FIMBO YA AJABU: INATIBU MAGONJWA, INAFICHUA SIRI, WANAUME 5 HAWAWEZI KUIZUIA, ANAYEMILIKI ASIMULIA..
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- FIMBO YA AJABU: INATIBU MAGONJWA, INAFICHUA SIRI, WANAUME 5 HAWAWEZI KUIZUIA, ANAYEMILIKI ASIMULIA..
MAAJABU! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia 'FIMBO' ya Ajabu inayomilikiwa na kijana, Nurdin Muhidin Dongo (19), yenye uwezo wa kufanya mambo makubwa ya kushangaza ikiwemo kutibu maradhi mbalimbali, kufichua siri za mtu, lakini nguvu iliyonayo ni kubwa kiasi kwamba wanaume wanne walioshiba hawawezi kuizuia...
Akizungumza na Global TV, Kijana Nurdin, amesimulia jinsi alivyoipata Fimbo hiyo akiwa na umri wa miaka tisa....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Mashaa allah tabarakallah
Mashallah
Nakupenda sana ww kaka mana unahofu ya alla 🙏🙏🙏🙏
MAASHA ALLAH
Allah akubariki na azidi kukupa nuru zaidi
MaalnshaAllah
ningependa sheikh amwaagize fimbo kupaa angani, iwainue juu
Allah Akbar
Sawa kabisa mashaallah umesilimu Alhamdulillah lakini hao waliokuwa wakikuotesha hizo ndoto ni majini kwa mujibu wa dalili hizo hivyo sasa haipaswi weye kutumia fimbo hiyo kama eti ni maajabu hakuna cha ajabu apo hayo mambo wanayo fanya hivyo kwenye hiyo fimbo ni majini hao sasa weye ungeachana nayo hayo mambo ya fimbo kama kuona umepewa maajabu hapana kwasababu ukizungumzia miujiza asaivi waislam tumebakisha Quran tu na mpaka atakapo rudi NAbii ISSA A.S ndipo atakuja na miujiza itokayo kwa ALLAH S.W kwaajili ya watakao amini unaposema neno maajabu yatokanayo na ALLAH S.W basi hata shirki bila ya ALLAH S.W haiwezi kufanyika lakini yeye ALLAH S.W ametukataza hata tusiwe karibu nayo wazo langu madamu umeshaingia kuwa muislamu yatosha quran na sunna za mtume Muhammad S.A.W kuwa tiba na dawa katika desturi ya kawaida na si fimbo kwani kipungua nini kwenye hadi uwe una iamrisha na kuiuliza fimbo shida badala ya kumuuliza ALLAH S.W KWA kumuomba kipi kilichozidi kwenye hiyo fimbo achana na hiyo fimbo soma quran na kufuata hadithi na sunna za mtume Muhammad S.A.W ipasavyo yatosha Alhamdulillah.
Ndugu ww huna elimu wala hekima ww ndio unatakiwa usome soma baba ww dini huijuw kabisa
@@kherysamiry6716 kheri sijakuelewa apo
Tayb nimekuelewa sana yatakikana asimame katika Quran
Subhannallah
SUBHANALAH masha Allah
Jamani muwe waelewa huu sio unabii nikuonyesha uwepo wa allah
Qurani inatosha kujua ALLAH S.W yupo pamoja na dunia angalia na vilivyo tuzunguka lakini hii bakora swali langu huyu kijana kapewa na majini ama weye unahisi nani walioenda kumuekea...ama nani kampa hapo hata yeye mwenyewe hajui inamaana ni majini hao...kwa mujibu wa kidesturi majini wanaweza kufanya mambo kama hayo...
@@khalidsalmin7682 ingekuwa ni majini isingelewana ma Quran na isingeamrishwa kwa jila la Mwenyenzi Mungu ikafanya
@@shantellemwanakombo3703 kueni makini sana nyie mitume walipewa miujiza na mtume alipewa na miujiza yake kwa maana bakora ulikua ni muujiza wa NABII mussa a.s kutoka kwa ALLAH S.W wapo hata baadhi ya masheikh wengi tu wanatumia majini na wanafanya mambo kuliko hayo swali langu ni moja tu hiyo bakora yeye mwenyewe hajui inapotoka pili mtume Muhammad S.A.W ni wa mwisho na ashakamilisha kila kitu na miujiza aliotuachia mtume Muhammad S.A.W ni quran tu sasa tokea aondoke MTUME MUHAMMAD S.A.W maswahaba wote wasipewe maajabu kama haya na ALLAH S.W aje apewe kijana huyu mbona haingii ata akilini fikirini vizuri jamani majini wana vitimbi kila aina na wanadanganya sana wanaadamu na hayo mambo yashatokea sehemu mbalimbali hivyo hiyo bakora ina utatanishi kwenye mawazo kwasababu haiwezi kujieleza haizungumzi vipi tukifuate kitu kisichoongea wakati quran ipo nijibu sasa...
@@shantellemwanakombo3703 ukimtaja Allah kwa shiriki bila kua na imani sahihi shetani hupenya
Habari kaka
Subhanallah!! Allah husamehe madhambi mengi lakini sio Shirki kubwa cha kiwango huko. Ndugu Muislamu usipotoshwe na huyu mshirikina mkubwa!!
Hiyo fimbo haijaiyona kuwa dunia inateswa na corona
Jamani hii fimbo Wasaidie wangojwa wa maradhi makubwa jamani kama kasa walipoza mungu uwenda hataleta kheri yake
MaashaaAllah
Takbiiir
SubhanAllah
Mmoja anaisukuma
Watching from Uganda
Mashaallah huenda ikawa Allah amekutumia kama chombo uje kutusaidia hio ndio imani yangu na muomba Allah akuzidishie kwasaba tumerongwa vya kutosha,time hangaika vyakutosha,na tumelia vya kutosha
Mashallah kijana nurdni mungu ndo alikuteuwa mwenyewe ili watu wajue una mungu akuna mungu mwingine wakuabudiwa ila Allah
Akuna jina lenye nguvu dinia kama jina la Jehovah Mungu aliye hai waislamum munajidaganya sana uyo mtoto ni mrozi wa mutumikisha akiwa mdogo uyo ushirikina.
@@thelionwomen4970 wewe huna uwezo wakumhukumu mwenye kuhukumu ni Allah
As alaikum sheigh ninamzeewangu anasumbuliwa na miguu nahitaji nambazako
Mashallah takbiiir
Allahu Akbar
Mashallah Allah akuweke .sheikh unatibu ?
Hiyo fimbo ipeleke china au marekani ukafanye matibabu ya corona
Tunaomba namba zake
Habari; Naomba namba zenu tafadhari Nina shida na shekhe ndugu Dongo
Subhann Allah mungu akihifadhi kipaji chako,naomba unifanyie dua na mm Nina matatizo,maji na yangu Rehema idd
ALLAHU AKBAR
zama hizi za mwisho tutayaona mengi imani zetu zitatikiswa sana na tutayaona mengi sana ya uwongo kikubwa tu tusimame imara na imani zetu tusiteteleke maana tunakoelekea ni pabaya sana ndugu zangu
MASHA ALLAH..!
Tunaitaji namba zako kaka upo wapi
Naomb namb shekhe nurdin dongo kwa matibabu
Namba ya sim nurdin
Assalam aleikum sheikhe nurudini naomba namba yako simu we chukuwa kwangu0712557748nipigie niambie mm shekhe nurudini nipate namba yako kusevu na matatizo yangu
Pthooo Mungu sio wakujaribiwa na Mungu haitaji ushaidi ili ajulikane yupo .hell is waiting
Na nyinyi wandishi wa habari kazi mnayo mbele ya Allah
Msiba huu🍇🍎🍎🍨🍧🍧🍰🍦🍦🍦🍎🍇🍇🍨🍧🍧🍧🍰🍰🍉🍉🍉🍎🍇🍇🍇
Allah atuongoze kwenye njia ya haki.Hii zama tutaona mengi tu binadamu kumkosoa Allah
tumche allah allah akuongoe huyo na mimi alafu huyo jamaa ametoka katika ukristo ameingia huku nae anawapoteza watu imani zao ewe Allah tuongoe
Test ya kwanza ikaanze muhimbiri
Hayo ni mazingaombwe au Magic
Jamani hii siyo sahihi hata kidogo nikiwa na maana ya kwa ni ushirikina mtupu ni njia mpia nyengine itatumiwa kupoteza umma
Ukiamin ushirikia hata ukiombewa hutapona ng'o o
B
Iyamuru hiyo fimbo iwanyanyue juu miguu isiguse chini, hapo ndipo tutaamini hiyo fimbo.
Subhanallah 254
Nataka namba yke tampataje
Aende nayo muhimbili kama vp kma inaponya tutaona co vdeo za kuhojiana youtube.
Mimi bana ninacho taka kupona matatizo yangu, maswal fimb ya uchaw ya mung atajua she dongo. Mbona wakina mwaposa wanajiita manabii na zama za manabii zimeisha lakin wat wanaenda kufata uzima tu mpaka waislamu na makanzu wanaenda. Hvyo muhimu uzima wachawi nimewachoka jmn
Umenchekesha wewe😂🤣
Km inatibu iyo vimbo mm nna mume wangu anaumwa huu mwaka kadhaa ajapona ashafika kukatiwa viungo alikuwa mzima Sasa Hana mkono namguu taabani Basi km inatibu nisaidiye
ile fimbo haitibi bali anaetibu ni Allah
Mbona Kuna Pete umevaa?
Staghfrullah.. this is sihr
Kama ni uchawi yy ndo anajua na mungu wake
Kama inatibu tupatieni namba tuje tusaidike na sie
Naomba namba ya shekh , natoka Kenya
Ingelikuwa ni wa Cristo mngesema sana niatari kumbe ni wote tunataka maajabu
Dah nusu vifume vidondoke dah fimbo inatabia mbaya iyo
Njee naweza kupat now na yuyo mweny vimb naitaj anitbu
Atakaejitibu na hiyo fimbo ajue kuwa kashajiingiza kwenye ushirikina namaanisha utakuwa ushamshirikisha mungu mana anaetibu maradhi ni Allah pekeyake
Muogopeni Allah mtu Kama uyoo habari zake msizieneze jamii ikapotea fimbo ya ajabu ni ya nabii Mussa ambayo imetajwa katika qur ani
Yan mimi nachukia Mungu anisamehe kama nakosea huu ni upotoshaji wa hali ya juu nadhan bakwata watoe tamko kuhusu hiyo fimbo isiwe ni jambo linalowaweka watu biz nakukubali eti ina maajabu wangeichukua tu waitupe waone kama kuna lolote litatokea
Subhanallah astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah
Naombeni no ya hyu kijana mwnye fimbo n mm ntk kutibiwa
Kaka Mimi Ni Lea choyo nasumbuliwa na mapepo siku nyingi hebu nisaidie nilikuwa sikujui lakini Leo nimekuona mtandaoni wote Ni wa kwa luhumbika Mimi baba yako mzee choyo
Kwanini usingemwachia mtangazaji aibebe peke yake?
Asalaam alaikum twaitaji nambayake shkh kifimbo
Twahitajinambayake shkh kifimbo
Yalaa🙄🙄🙄
sasa si uende mahospitalini ukaponye watu ?tunataka tuone madawa yanaeksipaya kwa kukosa wagonjwa
Hilo ni jini sio fimbo halali,ndio maana ukaslimishwa
Nakubaliana nawe kuwa hilo ni jini linaloendesha hiyo fimbo. Kwa kuwa uislamu unatambua uwepo wa majini basi hilo jini limetumia hila kumsilimisha huyo kijana ili lijifiche kwenye kivuli cha uislam.
Uko wap
Ndiyo nnss kudhalilisha vidume
Nimeangalia video zake nyingi,nimegundua huyo jamaa aliyevaa kanzu nyeupe ameshika fimbo yupo kila video.Means yupo nae na ndiye anaechezesha hiyo Fimbo .Hakuna muujiza wala nn hapo.
Nauyo askali polisi alikua na nani alipo anguka nae angalia vzr
hata mi nmeona hcho ktu hyo jamaa yupo kila video af ye haojiwi ye ndo anaendesha hyo fimbo
Sasahivi unapatikana wapi
Move,zilizo,tafisiliwa
Yani fimbu lazima iguswe njo ina pata ngufu , peke yake ayi fanyi ?
ikatibu corona hiyo fimbo,siku hizi wasukuma ni mataperi na kiswahili chao cha ushamba
Utapeli wa wazi wazi kabisa
🤣🤣🤣, eti Corona...
Hahahahahah eti watapeli
Jini hilo
Venye corona ilakuja hawa wateule sijui manabii where are yu to safe the world instead of myths
Huyo alikuwa ni Shetani wa Kijini alikuwa akikutokea ndotoni. " akikujieni mtu faski na neno/jambo lake mchunguzeni mtu huyo" " hawatokuwa radhi Makafiri na Manaswara mpaka mfuate Mila zao". But all in all, East and West Islamu will remaining the Best.
Ndugu ktk imani kasome dini halafu ndiyo uandike na kutoa ushauri, si busara kueleza usichokuwa na elimu nacho. Je Hidhiri alikuwa ni nani?! Mtume, Nabii au muislam wa kawaida?! vipi kuhusu aliyokuwa akiyafanya mpaka Nabii Mussa (A.S) akawa anamuuliza maswali kwa mshangao?! je aliyoyafanya yametokana na masheitwani wa kijini au Mwenyezi Mungu?!, pia kuhusu visomo vya Ruqya vinavyosomwa sasa na baadhi ya watu wa makundi fulani ktk dini, je wapi imethibiti Mtume Muhammad (S.A.W) alisoma Ruqya kwa utaratibu huu na wakati anasoma aya za Qur'an alizipangilia kama hivi zinavyosomwa sasa kwa kunyofoa nyofoa aya?! Zaidi utagundua haya yamewekwa na baadhi ya watu fulani kwenye dini watu ambao wanapingana na watu wengine waliowatangulia ambao nao pia waliweka utaratibu kama huu wa namna ya kuwasomea watu!! Kujua nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi inahitaji elimu. Tusikurupuke, kukosoa dini sio kitu cha mchezo!!
Nipe no. Ya huyu kijana mtangazaji
Quran inatosha kuonesha kuwa Allah ni moja na wapekee ni uisilamu ni dini ya haki. Usitudanganye na fimbo yako, ukweli wako unaujuwa mwenyewe.
Masharifu ishakuwa old fashion
Imekuja kikombe kwa babu
Fimbo na mengine yapo nisiyoyajuwa
Kuwa uyaone.
Allah tuongoze kunapo hakki.
quran ni muujiza wa Allah kwa mtume muhammad kwhio hakun ten miujiza baada ya mtume kuondok dunuan ila makarama bado yapo kwa waja wema wa Allah kwahio hio fimbo ni makarama kapewa kijana usimhusudu bure mwenzio
Ushindwe kwajina ya yesu
Kwakweli
Ni
Maajabu
😂😂😂we mtangazaji umeniacha hooi mwisho eti ayo ndo ya musa aise nimecheka sana2 daa😁😁ebu naomba namba zake na mm kunaswari nimuurize
Asalàm alaykm
Waaleikum salaam warahmatullah wabarakatu
Tunaomba uje maeneo yacharinze ututibu marazi ukifika nitafute
Hiyo sio fimbo ni majini hayo
mashaalla walahaula walakuwata illa bilaa.
Haya ndio utakuta ni yale majini mazuri, yaliyo sikia Koran yakasilimu.
Hebu nisaidie mapepo kweli au uonevu tu
Inalillahi wainaillahi rajiun kwani hiyo fimbo ni ya mtume musa lol
Uongo mtupu una macho yak vile da inalllah wanaillilah lajiuni allah tuongoz ktk njia ilinyoook ishaalah allah
Siamini kabisa
Asalam aleykum naomba number ya huyu kijana tafadhali
0716272723
Naomba number yako yacm
Inna lilah waina illaihim rajyun jamani waislam dini tunaipeleka wapi mambo mengine tunatia aibu kwa tamaa za kidunia unayoo ongea mengine ni uongo mtupu na ni ushikina tu hiyo fimbo ni fix tu hamna kitu apo ila daawa jitahidi kulingania kalima ya lailaha ila Allah
Ushirikina mtupu hata aya aliyotaja haitetei upuzi wake, anaeponya ni MUUMBA tuu japo twatumia madawa kama sababu nisawa na kufanya kazi ila mtowa riski ni MOLA, wachavuzi wa dini laana za ALLAH ziwateremkie.
tupenamba zake kunamtu anaumwa
mashallah tunaomba aje na tanga
Upuzi
Huyu nurdini a napatikana wapiii
Anaishi gongolamboto
Majini wanasifa ya kuzungumza/kueleza habari za mtu, vitu, mambo nk. Kutaka michoro/remain ya michoro (picha ilivyo) nyumbani kwa mtu hizo habari wamepashana/wanapasha majini wa hao jamaa na Jini/Maji (Mashetani/Maibirisi) wako, kwavile binadamu hatuna uwezo wa kuwaona Majini na kuwasiki wakaelezana michoro hiyo na kupitia kinywa chako Jini/Majini ilikuwa nao wakatamka michoro hiyo. Hiyo ni Ramli ya kupitia Majini waasi (Mashetani/Maibirisi). Shikh tafuta Wataalamu wa Rukia ya Kisharia usomewe na upewe madawa inshaAlla yakutoke hayo Mashetani/Maibirisi. Shetani anapotaka kumpoteza mja hutumika mbinu nyingi. Majini waasi wanatupeleka msituni (baadhi ya makazi yao) na kukulisha vyakula vyao bila kuelewa (ulipumbazwa akili)akajiona unaishi/unaishi salama na kuzawadiwa fimbo bila kumuona anaekupa zawadi hiiyo ya mazingaumbwe., ungeikataa/ikatae na inshaAlkalkah ukuendelea na ibada zako za Kiislamu uone nini kingetokea/kitakea? Usipojitambuwa (tusipo jitambuwa) Majini hujatuma watu kazi nyingi za Kishirikina ikiwemo Utabibu/Uganga na kupewa masharti. Jiandae kwa masharti ya majini. InshaAllah Allah atuhifadhi na vitimbi vya Majini.
Ndugu ktk imani kasome dini halafu ndiyo uandike na kutoa ushauri, si busara kueleza usichokuwa na elimu nacho. Je Hidhiri alikuwa ni nani?! Mtume, Nabii au muislam wa kawaida?! vipi kuhusu aliyokuwa akiyafanya mpaka Nabii Mussa (A.S) akawa anamuuliza maswali kwa mshangao?! je aliyoyafanya yametokana na masheitwani wa kijini au Mwenyezi Mungu?!, pia kuhusu visomo vya Ruqya vinavyosomwa sasa na baadhi ya watu wa makundi fulani ktk dini, je wapi imethibiti Mtume Muhammad (S.A.W) alisoma Ruqya kwa utaratibu huu na wakati anasoma aya za Qur'an alizipangilia kama hivi zinavyosomwa sasa kwa kunyofoa nyofoa aya?! Zaidi utagundua haya yamewekwa na baadhi ya watu fulani kwenye dini watu ambao wanapingana na watu wengine waliowatangulia ambao nao pia waliweka utaratibu kama huu wa namna ya kuwasomea watu!! Kujua nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi inahitaji elimu. Tusikurupuke, kukosoa dini sio kitu cha mchezo!!
Uchawi unaendelea imani iyo ndo maala pake
Honzo mtupu huyo mwenye kanzu anasukuma wengine
Ni kweli ni uchirikina walimutumia akiwa mdogo saaana utshawi kubwa
Mbona hujaweka namba yako ya cm tutakupata vp