Miaka 15 sasa toka nmepotezana na mama yang popote pale ulipo jua nakupenda sana naimani siku moja tutaonana Mungu akulinde huko ulipo 🙏🙏,,,...mwanao nmekua sasa na nmeanza kujitegemea mwenyewe
Hawa wama wana roho ngumu na mbaya sana...mimi siamini kama kuzaa ni kwa uchungu...mama unaacha watoto na unapajuwa ukoo wa mume unaweza kuwatafuta lkn unapotezea tuu...wkt mwingine bora kuendelea kuishi bila mama kuliko wamama wa hivo...
Jamani mm stak kuongea mengi juu ya hii chanel mungu aizidishie sana na wadada inabid tujifunze kupitia hii chanel nahii chanel aina utofaut na kituo cha kusahdia watoto yatima natamani ata kuongea nao tu lakn one day ntafika napotaka kufika clauds tv mungu awasahsie sana tena sana
*Mama ni mama tu hakuna mwenye thamani zaidi ya mama ila mama kidoogo hakutenda haki kwa hao watoto wake miaka 15 sio hata kukanyaga na anapajuwa walipo duuh.*
Mi mana yetu yupo kakini ametutenga mda tu baada ya baba kufariki, nyumbani napajua ila naendelea na maisha yangu, nimejaribu sana kuiunganisha familia yangu lakini wapi, ye anawaza kupokonywa mali tu. Da! Inauma sana ika siachi kuomba kwa Mungu tuwe pamoja😢😢.
Alikuwa ana puyanga tu akakosa hata muda wa kutafuta watoto fyuu atajuta kwanini aliwaona hakuna bond hapo hata yeye hana bond pia umeona hata alivyowapokea watoto wenyewe hamna bond kabisa asubiri na ajichanganye aombe hela atatamani ajinyonge
Nafanya kazi mbali na wanangu wawili lakini siwezi kumaliza mwaka bila kurudi kuona wanangu,,, Kila nikikaa kuwakumbuka utumbo wa uzazi unaniuma,, Naomba MUNGU nisaidie moyo huo huo nisiweze kupata shida ya kuweza kutengana na wanangu miaka zaidi ya kifo pekee
Mimi simshangai huyu mama kwa yaliyomkuta,manake hii dunia ina majaribu mengi kuumiza moyo,binafsi hili limenikuta na hope nitakuja kuonana nae akiwa mkubwa kama hivi,machungu aliyopitia huyu mama nayaelewa mnoo,ni uchungu usioisha kukaa mbali na watoto ingali uko hai😢
Hana uchungu angekuwa na uchungu angesha fika mana mahali walipo yeye alikuwa anapajuwa wenye uchungu ni watt ambao hawajui alipo mama hivi huyu mama ana uchungu Gani ili Hali alipo waacha watt hakuwahi fika hata kulizia eti nilikuwa naumwa miaka 18 tuache kutetea ujinga angefanya baba mgesema vipi Mimi nisinge mtafuta mama wa hivi akwemdeeee
@@MsAggie5mwanga huyo,bora hata wasingemtafuta,atauwa mjukuu bure,mwenyewe huku nalia yeye kajikalisha tu hapo,mpaka aambiwe simama upokee mtoto,khaaa
Mm kiukweli siwez kumtafut mama aliyeniacha bila ya uchungu maan uliyezaa huwez kumsahau mtoto wako ulizaa hpn hii mm Huwa spendi story hiz zinanipa maswaliengi san
Hiki nikipindi bora kwa sasa Tanzania kama sio Dunia nzima...Ikiwa sio igizo mnafanya kazi ya kusisimua na msichoke...Ikiwezekana muendeleee hata kupita mitaani kuhoji msikute mtu na baba yake wako ofisi 1 na hawajuani kwa kweli....Hongereni sana sana zana
Sass inakuwaje nilikuwa nasikia tu kama wamama kumbe nao waachaga wtoto kabisaa miaka yote hiyo duh mm masaa tu nashidwa kuwa mbali na kijana wngu kutwa napiga simuu😢
Kwa kweli mimi mwenyewe sielewi kabisa,mama yangu ni mzee hawezi kupiga simu mpaka umpigie,ole wako ipite siku hujampigia,siku ya pili ukipiga anapokea na kilio juu,upo wapi mwanangu,upo salama? Ananambia husiwe unapitisha siku hujanipigia,sasa hawa mmm
Kipindi kizuri sana ila kiboreshwe wasiongee chochote kabla ya kuja kwenye kipindi tuone reaction ya mtafutaji na mtafutwaji. . Yani wasipeane Number za cm mpaka wafike hapo .
Huyu mama mbona kama rorose kuhusu watoto wake?kumbe kwa shangaz alikua anakujua kwanini hakwenda kuwatafuta watoto wake? Kama huyu wakiume anaonekana alikata tamaa kabisa ya kuonana na mama yake
Mm navuta subra yule mtoto wa kaka angu atimize miaka 18 mbona mama yake nitamsaka kila radio hd nifike clouds maana kajua kutubwagia mtoto tangu ana mwaka sijui yaani kwenye msiba wa kaka yng ndy tunaambiwa kuna mtoto kule Mtoni kwa Kindande kamuacha marehem. Haya mleteni tumuone kuletwa kweli wetu copy yetu kabisa mama kasema ndy nilikuwa napataka hapa mkubali ndy hd leo mwaka wa 12 huu mtoto hamjui mama yake wala familia ya mama yake hatuijui
@@sajdatomar6025 yaani yule kambwaga hana mpango na mtoto na aliyemuachia kafariki na yule mama aliyemleta kumuonyesha familia kafariki ndy tatizo lipo hapo hakuna anaejua kwao wala jina lake halijulikani mtoto kachukuliwa ba bibi yake yupo kijijini bint mkubwa sasa anajua hd kupika😭
Mwaka wa 4 sasa tangu nilipo undokewa na mtoto wangu kipenzi wa kiume alichukuliwa na baba yake kutoka zanzibar kwenda dodoma popote ulipo mwanangu mama anakupenda sanaa nnaiman na wewe unanikumbuka sana
Clouds mungu awape maisha marefu
Daah inaumiza snaaa tna Sanaa ila hongeren mmeonana
Ooh its so touching ❤❤
Mama atakuwa alikuwa wa kimataifa hata muda wa kutafuta watoto hakuwa nao 😢😢mungu tusaidie
Kwa kwer hongereni sana
Miaka 15 sasa toka nmepotezana na mama yang popote pale ulipo jua nakupenda sana naimani siku moja tutaonana Mungu akulinde huko ulipo 🙏🙏,,,...mwanao nmekua sasa na nmeanza kujitegemea mwenyewe
andika jina lake itakusaidia
Mungu akufanyie wepesi ipo siku mtakutana
😢pole ndugu ,hata Mimi na familia yangu yalinitokea miaka 28 ,sijuan na ndugu zangu nawao walikua wanamtafuta mama inauma 😢😢.
Jmn pole kamtangate utompata
😂nenda Leo Tena watatusaidia
Mungu nipe maisha marefu Nile watoto wangu
Congratulation kwa kazi na from kenya
Hawa wama wana roho ngumu na mbaya sana...mimi siamini kama kuzaa ni kwa uchungu...mama unaacha watoto na unapajuwa ukoo wa mume unaweza kuwatafuta lkn unapotezea tuu...wkt mwingine bora kuendelea kuishi bila mama kuliko wamama wa hivo...
Kabisa
Pole kwa kuumwa mama.
Jamani kwa mtazamo tu Mama anaonekana alikuwa mwingi wa habari,alafu sio kila mwanamke ni Mama
Na wanaadabu wtot wamejitunza mnoo😢😢😢mama una bahati mnoo wametunzana😢😢
Jamani mm stak kuongea mengi juu ya hii chanel mungu aizidishie sana na wadada inabid tujifunze kupitia hii chanel nahii chanel aina utofaut na kituo cha kusahdia watoto yatima natamani ata kuongea nao tu lakn one day ntafika napotaka kufika clauds tv mungu awasahsie sana tena sana
Mungu aendelee kuwahifadhi
Ukiskia watoto hawana mapenzi na wazazi wao msiwe mna shanga 😢
EMILIANA chomboo❤❤❤
Jamani mama ni mama tu😭😭😭 sidhani kama Kuna kipind bora zaid ya hiki
Hakika nimelia kuliko.wao. mimi sesi wa kimara
Mama ni mama tu
Asante mungu
*Mama ni mama tu hakuna mwenye thamani zaidi ya mama ila mama kidoogo hakutenda haki kwa hao watoto wake miaka 15 sio hata kukanyaga na anapajuwa walipo duuh.*
Mi mana yetu yupo kakini ametutenga mda tu baada ya baba kufariki, nyumbani napajua ila naendelea na maisha yangu, nimejaribu sana kuiunganisha familia yangu lakini wapi, ye anawaza kupokonywa mali tu. Da! Inauma sana ika siachi kuomba kwa Mungu tuwe pamoja😢😢.
Polesana mtihani sasa kwanini yupohivyo mama
Pole sana dada Grace😢,ipo siku Mungu atafunguwa njia
Sio kawaida mama kusahau watoto wake
Huwezi jua wengine kwa mwanaume wanachukua watoto na mali unaambiwa usikanyage si tulishashuhudia haya,
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
Huyo mama alikuwa hana uchungu wa watoto wake.kwa sababu alishawahi kwenda huko.
Alikuwa ana puyanga tu akakosa hata muda wa kutafuta watoto fyuu atajuta kwanini aliwaona hakuna bond hapo hata yeye hana bond pia umeona hata alivyowapokea watoto wenyewe hamna bond kabisa asubiri na ajichanganye aombe hela atatamani ajinyonge
Ndivyo ilivyokuwa kwa huyu mama alisema cku ya kwanza walipounganishwa
Kwann mama alikosa upendo hiv😅
Jamani hukuwatafuta aaa
Mmmmh 😭😭😭 machozi yananitoka
Jaman mama mtamu sana
Jamani maishani kuna mapito nakila mtu na yake .Ila tu nashkuru radio cloud's kwa msaada wao mkubwa kwa taifa Mungu awabariki
duh mienyewe nalia hapa
😭😭😭😭nimekumbuka mbali sana, endeleeni kupumzika kwa amani ipo siku tutaonana,
Madikin
Nafanya kazi mbali na wanangu wawili lakini siwezi kumaliza mwaka bila kurudi kuona wanangu,,, Kila nikikaa kuwakumbuka utumbo wa uzazi unaniuma,, Naomba MUNGU nisaidie moyo huo huo nisiweze kupata shida ya kuweza kutengana na wanangu miaka zaidi ya kifo pekee
Angewatuma hata watu wengine wakawatafute kama yeye alikuwa anaumwa.
Jaman na mimi nataka hiii kwa ajili ya mdogo wangu wa mama mkubwa
Clouds mubarikiwe
😭😭jamani kipenzi Mungu awalinde umenikumbusha mbali😭
Nilimtafuta sana kakaangu lakini siku alopatikana alikua tayar kafariki😭😭 MUNGU awabariki sana kwa kipindi hiki
Mimi simshangai huyu mama kwa yaliyomkuta,manake hii dunia ina majaribu mengi kuumiza moyo,binafsi hili limenikuta na hope nitakuja kuonana nae akiwa mkubwa kama hivi,machungu aliyopitia huyu mama nayaelewa mnoo,ni uchungu usioisha kukaa mbali na watoto ingali uko hai😢
Hana uchungu angekuwa na uchungu angesha fika mana mahali walipo yeye alikuwa anapajuwa wenye uchungu ni watt ambao hawajui alipo mama hivi huyu mama ana uchungu Gani ili Hali alipo waacha watt hakuwahi fika hata kulizia eti nilikuwa naumwa miaka 18 tuache kutetea ujinga angefanya baba mgesema vipi Mimi nisinge mtafuta mama wa hivi akwemdeeee
Watoto ndo roho yangu nawapenda mno
Kwangu kushukuru Mwenyezi MUNGU
Huyu mama ana shida huwa tunapata shida sababu ya watoto alikaa mpaka watoto wamemtafuta analia nini mnafiki hana lolote
jamani nimelia sana leo.
Huyo mama hana uchungu na hao watoto
Nimelia
Jaman jaman hawez jua sababu ya uyo mama kutowatafuta watoto wake mda wote huo maana hatujui anaishije
Mama hana upendo na wanawe yaani hajashtuka,hata hajaweza kumkumbatia hata mjukuu wake... seriously!!😮
Anaupendo sema ni udhuni alokuwa nawo anaona aibu
Hana upendo wowote hata Ku act anashindwa? Ona wamama wenzake waliokutanishwa walivyo onyesha upendo. Kakaa kama mlevi lol
@@MsAggie5mwanga huyo,bora hata wasingemtafuta,atauwa mjukuu bure,mwenyewe huku nalia yeye kajikalisha tu hapo,mpaka aambiwe simama upokee mtoto,khaaa
Nmetoa machoz jaman hongeren clauds leo tena
Hata mimi nimelia.
Daaah😢
Ni machozi ya furaha
Clauz hatuwapat toka ijumaa hadi leo
Ila mama ana roho ngumu hyu
mno
@@masalakulwa7601 tena sana
Roho mbaya
Hana mapenzi na watoto huyu
Kbx dear mtoto umzae umwachie mwanaume @@SelinaPaschal-vq2iy
Jaman uyu mama kumbe anapakumbuka sehemu hakutaka tu kwenda kuwaona watoto wake hadi wamemtafuta wao aisee
Yaani sijui shida ni nini nyir😢😢😢
Mda mwingine inakuaga madawa
Huwezi jua kipi kilipitika
Huwez Amin Yuko na sababu zake lakin naona hana mzuka na wanae
Kuna familia zigine onanyaganywa mtoto na ukabaki una thamani
Mama han upendo na watoto kwanza hapo alipo han hata mshtuko
Ni kweli aisee angekuwa mama flani wa Mbeya uwiiiiiiiii hicho kilio mngejuta hapo studio
@@fatmaallyabdul1732😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Weae unajuwa watt wako walipo Kisha hukuenda hilo mnalionaje upuuzi Mimi nisinge mtafuta
Mm kiukweli siwez kumtafut mama aliyeniacha bila ya uchungu maan uliyezaa huwez kumsahau mtoto wako ulizaa hpn hii mm Huwa spendi story hiz zinanipa maswaliengi san
Huyu mama ni mmbulu hawanaga muda na watoto wakiondoka hawaangalii nyuma😢
Umesema kweli kabisa ndio wako hivyo
Huyu ni mrangi
Huyu mama alijua watoto wanakoishi hakuwa na Nia ya kurudi kuwaona
Mungu awapemaisha marafu
ROHO ngum kaka jiwe
mama mbona hukumpenda mtoto wako wakiume km emiliana emili umempenda sana mpaka unaliya nahuyo wakiume wanao
Da huu umependeza
Jamaniii huyu dada namfahamu huku kahe
Hiki nikipindi bora kwa sasa Tanzania kama sio Dunia nzima...Ikiwa sio igizo mnafanya kazi ya kusisimua na msichoke...Ikiwezekana muendeleee hata kupita mitaani kuhoji msikute mtu na baba yake wako ofisi 1 na hawajuani kwa kweli....Hongereni sana sana zana
Kweli yaan
igizo ili kitokee nini..mxiew
ila mamam emilia anamoyo mgumu yaninmtoto ndo anauchungu kuliko mama mtoto analia mama hana habari wala nn
Sass inakuwaje nilikuwa nasikia tu kama wamama kumbe nao waachaga wtoto kabisaa miaka yote hiyo duh mm masaa tu nashidwa kuwa mbali na kijana wngu kutwa napiga simuu😢
Hata mm asee nakaa mbali na kijana wangu ila siwez kaa kimya kabisa sm hazikauki
Kwa kweli mimi mwenyewe sielewi kabisa,mama yangu ni mzee hawezi kupiga simu mpaka umpigie,ole wako ipite siku hujampigia,siku ya pili ukipiga anapokea na kilio juu,upo wapi mwanangu,upo salama? Ananambia husiwe unapitisha siku hujanipigia,sasa hawa mmm
@@israelkisaila8401 aaeee hongera kwa mama 🎉🎉
Mama hana uchungu na watoto wake kabisa hata kushituka wala kulia mkavu kabisa na hakutakaga kwenda kuwa tafuta kwa ndugu wa mume
Mmmh mama ww unajua family ya watt wako mbona ukuwatafuta .😢
Sote tunaguswa na machozi yanatutoka. Ibaki hivohivo tusichunguze kilichosababisha Mzazi kuondoka na watoto,ila mzazi huyu😮😮😮😮😮
Wanawake wanakuaga na roho mbaya
Mama nae upendo bado unapajua na hukwenda kuwatafuta
Mama hana shida amejitetea aliumwa kwa mda mrefu ndio sababu hajawatafuta watoto wake,msimsakame sana
Wee mwongo huyo asijitetee.Aombe tu msamaha kwa kuwatelekeza.
Jamani Mimi Sina neno mungu awazidishie Wana Mimi nalia tu
Yaaani
Dunia ilimbeba kweli ndo usahau watoto mmmH
Watoto wazuri kawatelekeza
Nalia kwa machungu sn
Kipindi kizuri sana ila kiboreshwe wasiongee chochote kabla ya kuja kwenye kipindi tuone reaction ya mtafutaji na mtafutwaji. . Yani wasipeane Number za cm mpaka wafike hapo .
Itachukua muda mrefu hewani ambayo ni ghalama
Mama Hana upendo na watoto huwezi acha watoto wako muda wote huo kifua ameugua miaka 6 Hy hiyo mingine je
Huyu mama mbona kama rorose kuhusu watoto wake?kumbe kwa shangaz alikua anakujua kwanini hakwenda kuwatafuta watoto wake? Kama huyu wakiume anaonekana alikata tamaa kabisa ya kuonana na mama yake
Mama huyu hana mapenzi na watoto wake kabisa kha!
Natamani kuwe na session ya mtafutwa hasa mzazi alifanya effort gani maana haiingii akilini
Kuna kuwaga ni vitu vingi saana,viwekwe bayana
Kipindi bora kati ya vipindi vya redio nyingi Tz. Nakumbuka miaka mingi iliyopita niliona kipindi kama hiki cha Oprah winfred wa US.
Kina fanywa kila mwaka mwezi wa 5
Jamani nisaidieni na Mimi Chanel hii naombeni Nina WiFi wangu kapotea tangu mwaka Jana Hadi leo hatujui aliko nisaidieni naombeni
Mm navuta subra yule mtoto wa kaka angu atimize miaka 18 mbona mama yake nitamsaka kila radio hd nifike clouds maana kajua kutubwagia mtoto tangu ana mwaka sijui yaani kwenye msiba wa kaka yng ndy tunaambiwa kuna mtoto kule Mtoni kwa Kindande kamuacha marehem. Haya mleteni tumuone kuletwa kweli wetu copy yetu kabisa mama kasema ndy nilikuwa napataka hapa mkubali ndy hd leo mwaka wa 12 huu mtoto hamjui mama yake wala familia ya mama yake hatuijui
Ungemtafuta sa hv mwaya huwezi jua ya kesho
Duh...so alimleta baada ya mzaz mwenAke kufariki??
@@fettiemaganza1484 Tushamtafuta sana tu alitoa namba ya cm fake haipatikani hd leo
Km mama anajua wapi alikomuacha mwanawe na hajaja tena inawezekana amefariki ama km yuko hai basi hamtaki ndio mana hajapita mpk leo
@@sajdatomar6025 yaani yule kambwaga hana mpango na mtoto na aliyemuachia kafariki na yule mama aliyemleta kumuonyesha familia kafariki ndy tatizo lipo hapo hakuna anaejua kwao wala jina lake halijulikani mtoto kachukuliwa ba bibi yake yupo kijijini bint mkubwa sasa anajua hd kupika😭
Amewaacha watt hata miaka 10 bado yy kaugua miaka sita ...au hayanihusu
😅😅😅
Jamani hii dunia kila mtu na changamoto unaishi na watu baki hujui mzazi wako yuko wapi
Mm ni mwanamke but sijamwelewa huyu mama bado!kama hajali vile yupo baridi
Jamani jamani ama nisiongee nikakufutu
Maskini nimeria sana nimekumbuka mbari sana mm
mama sinyo 😢😢 mama wewe hatali
Jamn hiki kipind lzm ulie daaa😢
Wapare hao💪💪💪
Huyu mama dunia ilimbeba na saiz kiza kishaingia hadi anaona aibu
Kipindi hiki hinaniliza
Uyo bibi kichomi uwiiii hajari wala nn
Ila huyu mama miaka sita ya ugonjwa baada ya hapo.....! Mama mwenzangu ana roho ngumu jamani!!
😅😅😅😅 aya bhana
Mwaka wa 4 sasa tangu nilipo undokewa na mtoto wangu kipenzi wa kiume alichukuliwa na baba yake kutoka zanzibar kwenda dodoma popote ulipo mwanangu mama anakupenda sanaa nnaiman na wewe unanikumbuka sana
Pole sana omba Mungu iposiku mtaonana
Sijawahi ona mama kama huyu hajui watoto wanaishi vipi huyu atakuwa aliolewa tena ndio mana hakutafuta watoto asitudanganye
Mama manikini pombe zimemkolea mpka sura imemvimbaa jamanii 🥹🥹
Mama amesema alikua anaumwa kifuwa cha tb
@@kashrajabu5744aseee
Tibi hiyo imemko desha
Huyo mama ana shida Ina maana muda wote huo anaugua jamani tangu mtoto ana miaka saba Ina maana walivyoondoka tuu akaumwa mmm
Myaka yote hiyo kweli ka mama hainiingii akilini nahisi alikuwa kiruka njia huyu mama.