Remmy Ongala and Orchestre Super Matimila - I Want To Go Home (live at Real World Studios)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Purchase/stream the album: smarturl.it/RW22
    Remmy and his band recording the music for his album Mambo in The Big Room at Real World Studios during the first Real World Recording Week in 1991. The album was released on Real World Records in March 1992.

КОМЕНТАРІ • 809

  • @ElifarijiKisaka
    @ElifarijiKisaka 2 місяці тому +7

    Hii Ngoma unipige ukiwe kwenye mabasi ya mikoani wakati unarudi kwenu uko Kwa basi utahisi hii nchi wewe ndio raisi😅mwaka 2024 gonga like hapa together

  • @beenmankenyaasaliasilivent3072
    @beenmankenyaasaliasilivent3072 Місяць тому +7

    Am helplessly happy here in 2024. Nyumbani Afrika

  • @user-kq5qs8bu8x
    @user-kq5qs8bu8x 3 місяці тому +13

    Who is here 2024 wat made you come look for this good song 😢❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 home sweet home bungomaa county tongaren naitiriiii

  • @eahype96
    @eahype96 8 місяців тому +58

    Who is here in 2024

  • @shahnaomary5454
    @shahnaomary5454 5 років тому +45

    penda sana narud home nilieweka wakat natoka Mozambique narud home tzd km nawe waipenda like hapa twende sawa

  • @jumamaganga5064
    @jumamaganga5064 2 роки тому +11

    Can you imagine all the coments are written in english but the man is an African a Tanzanian in particular. Proud to have you in our country the late remy ongala

  • @charlesmichael6900
    @charlesmichael6900 4 роки тому +66

    Naombeni like zangu za 2020 jamani hapa usipite bila kulike

  • @BarackOtieno-ws4qw
    @BarackOtieno-ws4qw 10 місяців тому +12

    I will go back to Kenya 🇰🇪 from Somalia 🇸🇴 very soon

  • @marikiurassa8495
    @marikiurassa8495 5 років тому +299

    2019 nani anamuangalia marehemu Ongala pamoja na mimi?

  • @aishashaabani2777
    @aishashaabani2777 5 років тому +44

    Leo tarehe 18/06/2019,naangalia na kusikiliza nyimbo ya rem,
    R.I.P,,,, musician.

  • @richardduwe
    @richardduwe 4 роки тому +7

    ndugu zangu wa peramiho na vitongoji vyake ( madukani , namihoro , lipinya pinya na lundusi) like tujuane ... thanks legend dr remy ongara

  • @khadijanyoni2457
    @khadijanyoni2457 5 років тому +28

    Nakumbuka baba aliinunua hii album. Baba yangu alikuwa anampenda sana remy. R.i.p. remy ongara

  • @officialdadys3547
    @officialdadys3547 5 років тому +41

    Anae amini nyimbo hii haitakuja kuchuja kama mimi gonga like hapa 2019

  • @richardharold7128
    @richardharold7128 Рік тому +7

    Remy Ongala "sura mbaya" legendary African musician.. ❤️❤️❤️❤️ Sauti tamu sana... Africa is blessed 🙏 long live to our rich heritage in cultures

  • @davidmuangi5869
    @davidmuangi5869 2 роки тому +17

    That combination of Remy and cosmas chidumule was fire🔥🔥🔥🔥

    • @charlesmunyaka9463
      @charlesmunyaka9463 8 місяців тому

      More than fire their compination was completely 100% good

  • @ramadhanineneza7317
    @ramadhanineneza7317 5 років тому +182

    Nice song with realiaty themes home is home not matter is good or bad home still home if you agree thumb

    • @kimunyeijack6989
      @kimunyeijack6989 5 років тому +2

      Narudi nyumbani yoo

    • @jumarehani4520
      @jumarehani4520 5 років тому +1

      Home is home whether bad or good stil sweat home

    • @biggish14
      @biggish14 3 роки тому +1

      Home sweet home no matter how bad or good is it, still it’s wonderful for your future😍👌🏿

    • @simbabbq4427
      @simbabbq4427 11 місяців тому

      Ss​ssssssssssssssssssszz🎉a good time to time I s🎉333333333s🎉33s🎉3333s🎉🎉s3333s🎉33🎉3333333s🎉333333s🎉3333s🎉333333s333s3s🎉3s🎉33333333333333333333333333333s🎉333333333333333333333s🎉333333333333333333333333🎉3🎉333333333s🎉s🎉3333333333s🎉s🎉33333333333333333333333s🎉3s🎉333s🎉🎉s33s🎉33333s🎉33s🎉🎉s333s🎉333333333334333s🎉3s🎉333333333333333333333333s🎉3s🎉3s🎉333s🎉3333333333333s🎉33s🎉s33s🎉33🎉33333s🎉3s🎉334s33s🎉33333333s🎉333333s🎉3s🎉3333s🎉🎉s33333333333s🎉33s🎉333333333333333333333333333s🎉3333333333333333333333333333333s🎉33333s🎉3s33333s🎉3s🎉333s🎉33s🎉33333s🎉s🎉33333s🎉33s🎉3s🎉33s🎉333333333333333s🎉a 🎉🎉🎉

    • @bahathkabuje9799
      @bahathkabuje9799 11 місяців тому

      .

  • @richardharold7128
    @richardharold7128 Рік тому +4

    The best of African beats for the old times... East west home is best... May his soul rest in peace Remi Ongala "sura Mbaya"

  • @bakarikendwa5809
    @bakarikendwa5809 3 роки тому +5

    Wale wa zamani, redio ni moja tu redio Tanzania, hii nyimbo inanikumbusha kipindi uguwa pole,

  • @selestinmussa5202
    @selestinmussa5202 5 років тому +123

    2019 kama ya jana vile wale tulio iona mwaka huu like apa zakutosha

  • @babumussa7570
    @babumussa7570 3 роки тому +3

    Old is gold hakuna ubishi kwenye hilo muziki mzuri sana huu huwa searching kuusikiliza kila ck nikikosa kwa ck basi kwa wiki japo mara moja

  • @PhilipEtyang
    @PhilipEtyang 2 роки тому +27

    Listening to this track on a breezy Sunday afternoon at the Kenyan Coast with a Tut and vodka is pure heaven! Rest In Peace Remmy. 😭

    • @tomn9094
      @tomn9094 Рік тому +1

      Phil, listening in a dairy barn in Illinois. Pure heaven as well.

  • @BarackOtieno-ws4qw
    @BarackOtieno-ws4qw 11 місяців тому +4

    I always like to listen 👂 to this song by the time ⌚ i remember my home 🏡 and my family 👪 i left back 🔙 in Kenya 🇰🇪, 9months ago😊

  • @WisdomAram-xx5yq
    @WisdomAram-xx5yq Рік тому +5

    I never get tired of repeating this track.it soothing my soul and make me remember everyday that home is home no matter is good or bad.rest in peace Dr Remmy Ongala

  • @frikkomolag7586
    @frikkomolag7586 3 роки тому +14

    From Holland my compliments for Remmy Ongala and his group,love the music!

  • @davidsmith6355
    @davidsmith6355 Рік тому +5

    I had a cassette of this back in the 90s. I loved it and played it loved it and played it loved it and played it. Never realised it was a live recording, kind of obvious now. What a great man, great band, great songs, great feel, great love. So sad to hear of your passing, RIP Remmy. ❤

  • @aggreyjoseph9797
    @aggreyjoseph9797 4 роки тому +6

    Ikumbukwe kua mm ndio wa kwanza kutazama hili songi leo tarehe 14/1/2020 Sina mpinzani rip legendary remi

  • @joerumba3646
    @joerumba3646 5 років тому +28

    For the pan African in us all! So amazingly beautiful.

  • @josephabel7654
    @josephabel7654 4 роки тому +7

    Wasanii hutoweka lakini nyimbo zao nzuri zitaishi milele yote.....Nyimbo nzuri sana Mwenyezi Mungu amrehemu Ramadhan Mtoro a.k.a Dr remy😢😢 nyimbo kama Amisa loooh

  • @mbunah255
    @mbunah255 Рік тому +5

    Our home is heaven, each of us will come back.
    Rest in peace REMMY ONGALA 💔💔

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi3169 4 роки тому +82

    2020 nani anamuangali marehem Ongala gong like twende pamoja

  • @emmanuelkashaija5175
    @emmanuelkashaija5175 3 роки тому +6

    Muleba narudi that make me cry a lot,am from bigaga rest in peace my grandpa kashaija and MAGUFULI

  • @raymondpoole7572
    @raymondpoole7572 3 роки тому +20

    Saw them UK twice, once in Bridport in Dorset and once in Bristol. Brilliant band.

  • @zuwenasimfukwe2981
    @zuwenasimfukwe2981 5 років тому +63

    wazungu wanazingua kucheza hawajui kabisa. like kama unaikubali hii song .

  • @mwagomathia553
    @mwagomathia553 2 роки тому +2

    Remmy Ongala..sura mbaya mwenyewe..this is the pure reggae from East Africa ......the place I belong.

  • @stephenmasungwa9763
    @stephenmasungwa9763 7 днів тому

    Huyu mwamba Mungu ampunguzie yote, alikuwa mzalendo. A song of a century ❤❤❤😂

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 5 років тому +10

    From UAE
    Rest Easy mzee Remy ongala.
    I want to go home dah

  • @franciswasajja6831
    @franciswasajja6831 2 роки тому +31

    This song makes me develop emotions especially when am far way from home.

  • @franchise.licensing.institute
    @franchise.licensing.institute 2 роки тому +5

    This is a beautiful song, thank you Remmy for being true to your talent, your craft, and your inspiration! Rest in peace in 2022!

  • @normanpaulo1567
    @normanpaulo1567 4 роки тому +67

    2020 Nani anasikiliza vitu vya remi

  • @johntarus9472
    @johntarus9472 8 місяців тому +1

    As we celebrate Christmas ongala home is home rest in peace the legend of Africa this song really sooth my soul this remind me when I was in Croatia serving my country Kenya pole sana.

  • @augustinemwangi7052
    @augustinemwangi7052 Рік тому +3

    Remi Ongala's songs give me rich memories of my childhood days in Tudor, Mombasa. His songs dominated the VOK and later KBC radio.

  • @aviationmaniac99VC
    @aviationmaniac99VC 2 роки тому +12

    Dec 2021.. His music still lives on!

  • @crispaseve
    @crispaseve 4 роки тому +10

    Total definition of musician ... R.I.P Dr Remmy Ongala

  • @gespardanil2009
    @gespardanil2009 4 роки тому +29

    Hawa ndo wanamuziki wa Tz siyo sasa matusitu,

  • @paulmagacha8571
    @paulmagacha8571 Рік тому +1

    Great music. IAs a small boy I remember seeing you on tv when you visited Kenya . Your music gives me me nolstagic memories when I’m away from home. Comtinue resting in peace Dr Remmy🙏

  • @amb2211ful
    @amb2211ful Рік тому +2

    Thanks for Remmy and band🙏 World mucik festival year 1992 in Finland I have golden memories👍

  • @jamesjailos5010
    @jamesjailos5010 3 роки тому +1

    Daa uyu mwamba ajawahii kunianguaha ata cku moja ngoma zake zote zinaishi mungu mweke maala pema peponi amina

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 3 роки тому +1

    YESU ANA NGUVU ZA AJABU SANA ...ALIWEZA MUOKOA REMMY, CHIDUMULE, MAKASI...
    Ulimwengu wa mziki wa Dance ulianguka...

  • @peterfrancinsshelukindo9215
    @peterfrancinsshelukindo9215 5 років тому +13

    Nyimbo ambazo kamwe katu hazipotezi radha. hakika tutamkumbuka Dr Remmy Ongara.

  • @user-tz5ix5xr8c
    @user-tz5ix5xr8c 15 годин тому

    Come back home rudini nyumbani watoto wa Africa ❤

  • @melog5563
    @melog5563 5 років тому +3

    Nampenda can't Mungu azidi kuilaza roho yea marehemu Remy ongala mahala pema peponi.

  • @nungwanacharles6
    @nungwanacharles6 2 роки тому +9

    Tears on my eyes,remmy the music monster!!

  • @Catesa80
    @Catesa80 4 роки тому +12

    Saludos desde Cartagena Colombia aquí también disfrutamos de su música

    • @authurjakins9054
      @authurjakins9054 2 роки тому

      i didnt anstd but i like to se you olso coment hear

  • @negrosanga5904
    @negrosanga5904 5 років тому +38

    udongo huu umechukua vyuma kwwnye hii tasnia ya music wa bongo.

  • @salmamacha9434
    @salmamacha9434 Рік тому +30

    Who is listening to this masterpiece in 2023

  • @ivanluda71
    @ivanluda71 5 років тому +8

    You will never walk alone ongala !! 🙏🏼🙏🏼

  • @elizabethrukwakwa5896
    @elizabethrukwakwa5896 4 роки тому +9

    Leo tare he 12/1/2020 nacheki ngoma ya Remmy narudi nyumbani,R.l.P

  • @peterakwabi3107
    @peterakwabi3107 6 місяців тому +1

    Huyu ni mwanamuziki mzito sawa kabisa! Nampenda kwa vyovyote vile. RIP Dr.!

  • @rodrickgerald6151
    @rodrickgerald6151 4 роки тому +1

    Jamanii ehee tunaorudi kwetu songea na Super feo kama remmy ongala naomba like zenu tujuane apa 2/12/2019 respect ongala

  • @johnmakone6768
    @johnmakone6768 5 років тому +15

    Love from Zimbabwe in 2019

    • @baroboy1565
      @baroboy1565 3 роки тому

      Uyu jamaa alipewa zawadi na mwenyezi mungu R.I.P wanasema ukisha ingia kwenye dunia iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nakuinza safari yako ya maisha kama mwenyezi mungu alikupa kitu lazima ukitimize ndipo uanze safari yakuondoka duniani HESHIMA KWAKO R.I.P LEMI ONGALA

    • @davidpaulndimbo8909
      @davidpaulndimbo8909 3 роки тому

      Thanks Sir

  • @kisulaabas2614
    @kisulaabas2614 4 роки тому +10

    Home sweet home Tz is my home day of covid19 still watch

  • @Shilatu
    @Shilatu Рік тому +3

    What a Legend ,remmy ongala the monster…..🇹🇿🇬🇧

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 4 роки тому +4

    Wakenya jamani rudini nyumbani mwaongoza afrika mashariki kw kutoka nnje namba 3 afrika nzima

  • @Winstonfying
    @Winstonfying 4 роки тому +13

    2020, Remmy was the king of dance music in TZ, R.I.P

    • @noahotieno4539
      @noahotieno4539 4 роки тому +1

      This was my guy in simple Rhumba adoptable to East and Central Africa .Nice music.May he RIP.

  • @emmanuelmnzava8772
    @emmanuelmnzava8772 5 років тому +1

    Naipenda sanaa Hii nyimbo hakika tutakukumbuka daima baba etu Dr Remy mungu akulaze Mahala pema peponi 🙏

  • @vicetech2920
    @vicetech2920 3 роки тому +15

    How live music was meant to be. What it should always be. Very cool

  • @urbanerrandsolutions
    @urbanerrandsolutions 4 роки тому +1

    2020 nakumbuka mwenda zake Dan (Santana) Ngonga, mtaani Ololo enzi zake 90s Nairobi. Alipenda hizia za Remi.

  • @deogratiaslukoo5163
    @deogratiaslukoo5163 4 роки тому +10

    2020/04/02 still watching amazing music from the late Dr.Remmy Ongala

  • @Yellowshark667
    @Yellowshark667 2 роки тому +5

    I cannot get enough from the Dr. Awesome musician!!!

  • @abdulsaid9788
    @abdulsaid9788 4 роки тому +6

    Abdul from swiss am watching this vedio and i miss home kenya

  • @kiplarono8515
    @kiplarono8515 4 роки тому +3

    Remmy ongala did his best ,most of his songs were educative. R.i.p mzee

  • @kennethbahebenginilla1657
    @kennethbahebenginilla1657 3 роки тому

    Narudi nyumbani eh,nilipoamua kurudi nyumbani,nyumbani ni nyumbani hata kukiwa kubaya au kuzuri,nyumbani kwako ni nyumbani eh kwa baba/mama yako ni kwako,imenikumbusha mbali hii nyimbo RIP Remmy Ongala,kila la kheri familia yako kina Kalimangonga,nduguze na mamake.

  • @seiftanzania5320
    @seiftanzania5320 5 років тому +15

    Nani anapenda kurudi nyumbani kukomboa nyumbani

  • @wenslauseranga2419
    @wenslauseranga2419 4 роки тому +2

    wimbo wa maisha yangu! nakumbuka nyumban! nmemmis kila mtu wa nyumbani @february 3/2020 jumatatu tulivu!!!!!!!

    • @samwelijoseph4191
      @samwelijoseph4191 3 роки тому

      Nyumbani Jani ninyumbani nawapenda saaaaana wazazi wangu remi ananipa hisia mbaaaaya naumia moyoni

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 років тому +12

    He was truly Tanzania music dance legend!

    • @myrstika
      @myrstika 5 років тому +2

      True African legend from Congo. Born and raised.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 5 років тому

      Myrstika hahahaaa,,,,,,,!

    • @kelvinnduta3081
      @kelvinnduta3081 2 роки тому

      Not truly tz nor congo but born African star on this African soil

  • @eliamanimathayo8898
    @eliamanimathayo8898 3 роки тому +1

    Remy alijuaaaa muziki aseee sauti ujumbe vyombo na production utadhani wimbo umetoka 2020 .wimbo unausikiliza hisia za nyumbani lazima zikujiee

  • @jovinjoseph4887
    @jovinjoseph4887 5 років тому +2

    Kuna ngoma inaitwa PAPA LOLO ya MOSE FAN FAN jamaa wamepiga gitaa kama lililopigwa huku.
    Kumbe hadi madingi walikua wanaibiana midundo 🤣🤣🤣.
    Rest in POWER DR. REMMY ONGALA & MOSE FAN FAN

    • @admirabisikiduduye1516
      @admirabisikiduduye1516 4 роки тому +1

      Nyimbo nyingi sana zimepigwa copy kama zilivyo na kukopy baadhi ya midundo, napenda nipate nafasi _kilwa jass na mokolo nakokufa _African fiesta. Mosese_ makassy orchestra na nakoma mbanda na mama ya mobali na ngai _tp okk jass.tambo na mokilo_Johan bokilo na baba jeni_orchestra Bantu group, na Vingine Vingi tu

  • @youngmumske3758
    @youngmumske3758 3 роки тому +32

    2021 still listening to this good music,RIP legend

  • @josephdogan7650
    @josephdogan7650 4 роки тому +3

    Zilikuwa ni nyakati ambazo kuimba na kuwa mwanamziki , ilibidi uwe no mwanamziki kweli na uujue mziki. Kulikuwa ni kipindi ambacho km huna sauti hujui kupiga chombo na utalamu wa mziki usingeweza kuwa mwanamziki.
    Nyakati zimebadilika teknogia imetuletea waimabaji mbao hawaijuii mziki isipokuwa kubebwa na teknologia

  • @mutisomweu9293
    @mutisomweu9293 2 роки тому +3

    Pure genius. You'll never hear better music.

  • @alexkameo6399
    @alexkameo6399 5 років тому +31

    Ooooh Men!Ramadhan Mtoro a.k.a Dr. Remmy Ongara,what a music.....
    Nani anatizama hii leo 2018

    • @Ihk23
      @Ihk23 5 років тому +2

      tupo hii nomber ilikuwa nyingine,basi tu,watu alifanya music wa hari yajuu sana

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 5 років тому +3

      Bwana Alex Komeo Old is Gold! Dr Remmy Ongera nyimbo zake hazitachuja daima kwani zina ujumbe mzuri sana.

    • @alexkameo6399
      @alexkameo6399 5 років тому

      @@Ihk23 hatari sana aisee

    • @alexkameo6399
      @alexkameo6399 5 років тому +1

      @@felixmagulu6142 huyu mzee alikua anajua sana

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 5 років тому +1

      Wewe usiyejua music ndio hutazami, lkn kwa tunaojua sio tu 2018 tutaendelea kutazama zaidi na zaidi

  • @ilonaruggle4513
    @ilonaruggle4513 5 років тому +5

    I love it and i am sad that Remmy is dead, i love Tanzania sooo much

  • @richardkalinga5107
    @richardkalinga5107 5 років тому +41

    Machozi yamenitoka nimekumbuka nyumbani so it's my time to make decision.

    • @mohamedhamisi3722
      @mohamedhamisi3722 4 роки тому +2

      Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana mwaka 1981 wakati niko shamba na mshua tunalima redio kaiweka juu ya mti aina ya mbili saba saba yani cwez kusahau mungu nipe miaka mingi nione mengi kama unaikubali hii nyimbo coment hapo

  • @johnonkoba895
    @johnonkoba895 4 роки тому

    Hongera sana mzee remmy ongala,hata kama hauko duniani nyimbo ni kama imetoka jikoni kwa wale wako familia ,na wote duniani musa kutoka Kenya👍👏

  • @denisnsokolo7098
    @denisnsokolo7098 6 років тому +15

    Waooh, its so amazing .... I need to go back home 🏠

  • @shadracksospeter536
    @shadracksospeter536 2 роки тому +3

    as a 90's kid.......am enjoying this jam right now

  • @nyemombogoni3755
    @nyemombogoni3755 4 роки тому +13

    naomba unipe like unayesikiliza Novemba hii ya 2019

  • @godfreyowuor7188
    @godfreyowuor7188 10 місяців тому +1

    What a VOICE
    What a MESSAGE
    This is more than NOSTALGIC
    Just WOW!!!

  • @rojalitanda4462
    @rojalitanda4462 4 роки тому +6

    Wenye wimbo wetu tujuane kwa like

  • @danstanmwikola1790
    @danstanmwikola1790 5 років тому +2

    Huu udongo si rafiki umechukua wazawa tasnia hii wote R.I
    .P Father remy

  • @michelleodeke8600
    @michelleodeke8600 4 роки тому +2

    Rest Easy Legendary...hope we'll still be able to attend the ONGALA FESTIVAL 2020

  • @jonasgervas8247
    @jonasgervas8247 3 роки тому

    Remmy wa 1930 ndy Remmy wa 2021 kipaji bado kinaishi japo kalala kwa aman...Mungu tupe Remmy tena Tz nyimbo zake ziishi kizazi na kizaz

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 5 років тому +3

    Kwa kweli huu wimbo unanipunga sana, nani kama Remmy Ongalaaa...?!!

  • @anthonynjatha3240
    @anthonynjatha3240 3 роки тому +24

    This is a live performance but the sound quality is incredible especially on a car stereo.

  • @ephesongailo8564
    @ephesongailo8564 2 роки тому

    Muziki ulio tukuka, muziki unao ishi muziki unao sikilizika,,,,,, unaweza ukatumika hata wakati wa kuabudu kanisani....... May the Omnipotent rest his soul in eternal peace.

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 11 місяців тому

    Bonge la wimbo wenye ujume hai kwa wengi ambao wanakukataa kwao na hataki kufanya maendeleo kwao ila ugenini tu!❤👏

  • @sosoflix
    @sosoflix 5 років тому +4

    Old is Gold... The representative of East Africa

  • @MagesaNdaro
    @MagesaNdaro 7 днів тому

    Mimi napenda sana huo wimbo make kwetu mara nafanyia kazi mbeya ndo mhana nakupenda sana

  • @kiplamachar
    @kiplamachar 4 роки тому +1

    2020 20march what a phalacy remmy ogala.....my cat listened to it now its a lions.......proudly made in golden ,diamond sparkingly africa.....

  • @GSengo
    @GSengo 4 роки тому +6

    LADHA ADHIMU .........KAMA MUZIKI UMEPIGWA LEO.

    • @jamesjohn6650
      @jamesjohn6650 3 роки тому

      James.msona nikiwa mpanďa katavi ninekumbuka miaka ya nyuma nikiwa mdogo nikiishi kwa babu kijijini Nyamilama babu alikuaga na redio ya mbao na redio ya kava ra ngozi panasonic kipindi cha jioni redio KBC ilikuaga inazipiga hizi nyimbo