Dada Twende Tukafagie Kaburi la Baba | Nilijua Mdogo Wangu Atakuwa Muhuni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 383

  • @SalmaSaid-fj5fq
    @SalmaSaid-fj5fq 7 місяців тому +11

    Inauma kwa kweli Mungu naomba unipe maisha marefu niwalee watoto wangu

  • @sarahabdulrahmani497
    @sarahabdulrahmani497 Рік тому +16

    Nilikuombea sana upate Ndugu yako nashukuru Dua Langu Allah amelipokea. Ahsante M.mungu Kwa ili na lengine yarabi

  • @tedyisdor5555
    @tedyisdor5555 Рік тому +33

    Dah jamani msinyanyase watoto wa kufikia..imeniumiza sana hii dah😭😭😭😭

  • @AliceWikunge-zn6py
    @AliceWikunge-zn6py 7 місяців тому +8

    Hata kama uwe na chozi la mbali unalia tuuu, nimelia sana, kila lililo jema Clouds. mubarikiwe sana

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 7 місяців тому +5

    Ninamshukuru mungu nimelelewa na baba na mama paka leo mim na familia yangu Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi wetu Amin 🙏🙏 poleni sana kwa maisha mlo pitia ndugu zetu

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 7 місяців тому +14

    Hakika Mwenyez Mungu naomba kibali niwalee watt wangu had wajitambue ikiwezekana kwa mapenz yako ili wasisambaratike🙏

  • @ndeshukurwamoses2077
    @ndeshukurwamoses2077 7 місяців тому +3

    Nimeshindwa kuvumilia, Ee mwenyenzi Mungu ninakuomba unisaidie kuwalea watoto wangu!! Poleni sana wadogo zangu, Mungu awafariji😢😢😢

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Рік тому +5

    Subhanallah nalia na natabasamu mungu ni mwema namini na.mama atapatikana mung awasimamie undugu wenu udumu

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 7 місяців тому +25

    Mungu naomba kibali niwalee wanangu😢😢

  • @jasminetengezza217
    @jasminetengezza217 Рік тому +18

    Mnatuliza Sana na hichi kipindi😢😢
    Ila clouds Mwenyezi Mungu atawalipa kheri.

  • @WIZONETIONTz255
    @WIZONETIONTz255 7 місяців тому +2

    Poleni Sana wenzetu mliopitia maisha Kama haya hata mm my mom maisha yake yalikuwa Kama hayo

  • @LeticiaPatrick-ek4ur
    @LeticiaPatrick-ek4ur 7 місяців тому +1

    Mungu wangu naomba kibari nifanyie mama bora kwa watoto wangu niwalee mpaka pale watakapokua kuweza kujitegemea Poleni sana kwa wenye mapito ya namna hii Mkono wa Mungu uendelee kuwatetea

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs Рік тому +3

    Pole san tupo tulikua mazingira kama yakwako tuseme tu alhamdulilah .

  • @esperancenathali
    @esperancenathali Рік тому +93

    Wangapi tumetokwa na machozi mwanzo mwisho 😢😢😢 jamani inahumiza 😢😢😢

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Рік тому +2

    Wana fanana maashaallah

  • @ElhemElhem-n7e
    @ElhemElhem-n7e Рік тому +14

    Daa!! Nimelelewa na wazazi wangu miaka 27 lakinii naumia juu ya familia kama hii eeh mungu wee nioe nguvu niwalee wanangu mm😭😭😭

  • @TochaBahate
    @TochaBahate 7 місяців тому

    Mungu nipe maisha marefu nimulee mtoto wangu

  • @yahomeshopllc5950
    @yahomeshopllc5950 Рік тому +3

    Cloud TV Big up for this step guys,to make life easy for another people 👌🏽

  • @ManisaboSifa
    @ManisaboSifa 6 місяців тому

    Nifuraakumbwa ❤🎉🎉🎉🎉kuonana

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 7 місяців тому +3

    Naijua hii na eeeheee omba isikukute😢😢😢tulikuwa 3 . Wawili wakakimbia mateso na WAKAFA mi ndo naishi tu. Uvumilivu

  • @liliandavid7163
    @liliandavid7163 Рік тому +3

    This is very emotional 😭😭😭 GOD have mercy over this kids

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 7 місяців тому +4

    Media nyie mungu awabariki sana madada wazur namna hakima sana mnafungu lenu mbele za Allah ndugu zangu .jaman mie sielew niwaombee Dua ipi kwahekma zenu

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 7 місяців тому +1

    Amen 😢🎉

  • @mageolomi3735
    @mageolomi3735 Рік тому +6

    Jamaniii, MUNGU awaongezee umri Mrefu kwa jitihada.

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 7 місяців тому +2

    Mungu awalefushie maisha.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Рік тому +10

    Clouds mnafanya kazi nzuri sana Mungu awabariki🤲

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Рік тому +6

    😢😢😢😢😢😢mungu wangu nawaona wanangu kupitia hawa

  • @nestersanga7466
    @nestersanga7466 Рік тому +4

    Mungu atujaaalie maisha marefu watoto wanateseka mno

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 7 місяців тому +7

    Haki nimelipa😭😭😭Mama,Baba Mko Wapi?Dunia imetulemea Dah!Asante Mungu Kwa mitihani 🙏

  • @ahmedaljabri1206
    @ahmedaljabri1206 7 місяців тому

    Masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah akufanyiye wepesi ❤❤❤❤❤😢😢😢😢

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Рік тому +1

    Daaaah nimelia sana sana jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @SmilingDarts-hz8ev
    @SmilingDarts-hz8ev 7 місяців тому

    Jaman tusaidiane wanapatikanaje

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Рік тому +1

    Khaaaaa, clouds mmefanya kazi kubwa sana

  • @lucygesimba7603
    @lucygesimba7603 Рік тому +8

    Nimelia haya mambo uyasikie tuu kwa mwingineee

  • @godfreymunishi370
    @godfreymunishi370 7 місяців тому +2

    Yaani da Huu ni mrembo sana yaani hapa ulipendeza Japo nipo nje ya mada 😀😀#nimeliaSana 😭

  • @elizabethandrew8533
    @elizabethandrew8533 Рік тому +13

    Kipindi kizuri sana mungu hawabariki sana

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 Рік тому +1

    Da Huu mzuri Mashallah

  • @justineisacki5517
    @justineisacki5517 7 місяців тому

    Mungu awasaidie

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +13

    Naamini mungu watampata mama yao

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Рік тому +23

    Daah kipindi chenu ni kigumu,maana nimejikuta nalia kwa wote😭😭

  • @hosnakamees5454
    @hosnakamees5454 Рік тому +1

    Wame fanana Maashallah

  • @MaryWMwasupa
    @MaryWMwasupa 5 місяців тому

    😢😢😢😢Mungu awatunze Mumpate na mama akiwa hai jaman

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Рік тому +8

    Aisee, Hiki kipindi kinaumiza sana.

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi7062 Рік тому +1

    Nice Job❤

  • @marcodaud5089
    @marcodaud5089 Рік тому +4

    Daah Geah nimelia sana nimesisimka mwil mzima kwel nimeumia jamaniiii wote hayo Ni Mungu tu naamin niwakat sahihi wa Mungu

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Рік тому +1

    Mi nitakua siangalii kipind chenu najikuta nalia tu😭😭😭😭😭

  • @lovinomwamtambulo6629
    @lovinomwamtambulo6629 Рік тому +1

    Baba Mwenyezi MUUMBA MBINGU na aridhi na Vitu vyote Visivyoonekana na vinavyoonekana….. Kiukweli Binadamu Tunapitia Makubwa Mnoooooooo Nimetokwa na Machozi kwa Hawa Watoto Wawili wameishi kwenye Mazingira Magumu …. UJUMBE WANGU KWA WAZAZI pale Mnapoachana Familia Lazima Zitengane cha Kufanya ni Bora KUTUNZA family yako itakuja kukuokoa Mwisho wa Siku Amen😢

  • @Sulla924
    @Sulla924 7 місяців тому

    Nimeumia sana adi nimelia

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 8 місяців тому

    Ushauri wangu mueke tishu wafute machozi hongereni sana❤❤❤

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo Рік тому +1

    MaashaAllah ila anaeandika heading aemprove kdgo ili izidi kua na mvuto..kwa sbabu clouds ni chama kubwa mnoo♥️♥️

  • @MwanaiddyHussein-hg7bb
    @MwanaiddyHussein-hg7bb Рік тому +1

    Hongera hamic mm cku zote nakufaham lakin cjui maisha yko ndo nimejua leo

  • @mageolomi3735
    @mageolomi3735 Рік тому

    Daaaah 😭😭😭 Jamanii, naliaaa nyieeee

  • @StevenShao-r2s
    @StevenShao-r2s 6 місяців тому

    Naomben namba

  • @GodfreyKulwa-f3g
    @GodfreyKulwa-f3g 7 місяців тому +2

    Mi naogop atakuendelea kuangalia zinatoa machoz 😢

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Рік тому +3

    Nimelia😢😢

  • @glorydaniel6549
    @glorydaniel6549 7 місяців тому

    Mungu awainue zaidi na zaidi wadogo zangu ila mmejua kuniliza kwa kweli😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @GraceRaphael-e2r
    @GraceRaphael-e2r Рік тому +2

    Nimelia wallah, Mungu mwema

  • @RehemaMwakapimba
    @RehemaMwakapimba 7 місяців тому

    Poleni sana watoto wangu. Mungu awahifadhi. Nimelima sana Leo jamani.

  • @vissedon7847
    @vissedon7847 4 місяці тому

    Jamani nimemulia nimejua kulia leo

  • @monicamtui2922
    @monicamtui2922 Рік тому +1

    Duu! Inaumiza😭😭

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 7 місяців тому +2

    Ila nyie wazazi wetu hebu tulieni pamoja kutulea watoto wenu mkiachana mnatutesa sana

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Рік тому +5

    wamejua kuniliza😢😢 mtt wa kike wakike tu analia mwazo mwisho nyie tushukuru sana tulio lelewa na wazazi wetu mpaka ss

  • @ThomasKeya-z1p
    @ThomasKeya-z1p 7 місяців тому

    😭pole dada angu mungu atawalipa

  • @doricakisenya4867
    @doricakisenya4867 7 місяців тому

    Nimelia sana

  • @marrypius576
    @marrypius576 Рік тому +4

    Mim mwenyew nimepitia maisha ya manyanyaso san😭😭

    • @susanmarwa9668
      @susanmarwa9668 Рік тому +1

      Dada pia mm nimepitia machungu sana but hii imenitoa machozi, mm Niko tu mmoja hivo marafki ndoo bro wangu na siz yangu

  • @hollaramadhani1354
    @hollaramadhani1354 7 місяців тому

    Pole sana na ongera kwa tv kuwakutanisha mi naomba tu namba za sim za hawa wawili nina mchango mdogo

  • @happymwakalasya9263
    @happymwakalasya9263 Рік тому

    Asante sana

  • @hdbd8187
    @hdbd8187 Рік тому

    Jamani inauma sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Рік тому +4

    Nimelia kwakweli, inaumiza sana 😢😭😭😭😭

  • @racheljohnson7727
    @racheljohnson7727 Рік тому +1

    Sikutegemea kama ningetuoa ata chozi😭 mejikuta naumia ert

  • @maimunashaban4932
    @maimunashaban4932 Рік тому +1

    😪😪😪melia mpk mafua Jmn inaumiza😭😭

  • @stamillusatila9084
    @stamillusatila9084 7 місяців тому

    Nimelia sana kwakweli 😢😢

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Рік тому +1

    Poleni sana 😭😭😭

  • @zainabumzashi4535
    @zainabumzashi4535 Рік тому

    Me jmn nimelia sana

  • @josephissa4406
    @josephissa4406 Рік тому +2

    Hongeren sana team leo tena

    • @SUZANSUZAN-fb9bh
      @SUZANSUZAN-fb9bh Рік тому +1

      Yani nisingwewza kuendesha hicho kipindi yani ningekuwa nalia hadi kipindi kingecmama

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 3 місяці тому

    dah namimi nimejikuta nawasaidia kuliaaa

  • @BabygirlDadiyo
    @BabygirlDadiyo 7 місяців тому

    Nimelia sana😢😢😢😢 CLOUDS MBARIKIWESANA TENASANA

  • @wilesimbeye5680
    @wilesimbeye5680 7 місяців тому

    Daaaa unauma sana 😢😢😢

  • @shehaswalehagilagil2343
    @shehaswalehagilagil2343 Рік тому

    😂😂😢 yaskitisha haki

  • @luluwillium1364
    @luluwillium1364 Рік тому

    Haya maisha dah😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 7 місяців тому +1

    SA nalia nn na mm😢😢😢

  • @jescalutegonsombnambyakoda6719

    Mpk nimelia jmn 😭😭😭

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona2919 6 місяців тому

    Mungu naomba uwape Manisha marefu Claus mnaponya majeraha ya watu

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 7 місяців тому

    Hadithi ngumu sannna leo dahhh nimelia sokoni kwa wauza samaki

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 7 місяців тому +1

    Kumbe ni wa Singida damu yetu kabisa Subhana Allah

  • @khadijamohammed9210
    @khadijamohammed9210 7 місяців тому

    Ila watu tunaolelewa na kufikia tunaumia basi thuu mungu anatuongozaa....mwisho wa siku tumetofautiana na ndugu zangu wa kambo na wao ndio walikuwa na makosa baba sijui kafikwa na nini ameishia kuniambia nihame nyumbani kwake nikajitafutie maisha na mwanangu😭😭😭😭😭😭

  • @umubyeyisandra
    @umubyeyisandra Рік тому

    😢😢😢😢😢😢inauma sana jmn duuu

  • @marianyahenge9529
    @marianyahenge9529 7 місяців тому

    Duuuh inaumiza sana

  • @StellaMleba
    @StellaMleba 7 місяців тому +1

    Mwenyezi mungu awalinde

  • @ShamilaJuma-z7n
    @ShamilaJuma-z7n Місяць тому

    Tupo wengi jamani

  • @marthaadammakatobemwakatob4246

    Nimejikaza nisilie nimeshindwa kabisaa😭😭😭

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 7 місяців тому

    Nimelia snaa😢😢

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 Рік тому

    Daaaah😢😢😢

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 7 місяців тому

    Mungu aendelee kuwapa njia kama alivyowapa Sasa mkapatana. Naamini kama mama yupo hai mtamuona, na kama alishafariki basi Mungu amlaze mahali pema peponi. Nayajua mnayoyapitia ndugu zangu, Mimi sijui hata kaburi la mama yangu lilipo 😭😭😭😭😭

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 7 місяців тому

    😭😭😭 Subhana Allah Allahu Akbar

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 7 місяців тому

    Nimelia😢

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 7 місяців тому

    Hongereni kwa ubunifu wa hiki kipindi Cha kuunganisha familia zilizokuwa zimepotezanaaa, natamani mngepata wadhamini wengi wawawezesheee muendee mbalii zaidiii.......mnafanya jambo kubwa saana ambalo hata mbele za Miungu naamini linampendeza mnoooo

  • @ikiomar7162
    @ikiomar7162 Рік тому

    Nimelia sna jaman

  • @greacembwnwilibati8197
    @greacembwnwilibati8197 Рік тому

    😭😭😭😭😭 inauma sana

  • @suzanafelisian
    @suzanafelisian Рік тому

    Inauma sana jaman