The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 1,2 тис.

  • @snake_eyes3756
    @snake_eyes3756 3 роки тому +210

    Nitokea Kenya napenda sana hizi sitoria zak kaka like hapa Kama unapenda story za proffesa

  • @tinakaitsa7334
    @tinakaitsa7334 3 роки тому +131

    Kama unamkubali jamal professor nipeni likes👏👏

  • @eunicemugazia2963
    @eunicemugazia2963 2 роки тому +6

    Mimi ni Victor Baraka kutoka Kenya naipenda kazi yako niko katika kidato cha pili katika shule ya kitaifa ya Maseno na naomba nijiunge na wewe naomba jibu lako ukipata ujumbe huu

  • @gigiogglamourmjg5902
    @gigiogglamourmjg5902 3 роки тому +46

    Allah Akbar🙏🙏😭😭Mungu nimkubwa sana jamani njo maana hata vitu vyake nivikubwa sana zaidi ya hakiri zetu

  • @edwardngamba6078
    @edwardngamba6078 3 роки тому +30

    Professor aise hii story uje utupe muendelezo wake ninzuri sana naimani vipi vingi sana bado vinavyo husu kuhusu jua 🔥🤝🏼📌

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 3 роки тому +58

    Utukufu wa Mungu ni mkubwa mno na siri yake ni kubwa mno !! Atukuzwe Mungu 🙌

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 3 роки тому +114

    My like Leo Mimi wakwanza professor 😌🤯

  • @JosephKimaro-u7d
    @JosephKimaro-u7d 20 днів тому +1

    Ndugu Mungu kakupa kipaji Cha kipekee hongeraa huyu ndo msimuliaj Bora Tanzania 🌟👏

  • @agaikilembemwamafupa1671
    @agaikilembemwamafupa1671 3 роки тому +58

    Asante baba yetu jamal kwa kutufungua akiri zetu na upeo wa akili asante diamond kwa kumleta huyu profesa

  • @meshackhaule
    @meshackhaule 3 роки тому +24

    Hii ndio yenyewe sasa #the_storybook
    Sio ile ya kila story uchawi uchawi tuuuuuuu na ushirikina 🤩🤩🤩🤩🤩🤩

    • @seiphsamgonja5713
      @seiphsamgonja5713 3 роки тому +1

      Hapo umedanganya aiseeee Mimi namfuatiliaga xana huyu jamaa

    • @meshackhaule
      @meshackhaule 3 роки тому

      We nawe unakurupuka sasa ..... namzungumzia yule jamaa wa upande wa pili sio huyu .... na huyu akisimulia mtu mbaka unapata hamu ya kuludia mara ya pili story zake ila yule mwngine amna kitu yule kazi kutisha tsha tu watu

    • @patricialpatrick9927
      @patricialpatrick9927 3 роки тому

      ulitumwa umsiklize?

    • @traveler.360
      @traveler.360 2 роки тому

      🤣😅🤣😅

  • @salimgamal
    @salimgamal 3 роки тому +15

    Nice 1 #professor🙌👌💯🔥🔥
    Hakika umenifunza mengi ambayo ilikua siyajui👌💯. Mungu Akuzidishie Elimu ili uzidi kutuelimisha. AMIIN

  • @naimabdul1231
    @naimabdul1231 Рік тому +2

    Huyu jamaa kiboko sana ana kipaji sana anaongea lkn kama anakujengea picha flani hivi ni kipaji pekee kwa watu maalum, mashallah mr.jamal kazi nzuri sana ndugu yangu

  • @bovickpascal6554
    @bovickpascal6554 3 роки тому +11

    Which kind of person are you man. U are blessing to us wanaopenda kukufatilia

  • @youngforex8664
    @youngforex8664 3 роки тому +12

    pia sifa nyingi sana ziende kwa Mungu wangu,mwema muumba kila kitu. Ameeen

  • @furahambughi4977
    @furahambughi4977 3 роки тому +11

    Unafundisha vizuri sana.
    You deserve the name of PROFESSOR

  • @uzungupoint
    @uzungupoint 3 роки тому +174

    MUNGU APEWE SIFA DAIMA🙏

  • @kangoabdhallah333
    @kangoabdhallah333 3 роки тому +85

    This is not just a story but a definition of truth

  • @bas2823
    @bas2823 Рік тому +6

    THANKS PROFESSOR DR. JAMAL! I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL N NOW STILL I LOVE IT! IM ALWAYS WATCH N LISTEN YR STORY BOOK N I LOVE IT! A MILLION THANKS! N GOD! BLESS U ALWAYS👌 AMEEN. TAKE CARE N BE SAFE ALWAYS👌🤝👏💙💜💚 👍🏽🙏👌

  • @lutusigaza2148
    @lutusigaza2148 3 роки тому +141

    SERIKALI YA TANZANIA, kupitia jamal april mnatakiwa kuwekeza sana kipaji chake tusing'ang'anie mpira tuu, hata jamal april ni uwekezaji mkubwa wa kuweza kujivunia kama nchi

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 3 роки тому +2

    Nakukubali sana unafanya watu sasa tumjue mungu na tusiishi kama tulijiumba hongera sana na asante sana kutupa elimu

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 3 роки тому +19

    Professional Guy! Genius.......!! ✔✔....I appreciate your stories

  • @dadyshunaydah9421
    @dadyshunaydah9421 3 роки тому +356

    Tunaomkubali Professor JAMAL Tujuane Hapa👇🏻

  • @ashirievara8542
    @ashirievara8542 3 роки тому +18

    King of the story all time

  • @solomonkuyi1384
    @solomonkuyi1384 3 роки тому +2

    Bila elimu ya Mungu mwanadsmu hupotea kabisa akijidanganya kuwa anajua juu ya uumbaji wa Mungu.

  • @omondidenish7822
    @omondidenish7822 3 роки тому +40

    Great narration I must say. Though my Swahili prowess isn't that up notch; but I do enjoy your shows or rather stories. Keep up the good work Mr professor, you're an inspiration to many me not left out💪🙏

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 2 роки тому +8

    i enjoyed listening to story doctor Legend respect from Australia 2021 🙌

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 роки тому +3

    Wanasayans kuna siku mtaleta matatizo mkubwa duniani juu ya kihelehele chenu cha kutaka kuchunguza kila kitu cha Mwenyezi Mungu.

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 3 роки тому +154

    Top 10 naomba like hata 10 jamani………ngoja kwanza nipotezee mawazo ya makato mapya,yaani siku hizi hakuna kuomba kutuma na ya kutoleaaaaaa

  • @jaydenkariuki6595
    @jaydenkariuki6595 3 роки тому +19

    My all time fevorite story to listen every Saturday night thank you professor jamal my God bless you and add your knowledge

  • @pacificshuli5415
    @pacificshuli5415 Рік тому +1

    Prof Jamal, your genius, I Salute 💐💐💯💯💯♥️

  • @shadasales9598
    @shadasales9598 3 роки тому +14

    Perfection of geometry made possible for life on earth 🌍 thanks to light giving star that we call it our sun ☀️

  • @RaseduOfficial
    @RaseduOfficial Місяць тому +1

    Story ni tamu sana ya juwa ya mungu mimi ni mwana mziki ras edu 📡📺🇰🇪🇰🇪🇺🇲🇺🇲🇹🇿🇹🇿

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 6 місяців тому +3

    Jamal acha uzushi, dunia haitamezwa na jua ila kama unaeleza kutoa hadithi kuwafurahisha watu hiyo ni fani yako, lkn usiseme uongo siri ya kuisha dunia ni ya Mwenyezi Mungu tu.

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 5 місяців тому

      Huwez jua labda huo ndo utakuwa mwisho wa Dunia huo. Mwisho wa Dunia wa Mungu pia n nadharia pia ya din

    • @kilimaentertainment1687
      @kilimaentertainment1687 Місяць тому

      Ukweli ndio huo wakisema msome mnakumbia umande hata mtume aliambiwa asome ukisoma unaelewa maana Kila kitu kimeandikwa

    • @فايزه-س8د
      @فايزه-س8د Місяць тому

      Nikweli.siri.yadunia.anaijuwa.ni.mungu.peke.yake.asateni

  • @twalhaadam952
    @twalhaadam952 3 роки тому +1

    Allah ndio muumba wa kila kitu na ikiwa Allah ndio muumba wa viumbe kama hivi vikubwa vingine haviwezi kufkiriwa ukubwa wake na kuchanganya akili zetu wanadamu tambua kuwa Allah atawaonysha kila Alama Zake ili Mumuamini yeye pekee na msimshirikishe na chochote , lakini mwanadamu ni kiumbe kidogo lakini mwenye kiburi kuliko kila kitu SubhanAllah Turudini kumuomba Msamaha Allah ili tufaulu hapa duniani na kesho Akhera tufanikiwe kwa kuwa tutaonyeshwa kila Alama ili Mumuamini yeye pekee yake الله na mkimshirikisha basi umeumia braza Turudini kwa muumba aliyeumba hilo jua na tumuombe Msamaha kwa kuwa ni yeye 2 Allah Subhanahu wataalaلا اله إلا الله وحده لا شريك له له الملك وله الحمد وهو على كل شيء قدير ❤️🤲

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 2 роки тому +10

    Thanks professor for your excellent narrations about various things in our planet

  • @wanzagiapolinary1900
    @wanzagiapolinary1900 3 роки тому +8

    Kama unamkubar jamaa huyu tupia apa like

  • @learnenglishwithcharles4361
    @learnenglishwithcharles4361 3 роки тому +57

    Huyu jamaa angezaliwa zamani angewazidi akili akina Socrates,Kama unakubali gonga like

    • @elijahjacob7724
      @elijahjacob7724 3 роки тому +3

      Unawajua hao watu ndugu uyu analudia tu mambo ya awo watu waliya fanya ata wakati tachi amna.

    • @ndasimedia5771
      @ndasimedia5771 3 роки тому

      Wewe jamaa wewe acha kufananisha pombe na mapenzi Socrates kabisa na jamali bwana wewe hao unaowasema ndio great thinker walioacha Aya anayoyasema leo jamali kupitia tafiti zao uyu anasoma Sana journals, researches, books na different sources ya kitu anachotaka kukijua Basi.

    • @muharamally9915
      @muharamally9915 3 роки тому +1

      @@elijahjacob7724 hata hivyo lazima tukubali uyu jamaa ana uelewa mkubwa🙌🏽🙌🏽🙌🏽

    • @estonsanga9355
      @estonsanga9355 3 роки тому

      😅😅😅utani huo,mbona nikusoma tu,

    • @ndasimedia5771
      @ndasimedia5771 3 роки тому

      @@muharamally9915 uelewa gani Sasa icho alichokifundisha si Geografia kabisa ya kusoma tu nakupata maarifa ata we unaweza kufanya hvyo labda hutaweza endapo utakosa vyanzo vya maarifa Basi...uyo Ni mwalimu tu Kama alivyo Mgote 🤔😅

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 роки тому

    Nilipokuwa darasa la sita, nilijua umbali wa hapa duniani hadi kwenye jua. Km mill149.5. Ahsante sana mkuu kwa kunikumbusha hilo. Bado mpaka leo hii jua lanishangaza sana. Kwanza ni kubwa sana afu ina joto kali mno na nguvu ya ajabu sana. Mungu ni mkubwa sanaa. Atukuzwe Bwana muumba wa Mbingu na nchi.

  • @annmbai1477
    @annmbai1477 3 роки тому +6

    Subhan Allah,Allah Akhbah🤲🏾

  • @godlovegembe7590
    @godlovegembe7590 3 роки тому +2

    Hakika bado kuna mengi sisi binadamu hatuyafahamu🙌🏽 .Mungu atuongezee maarifa hongera sana Professor hata kwa hiyo hatua ya uelezeaji🔥👽

  • @melody_mike_mavoice
    @melody_mike_mavoice 3 роки тому +16

    Asante kwa hekima among top 100

  • @omarihamisi1427
    @omarihamisi1427 3 роки тому +6

    Jaman like za wasafi jaman 2juane apa WCB4life

  • @suleimankaafimuhammad8909
    @suleimankaafimuhammad8909 3 роки тому +26

    i always mind whatever you say and i always learn each and evryday i watch your new video you are an inspiration i believe in you thank you so much for whatever you do

  • @shabaniadolph7367
    @shabaniadolph7367 3 роки тому +29

    Nadhan umekuwa mbunifu Zaid. Quality ya picha tofaut, tutorial, case study nk. Ubunifu huu unatufany atukosi Kila ikitoka mpya. Keep working hard bro

  • @obadiamwambonike4547
    @obadiamwambonike4547 3 роки тому +84

    Unajua Sana kaka be blessed Sana professor!!!

  • @geoffreywambululi644
    @geoffreywambululi644 2 роки тому

    I like you, am learning more about the world, continue taking me around the world ,you are my Teacher

  • @mankaanakaana6715
    @mankaanakaana6715 2 роки тому +5

    Proffesa unavyosimulia stori zako ndivyo unavyoweza kututeka sisi watazamaji kiuweli unakipawa cha kusimulia stori,napenda stori zako

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo3971 3 роки тому +3

    Professor Jamal Mustafa .. thanks bro

  • @sadockkabuko8735
    @sadockkabuko8735 3 роки тому +16

    Prof: Jamal salute brother

  • @BradleyMudaki
    @BradleyMudaki 9 місяців тому

    Your narration are well elaborated,its weired how you are able to know all the years,, its awsome, i do love ur shows u inspire me.I wish i knew where u get all these informations.

  • @piuspuka6760
    @piuspuka6760 2 роки тому +6

    Good lecture with good research

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 3 роки тому +2

    Shukrani sana professor Jamal kwa uchambuzi wako,umeelezea vizuri sana mpaka imenikolea hii story
    Ombi langu kwako...tuletee party 2 ya hili jua........hongera sana na mungu azidi kukupa miaka mingi...

  • @tijomrisho49
    @tijomrisho49 3 роки тому +33

    Much respect ,more bless

  • @freddymukindikwa3644
    @freddymukindikwa3644 3 роки тому +1

    Yani na kukubali sana wewe ni mkali kwenye sayansi you are member one be bless 🙏🙏

  • @harunking5418
    @harunking5418 3 роки тому +47

    mwalimu wangu mkubwa ni physc neil de gress tyson na prof. jamaal ni narrator wangu wa muda mwingi hadi sasa❤🤍

    • @kanandahamis6239
      @kanandahamis6239 3 роки тому

      Source yako

    • @harunking5418
      @harunking5418 3 роки тому

      @@kanandahamis6239 check youtube channel yake na ana master class zake pia utapata

  • @lailatlasway7107
    @lailatlasway7107 3 роки тому

    Alhamdulilah mungu mkubwa mashaalah yy peke yake ndo anaujuwa umbaaj wake

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 3 роки тому +7

    Una kitu Cha ziada bado hujatoa hiki ni kidogo watu Kama nyinyi serikali ziwe zinawatumia ungekuwa ulaya ungekuwa mbali iko siku usikate tamaa mungu akutangulie kwenye kazi zako

    • @zundahbartazal4861
      @zundahbartazal4861 3 роки тому

      ULAYA HUYU ANGEKUWA BEST ZAIDI YA HAPA COZ NI MDADISI ILA KWA HII CONTENT KUNA LOTS OF KAPUYANGA ...

  • @SufoWazir-s4q
    @SufoWazir-s4q Рік тому

    Nipo mozambique pemba. Ni mfwatiliaji Sana wa the story book. Napenda Sana

  • @thomasema3325
    @thomasema3325 3 роки тому +7

    I was waiting for it... Thanks

  • @pacificshuli5415
    @pacificshuli5415 Рік тому +1

    Professor Jamal April the story book : Jua (Sun) only with yr voice ❤❤

  • @benjameoli6081
    @benjameoli6081 2 роки тому +8

    I admire your narrations of various events and happening giving us knowledge of more things that we have known.... Kudos your Swahili expression is a notch higher.

  • @khamissalim8708
    @khamissalim8708 2 роки тому +1

    Subhanllah

  • @daudisiloma5549
    @daudisiloma5549 3 роки тому +16

    Thank you professor for teaching us the lesson of the sun

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 3 роки тому

    Subhanallah mola wetu mtukufu atatupa kher za dunia na akhera Mana duuh jua likishuka itakuaje

  • @mugisaelie9856
    @mugisaelie9856 3 роки тому +5

    Respect Jamal from Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @pilatotz-i3w
    @pilatotz-i3w 2 дні тому

    Aise kwakwer mngu kakujalia kipaj ch pekee umenifunza meng San Mr Jamal respect

  • @olekarai
    @olekarai 2 роки тому +4

    Perfectly elaborated sir, thanks for keeping us updated

  • @alienguy2839
    @alienguy2839 3 роки тому +2

    To be honest no matter how shallow it is, it is so much of an insparation to those kids with stars in them eyes, iki ni ki2 kipya bongo we appreciate it prof uko juu

    • @jackmahero96
      @jackmahero96 3 роки тому

      On the contrary, it's very very deep

    • @alienguy2839
      @alienguy2839 3 роки тому +1

      @@jackmahero96yeah it's very deep for those of y'all, who have never heard of it be4,

  • @amonamulondani9552
    @amonamulondani9552 3 роки тому +3

    Kusema kweli, uyu Profesor Jamal anajuwa na ni mwenye elimu ya juu sana kuliko hata boss man wake ambaye ni mmiliki wa Wasafi TV.
    Big up sana kaka.

  • @beatricepeter301
    @beatricepeter301 3 роки тому +1

    Waaah it's God's work Mungu aliziwekea mpaka ...not even those scientist will know his work.....give us more abt star's n the planets plz.rep±254.💖💖💖💖

  • @bas2823
    @bas2823 3 роки тому +4

    Great superiors Professor keep it up. GOD! Bless u Always. Ameen i love science very much! Since i was small n upto now.👍🏽🤝👏👌💙👑💜💜💎💖👍🏽🤝👏👌bless yr Heart, yr Soul, n yr Brain, long life to live with good healthy strong n happy n long life with yr family n all of the Creations of GOD! In the World. Amee. Amiin.💙💜💚🙏👍🏽🤝👏👌

  • @nooraltaf4789
    @nooraltaf4789 11 місяців тому +1

    His voice is really amazing

  • @TonyMkongo
    @TonyMkongo 3 роки тому +102

    Mastermind 🔥🔥🔥

  • @stevek8318
    @stevek8318 3 роки тому +1

    Jua itakamilisha kazi yake siku Yesu ataonekana juu mawinguni akija. Mariko mtakatifu 13 :24

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 3 роки тому +8

    Big respect and salute to you always.

  • @renatusPaul
    @renatusPaul 7 місяців тому

    It's a reality story thanks brother to inform us!!!!

  • @mcbuty201
    @mcbuty201 3 роки тому +8

    Oyaa iyooo kitu sio poa kabisa unitembea kwa jet unatumia miaka 19

  • @davidyeswa9383
    @davidyeswa9383 2 роки тому

    Shukrani Jamal

  • @erickkessy3861
    @erickkessy3861 3 роки тому +11

    I admire you bro,much respect

  • @mussalameck2166
    @mussalameck2166 2 роки тому

    Yan sayans inaweza fanya uamini Mungu ayupo asa kifo Cha ulimwenguni munamanisha Mungu atafika mwisho wa maisha yake sabab kama Mungu anakufa akuna kinachobaki mana yeye ndo anayefanya ulimwengu uwepo

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 роки тому +10

    Wewe ni zaidi ya teacher 🔥💪

  • @rjb31
    @rjb31 3 роки тому +2

    The GREATEST MAN
    🧠🧠🧠🧠🇹🇿

  • @ip_header
    @ip_header 3 роки тому +3

    Awesome story!
    Hongera msimulizi kwa story, umanifurahisha ulipo elezea Sayansi na dini kwa pamoja, wengi wanatofautisha kati ya dini na Sayansi, kimsingi dini na Sayansi vinakwenda pamoja, ndio maana katika Qur'an tukufu inaeleza mfumo wa uzazi na mambo mbali mbali ya kisayansi, kama vile bahari mbili kutochanganyika kutokana na tofauti ya density.

  • @mbelwapaschal6320
    @mbelwapaschal6320 3 роки тому +1

    Jua Ndio sehemu ambayo Mungu anapitishia Nguvu za kufanya kila kitu kwa viumbe hai vyote
    Jmn hii Ni kweli Tena kweli kabisa ,siku zte tuishi kwa kutegemea nguvu za jua na sio akili

  • @sirizamwili
    @sirizamwili 3 роки тому +10

    Daaaaaah!
    Ngoja nisikitike kidogo.....
    🤔😢😭

  • @salimmohamed5182
    @salimmohamed5182 2 роки тому

    Kaka jamal una kipaji kikubwa kweli mpaka na ss tunajifunza kupitia kwako mungu akuzidishie amin

  • @kakamkubwa3210
    @kakamkubwa3210 3 роки тому +13

    Mh jamaa unajua Hadi unatisha na kunifanya niwaze kesho yangu mbele ya MUNGU

  • @markokulanga5503
    @markokulanga5503 3 роки тому

    Mungu akaumba mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku ikiwa na namaana ya mwezi lakini pia ukumbuke kwamba mchana na usiku viliumbwa hata hata kabla ya jua na mwezi Ila tuu jua na mwezi ni Kwa ajili ya muda na majira

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 3 роки тому +9

    Duh kama wanaodhani jua ni Mungu kaka wapo sawa hivi😜

  • @zaitunially1586
    @zaitunially1586 3 роки тому

    Allah nimkubwa na anatisha

  • @audiphastangale1893
    @audiphastangale1893 3 роки тому +18

    Cosmology is my best subject

  • @khatijakhatija9518
    @khatijakhatija9518 2 роки тому +1

    ALLAHU AKBAR SUBHANALLAH 🙏

  • @chimam.a2984
    @chimam.a2984 3 роки тому +19

    Huyu ndio Jamal ambaye baada ya Mtiga kuondoka alikuwa anabezwa na kukejeliwa!? Ama kweli usikubali kusikiliza sauti za wanaokuambia HUWEZI.

  • @IsackKariuki-yz4lk
    @IsackKariuki-yz4lk 9 місяців тому

    I love this guy Alot

  • @estalinhachisina9656
    @estalinhachisina9656 3 роки тому +6

    We are so proud of you Jamal

  • @Cryptgenius
    @Cryptgenius 3 роки тому +2

    Hakika vipindi vyako vina mafundisho makubwa sana na kuwa fumbua watu kiupeo na kuelewa zaidi ,big up kazi nzuri unayo ifanya

  • @mchagashop1342
    @mchagashop1342 3 роки тому +19

    Naona jua ndio litakalo. Kuja kuwa jehanam😭😭😭😭😭

    • @achievefinancetz
      @achievefinancetz 3 роки тому

      Umenifikirisha sana aisee.... inaonekana inaweza kuwa hivyo

    • @homelandsstudios.6624
      @homelandsstudios.6624 3 роки тому

      Umefikiria kam mim

    • @chimam.a2984
      @chimam.a2984 3 роки тому

      Hapana

    • @chimam.a2984
      @chimam.a2984 3 роки тому

      Hapana

    • @ibrahimjoseph2789
      @ibrahimjoseph2789 3 роки тому +2

      Hapana hayo ni miujiza ya Mungu tu jua ni jua na jehanam ni jehanam, ili tujuwe uwezo wake, ili jua litatumika siku ya hesabu tu litashuka na hatutokuwa na kivuri, ni story ndefu lakini jeahanam itakuwa in moto mkali kuliko jua.

  • @patriciaigeria2944
    @patriciaigeria2944 10 місяців тому

    Wewe pia utakubukwa ❤ asante kwa elimu tunajifunza mengi kutoka kwako

  • @NaturalDreadLocsTV
    @NaturalDreadLocsTV 3 роки тому +13

    We Appreciate you much More

  • @mussamrope1934
    @mussamrope1934 2 роки тому

    Izo nyota nazo pia ni jua ,,ambazo ni kaka zake jua huyu tulie nae sisi na kila nyota inaukubwa wake ,,yaani Jua huyu kazidiwa na jua wa pili kwa udogo na jua wa pili kwa udogo kazidiwa na jua wa tatu kwa udogo INAENDA IVO MPAKA MWISHO WA MAJUA WOTE...M-galaxy ..HAKIKA MUNGU NI MKUBWA MNOO 🙏🙏