Dada Twende Tukafagie Kaburi la Baba | Nilijua Mdogo Wangu Atakuwa Muhuni

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 369

  • @SalmaSaid-fj5fq
    @SalmaSaid-fj5fq 13 днів тому +7

    Inauma kwa kweli Mungu naomba unipe maisha marefu niwalee watoto wangu

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 20 днів тому +11

    Hakika Mwenyez Mungu naomba kibali niwalee watt wangu had wajitambue ikiwezekana kwa mapenz yako ili wasisambaratike🙏

  • @AliceWikunge-zn6py
    @AliceWikunge-zn6py 15 днів тому +4

    Hata kama uwe na chozi la mbali unalia tuuu, nimelia sana, kila lililo jema Clouds. mubarikiwe sana

  • @tedyisdor5555
    @tedyisdor5555 Рік тому +31

    Dah jamani msinyanyase watoto wa kufikia..imeniumiza sana hii dah😭😭😭😭

  • @sarahabdulrahmani497
    @sarahabdulrahmani497 Рік тому +14

    Nilikuombea sana upate Ndugu yako nashukuru Dua Langu Allah amelipokea. Ahsante M.mungu Kwa ili na lengine yarabi

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 22 дні тому +22

    Mungu naomba kibali niwalee wanangu😢😢

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 17 днів тому +3

    Ninamshukuru mungu nimelelewa na baba na mama paka leo mim na familia yangu Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi wetu Amin 🙏🙏 poleni sana kwa maisha mlo pitia ndugu zetu

  • @esperancenathali
    @esperancenathali Рік тому +89

    Wangapi tumetokwa na machozi mwanzo mwisho 😢😢😢 jamani inahumiza 😢😢😢

  • @user-zt3et5kl5m
    @user-zt3et5kl5m Рік тому +13

    Daa!! Nimelelewa na wazazi wangu miaka 27 lakinii naumia juu ya familia kama hii eeh mungu wee nioe nguvu niwalee wanangu mm😭😭😭

  • @ndeshukurwamoses2077
    @ndeshukurwamoses2077 12 днів тому +1

    Nimeshindwa kuvumilia, Ee mwenyenzi Mungu ninakuomba unisaidie kuwalea watoto wangu!! Poleni sana wadogo zangu, Mungu awafariji😢😢😢

  • @WIZONETIONTz255
    @WIZONETIONTz255 9 днів тому +1

    Poleni Sana wenzetu mliopitia maisha Kama haya hata mm my mom maisha yake yalikuwa Kama hayo

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Рік тому +9

    Clouds mnafanya kazi nzuri sana Mungu awabariki🤲

  • @jasminetengezza217
    @jasminetengezza217 Рік тому +17

    Mnatuliza Sana na hichi kipindi😢😢
    Ila clouds Mwenyezi Mungu atawalipa kheri.

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Рік тому +5

    Subhanallah nalia na natabasamu mungu ni mwema namini na.mama atapatikana mung awasimamie undugu wenu udumu

  • @godfreymunishi370
    @godfreymunishi370 6 днів тому +1

    Yaani da Huu ni mrembo sana yaani hapa ulipendeza Japo nipo nje ya mada 😀😀#nimeliaSana 😭

  • @mageolomi3735
    @mageolomi3735 Рік тому +5

    Jamaniii, MUNGU awaongezee umri Mrefu kwa jitihada.

  • @yahomeshopllc5950
    @yahomeshopllc5950 Рік тому +3

    Cloud TV Big up for this step guys,to make life easy for another people 👌🏽

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q 23 дні тому +3

    Media nyie mungu awabariki sana madada wazur namna hakima sana mnafungu lenu mbele za Allah ndugu zangu .jaman mie sielew niwaombee Dua ipi kwahekma zenu

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Рік тому +22

    Daah kipindi chenu ni kigumu,maana nimejikuta nalia kwa wote😭😭

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 20 днів тому +6

    Haki nimelipa😭😭😭Mama,Baba Mko Wapi?Dunia imetulemea Dah!Asante Mungu Kwa mitihani 🙏

  • @lucygesimba7603
    @lucygesimba7603 Рік тому +8

    Nimelia haya mambo uyasikie tuu kwa mwingineee

  • @elizabethandrew8533
    @elizabethandrew8533 Рік тому +13

    Kipindi kizuri sana mungu hawabariki sana

  • @liliandavid7163
    @liliandavid7163 Рік тому +3

    This is very emotional 😭😭😭 GOD have mercy over this kids

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 19 днів тому +2

    Mungu awalefushie maisha.

  • @LeticiaPatrick-ek4ur
    @LeticiaPatrick-ek4ur 11 днів тому

    Mungu wangu naomba kibari nifanyie mama bora kwa watoto wangu niwalee mpaka pale watakapokua kuweza kujitegemea Poleni sana kwa wenye mapito ya namna hii Mkono wa Mungu uendelee kuwatetea

  • @nestersanga7466
    @nestersanga7466 Рік тому +3

    Mungu atujaaalie maisha marefu watoto wanateseka mno

  • @RehemaMwakapimba
    @RehemaMwakapimba 8 днів тому

    Poleni sana watoto wangu. Mungu awahifadhi. Nimelima sana Leo jamani.

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 18 днів тому +1

    Ila nyie wazazi wetu hebu tulieni pamoja kutulea watoto wenu mkiachana mnatutesa sana

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +13

    Naamini mungu watampata mama yao

  • @ahmedaljabri1206
    @ahmedaljabri1206 24 дні тому

    Masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah akufanyiye wepesi ❤❤❤❤❤😢😢😢😢

  • @user-hw3lq3ol2u
    @user-hw3lq3ol2u 16 днів тому +2

    Mi naogop atakuendelea kuangalia zinatoa machoz 😢

  • @lovinomwamtambulo6629
    @lovinomwamtambulo6629 Рік тому +1

    Baba Mwenyezi MUUMBA MBINGU na aridhi na Vitu vyote Visivyoonekana na vinavyoonekana….. Kiukweli Binadamu Tunapitia Makubwa Mnoooooooo Nimetokwa na Machozi kwa Hawa Watoto Wawili wameishi kwenye Mazingira Magumu …. UJUMBE WANGU KWA WAZAZI pale Mnapoachana Familia Lazima Zitengane cha Kufanya ni Bora KUTUNZA family yako itakuja kukuokoa Mwisho wa Siku Amen😢

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Рік тому +6

    😢😢😢😢😢😢mungu wangu nawaona wanangu kupitia hawa

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 19 днів тому +1

    Kumbe ni wa Singida damu yetu kabisa Subhana Allah

  • @marcodaud5089
    @marcodaud5089 Рік тому +4

    Daah Geah nimelia sana nimesisimka mwil mzima kwel nimeumia jamaniiii wote hayo Ni Mungu tu naamin niwakat sahihi wa Mungu

  • @marthaadammakatobemwakatob4246

    Nimejikaza nisilie nimeshindwa kabisaa😭😭😭

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 8 днів тому +1

    Amen 😢🎉

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Рік тому +3

    wamejua kuniliza😢😢 mtt wa kike wakike tu analia mwazo mwisho nyie tushukuru sana tulio lelewa na wazazi wetu mpaka ss

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 12 днів тому +1

    Naijua hii na eeeheee omba isikukute😢😢😢tulikuwa 3 . Wawili wakakimbia mateso na WAKAFA mi ndo naishi tu. Uvumilivu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Рік тому +2

    Wana fanana maashaallah

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi7062 Рік тому +1

    Nice Job❤

  • @SmilingDarts-hz8ev
    @SmilingDarts-hz8ev 7 днів тому

    Jaman tusaidiane wanapatikanaje

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg Рік тому +1

    Mungu awabariki Sana kwa kazi nzuri jamani.

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Рік тому +1

    Khaaaaa, clouds mmefanya kazi kubwa sana

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 Рік тому +1

    Da Huu mzuri Mashallah

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 18 днів тому

    Hongereni kwa ubunifu wa hiki kipindi Cha kuunganisha familia zilizokuwa zimepotezanaaa, natamani mngepata wadhamini wengi wawawezesheee muendee mbalii zaidiii.......mnafanya jambo kubwa saana ambalo hata mbele za Miungu naamini linampendeza mnoooo

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Рік тому +7

    Aisee, Hiki kipindi kinaumiza sana.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Рік тому +4

    Nimelia kwakweli, inaumiza sana 😢😭😭😭😭

  • @ESTHERENDLES-db1zw
    @ESTHERENDLES-db1zw 13 днів тому

    Duh nmelia kwa uchungu jmn ukiwa mbaya nyie jmn ee Mungu tusaidie cc viumbe wako

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 6 місяців тому +2

    Pole san tupo tulikua mazingira kama yakwako tuseme tu alhamdulilah .

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 17 днів тому

    Mungu aendelee kuwapa njia kama alivyowapa Sasa mkapatana. Naamini kama mama yupo hai mtamuona, na kama alishafariki basi Mungu amlaze mahali pema peponi. Nayajua mnayoyapitia ndugu zangu, Mimi sijui hata kaburi la mama yangu lilipo 😭😭😭😭😭

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 9 днів тому

    Hadithi ngumu sannna leo dahhh nimelia sokoni kwa wauza samaki

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo Рік тому +1

    MaashaAllah ila anaeandika heading aemprove kdgo ili izidi kua na mvuto..kwa sbabu clouds ni chama kubwa mnoo♥️♥️

  • @bernadethamugetalazaro7579
    @bernadethamugetalazaro7579 Рік тому

    Mwenyezi Mungu hawahi wala hachelewi hutenda kwa wakati uliokubalika nimelia sana kuzidi Martha na Hamisi Mungu awafungulie milango watende yampasayo

  • @glorydaniel6549
    @glorydaniel6549 15 днів тому

    Mungu awainue zaidi na zaidi wadogo zangu ila mmejua kuniliza kwa kweli😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hosnakamees5454
    @hosnakamees5454 Рік тому +1

    Wame fanana Maashallah

  • @user-pf1tb5ic2h
    @user-pf1tb5ic2h 16 днів тому

    Nilikuwa naangalia huku naweka kituo sijaweza kumaliza yote kwa wakati mmoja ningeaibika kazini kwa kilio kiukweli imeniuma sana.

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 Місяць тому

    Ushauri wangu mueke tishu wafute machozi hongereni sana❤❤❤

  • @user-pk8rk6vv4o
    @user-pk8rk6vv4o Рік тому +2

    Nimelia wallah, Mungu mwema

  • @khadijamohammed9210
    @khadijamohammed9210 17 днів тому

    Ila watu tunaolelewa na kufikia tunaumia basi thuu mungu anatuongozaa....mwisho wa siku tumetofautiana na ndugu zangu wa kambo na wao ndio walikuwa na makosa baba sijui kafikwa na nini ameishia kuniambia nihame nyumbani kwake nikajitafutie maisha na mwanangu😭😭😭😭😭😭

  • @user-sj8hn7jt7g
    @user-sj8hn7jt7g 18 днів тому +1

    Mwenyezi mungu awalinde

  • @user-pf1tb5ic2h
    @user-pf1tb5ic2h 16 днів тому

    Jamani kuna watu wanapitia maisha magumu mioyoni mwao pamejaa maumivu mda mwingine hawana la kufanya ni kumshukuru Mungu tu lakini ni maumivu hata kwa wasikilizaji wao.

  • @user-rk5hp8ci3e
    @user-rk5hp8ci3e 16 днів тому +1

    Yaani hapa unalia hadiunaumia kichwa

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 Рік тому +1

    Najuta kwann nimeangalia nipo kazini nimelia Kama mtoto aisee touch story

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 16 днів тому

    Wazazi wenzangu kuna leo kuna kesho vizuri tuwatambulishe watoto angalao kwa marafiki na jirani na baadhi ya ndugu wapi tunatokea na koo zetu hata likitokea uko 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @faudhahamisi7588
    @faudhahamisi7588 Рік тому

    Alihamdulillh nimelelewa na wazazi wangu wote
    Ila hii inaumiza san Pole san wadogo zangu

  • @user-dq1vo6kv9q
    @user-dq1vo6kv9q 18 днів тому

    Godfrey Godian Arusha ila hiki kipindi kigumu nakumbukwa niliteswa na Watu ila Mungu anasaidia mnoooooooo

  • @MwanaiddyHussein-hg7bb
    @MwanaiddyHussein-hg7bb Рік тому +1

    Hongera hamic mm cku zote nakufaham lakin cjui maisha yko ndo nimejua leo

  • @MariamMagege
    @MariamMagege Рік тому

    Mashallah leo ndonimepata muda wakuangalia jamani, mmh! Nimelia mpaka nimeliatena jamani Mungu awaweke Leo tena 😭😭😭😭😭😭😭

  • @BabygirlDadiyo
    @BabygirlDadiyo 19 днів тому

    Nimelia sana😢😢😢😢 CLOUDS MBARIKIWESANA TENASANA

  • @annakifwamba2358
    @annakifwamba2358 21 день тому +3

    Kakaangu ningekutafuta ningekupata 😭
    Pumzika kwa amani

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Рік тому +1

    Daaaah nimelia sana sana jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mageolomi3735
    @mageolomi3735 Рік тому

    Daaaah 😭😭😭 Jamanii, naliaaa nyieeee

  • @MukandoriChella
    @MukandoriChella 10 днів тому

    Afhazali aliekimbia ni mwanaum si nimwanamke na arirudi ashalibika tayali 😢 akawa narudi daa mala kwamala 😢 ashafhaliki na ugonjwa waukimwi😭sisi tulikua ni wa burundi 😭😭😭

    • @MukandoriChella
      @MukandoriChella 10 днів тому

      Yani maman wakambo Mungu anawaona atakma sio wote Ila wengi asili Mia kwa Mia wachawi😭😭😭😭

  • @happymwakalasya9263
    @happymwakalasya9263 Рік тому

    Asante sana

  • @Switielie
    @Switielie Рік тому +5

    Inshallah itokee siku wamuone na mama yao

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Рік тому +1

    Poleni sana 😭😭😭

  • @Floracharles-kh3cg
    @Floracharles-kh3cg 16 днів тому

    Mm nilikua na pingwa nafungwa kamba jaman kunabaazi ya mama munaroho mbaya kwa watoto wa wenzenu

  • @racheljohnson7727
    @racheljohnson7727 Рік тому +1

    Sikutegemea kama ningetuoa ata chozi😭 mejikuta naumia ert

  • @Sulla924
    @Sulla924 17 днів тому

    Nimeumia sana adi nimelia

  • @hollaramadhani1354
    @hollaramadhani1354 12 днів тому

    Pole sana na ongera kwa tv kuwakutanisha mi naomba tu namba za sim za hawa wawili nina mchango mdogo

  • @verinusvenance7079
    @verinusvenance7079 Місяць тому

    mimi mala ya mwisho kulia muda mlefu nimekuja kuria tena baada yakuona hii big up clouz

  • @marymmbarikiwa
    @marymmbarikiwa Рік тому

    Tabitha jina lamrehemu mama yang mkubwa😢. clouds mmeniliza sana

  • @tinafaustine8019
    @tinafaustine8019 4 дні тому

    Nisaidieni nimpate mjomba wangu jamani😭

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 Рік тому +1

    Jamaniiii inaumiza wanapoachana wazazi watoto ndiyo wanateseka nimeona hii habari nimelia saana wazazi kuweni makini pale mnapogikia maamuzi ya kuachana fikirieni hatma ya watoto wenu kwanza

  • @josephissa4406
    @josephissa4406 Рік тому +2

    Hongeren sana team leo tena

    • @SUZANSUZAN-fb9bh
      @SUZANSUZAN-fb9bh Рік тому +1

      Yani nisingwewza kuendesha hicho kipindi yani ningekuwa nalia hadi kipindi kingecmama

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Рік тому +3

    Nimelia😢😢

  • @bahathmuro7145
    @bahathmuro7145 Рік тому

    Bora nsingeangalia Kabisaaaaa!

  • @suzanafelisian
    @suzanafelisian 10 місяців тому

    Inauma sana jaman

  • @rosenaheka5137
    @rosenaheka5137 Рік тому +1

    Hongera sana cloud fm
    Tunaomba muwe na vitambaa ya kuwapa watu mnapokuwa mnawahoji. Maana wakipata hisia majozi yanawazidi .

  • @cherishchristopher8496
    @cherishchristopher8496 Рік тому

    Clouds mnatuliza ila mungu awabariki saana naamin na mimi nitakutana na babaang

  • @user-ze7fo5fh3n
    @user-ze7fo5fh3n 17 днів тому

    😭pole dada angu mungu atawalipa

  • @tatuiddy226
    @tatuiddy226 20 днів тому +1

    Maisha dunia inavingi mno😢😢😢

  • @umubyeyisandra
    @umubyeyisandra Рік тому

    😢😢😢😢😢😢inauma sana jmn duuu

  • @stamillusatila9084
    @stamillusatila9084 14 днів тому

    Nimelia sana kwakweli 😢😢

  • @user-gx6nk6wg4j
    @user-gx6nk6wg4j Рік тому +1

    Kama najiona mimi na dada yangu Appiah❤

  • @sumayyahally3199
    @sumayyahally3199 Рік тому +1

    Jamani nimeumia Sana yaraabi watie nguvu waja wako

  • @monicamtui2922
    @monicamtui2922 Рік тому +1

    Duu! Inaumiza😭😭

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 22 дні тому

    Mwenyeji wa maganzo anaitwa nan mi nipo maganzo 😢😢 nijue pengine naweza kujua na kusaidia

  • @JudithApolinary-ul4wr
    @JudithApolinary-ul4wr Рік тому

    ❤❤❤duh