Baada ya miaka 30 Mama amuona tena mwanae | Nilimuacha mwanangu akiwa na miaka miwili
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Miaka takribani 30 imepita toka Baba na Mama wapotezana na Baba kubaki na Rose na kumlea mwenyewe kwa miaka yote hiyo na leo wamekutana huku Mama akitambulishwa wajukuu zake wawili kutoka kwa binti yake.
Jamani Rose kafanana na mama yake sana Mungu ni mwema
Jamani rose nakuomba umtunze mama wewe mdg wangu nimesikia mama akisema kisingida kinyiramba mpende sana mamako😢😢😢
Huyu mama anamaumivu sana moyoni kiasi kwamba ameshindwa kabisa kulificha maskini Mungu muongoze huyu mama kuna mambo yanauma sana
Kweli kabisaa😢😢
Huyu babu kiukweli hajamtendea haki huyu Bibi dah kuchukua mtoto wa miaka miwili alafu umekaa nae kimya mpaka Leo looh mshenzi Sana wewe
Jamani najikuta nalia namimi, Mungu awatunze wote.
Ameen
Nikitaka kulia sanaaa naangalia hiki kipindi
😂😂😂rose ana furaha haielezekii akiwaona baba rose na mama rose🌹
😂mziki uko juu sana punguza.
Mam kakasirika kamuon alie iba mtt wake mjinga san
Mumeharibu furaha ya Mama Rose baada ya Babu kuja hapo.
Mmemkumbusha machungu
Mama rose kachukia alivomuona huyuu baba jamani 😂😂😂😂 duuuh pole jamani
😂😂😂mama rose anakinyongo 😢
Pole Sana mama inauma Sana Mimi nilikaa mwaka na nusu tu sijamiona mwanangu Kuna Sasa nilikuwa nashindwa hata kula
Ila nimewapenda sana Leo tena
Mimi pia nimeungua mkono wa kushoto nilikua na miaka miwili hadi sasa nina miaka 28 lakin bado nina kovu halifutiki
Ongeren sana mungu atawalipa
Inauma sana jamani
Kipindi kinarudiwa lini nicheki nilikua kazini
Gea 😂😂😂😂😂et mwamba huyu hapa
😂😂😂😂😂😂
ROZI MTUNZE MAMA YAKO
Brayan Jina la mwanangu❤❤❤❤
Hakuna sauti 😢😢
Huu baba ni mtu mbaya
Kumbe ana haki huyu bibi kutoroka watu wa singida😂😂😂😢
Mimi bibi ningemnasa kibao kimoja kitakatifumtoto wangu miaka 30 yote jamani sijamuona mtt wangu
Dah😢😢
Mama katoka mbali Lunzewe ni mbali saana
Nina ndugu yangu kapotea miaka 5 hivikweli nitakuja kumuona anaitwa shabani ramadhani ni mpare
Mwakan tena uende clauds fm mwez Wa 5
Naombeni namba zahiki kipindi nguguzangu
Ukimuangalia tu unajua rose ni yupi
Jmni mnatuliza huku mweeee ila ninafuraha sana
Wamefanana
Naitwa Esther James nawaomba kama uyu dada alivyopata mama yake na mm nawaomba munisaidie kumpata mama yangu anaitwa jurieta irick alituacha naipanga mm na mdogo wangu salvina frank nawaomb sana
jaribu kuwasiliana na gea
Jmn mpk nimelia mima jmn
😭😭😭😭😭😭😭
😢😢❤
bibi anakinyongo na babu
😪😪😪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎎
Watu tinaishi na makovu ya vitu vingi mno.
Hongela Rose kwa hatua hii
Ni kweli kabisa trauma kila mtu ana pain yake kukosa mama niukiwa mzito