BABA MWITA AKIRI MBELE YA MZAZI MWENZAKE NA KUMLETA MTOTO KWA MAMA YAKE MZAZI | TOKA 2005 MPAKA 2022

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 чер 2022
  • Zaidi ya miaka 17 Mama na mtoto wakutana tena toka Mama alipopotezana na mtoto wake mwaka 2005 ambapo mtoto alichukuliwa na Baba yake.
    Vilio vya furaha vimetawala kwenye familia hii.
    Isikilize #CloudsFM 88.1 MHZ Mwanza, 92.9 Mhz Iringa, 89.3 MHZ Kigoma #Mcloudsnia #HakunaKuLeft
    #MchongoGrup

КОМЕНТАРІ • 448

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 роки тому +19

    Uzuri baba Mwita amewasomesha watoto na kuwalea👏👏

  • @mamafaty6190
    @mamafaty6190 2 роки тому +17

    hii familia ya mwita iko pow yaan haina kinyongo baba mwita mungu azid kukubariki

  • @timanyere9052
    @timanyere9052 2 роки тому +13

    Mwita ni bonga la handsome 😘

  • @ezekielmwasenga4640
    @ezekielmwasenga4640 2 роки тому +13

    Big up Cloud kazi yenu ni njema mnoo ,,nawapenda buuuuree watangazaji wote

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Рік тому +4

    Jaman bab mwita kaniua sana yaan mcheshi sana ila mambo' ya maisha tu jaman., mana sometime unakuta kama mambo' uelewi.., hakika baba mwita big up sana tena sana, wakurya ni watu ila ukiwachokoza tu ndio wanakua wanyama..baba mwita asante sana

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973 Рік тому +3

    Daah inaumiza sn miaka 20.bila kuwa0na watoto Mungu ni mwema kwa kweli.baba.mwita.mungu.amtunze.maana.kalea.watoto.vzr.mpaka.rahaa✍️💃

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 16 днів тому

    Allah awanynganye vizaz baazi ya wabongo mnatesa watoto mnazini na kutesa watoto

  • @mwajumamakunga1665
    @mwajumamakunga1665 2 роки тому +6

    Hii picha nikiiona nimemiss sana my mom, ni mwaka wa 9 tangu anitoke.

  • @ndeshukurwamoses2077
    @ndeshukurwamoses2077 Місяць тому +1

    Clouds nawapenda saaaana, hii y mwita nimecheka kwa kwrli cjalia!!

  • @mwana4599
    @mwana4599 2 роки тому +32

    Baba kalea watoto vizuri sana. Kawasomesha pia. Hongreh sana Baba Mwita.

  • @azizahmwimbe8548
    @azizahmwimbe8548 2 роки тому +6

    Hongera sana clouds kwa kuwakutanisha watu waliopoteza family zao keep it up the good work👌👏

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 2 роки тому +11

    Mungu awabariki sana mpaka machozi yakanitoka kwa furaha lkn ni kwa neema tumshuru Mungu kila wakati miaka mingi nami ipo siku tutaonana na baba yangu japo mama yangu hataki kusema ukweli

  • @preciousmrema5907
    @preciousmrema5907 2 роки тому +11

    So emotional jaman😭😭😭😢 lakin ba mwita kituko

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 2 роки тому +3

    Hongereni sana clouds mashallah😭😭😭 bibi kanifanya nimetabasam alhamdulillah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому +6

    Mashaallah mashaallah dah mama ww umejua kuniliza 😭😭😭

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 2 роки тому +4

    Wallahi mpaka nimelia Allah atawalipa herry inshallah 😭😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 2 роки тому +4

    Hongera zako baba mwita nimekupenda unapenda wanao

  • @rajah9328
    @rajah9328 2 роки тому +6

    Haki kazi nzuri sana Mungu Insha'AllAH Mungu awabariki

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula7616 2 роки тому +29

    Daaah nimemkumbuka my mom RIP 🙏🏻 MOM

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 роки тому +5

    Baba mwita mwanaume anayependa watoto

  • @kulthumbashiru864
    @kulthumbashiru864 2 роки тому +5

    Wallah nimelia pia nimefurahi

  • @rodgerskapingo4618
    @rodgerskapingo4618 2 роки тому +15

    Sasa naona umuhimu wa social
    Media,,hongera sana Clouds na kipindi hiki,,Kweli Mungu awabariki na kuwaongezea uthamani weni...

  • @sofiagao6396
    @sofiagao6396 11 місяців тому +1

    Hongera.sana.baba.mwita

  • @taturamadhan9217
    @taturamadhan9217 2 роки тому +8

    Baba Mwita is so crazy 😅🤣🤣🤣

  • @matobholwamanonu5919
    @matobholwamanonu5919 2 роки тому +4

    Ila namshukuru baharia kapeleka watoto shule..

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 2 роки тому +3

    Wallah imenigusa sn hi inshu yakupoteza nawatoto kwamda mrefu kiasi hiko pia nimshukuru bbaake mwita kwamalezi mazuri aliyowalea wanae kwamapenzi ya dhati nahadi ss kijanaanaonekana ktk muonekano mzuri pia niwasihii wanawake wenzangu baadhi yao msipende kuishi nawanamme bilakujua wanakotokea au mwanamke anakoishi maana mwisho mnaishia kupotezana nakuamin. Pengine washakufa kumbe wko hai

  • @officialteeh1213
    @officialteeh1213 2 роки тому +22

    I like this project keep it up clouds

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +6

    😭😭😭😭😭😭😭mama mwita umeniliza na mie pole sana

  • @roytv8276
    @roytv8276 2 роки тому +3

    Mashaallah baba mwita kaupiga mwingi sana

  • @jasmineshechambo3401
    @jasmineshechambo3401 2 роки тому +6

    Nimempenda mama mkwe

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 2 роки тому +3

    hakika hiki ni kipindi bora kabisa hapa Tanzania daah ukiskia kipindi cha radio hiki ni zaidi ya kipindi walahi mpaka nimelia 😭😭😭

  • @julianamaganga4803
    @julianamaganga4803 2 роки тому +1

    Yaani nimelia Sana hongereni clouds

  • @priscamakendi2239
    @priscamakendi2239 2 роки тому +2

    Hongea sana clouds MUNGU awabariki sana

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому +2

    Hongera za baba bora baba mwita

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 2 роки тому

    Mashaa Allah huyu mtoto mwita nimemuona ni mpole na upole unaendana na usikivu na usikivu unaendana na ustaarabu halafu jina lake silielew la kiislam kweli? Mama mwita fanya bidii mwanao umfundishe dini ushauri wa bule mpeleke madrasa katoto ka kiume ni kamoja kafundishe dini mama yangu

  • @maryamashatone469
    @maryamashatone469 2 роки тому +2

    Salute kwa bibi na mammkubwa kwa upendo

  • @husnanandonde2657
    @husnanandonde2657 2 роки тому +13

    So emotional... ila baba mwita jmn 😂😂

  • @gladsmwageni9049
    @gladsmwageni9049 2 роки тому +10

    Mama mwita kaniliza 😢😰😭😭😭😭😭

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007 2 роки тому +2

    Nmecheka na kulia at the same time, Baba mwita Comedy

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +10

    Uyu Mama Mwita kaniliza, sikia tu kwa mwenzio, uyu Mamaangu kabisa, Mama saumu.

  • @annastangonyani5320
    @annastangonyani5320 2 роки тому +1

    Nimempenda sana nwita ni kijana mwenye kujielewa na hekimu mungu amemjalia,Iwe kwake heri

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому +1

    Mashallah mungu awabariki nyote mulio simamiya huyu mama mpaka akapata watoto wake

  • @mankambise2000
    @mankambise2000 2 роки тому +1

    Mungu awabariki Clouds nimelia sana

  • @verenabenjamin7893
    @verenabenjamin7893 2 роки тому +1

    Ma mwita umeniliza daah...hongereni clouds kwa project nzuri sana

  • @salimsamadanga6722
    @salimsamadanga6722 2 роки тому +1

    Clouds muishi milele kazi zenu nzuri

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 2 роки тому +2

    Kwani baba ngaya ni comedian 😂 🤣 maana nimecheka mimi jamani vituko vyake

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 2 роки тому +15

    Du kuna haja ya sisi wanaume kubadilika sana kuna baadhi yetu tabia zetu zina watesa sana wanawake

  • @nurumassawe6740
    @nurumassawe6740 2 роки тому +3

    mungu wape miaka mingi mama zetu

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 2 роки тому +1

    Yaani nimelia sana yaani du

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому +2

    Mama mwita nampenda sana anavyomlilia mwanaye jamani safi sana ,halafu mrembo mwenyewe na mwita mzuri.

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 16 днів тому

    Mnakera sana

  • @emmysfitnessandforex9403
    @emmysfitnessandforex9403 2 роки тому +2

    Msizae na wakrya jmn...ni watu wa hovyo niulizeni mimi🙌🙌🙌

  • @singleparent7483
    @singleparent7483 2 роки тому +4

    Baba mwita anastahili hongera kumleta mtt

  • @mussazuberi5773
    @mussazuberi5773 2 роки тому +1

    Nawaombeni washirika wenzangu mwenye number ya clouds namtafuta Baba yangu mdogo tulipotezana toka mwaka 1978 Songea mkoa wa ruvuma

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 роки тому +2

    Nimempenda baba mwita jmn mtu WA masihara htr ila Dada shukuru kawalea wtt vizur

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Місяць тому

    Jamani mama mwita Mimi namjua
    Afadhali umewaonabwtt wako miaka mingi jamani

  • @joycentongani388
    @joycentongani388 2 роки тому +2

    Ahahaha baba mwita mshenzi kweli yaani nimecheka mpaka basi haki inabidi usamehe tu .

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 4 місяці тому

    Baba mwitaa mimi namsifu baba mwitaa aliwapenda wanae na aliona asiache damu yake mbalii hongeraa umeleeea baba

  • @JovinaIvan-xd5fo
    @JovinaIvan-xd5fo Рік тому +1

    Nacheka huku nalia kiukwel mungu awabarikii

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 2 роки тому +12

    Dah so sad imekuwa siku ya kilio yenye furaha pia kwa familia husika. Yaani wazazi kutengana kunaumiza Sana watoto.

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 роки тому

      Ni kweli dear lkn ndo hivo inaposhindikana lazima tutengane

    • @yassintaibrahim24
      @yassintaibrahim24 2 роки тому +1

      @@jescajulius8023 Saana Kipenzi
      😭😭😭Naumizwa Saana Na Maswala Kama Haya Jamani

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 роки тому +1

      @@yassintaibrahim24 ndy yanaumiza nami ni mhanga

    • @yassintaibrahim24
      @yassintaibrahim24 2 роки тому +2

      @@jescajulius8023 Pole Yetu Saana Kipenzi Mimi Pia Cjamlea Mwanangu Tangu Yuko Katikati Ya La Kwanza Ingawa Nilikua Napata Fursa Ya Kuonananae Mara Moja Kwa Mwaka, Baada Ya Hapo Ckuonananae Alipofika La Tano Nikaja Kumuona Akiwa Kidato Cha Pili 😭😭😭

    • @swaumuramathani9
      @swaumuramathani9 2 роки тому +1

      Niwapenda clause

  • @user-le9lb8oc8d
    @user-le9lb8oc8d 2 роки тому +3

    Mama mwita kanifanya nmelia kweli uchungu wa watoto ajuae mama ,😭😭😭😭

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka4358 2 роки тому +1

    Hongereni sana Clouds

  • @fatumakingi9753
    @fatumakingi9753 Рік тому

    Pole dada uwa ni mithina sana kuolewa na mkiwa kabila tofauti nakumbuka mimi pia dadangu alipokonywa watoto ivyoivyo mpk leo tulimshukuru mungu inauma sana😭😭😭

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 2 роки тому +11

    Ila baba mwita jamani nimempenda bure hana kukataa alichokifanya yaan yeye anafurahia pia kumuona mzazi mwenzie japo km una hasira unaweza kunasa kibao yaan ana masihara hatar mwenzio analia yeyw ndio kwanza anamfanyia komedi mwenzie jamani😂😂😂😂😂

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Рік тому

    Kwa ajili..Baba mwita alivyokuja tu..mie nimemsamehe kabisa tena mcheshi sana ila saa ingine maisha tu jaman kwa kipindi kile..alichoondoka dar es salaam..tumsamehe wandugu jaman

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 2 роки тому +1

    Pole dada mungu bora kakujalia utakuja kuwaona kwahio iposiku utafuta furahi🙏🙏🙏🙏❤️❤️👍👍👍

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 2 роки тому

    Daah! Mwita kweli mkurya original

  • @stelabrent6056
    @stelabrent6056 2 роки тому +4

    mungu ni mwema

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Місяць тому

    Inafurahisha sana sana. Ni amani teleee

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 роки тому +1

    Baba Mwita,umenichekesha,.

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 2 роки тому +2

    Baba Mwita jamani kwa kweli wameteseka

  • @kabulakmusa3131
    @kabulakmusa3131 2 роки тому +2

    Nimempenda baba mwita 😃😃😃

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 2 роки тому +1

    Masha'Allah kijana wake yuko vizuri

  • @happymwinyi6194
    @happymwinyi6194 2 роки тому +1

    Ongeleni leo tena 👏👏👏

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 роки тому +3

    Ila gea Mungu anakuona sio kwa cheko hilo maana nami umenifanya nicheke wallah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣japo inaliza😭😭😭😭😭

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 2 роки тому +4

    He is tooo funny this man🤣but mama lazima awe na huzuni

    • @khadijamisayo7476
      @khadijamisayo7476 2 роки тому +1

      mwanzo nimelia, ila baadae baba mwita kaja kunipoza, baba mwita hana hata stress, halafu anaonekana msumbufu tangu akiwa kijana

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman8642 2 роки тому

    Ongereni kwa kazi nzuli

  • @halimarashid2095
    @halimarashid2095 2 роки тому +1

    Dah!😭😭😭😭😭hongereni Clouds 😇😍😍😍

  • @nyamisimbaonlinetv9757
    @nyamisimbaonlinetv9757 2 роки тому +1

    clouds kweli mbarikiwe sana

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 2 роки тому

    Hongereni mnafanya kazi nzuri sana

  • @sarafinabutashilaga6990
    @sarafinabutashilaga6990 2 роки тому +2

    jmn ww baba Mwita original😂😂😂

  • @njuka3515
    @njuka3515 Місяць тому +1

    Mimi nimelia huku na kucheka

  • @zainabmaux5798
    @zainabmaux5798 2 роки тому +3

    Baba mwita anavimba sana

  • @aminamohamed3916
    @aminamohamed3916 2 роки тому +1

    salàm alekum nimelia sana

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 2 роки тому +1

    Miaka ya nyuma wanawake wengi sanaa sana waliozaa na wakuliya watoto wao walichukuliwa bila taarifa na kupelekwa musoma

    • @rehemajuma2202
      @rehemajuma2202 2 роки тому

      Na waliojifungulia musoma wanaume wa kikurya waliwakataa watoto wao kuwa mila hairuhusu na waliwatelekeza watoto na mama zao na hasa kama wewe utakuwa sio mkurya....inauma....!

  • @mwantumubakari5904
    @mwantumubakari5904 2 роки тому +2

    Pole sana mama mwita

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 2 роки тому +2

    Big up clouds .🥰❤

  • @miaerny6609
    @miaerny6609 2 роки тому +2

    Mwita kafanana na mama yake🥰🥰

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 2 роки тому +1

    Mashaallaah kaz mzur

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973 2 роки тому +1

    Mungu ni mwema kwa kweli

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Місяць тому

    Hii picha ya mama Mwita na baba Mwita kila nikiiona huwa naifungua huyu baba Mwita kiboko😂😂

  • @joycemalulu6549
    @joycemalulu6549 2 роки тому +2

    So sad nmelia mm jmn uchunguu wa mwana aujuae mama

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Місяць тому

    Ila baba mwita Yuko vizuri 😊

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 дні тому

    Mtu anaweza kulia hadi kupoteza ufahamu jamani tuache kuibiana watoto maana hata mimi nisiyehusika nimeumia vilevile

  • @aishamohamed1210
    @aishamohamed1210 2 роки тому +1

    Baba mwita jaman akiwa anaongea mama mwita unalia akiwa anaongea baba mwita nikucheka tuuuuuu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @emanuelkamangu6500
    @emanuelkamangu6500 2 роки тому

    Mh DC kazi nzuri sana

  • @babynahiya6640
    @babynahiya6640 2 роки тому +1

    Jaman mama Mwita ameniliza mwenzenu daaah

  • @fadhilajamal217
    @fadhilajamal217 2 роки тому +1

    Raha sana Allah awalipe kher

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 2 роки тому +1

    Daah machozi yamenitoka kwakweli mh mama ni mama

  • @issachibangu6075
    @issachibangu6075 2 роки тому +2

    😢😢sikunitakutana na babayangu yani sijuwi nitasemaje toka ningaliki mdogo namyaka mmoja na nusu mpaka ivi sijawaikumuona 😢😢ningekuwa daa kingeeleweka ila sipo ila inshaallah

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 2 роки тому

      Nenda kamtafute baba ni kitu Cha thamani Sana maishani

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 2 роки тому

      Utampata tu kama utaweka bidii all the best bro. Cha msingi ujue ndugu upande wake ukimpata mmoja tu basi utajua yupo au lah🙏🏾