#LEOTENA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 239

  • @emmanuelcharles1819
    @emmanuelcharles1819 7 місяців тому +9

    Clouds mungu awape maisha marefu

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 7 місяців тому +2

    Daah inaumiza snaaa tna Sanaa ila hongeren mmeonana

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 7 місяців тому +2

    Ooh its so touching ❤❤

  • @TheresiaMhagama
    @TheresiaMhagama 7 місяців тому +5

    Mama atakuwa alikuwa wa kimataifa hata muda wa kutafuta watoto hakuwa nao 😢😢mungu tusaidie

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 6 місяців тому

    Kwa kwer hongereni sana

  • @jacklinealex2259
    @jacklinealex2259 7 місяців тому +36

    Miaka 15 sasa toka nmepotezana na mama yang popote pale ulipo jua nakupenda sana naimani siku moja tutaonana Mungu akulinde huko ulipo 🙏🙏,,,...mwanao nmekua sasa na nmeanza kujitegemea mwenyewe

    • @mycmeranyswai7957
      @mycmeranyswai7957 7 місяців тому +1

      andika jina lake itakusaidia

    • @daydaypapaa7709
      @daydaypapaa7709 7 місяців тому +1

      Mungu akufanyie wepesi ipo siku mtakutana

    • @AMINASAIDI-mx7rs
      @AMINASAIDI-mx7rs 7 місяців тому +3

      😢pole ndugu ,hata Mimi na familia yangu yalinitokea miaka 28 ,sijuan na ndugu zangu nawao walikua wanamtafuta mama inauma 😢😢.

    • @MaryAsantaely
      @MaryAsantaely 7 місяців тому

      Jmn pole kamtangate utompata

    • @AnnoyedLimePie-lc5sw
      @AnnoyedLimePie-lc5sw 7 місяців тому +2

      😂nenda Leo Tena watatusaidia

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 7 місяців тому

    Mungu nipe maisha marefu Nile watoto wangu

  • @jamesonduma6064
    @jamesonduma6064 7 місяців тому

    Congratulation kwa kazi na from kenya

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche9953 7 місяців тому +2

    Hawa wama wana roho ngumu na mbaya sana...mimi siamini kama kuzaa ni kwa uchungu...mama unaacha watoto na unapajuwa ukoo wa mume unaweza kuwatafuta lkn unapotezea tuu...wkt mwingine bora kuendelea kuishi bila mama kuliko wamama wa hivo...

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 7 місяців тому +3

    Pole kwa kuumwa mama.

  • @LilianSimon-cz7zr
    @LilianSimon-cz7zr 7 місяців тому +3

    Jamani kwa mtazamo tu Mama anaonekana alikuwa mwingi wa habari,alafu sio kila mwanamke ni Mama

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 7 місяців тому +4

    Na wanaadabu wtot wamejitunza mnoo😢😢😢mama una bahati mnoo wametunzana😢😢

  • @BrazaKau
    @BrazaKau 7 місяців тому

    Jamani mm stak kuongea mengi juu ya hii chanel mungu aizidishie sana na wadada inabid tujifunze kupitia hii chanel nahii chanel aina utofaut na kituo cha kusahdia watoto yatima natamani ata kuongea nao tu lakn one day ntafika napotaka kufika clauds tv mungu awasahsie sana tena sana

  • @salmawage7259
    @salmawage7259 7 місяців тому +1

    Mungu aendelee kuwahifadhi

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 7 місяців тому +8

    Ukiskia watoto hawana mapenzi na wazazi wao msiwe mna shanga 😢

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 7 місяців тому +2

    EMILIANA chomboo❤❤❤

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 7 місяців тому +7

    Jamani mama ni mama tu😭😭😭 sidhani kama Kuna kipind bora zaid ya hiki

  • @CeciliaNguhecha
    @CeciliaNguhecha 7 місяців тому

    Hakika nimelia kuliko.wao. mimi sesi wa kimara

  • @RevinaVedasto
    @RevinaVedasto 5 місяців тому

    Mama ni mama tu

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 7 місяців тому

    Asante mungu

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 7 місяців тому +4

    *Mama ni mama tu hakuna mwenye thamani zaidi ya mama ila mama kidoogo hakutenda haki kwa hao watoto wake miaka 15 sio hata kukanyaga na anapajuwa walipo duuh.*

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 7 місяців тому +1

    Mi mana yetu yupo kakini ametutenga mda tu baada ya baba kufariki, nyumbani napajua ila naendelea na maisha yangu, nimejaribu sana kuiunganisha familia yangu lakini wapi, ye anawaza kupokonywa mali tu. Da! Inauma sana ika siachi kuomba kwa Mungu tuwe pamoja😢😢.

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 7 місяців тому

      Polesana mtihani sasa kwanini yupohivyo mama

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 7 місяців тому

      Pole sana dada Grace😢,ipo siku Mungu atafunguwa njia

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli 7 місяців тому +5

    Sio kawaida mama kusahau watoto wake

  • @ShaniaKing-o5d
    @ShaniaKing-o5d 7 місяців тому +12

    Huwezi jua wengine kwa mwanaume wanachukua watoto na mali unaambiwa usikanyage si tulishashuhudia haya,

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 7 місяців тому +2

      Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 7 місяців тому +2

      Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama

    • @salomeshongola1697
      @salomeshongola1697 7 місяців тому +1

      Huyo mama alikuwa hana uchungu wa watoto wake.kwa sababu alishawahi kwenda huko.

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 7 місяців тому +1

      Alikuwa ana puyanga tu akakosa hata muda wa kutafuta watoto fyuu atajuta kwanini aliwaona hakuna bond hapo hata yeye hana bond pia umeona hata alivyowapokea watoto wenyewe hamna bond kabisa asubiri na ajichanganye aombe hela atatamani ajinyonge

    • @ashangalawa9492
      @ashangalawa9492 7 місяців тому

      Ndivyo ilivyokuwa kwa huyu mama alisema cku ya kwanza walipounganishwa

  • @GodfreyKulwa-f3g
    @GodfreyKulwa-f3g 7 місяців тому +2

    Kwann mama alikosa upendo hiv😅

  • @fsaad5116
    @fsaad5116 6 місяців тому

    Jamani hukuwatafuta aaa

  • @sayunichullahkadinda8775
    @sayunichullahkadinda8775 7 місяців тому

    Mmmmh 😭😭😭 machozi yananitoka

  • @MariaMolelll
    @MariaMolelll 6 місяців тому

    Jaman mama mtamu sana

  • @RuthWarombo
    @RuthWarombo 7 місяців тому

    Jamani maishani kuna mapito nakila mtu na yake .Ila tu nashkuru radio cloud's kwa msaada wao mkubwa kwa taifa Mungu awabariki

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 3 місяці тому

    duh mienyewe nalia hapa

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 7 місяців тому

    😭😭😭😭nimekumbuka mbali sana, endeleeni kupumzika kwa amani ipo siku tutaonana,

  • @victoryjohn4179
    @victoryjohn4179 7 місяців тому

    Nafanya kazi mbali na wanangu wawili lakini siwezi kumaliza mwaka bila kurudi kuona wanangu,,, Kila nikikaa kuwakumbuka utumbo wa uzazi unaniuma,, Naomba MUNGU nisaidie moyo huo huo nisiweze kupata shida ya kuweza kutengana na wanangu miaka zaidi ya kifo pekee

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 7 місяців тому +8

    Angewatuma hata watu wengine wakawatafute kama yeye alikuwa anaumwa.

  • @zahramohammed2337
    @zahramohammed2337 7 місяців тому +2

    Jaman na mimi nataka hiii kwa ajili ya mdogo wangu wa mama mkubwa

  • @NicelaLugakingira
    @NicelaLugakingira 7 місяців тому

    Clouds mubarikiwe

  • @EstarDanielisaya
    @EstarDanielisaya 7 місяців тому

    😭😭jamani kipenzi Mungu awalinde umenikumbusha mbali😭

  • @annakifwamba2358
    @annakifwamba2358 7 місяців тому

    Nilimtafuta sana kakaangu lakini siku alopatikana alikua tayar kafariki😭😭 MUNGU awabariki sana kwa kipindi hiki

  • @tinamahega9848
    @tinamahega9848 7 місяців тому

    Mimi simshangai huyu mama kwa yaliyomkuta,manake hii dunia ina majaribu mengi kuumiza moyo,binafsi hili limenikuta na hope nitakuja kuonana nae akiwa mkubwa kama hivi,machungu aliyopitia huyu mama nayaelewa mnoo,ni uchungu usioisha kukaa mbali na watoto ingali uko hai😢

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 7 місяців тому

      Hana uchungu angekuwa na uchungu angesha fika mana mahali walipo yeye alikuwa anapajuwa wenye uchungu ni watt ambao hawajui alipo mama hivi huyu mama ana uchungu Gani ili Hali alipo waacha watt hakuwahi fika hata kulizia eti nilikuwa naumwa miaka 18 tuache kutetea ujinga angefanya baba mgesema vipi Mimi nisinge mtafuta mama wa hivi akwemdeeee

  • @AshuraIsa
    @AshuraIsa 7 місяців тому +1

    Watoto ndo roho yangu nawapenda mno

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali5077 7 місяців тому

    Kwangu kushukuru Mwenyezi MUNGU

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 7 місяців тому +6

    Huyu mama ana shida huwa tunapata shida sababu ya watoto alikaa mpaka watoto wamemtafuta analia nini mnafiki hana lolote

  • @AsiaAlly-rn5ly
    @AsiaAlly-rn5ly 7 місяців тому +2

    jamani nimelia sana leo.

  • @edakilibika5935
    @edakilibika5935 7 місяців тому

    Huyo mama hana uchungu na hao watoto

  • @DokersRobin
    @DokersRobin 7 місяців тому +2

    Nimelia

  • @challemartin
    @challemartin 7 місяців тому

    Jaman jaman hawez jua sababu ya uyo mama kutowatafuta watoto wake mda wote huo maana hatujui anaishije

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 7 місяців тому +2

    Mama hana upendo na wanawe yaani hajashtuka,hata hajaweza kumkumbatia hata mjukuu wake... seriously!!😮

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 7 місяців тому

      Anaupendo sema ni udhuni alokuwa nawo anaona aibu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 7 місяців тому

      Hana upendo wowote hata Ku act anashindwa? Ona wamama wenzake waliokutanishwa walivyo onyesha upendo. Kakaa kama mlevi lol

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 7 місяців тому

      ​@@MsAggie5mwanga huyo,bora hata wasingemtafuta,atauwa mjukuu bure,mwenyewe huku nalia yeye kajikalisha tu hapo,mpaka aambiwe simama upokee mtoto,khaaa

  • @ROSEMARYVALENCE
    @ROSEMARYVALENCE 7 місяців тому

    Nmetoa machoz jaman hongeren clauds leo tena

  • @juliemrema497
    @juliemrema497 7 місяців тому +3

    Hata mimi nimelia.

  • @MaulidiNchasi
    @MaulidiNchasi 7 місяців тому

    Daaah😢

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 6 місяців тому

    Ni machozi ya furaha

  • @HapyynessValentine
    @HapyynessValentine 7 місяців тому

    Clauz hatuwapat toka ijumaa hadi leo

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 7 місяців тому +12

    Ila mama ana roho ngumu hyu

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 7 місяців тому +12

    Jaman uyu mama kumbe anapakumbuka sehemu hakutaka tu kwenda kuwaona watoto wake hadi wamemtafuta wao aisee

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 7 місяців тому

      Yaani sijui shida ni nini nyir😢😢😢

    • @GraceSanga-z1t
      @GraceSanga-z1t 7 місяців тому +3

      Mda mwingine inakuaga madawa

    • @ShaniaKing-o5d
      @ShaniaKing-o5d 7 місяців тому

      Huwezi jua kipi kilipitika

    • @sarasaraz-vn1vl
      @sarasaraz-vn1vl 7 місяців тому +1

      Huwez Amin Yuko na sababu zake lakin naona hana mzuka na wanae

    • @queenjacklinedavid2600
      @queenjacklinedavid2600 7 місяців тому

      Kuna familia zigine onanyaganywa mtoto na ukabaki una thamani

  • @HawaSwabra
    @HawaSwabra 7 місяців тому +4

    Mama han upendo na watoto kwanza hapo alipo han hata mshtuko

    • @fatmaallyabdul1732
      @fatmaallyabdul1732 7 місяців тому +2

      Ni kweli aisee angekuwa mama flani wa Mbeya uwiiiiiiiii hicho kilio mngejuta hapo studio

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 місяців тому

      ​@@fatmaallyabdul1732😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ngwacahnyagwaswa9979
      @ngwacahnyagwaswa9979 7 місяців тому

      😂😂😂😂

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 7 місяців тому

      Weae unajuwa watt wako walipo Kisha hukuenda hilo mnalionaje upuuzi Mimi nisinge mtafuta

  • @graceshayo5763
    @graceshayo5763 7 місяців тому

    Mm kiukweli siwez kumtafut mama aliyeniacha bila ya uchungu maan uliyezaa huwez kumsahau mtoto wako ulizaa hpn hii mm Huwa spendi story hiz zinanipa maswaliengi san

  • @upendosamwel2705
    @upendosamwel2705 7 місяців тому +2

    Huyu mama ni mmbulu hawanaga muda na watoto wakiondoka hawaangalii nyuma😢

  • @rosiehayatta2619
    @rosiehayatta2619 7 місяців тому +1

    Huyu mama alijua watoto wanakoishi hakuwa na Nia ya kurudi kuwaona

  • @aziza9093
    @aziza9093 7 місяців тому

    Mungu awapemaisha marafu

  • @CeciliaNguhecha
    @CeciliaNguhecha 7 місяців тому

    ROHO ngum kaka jiwe

  • @GfgGgg-sc2uy
    @GfgGgg-sc2uy 7 місяців тому +3

    mama mbona hukumpenda mtoto wako wakiume km emiliana emili umempenda sana mpaka unaliya nahuyo wakiume wanao

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 7 місяців тому

    Da huu umependeza

  • @laurenciamushi2576
    @laurenciamushi2576 7 місяців тому

    Jamaniii huyu dada namfahamu huku kahe

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 7 місяців тому +1

    Hiki nikipindi bora kwa sasa Tanzania kama sio Dunia nzima...Ikiwa sio igizo mnafanya kazi ya kusisimua na msichoke...Ikiwezekana muendeleee hata kupita mitaani kuhoji msikute mtu na baba yake wako ofisi 1 na hawajuani kwa kweli....Hongereni sana sana zana

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 7 місяців тому +2

    ila mamam emilia anamoyo mgumu yaninmtoto ndo anauchungu kuliko mama mtoto analia mama hana habari wala nn

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 7 місяців тому +1

    Sass inakuwaje nilikuwa nasikia tu kama wamama kumbe nao waachaga wtoto kabisaa miaka yote hiyo duh mm masaa tu nashidwa kuwa mbali na kijana wngu kutwa napiga simuu😢

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 7 місяців тому

      Hata mm asee nakaa mbali na kijana wangu ila siwez kaa kimya kabisa sm hazikauki

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 7 місяців тому

      Kwa kweli mimi mwenyewe sielewi kabisa,mama yangu ni mzee hawezi kupiga simu mpaka umpigie,ole wako ipite siku hujampigia,siku ya pili ukipiga anapokea na kilio juu,upo wapi mwanangu,upo salama? Ananambia husiwe unapitisha siku hujanipigia,sasa hawa mmm

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 7 місяців тому

      @@israelkisaila8401 aaeee hongera kwa mama 🎉🎉

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 7 місяців тому

    Mama hana uchungu na watoto wake kabisa hata kushituka wala kulia mkavu kabisa na hakutakaga kwenda kuwa tafuta kwa ndugu wa mume

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie 7 місяців тому

    Mmmh mama ww unajua family ya watt wako mbona ukuwatafuta .😢

  • @MinskBelarus-il2tl
    @MinskBelarus-il2tl 7 місяців тому

    Sote tunaguswa na machozi yanatutoka. Ibaki hivohivo tusichunguze kilichosababisha Mzazi kuondoka na watoto,ila mzazi huyu😮😮😮😮😮

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 7 місяців тому

    Wanawake wanakuaga na roho mbaya

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 7 місяців тому

    Mama nae upendo bado unapajua na hukwenda kuwatafuta

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 7 місяців тому

    Mama hana shida amejitetea aliumwa kwa mda mrefu ndio sababu hajawatafuta watoto wake,msimsakame sana

    • @salomeshongola1697
      @salomeshongola1697 7 місяців тому

      Wee mwongo huyo asijitetee.Aombe tu msamaha kwa kuwatelekeza.

  • @SaphiaSitta
    @SaphiaSitta 7 місяців тому +7

    Jamani Mimi Sina neno mungu awazidishie Wana Mimi nalia tu

  • @AshuraIsa
    @AshuraIsa 7 місяців тому

    Dunia ilimbeba kweli ndo usahau watoto mmmH

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 7 місяців тому +1

    Watoto wazuri kawatelekeza

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 7 місяців тому +1

    Nalia kwa machungu sn

  • @Hilda_nyerere
    @Hilda_nyerere 7 місяців тому

    Kipindi kizuri sana ila kiboreshwe wasiongee chochote kabla ya kuja kwenye kipindi tuone reaction ya mtafutaji na mtafutwaji. . Yani wasipeane Number za cm mpaka wafike hapo .

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 7 місяців тому

      Itachukua muda mrefu hewani ambayo ni ghalama

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 7 місяців тому

    Mama Hana upendo na watoto huwezi acha watoto wako muda wote huo kifua ameugua miaka 6 Hy hiyo mingine je

  • @RoseKaiza-g2j
    @RoseKaiza-g2j 7 місяців тому

    Huyu mama mbona kama rorose kuhusu watoto wake?kumbe kwa shangaz alikua anakujua kwanini hakwenda kuwatafuta watoto wake? Kama huyu wakiume anaonekana alikata tamaa kabisa ya kuonana na mama yake

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 7 місяців тому

    Mama huyu hana mapenzi na watoto wake kabisa kha!

  • @alfredinafelix836
    @alfredinafelix836 7 місяців тому +2

    Natamani kuwe na session ya mtafutwa hasa mzazi alifanya effort gani maana haiingii akilini

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 7 місяців тому

      Kuna kuwaga ni vitu vingi saana,viwekwe bayana

  • @ImmaculateMweteni
    @ImmaculateMweteni 7 місяців тому +1

    Kipindi bora kati ya vipindi vya redio nyingi Tz. Nakumbuka miaka mingi iliyopita niliona kipindi kama hiki cha Oprah winfred wa US.

  • @Paulinawilliam-n8f
    @Paulinawilliam-n8f 7 місяців тому

    Jamani nisaidieni na Mimi Chanel hii naombeni Nina WiFi wangu kapotea tangu mwaka Jana Hadi leo hatujui aliko nisaidieni naombeni

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 7 місяців тому +3

    Mm navuta subra yule mtoto wa kaka angu atimize miaka 18 mbona mama yake nitamsaka kila radio hd nifike clouds maana kajua kutubwagia mtoto tangu ana mwaka sijui yaani kwenye msiba wa kaka yng ndy tunaambiwa kuna mtoto kule Mtoni kwa Kindande kamuacha marehem. Haya mleteni tumuone kuletwa kweli wetu copy yetu kabisa mama kasema ndy nilikuwa napataka hapa mkubali ndy hd leo mwaka wa 12 huu mtoto hamjui mama yake wala familia ya mama yake hatuijui

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 7 місяців тому

      Ungemtafuta sa hv mwaya huwezi jua ya kesho

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 7 місяців тому

      Duh...so alimleta baada ya mzaz mwenAke kufariki??

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 7 місяців тому

      @@fettiemaganza1484 Tushamtafuta sana tu alitoa namba ya cm fake haipatikani hd leo

    • @sajdatomar6025
      @sajdatomar6025 7 місяців тому

      Km mama anajua wapi alikomuacha mwanawe na hajaja tena inawezekana amefariki ama km yuko hai basi hamtaki ndio mana hajapita mpk leo

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 7 місяців тому +1

      @@sajdatomar6025 yaani yule kambwaga hana mpango na mtoto na aliyemuachia kafariki na yule mama aliyemleta kumuonyesha familia kafariki ndy tatizo lipo hapo hakuna anaejua kwao wala jina lake halijulikani mtoto kachukuliwa ba bibi yake yupo kijijini bint mkubwa sasa anajua hd kupika😭

  • @RithaPuran
    @RithaPuran 7 місяців тому

    Amewaacha watt hata miaka 10 bado yy kaugua miaka sita ...au hayanihusu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 7 місяців тому

    Jamani hii dunia kila mtu na changamoto unaishi na watu baki hujui mzazi wako yuko wapi

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 7 місяців тому

    Mm ni mwanamke but sijamwelewa huyu mama bado!kama hajali vile yupo baridi

  • @SalmaKhatibu-gl4su
    @SalmaKhatibu-gl4su 7 місяців тому

    Jamani jamani ama nisiongee nikakufutu

  • @AminaBakar-r6f
    @AminaBakar-r6f 7 місяців тому

    Maskini nimeria sana nimekumbuka mbari sana mm

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 7 місяців тому

    mama sinyo 😢😢 mama wewe hatali

  • @RajabuHayyan
    @RajabuHayyan 7 місяців тому

    Jamn hiki kipind lzm ulie daaa😢

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 7 місяців тому

    Wapare hao💪💪💪

  • @gladnesskweka9699
    @gladnesskweka9699 7 місяців тому

    Huyu mama dunia ilimbeba na saiz kiza kishaingia hadi anaona aibu

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 7 місяців тому

    Kipindi hiki hinaniliza

  • @SamiraNyakunga
    @SamiraNyakunga 7 місяців тому

    Uyo bibi kichomi uwiiii hajari wala nn

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 7 місяців тому +1

    Ila huyu mama miaka sita ya ugonjwa baada ya hapo.....! Mama mwenzangu ana roho ngumu jamani!!

  • @HawaJomba
    @HawaJomba 7 місяців тому

    Mwaka wa 4 sasa tangu nilipo undokewa na mtoto wangu kipenzi wa kiume alichukuliwa na baba yake kutoka zanzibar kwenda dodoma popote ulipo mwanangu mama anakupenda sanaa nnaiman na wewe unanikumbuka sana

  • @loveness09-k
    @loveness09-k 7 місяців тому

    Sijawahi ona mama kama huyu hajui watoto wanaishi vipi huyu atakuwa aliolewa tena ndio mana hakutafuta watoto asitudanganye

  • @joymamwanga5036
    @joymamwanga5036 7 місяців тому +3

    Mama manikini pombe zimemkolea mpka sura imemvimbaa jamanii 🥹🥹

  • @UpendoMtunguja
    @UpendoMtunguja 7 місяців тому

    Huyo mama ana shida Ina maana muda wote huo anaugua jamani tangu mtoto ana miaka saba Ina maana walivyoondoka tuu akaumwa mmm

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 7 місяців тому

    Myaka yote hiyo kweli ka mama hainiingii akilini nahisi alikuwa kiruka njia huyu mama.