Ninamshukuru mungu nimelelewa na baba na mama paka leo mim na familia yangu Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi wetu Amin 🙏🙏 poleni sana kwa maisha mlo pitia ndugu zetu
Media nyie mungu awabariki sana madada wazur namna hakima sana mnafungu lenu mbele za Allah ndugu zangu .jaman mie sielew niwaombee Dua ipi kwahekma zenu
Mungu wangu naomba kibari nifanyie mama bora kwa watoto wangu niwalee mpaka pale watakapokua kuweza kujitegemea Poleni sana kwa wenye mapito ya namna hii Mkono wa Mungu uendelee kuwatetea
Baba Mwenyezi MUUMBA MBINGU na aridhi na Vitu vyote Visivyoonekana na vinavyoonekana….. Kiukweli Binadamu Tunapitia Makubwa Mnoooooooo Nimetokwa na Machozi kwa Hawa Watoto Wawili wameishi kwenye Mazingira Magumu …. UJUMBE WANGU KWA WAZAZI pale Mnapoachana Familia Lazima Zitengane cha Kufanya ni Bora KUTUNZA family yako itakuja kukuokoa Mwisho wa Siku Amen😢
Hongereni kwa ubunifu wa hiki kipindi Cha kuunganisha familia zilizokuwa zimepotezanaaa, natamani mngepata wadhamini wengi wawawezesheee muendee mbalii zaidiii.......mnafanya jambo kubwa saana ambalo hata mbele za Miungu naamini linampendeza mnoooo
Mungu aendelee kuwapa njia kama alivyowapa Sasa mkapatana. Naamini kama mama yupo hai mtamuona, na kama alishafariki basi Mungu amlaze mahali pema peponi. Nayajua mnayoyapitia ndugu zangu, Mimi sijui hata kaburi la mama yangu lilipo 😭😭😭😭😭
Ila watu tunaolelewa na kufikia tunaumia basi thuu mungu anatuongozaa....mwisho wa siku tumetofautiana na ndugu zangu wa kambo na wao ndio walikuwa na makosa baba sijui kafikwa na nini ameishia kuniambia nihame nyumbani kwake nikajitafutie maisha na mwanangu😭😭😭😭😭😭
Jamani kuna watu wanapitia maisha magumu mioyoni mwao pamejaa maumivu mda mwingine hawana la kufanya ni kumshukuru Mungu tu lakini ni maumivu hata kwa wasikilizaji wao.
Wazazi wenzangu kuna leo kuna kesho vizuri tuwatambulishe watoto angalao kwa marafiki na jirani na baadhi ya ndugu wapi tunatokea na koo zetu hata likitokea uko 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Afhazali aliekimbia ni mwanaum si nimwanamke na arirudi ashalibika tayali 😢 akawa narudi daa mala kwamala 😢 ashafhaliki na ugonjwa waukimwi😭sisi tulikua ni wa burundi 😭😭😭
Jamaniiii inaumiza wanapoachana wazazi watoto ndiyo wanateseka nimeona hii habari nimelia saana wazazi kuweni makini pale mnapogikia maamuzi ya kuachana fikirieni hatma ya watoto wenu kwanza
Inauma kwa kweli Mungu naomba unipe maisha marefu niwalee watoto wangu
Hakika Mwenyez Mungu naomba kibali niwalee watt wangu had wajitambue ikiwezekana kwa mapenz yako ili wasisambaratike🙏
Hata kama uwe na chozi la mbali unalia tuuu, nimelia sana, kila lililo jema Clouds. mubarikiwe sana
Dah jamani msinyanyase watoto wa kufikia..imeniumiza sana hii dah😭😭😭😭
Nilikuombea sana upate Ndugu yako nashukuru Dua Langu Allah amelipokea. Ahsante M.mungu Kwa ili na lengine yarabi
Mungu naomba kibali niwalee wanangu😢😢
Ninamshukuru mungu nimelelewa na baba na mama paka leo mim na familia yangu Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi wetu Amin 🙏🙏 poleni sana kwa maisha mlo pitia ndugu zetu
Wangapi tumetokwa na machozi mwanzo mwisho 😢😢😢 jamani inahumiza 😢😢😢
Mimi pia machozi yamenitoka 😢
Mimi nimelia sana
Machozi yamenitoka kwakweli 😢
Daaaaah😭😭😭 so sad 😢😢
ua-cam.com/video/0Jt3LLELrSg/v-deo.html
Daa!! Nimelelewa na wazazi wangu miaka 27 lakinii naumia juu ya familia kama hii eeh mungu wee nioe nguvu niwalee wanangu mm😭😭😭
Nimeshindwa kuvumilia, Ee mwenyenzi Mungu ninakuomba unisaidie kuwalea watoto wangu!! Poleni sana wadogo zangu, Mungu awafariji😢😢😢
Poleni Sana wenzetu mliopitia maisha Kama haya hata mm my mom maisha yake yalikuwa Kama hayo
Clouds mnafanya kazi nzuri sana Mungu awabariki🤲
Mnatuliza Sana na hichi kipindi😢😢
Ila clouds Mwenyezi Mungu atawalipa kheri.
Kipindi iki acha 2 mungu ndie atawalipa
Ameen
Nimelia pia mnooooo
Subhanallah nalia na natabasamu mungu ni mwema namini na.mama atapatikana mung awasimamie undugu wenu udumu
Yaani da Huu ni mrembo sana yaani hapa ulipendeza Japo nipo nje ya mada 😀😀#nimeliaSana 😭
Jamaniii, MUNGU awaongezee umri Mrefu kwa jitihada.
Cloud TV Big up for this step guys,to make life easy for another people 👌🏽
Media nyie mungu awabariki sana madada wazur namna hakima sana mnafungu lenu mbele za Allah ndugu zangu .jaman mie sielew niwaombee Dua ipi kwahekma zenu
Daah kipindi chenu ni kigumu,maana nimejikuta nalia kwa wote😭😭
Yani washindwa kujizuia😢😢😢😢😢
Haki nimelipa😭😭😭Mama,Baba Mko Wapi?Dunia imetulemea Dah!Asante Mungu Kwa mitihani 🙏
Nimelia haya mambo uyasikie tuu kwa mwingineee
Kipindi kizuri sana mungu hawabariki sana
This is very emotional 😭😭😭 GOD have mercy over this kids
Mungu awalefushie maisha.
Mungu wangu naomba kibari nifanyie mama bora kwa watoto wangu niwalee mpaka pale watakapokua kuweza kujitegemea Poleni sana kwa wenye mapito ya namna hii Mkono wa Mungu uendelee kuwatetea
Mungu atujaaalie maisha marefu watoto wanateseka mno
Poleni sana watoto wangu. Mungu awahifadhi. Nimelima sana Leo jamani.
Ila nyie wazazi wetu hebu tulieni pamoja kutulea watoto wenu mkiachana mnatutesa sana
Naamini mungu watampata mama yao
Masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah akufanyiye wepesi ❤❤❤❤❤😢😢😢😢
Mi naogop atakuendelea kuangalia zinatoa machoz 😢
Baba Mwenyezi MUUMBA MBINGU na aridhi na Vitu vyote Visivyoonekana na vinavyoonekana….. Kiukweli Binadamu Tunapitia Makubwa Mnoooooooo Nimetokwa na Machozi kwa Hawa Watoto Wawili wameishi kwenye Mazingira Magumu …. UJUMBE WANGU KWA WAZAZI pale Mnapoachana Familia Lazima Zitengane cha Kufanya ni Bora KUTUNZA family yako itakuja kukuokoa Mwisho wa Siku Amen😢
😢😢😢😢😢😢mungu wangu nawaona wanangu kupitia hawa
Kumbe ni wa Singida damu yetu kabisa Subhana Allah
Daah Geah nimelia sana nimesisimka mwil mzima kwel nimeumia jamaniiii wote hayo Ni Mungu tu naamin niwakat sahihi wa Mungu
Hatamimi
Nimejikaza nisilie nimeshindwa kabisaa😭😭😭
Amen 😢🎉
wamejua kuniliza😢😢 mtt wa kike wakike tu analia mwazo mwisho nyie tushukuru sana tulio lelewa na wazazi wetu mpaka ss
Naijua hii na eeeheee omba isikukute😢😢😢tulikuwa 3 . Wawili wakakimbia mateso na WAKAFA mi ndo naishi tu. Uvumilivu
Wana fanana maashaallah
Nice Job❤
Jaman tusaidiane wanapatikanaje
Mungu awabariki Sana kwa kazi nzuri jamani.
Khaaaaa, clouds mmefanya kazi kubwa sana
Da Huu mzuri Mashallah
Hongereni kwa ubunifu wa hiki kipindi Cha kuunganisha familia zilizokuwa zimepotezanaaa, natamani mngepata wadhamini wengi wawawezesheee muendee mbalii zaidiii.......mnafanya jambo kubwa saana ambalo hata mbele za Miungu naamini linampendeza mnoooo
Aisee, Hiki kipindi kinaumiza sana.
sanaa
Nimelia kwakweli, inaumiza sana 😢😭😭😭😭
Duh nmelia kwa uchungu jmn ukiwa mbaya nyie jmn ee Mungu tusaidie cc viumbe wako
Pole san tupo tulikua mazingira kama yakwako tuseme tu alhamdulilah .
daah
Mungu aendelee kuwapa njia kama alivyowapa Sasa mkapatana. Naamini kama mama yupo hai mtamuona, na kama alishafariki basi Mungu amlaze mahali pema peponi. Nayajua mnayoyapitia ndugu zangu, Mimi sijui hata kaburi la mama yangu lilipo 😭😭😭😭😭
Hadithi ngumu sannna leo dahhh nimelia sokoni kwa wauza samaki
MaashaAllah ila anaeandika heading aemprove kdgo ili izidi kua na mvuto..kwa sbabu clouds ni chama kubwa mnoo♥️♥️
hongereni sanaa clouds Mungu awabariki sanaas
Mwenyezi Mungu hawahi wala hachelewi hutenda kwa wakati uliokubalika nimelia sana kuzidi Martha na Hamisi Mungu awafungulie milango watende yampasayo
Mungu awainue zaidi na zaidi wadogo zangu ila mmejua kuniliza kwa kweli😭😭😭😭😭😭😭😭
Wame fanana Maashallah
Nilikuwa naangalia huku naweka kituo sijaweza kumaliza yote kwa wakati mmoja ningeaibika kazini kwa kilio kiukweli imeniuma sana.
Ushauri wangu mueke tishu wafute machozi hongereni sana❤❤❤
Nimelia wallah, Mungu mwema
Ila watu tunaolelewa na kufikia tunaumia basi thuu mungu anatuongozaa....mwisho wa siku tumetofautiana na ndugu zangu wa kambo na wao ndio walikuwa na makosa baba sijui kafikwa na nini ameishia kuniambia nihame nyumbani kwake nikajitafutie maisha na mwanangu😭😭😭😭😭😭
Mwenyezi mungu awalinde
Jamani kuna watu wanapitia maisha magumu mioyoni mwao pamejaa maumivu mda mwingine hawana la kufanya ni kumshukuru Mungu tu lakini ni maumivu hata kwa wasikilizaji wao.
Yaani hapa unalia hadiunaumia kichwa
Najuta kwann nimeangalia nipo kazini nimelia Kama mtoto aisee touch story
Wazazi wenzangu kuna leo kuna kesho vizuri tuwatambulishe watoto angalao kwa marafiki na jirani na baadhi ya ndugu wapi tunatokea na koo zetu hata likitokea uko 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Alihamdulillh nimelelewa na wazazi wangu wote
Ila hii inaumiza san Pole san wadogo zangu
Godfrey Godian Arusha ila hiki kipindi kigumu nakumbukwa niliteswa na Watu ila Mungu anasaidia mnoooooooo
Hongera hamic mm cku zote nakufaham lakin cjui maisha yko ndo nimejua leo
mnaishi mtaa mmoja
Mashallah leo ndonimepata muda wakuangalia jamani, mmh! Nimelia mpaka nimeliatena jamani Mungu awaweke Leo tena 😭😭😭😭😭😭😭
Nimelia sana😢😢😢😢 CLOUDS MBARIKIWESANA TENASANA
Kakaangu ningekutafuta ningekupata 😭
Pumzika kwa amani
Pole kipenz
Daaaah nimelia sana sana jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Daaaah 😭😭😭 Jamanii, naliaaa nyieeee
Afhazali aliekimbia ni mwanaum si nimwanamke na arirudi ashalibika tayali 😢 akawa narudi daa mala kwamala 😢 ashafhaliki na ugonjwa waukimwi😭sisi tulikua ni wa burundi 😭😭😭
Yani maman wakambo Mungu anawaona atakma sio wote Ila wengi asili Mia kwa Mia wachawi😭😭😭😭
Asante sana
Inshallah itokee siku wamuone na mama yao
Poleni sana 😭😭😭
Mm nilikua na pingwa nafungwa kamba jaman kunabaazi ya mama munaroho mbaya kwa watoto wa wenzenu
Sikutegemea kama ningetuoa ata chozi😭 mejikuta naumia ert
Nimeumia sana adi nimelia
Pole sana na ongera kwa tv kuwakutanisha mi naomba tu namba za sim za hawa wawili nina mchango mdogo
mimi mala ya mwisho kulia muda mlefu nimekuja kuria tena baada yakuona hii big up clouz
Tabitha jina lamrehemu mama yang mkubwa😢. clouds mmeniliza sana
Nisaidieni nimpate mjomba wangu jamani😭
Jamaniiii inaumiza wanapoachana wazazi watoto ndiyo wanateseka nimeona hii habari nimelia saana wazazi kuweni makini pale mnapogikia maamuzi ya kuachana fikirieni hatma ya watoto wenu kwanza
Hongeren sana team leo tena
Yani nisingwewza kuendesha hicho kipindi yani ningekuwa nalia hadi kipindi kingecmama
Nimelia😢😢
Bora nsingeangalia Kabisaaaaa!
Inauma sana jaman
Hongera sana cloud fm
Tunaomba muwe na vitambaa ya kuwapa watu mnapokuwa mnawahoji. Maana wakipata hisia majozi yanawazidi .
Clouds mnatuliza ila mungu awabariki saana naamin na mimi nitakutana na babaang
😭pole dada angu mungu atawalipa
Maisha dunia inavingi mno😢😢😢
😢😢😢😢😢😢inauma sana jmn duuu
Nimelia sana kwakweli 😢😢
Kama najiona mimi na dada yangu Appiah❤
Jamani nimeumia Sana yaraabi watie nguvu waja wako
Duu! Inaumiza😭😭
Mwenyeji wa maganzo anaitwa nan mi nipo maganzo 😢😢 nijue pengine naweza kujua na kusaidia
❤❤❤duh