MWAKINYO Afunguka KINYONGE Sana, SAKATA la PAMBANO Lake KUSTOPISHWA, Amtaja DULLAH MBABE...
Вставка
- Опубліковано 29 тра 2024
- MWAKINYO Afunguka KINYONGE Sana, SAKATA la PAMBANO Lake KUSTOPISHWA, Amtaja DULLAH MBABE...
BONDIA Hassan Mwakinyo ameongoza mabondia wenzake watakaopigana kwenye pambano lake kesho la 'MTATA MTATUZI' kupima uzito na afya ili kujihakikishia kucheza.. - Спорт
Sema mwakinyo anaonekana mwelewa na mtulivu saaana na ana adabu.
Hata sijuagi wanaomchukia wanamchukia ktk engo ipi❤
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
Nakuamini saana Hassani mwakinyo na ninaimani kesho unashinda
Mwakinyo mwenyezi mungu yupo nawe .naamini utashinda upo vzl
Kaka kwetu tanga hatoki mtu tunakuombea. Dua kaka ushindi lazima🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Komaa Kaka in shaa allah utashinda
Champeeezzzz one time🎉🎉
Uko vizuri
Tunakuombea dua bondia wetu wa tanzania hakuna mwingine
Kamanda uko vizuri pambanana sana nina imani utashinda
Nakuombea dua hasan kwa uwezo wa allh utashinda
Dua zote nakupa kaka
Dua kaka
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania tuko nyuma yako dua zetu dogo
💪🔥🔥
Mapema tuu round za Awali champezi kesho anashinda
Utashinda kaka
Ninakukubali sana Kaka,na nipo pamoja nawe na jamaa tutamkalisha tu.
Nikweri champenz
Unajibu vizuri saana champez
Jamaaa noma sana hata lisipokuepo jengine litakuja inshallah wacha wakubanie tu siku watakubali
God bless champez
Hassan mzuri tu watoto watanga manen nd mengi wazuri tu
Naimani utashinda mpambanaji
Mwakinyo anamaneno yamenyoka mpaka raha sana bindia wakwanza tanzania mwenye maneno yalio nyoka napwent nyingi ndan
Kuku mke tangu lini akawika?
Ndio hvy ht Kam hajawika jua litakucha t
😬👏👏👏👏👏
Nakukubari
Bro sisi wa makorara ndio tunatambuwa hakuna na hatokuwepo na atakeee jikanyangaa mpe mualiko aje uwanja wa mzoezi kombezi
Omba uraia wa nchi nyingine maana wadudu wanakuharibia😢
Hivi pambano halipo?
ILA CHAMPEZ 😂😂
Yaa mwaambaaaaaaa.💪💪💪💪🥰🥰❤️🔥🔥🔥👏👏👏
Goat
Uko vzr mdogo angu me piah nakuamini xn maan ww ni bondia namba moja hapa tz
Mwenehu mrungu yu pamoja nawe
Champez ni champion
Hao na hilo bango waambieni tunaliona watulie shenzi
nduguyangu pambana mabondia feki watuzingua usijali hassani
Unakipaj kingin zaidi ya ngumi
Kastopisha Ili akutane na konde
TZ bila mwakinyo haiwezekani
😂mwakinyo ni mbabaifu km pambano nimehairika bas watu warudishiwe viingilio vyao hawa jamaa wajanja wa kupiga hela tu kubabazao😊
Mtangazaji kuwa makini na kazi Yako bhana wapi jamaa kasema mabondia wa Tanzania sio wazuri,,he said "not that I win hammis Maya means Tanzanian boxers are not good, they're good"
Mungo atakujsrliya
Champ
"Kuku mke awike asiwike jua litakuchwa tu" 😂 #mwakinyo 🙌
HAHAHAHA UTAMUWEZA MTANGA KWA MANENO HAHAHAHHAHA
Mura huyo atapigwa tu muda tupo nyuma yako mwakinyo na kuandikiwa nikiwa kibara Bunda mara.
Mjinga mmoja natamani upigwe Sana leo unajifanya una mdomo Sana