KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • #esmaplatnumz #wasafi
    KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 123

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 місяці тому +20

    Kajitahidi ..ongera sana esma..umeweza dada.. mungu akubaliki Kila la heri esma.. ubarikiwe

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 3 місяці тому +40

    Duh!! Huyu Dada katumia vizuri umaarufu wa ndugu yake kujipatia utajiri na umaarufu...huo mjengo ni balaa zito mnooo🎉🎉🎉

    • @prettywanjera9368
      @prettywanjera9368 3 місяці тому +1

      Kabisa wanakwambia ndugu apate nawewe upatee😊

  • @AndreaRaphael-c9h
    @AndreaRaphael-c9h 3 місяці тому +9

    Kujenga sio kazi ndogo tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa hizo baraka👏👏👏👏👏👏👏

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 3 місяці тому +5

    MashaAllah. ..Mungu mkubwa ukiwa hai usikate tamaa..a.walivyokua na maisha ya dhiki nani alidhani watakuja nao waishi hivi...Usikate tamaa..tia bidii Mungu atatenda

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 3 місяці тому +7

    Hongera sana kipenzi cangu ESMA nimekupenda sana sema umasikini mbaya daah! Zuchu atulie kwa huyo huyo Simba hawapendi kuona akiwa nae akiachana nae wataanza kumuhesabia wanaume waanze kumuita malaya

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 3 місяці тому +6

    Safi Sana Esma wanataka zuchu ayisabiliwe wanaume alafu haohao kesho wamwite Malaya siyo hulka yake kabisa yani waganda net kama ruba awakusema waseme yeye asijali zuchu wetu❤❤❤

  • @mamy8220
    @mamy8220 Місяць тому

    Mungu mbere ongera sana ❤❤❤ namm mungu atanipa nitatimiza🙏🙏🙏

  • @jocelyneliaminarukundo3633
    @jocelyneliaminarukundo3633 3 місяці тому +4

    Congratulations esma

  • @jrsingham
    @jrsingham 2 місяці тому

    Maashaallah Allah amfungulie zaid

  • @annertz9969
    @annertz9969 3 місяці тому +4

    Ndoinavyotakiwa mwanamke siyo kwenda kuongeza makalio❤

  • @user-ne4fl7kc8h
    @user-ne4fl7kc8h 3 місяці тому +1

    Hongera kwake❤❤❤❤❤

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui 3 місяці тому +19

    within every poor family there is someone selected by God so as to break the chain of poverty. Congratulations to Simba

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 2 місяці тому

    Bro mtangazaji sema Masha Allah sije ukatia husda jumba la watu😄😄

  • @asallymbwego3914
    @asallymbwego3914 2 місяці тому

    Big la nyumba Hongera aisei

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3i 3 місяці тому +1

    Mashallah mashallah

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 3 місяці тому +15

    Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 3 місяці тому +4

    Ila esma ni mzuri bhana

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 3 місяці тому

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 3 місяці тому +5

    Hongera sana esma umepamba dada umaalufu wako. Umeutumia vyema

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 3 місяці тому +1

    Mashalah esma yuda una akil😂❤

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 3 місяці тому +2

    safi kujenga sio mchezo

  • @mussanchimani4839
    @mussanchimani4839 3 місяці тому

    Hongera

  • @Fauziaabdhallah
    @Fauziaabdhallah Місяць тому

    hongera mashaalla nyumba smart sana ila grill za madirisha zingelikua kwa nje ingekua bora zaidi

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 3 місяці тому +1

    Hongera sana Esma ❤❤Ila saa ndio uhame na friji ya watu😂😂😂Pepsi cola

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 місяці тому +2

    Hakuna space kwa lena kama mim hapo sijui kama nitaweza kuingiza gari na kutoa

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 3 місяці тому

    Congratulations

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 місяці тому +4

    ila jamani mbona mnamuuliza maswali sensitive hivi kuhusu mume wake kuhusu vyanzo vya mapato? kweli jmni msifanye hivo. alichokuambia basi ridhika ndugu yangu. eti baba? mwacheni dada wa watu

  • @user-jh5px2xl8u
    @user-jh5px2xl8u Місяць тому

    Umbea komooo

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 3 місяці тому +1

    Uyo esma anavoogopa camera sasa😃😃

  • @SalmaBakari-dq3rs
    @SalmaBakari-dq3rs 3 місяці тому +1

    Mashaallah

  • @user-kw2cd7qu4p
    @user-kw2cd7qu4p 3 місяці тому +2

    😂😂😂lazima amtetee mume ila hakuna kitu hapo😅😅

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge 3 місяці тому +2

    Hongera dada ❤❤

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x 3 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @FaridaFarida4
    @FaridaFarida4 3 місяці тому +2

    Jamani mpeni maua yake kajitahidu

  • @MkamiMaro
    @MkamiMaro 3 місяці тому

    ❤❤

  • @jumabikyeombe3392
    @jumabikyeombe3392 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d 3 місяці тому +2

    Sasa mnaweka miziki ya nini na maojiano

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 3 місяці тому +7

    mond kwa promo ni hatareee, nani kaona friji la pepsi ndani kwa Esma?

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 3 місяці тому +12

    Kweli tv ya familia

  • @MwanamisiKumbiko
    @MwanamisiKumbiko 3 місяці тому +1

    Ameua. Ila kasahau kitu kidogo sanaaaa

  • @usercabal
    @usercabal 3 місяці тому +3

    Nyumba kubwa sana ila kiwanja kidogo sana

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce 3 місяці тому

      Unataka kiwanja cha kujenga nyumba au unataka kiwanja Cha kujenga bustani??? Mpe maua yake bhn acha izo kaka

    • @usercabal
      @usercabal 3 місяці тому

      @@EzzyEddy-il3ce huwa una elewa cjampinga nimesema nyumba kali ila kiwanja kidogo angalia kuna upande uwezi hata kupita sio lazima nyumba iwe na bustani ila nafasi muhimu

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 3 місяці тому +1

    Wasafi mbona mwatumia micro fon Moja 🤷

  • @HenriHSP
    @HenriHSP 3 місяці тому

    Nasikia tu s2kizy baby

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 місяці тому

    Esma nomaaa😂😂😂

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 3 місяці тому +10

    Raha ya kuoa mishangazi wanamijengo yao 😂

    • @user-gu1lg2zr8s
      @user-gu1lg2zr8s 3 місяці тому

      Wanaume wavivu ndio nyie, sasa utamu gani kulelewa maskini, unakua hauna say. Kakangu tafta pesa, kujisimamia kama mwanaume kuna utamu wake. Pambana sana usikate tamaa

  • @sund2553
    @sund2553 3 місяці тому +1

    Mmewe ni mission town 😂😂😂

  • @Dativa-fe3cj
    @Dativa-fe3cj 3 місяці тому

    Usk mwema

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 2 місяці тому

    Ya kawaida tu

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 місяці тому

    Mulokoziiii nyumba nimeiona ni nzuri haujapanga matofaliiiiii umejenga kweli nyumba ni nzuri hongera dada esma unawapa moyo mabintiiiiii wadogo wasidange watafute pesa wafanye vitu vya maana ila hapo simba dangote Ana mkono wake Kaka nasibu nimeona Ka friji ka pepsi

  • @Official83640
    @Official83640 3 місяці тому +5

    Na atakuwa na mimba maana tumbo limechomoka maa'shaallah

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 3 місяці тому

      Atazaa vipi na alilalamika alifirwa mkundu na jamaa mwengine mpaka akashindwa kukaa vizuri?

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 3 місяці тому

      @@criminalminds7723looh haikua saut ya Esma ile mxew

    • @Official83640
      @Official83640 3 місяці тому

      @@criminalminds7723 Innalillah

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 3 місяці тому +6

    Mbona freji la Pepsi ndani 😮😮😮

    • @mfalmekaitaba2425
      @mfalmekaitaba2425 3 місяці тому

      Kwahiyo umechukia au?

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 3 місяці тому +1

      ​@@mfalmekaitaba2425jmniiiiiiiiii 😅😅😅

    • @Merry-re1pw
      @Merry-re1pw 3 місяці тому

      Ukumbuke wana hisa za Pepsi hao lzm litue kwao.

    • @user-jh5px2xl8u
      @user-jh5px2xl8u Місяць тому

      Kwani Si zinauzwa au zinaokotwa tu

  • @AndreaRaphael-c9h
    @AndreaRaphael-c9h 3 місяці тому +1

    Amna cha husband material walla nini ni kibenten kama vibeten wengine🤐🤐🤐

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m 3 місяці тому

    Honger yakeee anajitahidi

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan 3 місяці тому

    Dada zazamani tupesisi izofenich

  • @user-pf7cu9px3c
    @user-pf7cu9px3c 3 місяці тому

    Me duwe namkubAli sana

  • @Naju645
    @Naju645 3 місяці тому +1

    Due mnafk et chanzo cha mapato😅😅

  • @Deedah4
    @Deedah4 3 місяці тому

    Gorofa 2 ?? Au moja tu??

  • @mylovejosecharles4362
    @mylovejosecharles4362 3 місяці тому

    me nampnda esma hana mambo mengi

  • @mwanaidingwita6214
    @mwanaidingwita6214 3 місяці тому

    😂😂😂😂❤

  • @sophiekanyengele3241
    @sophiekanyengele3241 3 місяці тому +1

    Kwahiyo tv ya familia imeitwa ili ituonyeshe nyumba?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 місяці тому

      Ni nyumba ya kawaida lakini watanzania wengi hawaishi kwenye majumba mazuri basi hiyo nyumba wanaiyona ni kitu cha AJABU sanaaa . Umasikini mbaya.

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 3 місяці тому

    Wambea kama nn mnafukuzwa lkn mmoo tuu

  • @fatimawazeer701
    @fatimawazeer701 3 місяці тому +1

    😂😂

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 місяці тому +1

    Ipo mitaa gani nyumba nzuri

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 3 місяці тому

    Sasa ni kwanini anazunguka nyumba nzima mnafanyishwa interview ya kuoneshwa nyumba nzima kwa dirishani usumbufu tuuu😂

  • @afrigrowers
    @afrigrowers 3 місяці тому +1

    Hongera zake amejitahidi na ameweza haijalishi mume kachangia au laa chamsingi ni furaha na amani tu.unaweza olewa na mwenyepesa ukakosa furaha.

  • @user-wf4vk3vz8e
    @user-wf4vk3vz8e 3 місяці тому +1

    Sometimes try to do your interviews in English bro

    • @nyabugongwe2933
      @nyabugongwe2933 3 місяці тому +1

      We are in Tanzania brother

    • @user-wf4vk3vz8e
      @user-wf4vk3vz8e 3 місяці тому

      @@nyabugongwe2933 it's fine but u can as well mix English and kiswahili

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 3 місяці тому +3

    Sasa na huo mziki kwanini hatusikii ila mziki

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂

  • @user-tk4ko9on7n
    @user-tk4ko9on7n 3 місяці тому

    hichi kipende mwenyewe ni aaliyah tu

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 3 місяці тому

    Kapewa na mond kwa vitambaa gani navyo mpaka mtoto anasomeshewa

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 3 місяці тому

      Unakuwepo akipewa hivyo vyote acha wivu bana

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 місяці тому +1

      Labda sapoti lakini na yeye ameweka kitu

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 3 місяці тому

    Nikion hivi najion kumbe me kile kibanda changu km ch kufugia kuku tu mbele za watu😢

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 місяці тому +1

      Tuko wengi lkn nivizuri kushukuru naulichonacho wapo ambao hata hicho chakufugia kuku hawana😢

  • @user-kq5qc4qv5e
    @user-kq5qc4qv5e 3 місяці тому +1

    KWA mumewe kaongea kwa uchungu 😅

  • @mwajumagomera7609
    @mwajumagomera7609 3 місяці тому

    Hongera mwaya esma

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 3 місяці тому

    Hilo limziki ni lann punguzen basi

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 3 місяці тому +1

    Uyo mtangazaj ako kakitambaa kichwan huwa ni ka nn😂😂😂😂

    • @HAWAJUMA-vh5vr
      @HAWAJUMA-vh5vr 3 місяці тому

      Anafunikia kichogo chake 😂😂😂😂😂

    • @user-cr1nk1zc5s
      @user-cr1nk1zc5s 3 місяці тому

      Anatangaza vitambaa vya Esma

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 місяці тому

    Angalawu mmeanza kujenga makwenu. Hiii nyumba ni nzuri ndani kuliko hata ya Mwijaku haaaa njo vizuri mutoke kwenye majimba yakupanga Esma ikosaha nijamuzito

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 3 місяці тому

      Nyumba wanazo hawa sema hawataki zionyesha tu

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 3 місяці тому +1

      Diamond ana zake pia ila yuaficha baby Mama zake wasilete fujo

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 3 місяці тому

      @@Mohaa4309 kwa mbwembwe za Diamond akose kuzionesha . Hana

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 3 місяці тому

      ​@Mohaa4mmmhh309

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 3 місяці тому +1

    Serikali angalieni kwa jicho pevu mbezi beach, kama asemavyo Esma , barabara za mbezi beach zinatisha. Sifa ya mbezi na uhalisia ni tofauti

  • @shahamtindo
    @shahamtindo 3 місяці тому

    Haka kaesma kazurii

  • @juliakinusa4900
    @juliakinusa4900 3 місяці тому +1

    Makeup jamaaani...bila hio kizungu mkuti....in reality u not pretty....let's b really..dough... congrats sister...

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 3 місяці тому +1

    Esma niajili niwe shaghala wako, ninaozowefu wakaz miaka 15 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 sasaa nataka nije kwako.

  • @KelvinPatrick-mm2zv
    @KelvinPatrick-mm2zv 3 місяці тому +1

    duu ila due ni mmbea kinoma eti biashara gani

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 3 місяці тому +2

    Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 місяці тому

    ❤❤❤