    nilikua mdogo sanaa kipindi icho,,,, nilikuwa siamini akisema mapenzi yanauwa nilikuwa nacheka sanaaaa siamini kama kuna kitu kama icho,,,,, ila sasa nimekuwa nayaona mwenyewe kwa macho Respect bro Mwinjuma 2018

  • @SaidomaryMganga
    @SaidomaryMganga 23 дні тому

    Mwaka huo nipo darasa la sita nikiwa na rafiki yangu kipenzi aisha lugendo popote ulipo nakukumbuka sana mpaka machozi yananitoka ipo siku tutakutana

  • @gretamaheri8437
    @gretamaheri8437 5 років тому +6

    Tangu nakuwa nasikliza wimbo huu daaah mapenzi yanauwa 😥 14/6/2019 najikuta nalia tuuu mwenyewe masikin

  • @amosimusso7589
    @amosimusso7589 5 років тому +14

    Nami nipo leo 31/3/2019 nasikiliza nyimbo tamu kama hizi

  • @mwaminisaid8057
    @mwaminisaid8057 8 років тому +14

    duu , ni shidaaaaaaa xna nakumbuka mbari xnaaa mwanzo wa mahusiano katika maisha yanga kuna MTU nilitokea kumpenda xna ila arikua bizee xna na masomo nje ya mji huu mwimbo ndiyo ulikuwa faraja yangu

  • @FikiriAbdalah-qe9ue
    @FikiriAbdalah-qe9ue 3 місяці тому

    Nakumbuka mbari xana cna la kusema wapendwa marafiki ndugu na Miata yote ubungo mpaka kimara uko wapi muumini,❤

  • @davidzacharia2373
    @davidzacharia2373 4 роки тому +1

    Daaah vya kale dhahabu

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 Рік тому +1

    Wa 2023 tujuane jaman duuu

  • @saidifundi8023
    @saidifundi8023 3 роки тому +3

    October 2020 nani anaangalia????

  • @zaynabumustaph4200
    @zaynabumustaph4200 4 роки тому +4

    8-10-2019 naangalia enzi izo baba zetu walivyokuwa wakienjoy na tamtam

  • @datikazumari515
    @datikazumari515 6 років тому +19

    ilikuwaga nyimbo ya taifa hii ngoma

  • @hareemamtambo8793
    @hareemamtambo8793 4 роки тому +2

    Yaaan nyimbo hii inapigwa me ndo nachipukia kwenye mapenzii jamanii daaah nishakua muhenga sasa 😱😱😱

  • @dyzoomgonja9892
    @dyzoomgonja9892 4 роки тому +4

    Sept 2020 like zangu jamn

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Рік тому +1

    Wmbo Bora San huu2023😊😊

  • @aminamjaka2329
    @aminamjaka2329 4 роки тому +3

    Legendary wa hz kaz Prince M/muumin Respect 2020 bado nyimbo inauhai

  • @mretamreta8058
    @mretamreta8058 4 роки тому +2

    07032020 bado naangaliaaa,,,twende na liked

  • @pamelamboma6725
    @pamelamboma6725 3 роки тому +1

    2021 bado iko hot...enzi za mabendi live band

  • @donisjames7117
    @donisjames7117 3 роки тому

    Nnakupenda kuli koni wote

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 5 років тому +4

    hapo nikiwa darasa la kwanzaaa yani nategea baba ametoka naiba kaseti naeka kanda naizungusha na biki inarudi nyumaaa hahahahaaa daaaaaa watoto wasikuizii shololo nyingiiiiii

  • @nicholasobori1738
    @nicholasobori1738 5 років тому +11

    4-4-2019 tuko wengi ndani la jahazi

  • @msozithedon1730
    @msozithedon1730 3 роки тому +1

    Daaah iyi nyimbo naikumbuka kipindi nasoma drs 4 iyi nyimbo daah leo tr 23 mwez wa 8 ,2021 nimekuwa mtu wa Kujitafuti kwaiyo nampongeza sana amenikumbusha mda sana nimefalajika sana

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 8 років тому +75

    naumbuka enzi hzo niko primary school ...naona kama watoto wa siku hizi hawafaidi muzik wa kitanzania

  • @abdllahijr3461
    @abdllahijr3461 7 років тому +3

    sauti ya dhahabu uwezo mkubwa hubahatishi kuimba asante baba mungu akuone

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar5695 5 місяців тому

    Jamani tujuane 2024❤❤🔥🔥

  • @erickvalerian8264
    @erickvalerian8264 4 роки тому +3

    Nan anasikiliz nyimbo hii leo 2050

  • @isaberapmpesha9571
    @isaberapmpesha9571 4 роки тому +1

    Jamn waoooooo kweli nimekumbuka mbari

  • @wazirially8005
    @wazirially8005 Рік тому

    LEO 30/09/2022 nimepata wasaa wa kusikiliza, ila pia ninazo IYO album nzima ya prince muumini.. Mtoto wa TANGA CHUMBA GENI