"NIPENI Huyo M SOUTH, ITAKUWA Ndio MWISHO Wake KUJA TANZANIA, KIDUKU Sio BONDIA wa TAIFA" - MWAKINYO
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- "NIPENI Huyo M SOUTH, ITAKUWA Ndio MWISHO Wake KUJA TANZANIA, KIDUKU Sio BONDIA wa TAIFA" - MWAKINYO
BONDIA Hassan Mwakinyo amesema yupo tayari kucheza na Msouth Assemahle Wellem ambaye kwa hapa Tanzania amempiga Twaha Kiduku na kupata droo kwa Seleman Kidunda.
Ivi mnamuelewa mwakinyo au mnaleta chuki zenu TU. Mwakinyo ameongea point sanaa.
Msikilizen kwanza kabra ya kumkosoa. Hii inaonesha waTz wengi wana roho ya korosho na vijicho vibaya roho mbaya Tz
Kunamijitu kazi kukosoa tuu
Mwakinyo anafahamu ngumi na mifumo ya ngumi. Hongera Mwakinyo
Bwege tu huyo bondia muoga,akileta mabondia wake wa kupigana naye analeta wagonjwa
@@mohamedswalehe4777Ngumi si matako kaka useme kila mtu anayo
@@saidbakari2408 achague mabondia imara bana kupigwa kupo tu asiogope
Mwinjo hauna viwango vya kupigiana na msauzi acha siasa
Huyu jamaa mimi siyo shabiki yake,lakini nimemfuatilia sana interviews zake,jamaa anastahili kunifanya niwe shabiki yake,from now on nimemkubali na nina mpa heshima kubwa kwamba yy ni best fighter
Aseeh we jamaa unatakia ata upewe kauongozi mbn unatema madini sana sio kama porojo zao pamoja sana kaka nakukubali zaidi ya sana
Huyu jamaa yuko so smart,, Mwakinyo yuko smart
Mwakinyo anajua sana ngumu na ana uelewa mkubwa wa ngumi na anafatilia sana sana, huyu ni pure boxer and fighter....
Mwakinyo Anaendelea kudhihirisha ubora wake
Mwakinyo Anajua Ngumi [Boxing]
Japokua judges yesterday walimuonea Yule Kijana aliyepigana Na Kidundaa
Mwakinyo nimekuelewa ila majaji wa jana sikuwaelewa huyu bwana mdogo alishinda
Ukimsikiliza vizuri mwakinyo ,amethibitisha kua kidunda kapigwa ,,kuna visentensi falni anaviongea hv yani
Kweli
Kamanda kidunda kadundwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂c
Kwa hiyo maana ya ndani ya mwakinyo ni kwamba kidunda amepigwa anaona haya tu kuweka wazi
Sema wewe ulivyoona kidunda kashinda au?
It’s true Mwakinyo, SA boxers are well equipped and have more resources and well maintained by there management
Maneno yenye busara usemwa na wenye busara hongera kwa maneno mazur
Majaji walio hamuwa mchezo wa kidunda na south africa boy inafaa awe disqualified in boxing decisions. Ukweli nikwamba kidunda alidundwaaaaa. Uwamuzi droo haukuwa sahihi. Mawazo yangu naomba walimu wa mchezo wa ngumi wawe making katika kufindisha mchezo huu na pia majaji wasiwe na upendeleo katika maamuzi yao. Na hili litafanya maboxing wetu kufanya mazoezi vizuri na watajuwa ukipigwa umepigwa sio ukipigwa upendeleo upo kwasababu ya hom ground. Tunaomba majaji wale wasitoe tena uwamuzi katika pambano lolote.....for the benefit of boxing in tanzania.🇹🇿
Mm nasikitika wamemchafulia yule dogo cv yake ilitakiww isome mapambano nane yote kashinda unaenda kumwekea droo ya nn sasa wameniudhi sana kama mtu anauwezo apewe tuu
Tupe vigezo vya ushindi na utoe ushahidi,,mkilalamika tu haitosaidia,,majaji wanajua vigezo ,,wakati nyie mnaangalia mtu kuchoka,bila kujua scores za Kila mmoja Kwa Kila round
International champion nan? Anabishaa💯💯💯
Umabadilika sana, leo umeongea point
ila jamaa anatemaga point sana
Mwakinyo 🥊 ana kitu kikubwa sana
Currently,No boxer is ready for Asemahle wellen....the boy is skilled boxer
Exactly
Mwakinyo is skilled enough to knock him down. Get informed
@@thepresidenttobe5481no way huyo wellen yupo skilled na anagumi kali sana + height yake sioni kama wabongo tunawezana nae
Game itakuwa ni rahisi sana kwa Hassan
Mwakinyo umepotea ndege pia anamfumo wake anaoishi ambao amejaliwa na Allah na anaulimwengu wake
Uyu jamaa ni mwamba sana kwa Fact zake namkubalia sana Mimi binafsi
Umeongea vizuri sana Champez💯☝️✍️⭐️
Mwakinyo ndio pekee anaweza kumlaza dogo wallem usingizi fofofo ndani ya raundi saba za pambano.kwakua miongoni mwagharama iliyotupata ni umri mkubwa wa captain.ndio maana akaipata Drow
Nafurahi sana Tz wanajaribu sana katika michezo na WA Tanzania watafaulu wakifuata utaratibu wakimataifa coz boxing au ndondi ni kazi kama kazi zingine tuu na zinaingiza kipato muulizeni mwakinyo
Leo ndio umeongea point bro
Anajua anachofanya.... Sema bongo ukiwa na misimamo tu, we jeuri 😂😂😂😂.. na unafungiwa Busta
Kidundahajapigwa ilamcuezo nidrooo kilamtukalambasakafu
Hauchelewi kusema viatu vinakubana Mzee tunakujua vizuri😅😅😅😅
Azam wachen chuki 😅
Wadigo 😂😂😂 hatuna baya kabisa hutapigwa kw manen na vitendo atakavyokuja ndy tutakavyompiga mwakinyo hilo jina limekaa pahal husika cheza boxer kak waache hao wapigane
Ikitokea mwakinyo akampiga uyu msouth, nasema mwakinyo ndio bondia bora tanzania kwa ngazi zote, yule msouth mtu sana tena sana, nirikua na matunaini na kinunda ila kilichomtokea sitamani ata warudiane kupigana tena, msouth akili nyingi, power na pumzi anazo za kutosha, shorty yupo perfectly.
Yani huyo mwakinyo ndo hawezi kabisa kupigana na msouth na hawez akakubali kupigananae maana atapigwa
Mimi Kama Mtanzania Twaha Kapigwa Kidunda Kapigwa Hila Nikuambie Ukweri Yule Bondia Wa South Anatumia Akili Sana Ndio Mana Kawapiga Wote Nilio Kutajia Hila Amini Siku Mwakinyo Akiletewa Huyu Bondia Ndipo Utakuja Kumueshimu Mwakinyo
Kaka Naomba Fuatilia Ngumi Vizuri
Kabisa uko sahihi hassani
Kidunda kiukweli kapigwa hakuna sale pale wamempa tuu hiyo sale na hata mwakinyo atapigwa msimchukulie poa dogo
Kidunda kapigwa tuache ushabiki ndomana hatusongi mbele
Mwehu wewe Mwakinyo uwezii kupigana nauyu dgo hata raundi 4 Utoboii
Huyu mwakinyo ni bruce lee kabisa japo yeye ni boxes mifupa miwili anayo mikononi mwake
Umeongea kikubwa na kiufundi sana master champez,ww ndo jicho letu saiv, waweke mawe ya kutosha umwadabishe huyo mtoto wa madiba
Tz hayupo wakumuweza yule dogo huyo hasani atachaguriwa huo uso
Walker Helen Miller Donna Lopez Timothy
Kabisa uyu nibondia
Mwenye maarifa uwa
Siyo mtu mkari sanaa
Uyu ukikaa nae mbal
anamazala sana jebu yake
Uwa ni kari sana na inaumiza
Tanzania one champeeez more stamina, pumzi. Busara na maufundi one love mwambaaa ❤❤
Tatzolako utataka mabilioni ilu promota ashindwe
Mwakinyo is Tanzania 🇹🇿 one
Apo sasa umeongea, ukimtandika uyo haina aja tena ya kupigana na kiduku wa kidunda
Mwakinyo akili kubwa anaongea kama mtu mwenye utimamu wa akili 🤝
Perfect man champez
Hiyo Ndio Maana ya kua professional boxing
Mwakinyo anajua nini anafanya nampa big Up
Mwakinyo usijaribu kwahuyu dogo atakuua..
Ww ndio mkukombozi utaoba san
Azam ndo wamegoma kumpelekea maiki??
Mwakinyo ,the best of tz
Ana ropoka2 huyo hakuna box humo. Hana rolote
Aaa kwa sasa chmpez utawaona mabon'go *2 hahaha
Tatizo lako Mwakinyo unapenda kudandia treni kwa mbele! Yule Dogo Msouth usimchukulie poa, endapo hukienda kichwa kichwa anaweza kukupiga KO ya aibu.
Bob mchezo wangumi unaujua lakini? Isije ikawa unaongea kwachuki . Na vile vile upiganaji wamwakinyo unaufahamu?
Mwakinyo kashapgana mechi nyingi ngumu je ushawah kumuona akipigwa k o bondia mzur niyule mwenye maarfa yakupigana nauwezo wakumsoma mpinzan nakujua style yakuchza ili aparfome mfano salim mtango mchnja yohana na ibrah class hao wanapigna kwa nidhamu naufundi ila sio kutumia manguvu nakota kota lazma mchezo uwe mgumu kwa style hyo
Kidunda kabebwa kengele inagongwa bado second 35
Fact
Pamoja sana Chapeez
wewe hata round ya 6 usiki utakula vitasa sana
Toka hapa... Uchelewi kutuuza..... Yaanii uchukue pesa utuachie mabishano....
Nilisha Sema brother unapoelekea utakuwa Kama 20% hii Bongo
Wewe brother ni Sawa nipo na Gold katika nchiii Yangu alafu hainipi faida.....
oya champ umeongea kuntu
Uyo dogo akili nyingi jichanganye tuu
Umeongea vizuri sana
Ameongea point sana ✅
Huyu apewe mwakinyo,
,sema uzito wa ibra class ni wa chini ila ibra angemuweza km uzito ungekua sawa.
Mmmh Ibra ataharisha uwanjani hamuwezi kabisaaa
WATANZANIA tunaushamba sana,kwani LAZIMA hadi mmpige tafteni bondia mwingine sio huyu huyu,
Huyu msambaa hana lolote mweupe tu
Salut mwakinyo hakuna mwingine
Nakupenda sana mwakinyo mungu azidi kukulinda daima ❤❤❤❤
Mtetezu wetu ktk boxer y tanzania
Namkubali mwakinyo kwanza anajiamini pili mjur mchezo wa ngumi sio mchrzo wakitoto kwahyo tuondoeni chukizetu zisizokua na faida
Wewe mwakinyo acha mkwara . Kama kidunda kashindwa utaweza wewe .kidunda pare amepingwa .tu amebebwa tu kuficha aibu ya jeshi retu .
Mwakinyo Acha kuongea San Itakuja kukukosti cku moja Dogo Umuwezi Ata Kidogo.
Tukuletee wewe wamueza?
@@criminalminds7723 ikiwezekana mlete Ukiwemo na ww pia
Mwakinyo ni professional
Mahojiano mazuri haya! Safi👏🏾
Sio asemale ni asemahshe ana hasira na watanzania kwasababu uku tunawakanyaga sana Dada zao😂😂😂....mi naona bwana shemej asemahshe angekabiziwa MFAUME MFAUME mapafu ya mbwa
Kila siku nawaambia huyu jamaa ni professional boxer. Watu wanatumia mihemko kumpinga na kumkataa huyu jamaa
Champez una baya
Usijisifu kijana nihatari sana
Nakukubari sana kaka
Atapigwa huyu mpaka akome
Huyu mwakinyo kuhusu makocha kasema kitu jaman ,,kama makocha wa boxing tz mmesikia hii fatilieni asee
Mwakinyo Respect xn
Nakukubali xn mwakinyo kwaxbb tunatoka wote tanga na unajua boxing tuletee heshima ya taifa tupigie huyo msouth
One love king boxing in TZ😂
jicho anapiga ili.tujue kweli naomba omba pambano hili
Mwamba pekee tunae mtegemea
Panda nae usiongee sana unatuboa
wewe ndio usijaribu kabisa utapasuka mbaya
Nakukubali Mwakinyo
Bondia wangu,my only favourite boxer in tz Hassan mwaking! Day1 nakuona kwa TV sikujua kwamba ww ni m tz mwamba huyu apa,na unaonekana skills zaualimu unazo pia.All the best king H.M
Mwakinyo we ni mwamba
kaka maneno mengi vitendo kidogo, kuwa km wenzio, wamemtaka msouth wamepewa! kiduku amekalishwa, Mjeda Pia amekalishwa!
Kipimo cha huyu mtoto wa madiba ni mwakinyo atamgeuza kipati haludi tena tanzania
mamae km kpigwa kidunda huyo mchza maikoko hawez
Mwakinyo: "lazima liwe kwa nini lisiwe, labda nife kwa7bu mimi naishi kimifumo!." What a conscious!
semaa ana ringaa ringaa😂😂😂
MKIAMBIWA CHAMPEZ NI MMOJA TU HAPA TANZANIA MNAPIGA MAYOWE. MPENI HUYO KIJANA WA SOUTH AFRIKA APIGANE NA MWAKINYO ATAMPA ADABU NAONA KUNA HAJA HIYO HIYO
Oya wa nyumbani mwakiinyo nipigie huyo msauzi analeta jeuri sanaa kwa kuja kuja tzn anawachukuliaje huyo