Ninamshukuru mungu nimelelewa na baba na mama paka leo mim na familia yangu Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi wetu Amin 🙏🙏 poleni sana kwa maisha mlo pitia ndugu zetu
Mungu wangu naomba kibari nifanyie mama bora kwa watoto wangu niwalee mpaka pale watakapokua kuweza kujitegemea Poleni sana kwa wenye mapito ya namna hii Mkono wa Mungu uendelee kuwatetea
Media nyie mungu awabariki sana madada wazur namna hakima sana mnafungu lenu mbele za Allah ndugu zangu .jaman mie sielew niwaombee Dua ipi kwahekma zenu
Baba Mwenyezi MUUMBA MBINGU na aridhi na Vitu vyote Visivyoonekana na vinavyoonekana….. Kiukweli Binadamu Tunapitia Makubwa Mnoooooooo Nimetokwa na Machozi kwa Hawa Watoto Wawili wameishi kwenye Mazingira Magumu …. UJUMBE WANGU KWA WAZAZI pale Mnapoachana Familia Lazima Zitengane cha Kufanya ni Bora KUTUNZA family yako itakuja kukuokoa Mwisho wa Siku Amen😢
Ila watu tunaolelewa na kufikia tunaumia basi thuu mungu anatuongozaa....mwisho wa siku tumetofautiana na ndugu zangu wa kambo na wao ndio walikuwa na makosa baba sijui kafikwa na nini ameishia kuniambia nihame nyumbani kwake nikajitafutie maisha na mwanangu😭😭😭😭😭😭
Mungu aendelee kuwapa njia kama alivyowapa Sasa mkapatana. Naamini kama mama yupo hai mtamuona, na kama alishafariki basi Mungu amlaze mahali pema peponi. Nayajua mnayoyapitia ndugu zangu, Mimi sijui hata kaburi la mama yangu lilipo 😭😭😭😭😭
Hongereni kwa ubunifu wa hiki kipindi Cha kuunganisha familia zilizokuwa zimepotezanaaa, natamani mngepata wadhamini wengi wawawezesheee muendee mbalii zaidiii.......mnafanya jambo kubwa saana ambalo hata mbele za Miungu naamini linampendeza mnoooo
Inauma kwa kweli Mungu naomba unipe maisha marefu niwalee watoto wangu
Nilikuombea sana upate Ndugu yako nashukuru Dua Langu Allah amelipokea. Ahsante M.mungu Kwa ili na lengine yarabi
Dah jamani msinyanyase watoto wa kufikia..imeniumiza sana hii dah😭😭😭😭
Hata kama uwe na chozi la mbali unalia tuuu, nimelia sana, kila lililo jema Clouds. mubarikiwe sana
Ninamshukuru mungu nimelelewa na baba na mama paka leo mim na familia yangu Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi wetu Amin 🙏🙏 poleni sana kwa maisha mlo pitia ndugu zetu
Hakika Mwenyez Mungu naomba kibali niwalee watt wangu had wajitambue ikiwezekana kwa mapenz yako ili wasisambaratike🙏
Nimeshindwa kuvumilia, Ee mwenyenzi Mungu ninakuomba unisaidie kuwalea watoto wangu!! Poleni sana wadogo zangu, Mungu awafariji😢😢😢
Subhanallah nalia na natabasamu mungu ni mwema namini na.mama atapatikana mung awasimamie undugu wenu udumu
Mungu naomba kibali niwalee wanangu😢😢
Mnatuliza Sana na hichi kipindi😢😢
Ila clouds Mwenyezi Mungu atawalipa kheri.
Kipindi iki acha 2 mungu ndie atawalipa
Ameen
Nimelia pia mnooooo
Poleni Sana wenzetu mliopitia maisha Kama haya hata mm my mom maisha yake yalikuwa Kama hayo
Mungu wangu naomba kibari nifanyie mama bora kwa watoto wangu niwalee mpaka pale watakapokua kuweza kujitegemea Poleni sana kwa wenye mapito ya namna hii Mkono wa Mungu uendelee kuwatetea
Pole san tupo tulikua mazingira kama yakwako tuseme tu alhamdulilah .
daah
Wangapi tumetokwa na machozi mwanzo mwisho 😢😢😢 jamani inahumiza 😢😢😢
Mimi pia machozi yamenitoka 😢
Mimi nimelia sana
Machozi yamenitoka kwakweli 😢
Daaaaah😭😭😭 so sad 😢😢
ua-cam.com/video/0Jt3LLELrSg/v-deo.html
Wana fanana maashaallah
Daa!! Nimelelewa na wazazi wangu miaka 27 lakinii naumia juu ya familia kama hii eeh mungu wee nioe nguvu niwalee wanangu mm😭😭😭
Mungu nipe maisha marefu nimulee mtoto wangu
Cloud TV Big up for this step guys,to make life easy for another people 👌🏽
Nifuraakumbwa ❤🎉🎉🎉🎉kuonana
Naijua hii na eeeheee omba isikukute😢😢😢tulikuwa 3 . Wawili wakakimbia mateso na WAKAFA mi ndo naishi tu. Uvumilivu
This is very emotional 😭😭😭 GOD have mercy over this kids
Media nyie mungu awabariki sana madada wazur namna hakima sana mnafungu lenu mbele za Allah ndugu zangu .jaman mie sielew niwaombee Dua ipi kwahekma zenu
Amen 😢🎉
Jamaniii, MUNGU awaongezee umri Mrefu kwa jitihada.
Mungu awalefushie maisha.
Clouds mnafanya kazi nzuri sana Mungu awabariki🤲
😢😢😢😢😢😢mungu wangu nawaona wanangu kupitia hawa
Mungu atujaaalie maisha marefu watoto wanateseka mno
Haki nimelipa😭😭😭Mama,Baba Mko Wapi?Dunia imetulemea Dah!Asante Mungu Kwa mitihani 🙏
Masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah akufanyiye wepesi ❤❤❤❤❤😢😢😢😢
Daaaah nimelia sana sana jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jaman tusaidiane wanapatikanaje
Khaaaaa, clouds mmefanya kazi kubwa sana
Nimelia haya mambo uyasikie tuu kwa mwingineee
Yaani da Huu ni mrembo sana yaani hapa ulipendeza Japo nipo nje ya mada 😀😀#nimeliaSana 😭
Kipindi kizuri sana mungu hawabariki sana
Da Huu mzuri Mashallah
Mungu awasaidie
Naamini mungu watampata mama yao
Daah kipindi chenu ni kigumu,maana nimejikuta nalia kwa wote😭😭
Yani washindwa kujizuia😢😢😢😢😢
Wame fanana Maashallah
😢😢😢😢Mungu awatunze Mumpate na mama akiwa hai jaman
Aisee, Hiki kipindi kinaumiza sana.
sanaa
Nice Job❤
Daah Geah nimelia sana nimesisimka mwil mzima kwel nimeumia jamaniiii wote hayo Ni Mungu tu naamin niwakat sahihi wa Mungu
Hatamimi
Mi nitakua siangalii kipind chenu najikuta nalia tu😭😭😭😭😭
Baba Mwenyezi MUUMBA MBINGU na aridhi na Vitu vyote Visivyoonekana na vinavyoonekana….. Kiukweli Binadamu Tunapitia Makubwa Mnoooooooo Nimetokwa na Machozi kwa Hawa Watoto Wawili wameishi kwenye Mazingira Magumu …. UJUMBE WANGU KWA WAZAZI pale Mnapoachana Familia Lazima Zitengane cha Kufanya ni Bora KUTUNZA family yako itakuja kukuokoa Mwisho wa Siku Amen😢
Nimeumia sana adi nimelia
Ushauri wangu mueke tishu wafute machozi hongereni sana❤❤❤
MaashaAllah ila anaeandika heading aemprove kdgo ili izidi kua na mvuto..kwa sbabu clouds ni chama kubwa mnoo♥️♥️
hongereni sanaa clouds Mungu awabariki sanaas
Hongera hamic mm cku zote nakufaham lakin cjui maisha yko ndo nimejua leo
mnaishi mtaa mmoja
Daaaah 😭😭😭 Jamanii, naliaaa nyieeee
Naomben namba
Mi naogop atakuendelea kuangalia zinatoa machoz 😢
Nimelia😢😢
Mungu awainue zaidi na zaidi wadogo zangu ila mmejua kuniliza kwa kweli😭😭😭😭😭😭😭😭
Nimelia wallah, Mungu mwema
Poleni sana watoto wangu. Mungu awahifadhi. Nimelima sana Leo jamani.
Jamani nimemulia nimejua kulia leo
Duu! Inaumiza😭😭
Ila nyie wazazi wetu hebu tulieni pamoja kutulea watoto wenu mkiachana mnatutesa sana
wamejua kuniliza😢😢 mtt wa kike wakike tu analia mwazo mwisho nyie tushukuru sana tulio lelewa na wazazi wetu mpaka ss
😭pole dada angu mungu atawalipa
Nimelia sana
Mim mwenyew nimepitia maisha ya manyanyaso san😭😭
Dada pia mm nimepitia machungu sana but hii imenitoa machozi, mm Niko tu mmoja hivo marafki ndoo bro wangu na siz yangu
Pole sana na ongera kwa tv kuwakutanisha mi naomba tu namba za sim za hawa wawili nina mchango mdogo
Asante sana
Jamani inauma sana
Nimelia kwakweli, inaumiza sana 😢😭😭😭😭
Sikutegemea kama ningetuoa ata chozi😭 mejikuta naumia ert
😪😪😪melia mpk mafua Jmn inaumiza😭😭
Nimelia sana kwakweli 😢😢
Poleni sana 😭😭😭
Me jmn nimelia sana
Hongeren sana team leo tena
Yani nisingwewza kuendesha hicho kipindi yani ningekuwa nalia hadi kipindi kingecmama
dah namimi nimejikuta nawasaidia kuliaaa
Nimelia sana😢😢😢😢 CLOUDS MBARIKIWESANA TENASANA
Daaaa unauma sana 😢😢😢
😂😂😢 yaskitisha haki
Haya maisha dah😭😭😭😭😭😭😭😭
SA nalia nn na mm😢😢😢
Mpk nimelia jmn 😭😭😭
Mungu naomba uwape Manisha marefu Claus mnaponya majeraha ya watu
Hadithi ngumu sannna leo dahhh nimelia sokoni kwa wauza samaki
Kumbe ni wa Singida damu yetu kabisa Subhana Allah
Ila watu tunaolelewa na kufikia tunaumia basi thuu mungu anatuongozaa....mwisho wa siku tumetofautiana na ndugu zangu wa kambo na wao ndio walikuwa na makosa baba sijui kafikwa na nini ameishia kuniambia nihame nyumbani kwake nikajitafutie maisha na mwanangu😭😭😭😭😭😭
😢😢😢😢😢😢inauma sana jmn duuu
Duuuh inaumiza sana
Mwenyezi mungu awalinde
Tupo wengi jamani
Nimejikaza nisilie nimeshindwa kabisaa😭😭😭
Nimelia snaa😢😢
Daaaah😢😢😢
Mungu aendelee kuwapa njia kama alivyowapa Sasa mkapatana. Naamini kama mama yupo hai mtamuona, na kama alishafariki basi Mungu amlaze mahali pema peponi. Nayajua mnayoyapitia ndugu zangu, Mimi sijui hata kaburi la mama yangu lilipo 😭😭😭😭😭
😭😭😭 Subhana Allah Allahu Akbar
Nimelia😢
Hongereni kwa ubunifu wa hiki kipindi Cha kuunganisha familia zilizokuwa zimepotezanaaa, natamani mngepata wadhamini wengi wawawezesheee muendee mbalii zaidiii.......mnafanya jambo kubwa saana ambalo hata mbele za Miungu naamini linampendeza mnoooo
Nimelia sna jaman
😭😭😭😭😭 inauma sana
Inauma sana jaman