Baada ya miaka 30 Mama amuona tena mwanae | Nilimuacha mwanangu akiwa na miaka miwili

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • Miaka takribani 30 imepita toka Baba na Mama wapotezana na Baba kubaki na Rose na kumlea mwenyewe kwa miaka yote hiyo na leo wamekutana huku Mama akitambulishwa wajukuu zake wawili kutoka kwa binti yake.

КОМЕНТАРІ • 45

  • @mpondamaliva7666
    @mpondamaliva7666 3 місяці тому +5

    Jamani Rose kafanana na mama yake sana Mungu ni mwema

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 3 місяці тому +1

    Jamani rose nakuomba umtunze mama wewe mdg wangu nimesikia mama akisema kisingida kinyiramba mpende sana mamako😢😢😢

  • @JasmineMadaraka
    @JasmineMadaraka 3 місяці тому +3

    Huyu mama anamaumivu sana moyoni kiasi kwamba ameshindwa kabisa kulificha maskini Mungu muongoze huyu mama kuna mambo yanauma sana

  • @HamisiForogo
    @HamisiForogo 3 місяці тому +3

    Huyu babu kiukweli hajamtendea haki huyu Bibi dah kuchukua mtoto wa miaka miwili alafu umekaa nae kimya mpaka Leo looh mshenzi Sana wewe

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 3 місяці тому +4

    Jamani najikuta nalia namimi, Mungu awatunze wote.

    • @RayChausa
      @RayChausa 3 місяці тому +1

      Ameen

    • @HamisiForogo
      @HamisiForogo 3 місяці тому

      Nikitaka kulia sanaaa naangalia hiki kipindi

  • @michaelchiwalo8444
    @michaelchiwalo8444 4 місяці тому +1

    😂😂😂rose ana furaha haielezekii akiwaona baba rose na mama rose🌹

  • @DinahMwadime
    @DinahMwadime 3 місяці тому +1

    😂mziki uko juu sana punguza.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 місяці тому +2

    Mam kakasirika kamuon alie iba mtt wake mjinga san

  • @jaziramwimbo9145
    @jaziramwimbo9145 4 місяці тому +4

    Mumeharibu furaha ya Mama Rose baada ya Babu kuja hapo.
    Mmemkumbusha machungu

    • @aishaabrahaman9957
      @aishaabrahaman9957 3 місяці тому +1

      Mama rose kachukia alivomuona huyuu baba jamani 😂😂😂😂 duuuh pole jamani

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y 4 місяці тому +4

    😂😂😂mama rose anakinyongo 😢

  • @rahmaswale1671
    @rahmaswale1671 3 місяці тому

    Pole Sana mama inauma Sana Mimi nilikaa mwaka na nusu tu sijamiona mwanangu Kuna Sasa nilikuwa nashindwa hata kula

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 4 місяці тому +2

    Ila nimewapenda sana Leo tena

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 3 місяці тому +2

    Mimi pia nimeungua mkono wa kushoto nilikua na miaka miwili hadi sasa nina miaka 28 lakin bado nina kovu halifutiki

  • @TabiaMbunju
    @TabiaMbunju 4 місяці тому +1

    Ongeren sana mungu atawalipa

  • @shupanamugala6266
    @shupanamugala6266 4 місяці тому +2

    Inauma sana jamani

  • @alphoncekidyala6932
    @alphoncekidyala6932 4 місяці тому +2

    Kipindi kinarudiwa lini nicheki nilikua kazini

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 3 місяці тому +1

    Gea 😂😂😂😂😂et mwamba huyu hapa

    • @RayChausa
      @RayChausa 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 6 днів тому

    ROZI MTUNZE MAMA YAKO

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 3 місяці тому

    Brayan Jina la mwanangu❤❤❤❤

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi 4 місяці тому +1

    Hakuna sauti 😢😢

  • @MutoniAnge-pt4eg
    @MutoniAnge-pt4eg 3 місяці тому +1

    Huu baba ni mtu mbaya

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 місяці тому

    Kumbe ana haki huyu bibi kutoroka watu wa singida😂😂😂😢

  • @mamatriplee5638
    @mamatriplee5638 3 місяці тому

    Mimi bibi ningemnasa kibao kimoja kitakatifumtoto wangu miaka 30 yote jamani sijamuona mtt wangu

  • @navioma4882
    @navioma4882 4 місяці тому +1

    Dah😢😢

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 місяці тому +2

    Mama katoka mbali Lunzewe ni mbali saana

  • @hasanbakari7332
    @hasanbakari7332 3 місяці тому +1

    Nina ndugu yangu kapotea miaka 5 hivikweli nitakuja kumuona anaitwa shabani ramadhani ni mpare

    • @Gersah
      @Gersah 3 місяці тому

      Mwakan tena uende clauds fm mwez Wa 5

  • @happymchovu9023
    @happymchovu9023 3 місяці тому

    Naombeni namba zahiki kipindi nguguzangu

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 3 місяці тому +1

    Ukimuangalia tu unajua rose ni yupi

  • @deborahmchona5584
    @deborahmchona5584 3 місяці тому

    Jmni mnatuliza huku mweeee ila ninafuraha sana

  • @marianyahenge9529
    @marianyahenge9529 3 місяці тому

    Wamefanana

  • @EstherjamesAmrima
    @EstherjamesAmrima 3 місяці тому

    Naitwa Esther James nawaomba kama uyu dada alivyopata mama yake na mm nawaomba munisaidie kumpata mama yangu anaitwa jurieta irick alituacha naipanga mm na mdogo wangu salvina frank nawaomb sana

  • @Teresiamwagange
    @Teresiamwagange 3 місяці тому

    Jmn mpk nimelia mima jmn

  • @ayshamohammed7106
    @ayshamohammed7106 3 місяці тому +1

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @noelaayo7932
    @noelaayo7932 3 місяці тому

    😢😢❤

  • @SizzoSela29-sh8nz
    @SizzoSela29-sh8nz 3 місяці тому

    bibi anakinyongo na babu

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 4 місяці тому +1

    😪😪😪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎎

  • @jaziramwimbo9145
    @jaziramwimbo9145 4 місяці тому +1

    Watu tinaishi na makovu ya vitu vingi mno.
    Hongela Rose kwa hatua hii

    • @gambigambi7254
      @gambigambi7254 3 місяці тому +1

      Ni kweli kabisa trauma kila mtu ana pain yake kukosa mama niukiwa mzito