BABA MWITA AKIRI MBELE YA MZAZI MWENZAKE NA KUMLETA MTOTO KWA MAMA YAKE MZAZI | TOKA 2005 MPAKA 2022
Вставка
- Опубліковано 14 чер 2022
- Zaidi ya miaka 17 Mama na mtoto wakutana tena toka Mama alipopotezana na mtoto wake mwaka 2005 ambapo mtoto alichukuliwa na Baba yake.
Vilio vya furaha vimetawala kwenye familia hii.
Isikilize #CloudsFM 88.1 MHZ Mwanza, 92.9 Mhz Iringa, 89.3 MHZ Kigoma #Mcloudsnia #HakunaKuLeft
#MchongoGrup
Uzuri baba Mwita amewasomesha watoto na kuwalea👏👏
Kafanya jambo lamaana🤗
hii familia ya mwita iko pow yaan haina kinyongo baba mwita mungu azid kukubariki
Mwita ni bonga la handsome 😘
Big up Cloud kazi yenu ni njema mnoo ,,nawapenda buuuuree watangazaji wote
Jaman bab mwita kaniua sana yaan mcheshi sana ila mambo' ya maisha tu jaman., mana sometime unakuta kama mambo' uelewi.., hakika baba mwita big up sana tena sana, wakurya ni watu ila ukiwachokoza tu ndio wanakua wanyama..baba mwita asante sana
Daah inaumiza sn miaka 20.bila kuwa0na watoto Mungu ni mwema kwa kweli.baba.mwita.mungu.amtunze.maana.kalea.watoto.vzr.mpaka.rahaa✍️💃
Allah awanynganye vizaz baazi ya wabongo mnatesa watoto mnazini na kutesa watoto
Hii picha nikiiona nimemiss sana my mom, ni mwaka wa 9 tangu anitoke.
Clouds nawapenda saaaana, hii y mwita nimecheka kwa kwrli cjalia!!
Baba kalea watoto vizuri sana. Kawasomesha pia. Hongreh sana Baba Mwita.
Hongera sana clouds kwa kuwakutanisha watu waliopoteza family zao keep it up the good work👌👏
Mungu awabariki sana mpaka machozi yakanitoka kwa furaha lkn ni kwa neema tumshuru Mungu kila wakati miaka mingi nami ipo siku tutaonana na baba yangu japo mama yangu hataki kusema ukweli
Jitahidi kipindi hichi akiwa hai
So emotional jaman😭😭😭😢 lakin ba mwita kituko
Hongereni sana clouds mashallah😭😭😭 bibi kanifanya nimetabasam alhamdulillah
Mashaallah mashaallah dah mama ww umejua kuniliza 😭😭😭
Wallahi mpaka nimelia Allah atawalipa herry inshallah 😭😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hongera zako baba mwita nimekupenda unapenda wanao
Haki kazi nzuri sana Mungu Insha'AllAH Mungu awabariki
Daaah nimemkumbuka my mom RIP 🙏🏻 MOM
Pole Saana Kipenzi
Pole dyaa
Pole dear
Poleee Ndgu
Sio wewe Tu! Hata Mimi RIP my Mama
Baba mwita mwanaume anayependa watoto
Sana sana
Wallah nimelia pia nimefurahi
Sasa naona umuhimu wa social
Media,,hongera sana Clouds na kipindi hiki,,Kweli Mungu awabariki na kuwaongezea uthamani weni...
Hongera.sana.baba.mwita
Baba Mwita is so crazy 😅🤣🤣🤣
Ila namshukuru baharia kapeleka watoto shule..
Wallah imenigusa sn hi inshu yakupoteza nawatoto kwamda mrefu kiasi hiko pia nimshukuru bbaake mwita kwamalezi mazuri aliyowalea wanae kwamapenzi ya dhati nahadi ss kijanaanaonekana ktk muonekano mzuri pia niwasihii wanawake wenzangu baadhi yao msipende kuishi nawanamme bilakujua wanakotokea au mwanamke anakoishi maana mwisho mnaishia kupotezana nakuamin. Pengine washakufa kumbe wko hai
I like this project keep it up clouds
Kurya people jaman 🤣🤣🤣🤣🤣
😭😭😭😭😭😭😭mama mwita umeniliza na mie pole sana
Mashaallah baba mwita kaupiga mwingi sana
Nimempenda mama mkwe
hakika hiki ni kipindi bora kabisa hapa Tanzania daah ukiskia kipindi cha radio hiki ni zaidi ya kipindi walahi mpaka nimelia 😭😭😭
Yaani nimelia Sana hongereni clouds
Hongea sana clouds MUNGU awabariki sana
Hongera za baba bora baba mwita
Mashaa Allah huyu mtoto mwita nimemuona ni mpole na upole unaendana na usikivu na usikivu unaendana na ustaarabu halafu jina lake silielew la kiislam kweli? Mama mwita fanya bidii mwanao umfundishe dini ushauri wa bule mpeleke madrasa katoto ka kiume ni kamoja kafundishe dini mama yangu
Salute kwa bibi na mammkubwa kwa upendo
So emotional... ila baba mwita jmn 😂😂
Baba mwita ni comedian🤣😂🤣🤣
Mtu mbandi sn 😂😂😂☝️
@@ameenamohammed4413 Nmecheka kwa saut 🤣🤣💃🏿💃🏿
Mama mwita kaniliza 😢😰😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭
Nmecheka na kulia at the same time, Baba mwita Comedy
Alisha jua anamakosa katumia akili kumaliza kesi
Uyu Mama Mwita kaniliza, sikia tu kwa mwenzio, uyu Mamaangu kabisa, Mama saumu.
Nimempenda sana nwita ni kijana mwenye kujielewa na hekimu mungu amemjalia,Iwe kwake heri
Mashallah mungu awabariki nyote mulio simamiya huyu mama mpaka akapata watoto wake
Mungu awabariki Clouds nimelia sana
Ma mwita umeniliza daah...hongereni clouds kwa project nzuri sana
Mimi pia dea
Clouds muishi milele kazi zenu nzuri
Kwani baba ngaya ni comedian 😂 🤣 maana nimecheka mimi jamani vituko vyake
Du kuna haja ya sisi wanaume kubadilika sana kuna baadhi yetu tabia zetu zina watesa sana wanawake
Ni kweli
Bora wewe umesema.
mungu wape miaka mingi mama zetu
Yaani nimelia sana yaani du
Mama mwita nampenda sana anavyomlilia mwanaye jamani safi sana ,halafu mrembo mwenyewe na mwita mzuri.
😂😂😂ushaanza umalaya
Mnakera sana
Msizae na wakrya jmn...ni watu wa hovyo niulizeni mimi🙌🙌🙌
😂😂
😂😂😂
Hahahahaaaa
Uuuwiiihhhhh
Ila kweli
Baba mwita anastahili hongera kumleta mtt
Nawaombeni washirika wenzangu mwenye number ya clouds namtafuta Baba yangu mdogo tulipotezana toka mwaka 1978 Songea mkoa wa ruvuma
Nimempenda baba mwita jmn mtu WA masihara htr ila Dada shukuru kawalea wtt vizur
Jamani mama mwita Mimi namjua
Afadhali umewaonabwtt wako miaka mingi jamani
Ahahaha baba mwita mshenzi kweli yaani nimecheka mpaka basi haki inabidi usamehe tu .
Baba mwitaa mimi namsifu baba mwitaa aliwapenda wanae na aliona asiache damu yake mbalii hongeraa umeleeea baba
Nacheka huku nalia kiukwel mungu awabarikii
Dah so sad imekuwa siku ya kilio yenye furaha pia kwa familia husika. Yaani wazazi kutengana kunaumiza Sana watoto.
Ni kweli dear lkn ndo hivo inaposhindikana lazima tutengane
@@jescajulius8023 Saana Kipenzi
😭😭😭Naumizwa Saana Na Maswala Kama Haya Jamani
@@yassintaibrahim24 ndy yanaumiza nami ni mhanga
@@jescajulius8023 Pole Yetu Saana Kipenzi Mimi Pia Cjamlea Mwanangu Tangu Yuko Katikati Ya La Kwanza Ingawa Nilikua Napata Fursa Ya Kuonananae Mara Moja Kwa Mwaka, Baada Ya Hapo Ckuonananae Alipofika La Tano Nikaja Kumuona Akiwa Kidato Cha Pili 😭😭😭
Niwapenda clause
Mama mwita kanifanya nmelia kweli uchungu wa watoto ajuae mama ,😭😭😭😭
Hongereni sana Clouds
Pole dada uwa ni mithina sana kuolewa na mkiwa kabila tofauti nakumbuka mimi pia dadangu alipokonywa watoto ivyoivyo mpk leo tulimshukuru mungu inauma sana😭😭😭
Ila baba mwita jamani nimempenda bure hana kukataa alichokifanya yaan yeye anafurahia pia kumuona mzazi mwenzie japo km una hasira unaweza kunasa kibao yaan ana masihara hatar mwenzio analia yeyw ndio kwanza anamfanyia komedi mwenzie jamani😂😂😂😂😂
Baba mwitaa yanii
Kwa ajili..Baba mwita alivyokuja tu..mie nimemsamehe kabisa tena mcheshi sana ila saa ingine maisha tu jaman kwa kipindi kile..alichoondoka dar es salaam..tumsamehe wandugu jaman
Pole dada mungu bora kakujalia utakuja kuwaona kwahio iposiku utafuta furahi🙏🙏🙏🙏❤️❤️👍👍👍
Daah! Mwita kweli mkurya original
mungu ni mwema
Inafurahisha sana sana. Ni amani teleee
Baba Mwita,umenichekesha,.
Baba Mwita jamani kwa kweli wameteseka
Nimempenda baba mwita 😃😃😃
Masha'Allah kijana wake yuko vizuri
Ongeleni leo tena 👏👏👏
Ila gea Mungu anakuona sio kwa cheko hilo maana nami umenifanya nicheke wallah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣japo inaliza😭😭😭😭😭
Nimecheka hatariiiiiii
He is tooo funny this man🤣but mama lazima awe na huzuni
mwanzo nimelia, ila baadae baba mwita kaja kunipoza, baba mwita hana hata stress, halafu anaonekana msumbufu tangu akiwa kijana
Ongereni kwa kazi nzuli
Dah!😭😭😭😭😭hongereni Clouds 😇😍😍😍
clouds kweli mbarikiwe sana
Hongereni mnafanya kazi nzuri sana
jmn ww baba Mwita original😂😂😂
Mimi nimelia huku na kucheka
Baba mwita anavimba sana
salàm alekum nimelia sana
Miaka ya nyuma wanawake wengi sanaa sana waliozaa na wakuliya watoto wao walichukuliwa bila taarifa na kupelekwa musoma
Na waliojifungulia musoma wanaume wa kikurya waliwakataa watoto wao kuwa mila hairuhusu na waliwatelekeza watoto na mama zao na hasa kama wewe utakuwa sio mkurya....inauma....!
Pole sana mama mwita
Big up clouds .🥰❤
Mwita kafanana na mama yake🥰🥰
Mashaallaah kaz mzur
Mungu ni mwema kwa kweli
Hii picha ya mama Mwita na baba Mwita kila nikiiona huwa naifungua huyu baba Mwita kiboko😂😂
So sad nmelia mm jmn uchunguu wa mwana aujuae mama
Ila baba mwita Yuko vizuri 😊
Mtu anaweza kulia hadi kupoteza ufahamu jamani tuache kuibiana watoto maana hata mimi nisiyehusika nimeumia vilevile
Baba mwita jaman akiwa anaongea mama mwita unalia akiwa anaongea baba mwita nikucheka tuuuuuu 😂😂😂😂😂😂😂
Mh DC kazi nzuri sana
Jaman mama Mwita ameniliza mwenzenu daaah
Raha sana Allah awalipe kher
Daah machozi yamenitoka kwakweli mh mama ni mama
😢😢sikunitakutana na babayangu yani sijuwi nitasemaje toka ningaliki mdogo namyaka mmoja na nusu mpaka ivi sijawaikumuona 😢😢ningekuwa daa kingeeleweka ila sipo ila inshaallah
Nenda kamtafute baba ni kitu Cha thamani Sana maishani
Utampata tu kama utaweka bidii all the best bro. Cha msingi ujue ndugu upande wake ukimpata mmoja tu basi utajua yupo au lah🙏🏾