😀😀😀 mimi walinipigia cku moja wakanieleza hivyo hivyo, ile wananiuliza umeona msg ya muamala nasema bado, wakatuma tena kila wakiniuliza umeona msg nasema bado walirudia zaidi ya mara sita wakituma sms ya muamala wakipiga nasema bado sijaona sms yeyote, nikasikia wapembeni yake anasema duuh!! Akakata cm hawakunipigia tena 😀😀😀
Siku nyingine wakinipigia nitawazungusha na Mimi mpaka nitumie vocha yao ya elf 20, Tena ili kuwatia presha wakiniuliuliza account ina sh. Ngapi nawaambia Ina laki nane nimekopeshwa na chama Cha ushirika kwa ajili ya kilimo Cha ufuta
Wajinga sana hao,serikali Ina maana haiwajui kwa nn isiwafuatilie? Tcra mko wapi, nn maana ya usajiri line kwa kitambulisho cha Nida kama utapeli huu bdo unafanyika?.chukueni hatua.
Kwanza mm nashukuru umetoa somo kubwa saaaaaana,, ubarkiwe mtu wa Mungu
Original comedian masaka ahaaaa
Ila watu wawe makini ukitumiwa hela haiwezi kuja namba ya simu huwa ni jina kama M-PESA, TIGOPESA etc
Asante kwa somo zuri
Be blessed bro!!
Kuna sababu tcra kusimamia hili maana wengi wanalizwa
mungu awasamehe kwakweli
Umewaweza Na ulivyo mpotezea mdaa ume waokoa nawengeni kutapeliwa good job I do the same
Mie wamenipigia leo ila dah nikakosea nikawaambia sina kiti kwenye airtel money ningejua ningewazungusha washenzi hawa
msanja bna mbadilisheni kitengo
Wasanii wamekutana na msanii, vichwa gongana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante sana kwa elimu mtumishi Masanja
Me ni mfanyakazi wa halotel halafu wakanipigia kwenye namba ya voda halafu wanasema wametoka halotel
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣😂😂😂😂😂🤣😂😂
😂😂😂😂Hawa watu Mungu awaokoe
😀😀😀
Dah! Asante sana maana hapo ingekuwa Mimi tayari duh! Hatari sana.
Hatarii sana watu wako very sirius maisha
Daaa! Siku l moja ivi wangeniliza asee
HALO WALINIIBIA 10000 WALINIFUNGIA NA LINE HALO XAMEKUA ADVANCED
Hee ilinikuta nilihangaika kweli, ckuwa najua 😀😀
Ahsante masanja
Usitapeliwe wew Nani Massanja Mateja nao wapo kazini
😀😀😀 mimi walinipigia cku moja wakanieleza hivyo hivyo, ile wananiuliza umeona msg ya muamala nasema bado, wakatuma tena kila wakiniuliza umeona msg nasema bado walirudia zaidi ya mara sita wakituma sms ya muamala wakipiga nasema bado sijaona sms yeyote, nikasikia wapembeni yake anasema duuh!! Akakata cm hawakunipigia tena 😀😀😀
Hhhhhhh umenisoma somo
Ila umeyasumbua unaweza kukuta yanacheki hii video yako
Jinga sana!😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Big up broo umeongea point sana broo
😂😂😂 Pastor Umewaweza Sana
Lakini Hawa jamaa ungewapeleka kwenye mamlaka husika.
Wamewaibia wengi Sana.
Haaaah masanja noma weeeeh nakubal broh😁😁😁😁😁
Kazi kweli kweli
tenaaaaa hua wanahekima sana hao matapeli
Da! me nimewahi liwa jaman
Hivi inamaana hawajakufahamu kabisa kua wew ni Masanja mujanjaa
Una mwandiko mbaya model angu😀😀😀
Siku nyingine wakinipigia nitawazungusha na Mimi mpaka nitumie vocha yao ya elf 20, Tena ili kuwatia presha wakiniuliuliza account ina sh. Ngapi nawaambia Ina laki nane nimekopeshwa na chama Cha ushirika kwa ajili ya kilimo Cha ufuta
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watakuganda hao
Hahahaha uwiiii jaman nmecheka Leo na masanja Mimi
Imenipata hii leo ...
Nilivomwambia aache utapeli jamaa kanitukana bonge la mtusi.
kutapeli hajafanikiwa na kumsumbua umemsumbua vya kutosha safiiiiiii
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Naona Roho Mtakatifu alimgusa yule mwingine yule konkodi akakutambua.
Imetisha mwanawane
Nakuelewa Sana masanja by Evangelist Jackson msukuma god bless you
😃😃😃😃 walinipgia nkawambia sijapata mesej wakaniuliza salio lako kias gan,nkawauliza nyie customer care na hamjui salio langu shwain kabisa yakakata sim
Mashenz Sana kunasiku kidogo wanipige
🔥🔥🔥
Saf sana masanja. Mchungaj wa mfano. Inabid wachungaj waelimishe jamii kwa vitu kama hiv
😂😂😂😂 Wameshituka wenyewe
🙆🙆🙆 cornmen hawana adabu,daah wanataka kuimbia hata mchungaji..hata majina hawana eti fatma matakataka😂😂😂
Ahahah nomaa
Kazi kaz
Big up bro kazi nzuri
Imetisha pasta
Daaaah juzi wamenipigia nkawapa vitu vya moto 😁😁
Harafu iyo namba ya mataka inatumika sana kutuma SMS izo za wiz
🤣🤣🤣🤣Broo mtesaji
Kwa kweli umeyaumbua Sana
🤣🤣🤣🤣🤣 mamae zao wameumbukaa hapo,nimekutana nao Sana ukiwajua ukawatukana aise wanatukana
Ina maana huyo tapeli anashindwa kutambua sauti ya Masanja?
😁😁😁nawalivo serious kama kwel vle, hii naamini cos namm waliwah nifanyia hvoo daah nikashtukia af wanakwambia usikate simu ad ufike kwawakala😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂alafu wanasaut za utulivu
Ngoja waendelee na watu wengine!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Et wao kaz yao ni kulima watu😁😁
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣haki ya mungu jaman khaaaaa kazi inainaendelea
Hata Mimi walishanipigia hao hahahahhaaha
😂😂😂😂😂 masaka,hahahaha uwiiiii
Good
😁😁😁😁😁 et kama takataka masanja bhn unafurahisha
Hao wezi kwel ila Mimi nalaum selikal
Eti kazi inaendelea 😂😂
Daah me Juzi wamenitapeli laki 5 na 80 ctokaa kusahau
Matapeli watafika mbinguni wamechoka sana
Una haribu biashara ya 2 😀😀😀😀😀😇
Kama taka taka hivi 😂😂😂😂😂
Kazi ina endelea hahahahaaaaaa,
Mara nyingi huwa wanapigwa wanawake tu dah 😀
Jmn kweli😢😢😢
Eti kama unalima mpunga, mi nalima watu😂
Kaka SASA SELIKARI INAFANYA NN WAKATI SAUTU IMEFAAMIKA NA NAMBA WATAKAZOTOLEA
Ngoja tuendelee na wengine.....
Wajinga sana hao,serikali Ina maana haiwajui kwa nn isiwafuatilie?
Tcra mko wapi, nn maana ya usajiri line kwa kitambulisho cha Nida kama utapeli huu bdo unafanyika?.chukueni hatua.
😀😀😀 aisee
😁😁😁😁!!! Yaaani Masanja Masaka au Mataka.
Wamekutana na mtumishi mapepo yanawatoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daaah jamani masanja umenishinda Tabia.😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jana tu yamefanya huo ujinga tumeyasumbua yametumia vocha yakutosha yalotutukana htr
Uyo tapeli baada yakundua anae mtapeli amemalizia kwa busara mi niliambulia kutukanwa matusi ya kutosha kisa niliwashtukia michezo wao
😀😀😀Hawa matapeli wanahic watu wote ni walemavu wa akili
Huyo mbuzi anaacha kufanya kazi
TCRA wanawafaham na kunapasent wanagawana
Mimi Ni mtu mzima Sana lakini wananituma niwatukane
Jamaa wanaibia wa2 pesa wenye hali ya chini
Tcra Mko wapi au mnaangalia Post za Wapinzani?
Hao wehu ata mimi ninazo record zao walivyo taka kunipiga
Yaani Mtumishi umenichekesha nakupendaga saaana .
HAPO wanaamini pesaa imeingia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu anawaona waizi awa mangaidi
Ha ha ha ha mecheka sana
😂😂😂😂 hela ya sadaka
Noo mpeleke polisi
😂😂😂😂😂 wamepatikana ase
Kuna watu washa vurugwa na maisha😆😆😆
Ukipiga tena unaambiwa mamba haipo not in service
Et kazi inaendelea
YAAN HAO NI WEZI
Umenichekesha Sana
Tumekushindwa ngoja tuendelee na watu wengine
Lakin nadhan wanasaidiana na tcra au wafanyakaz wa makampuni za mawasiliano , kiukweli walaaaniwe
Hata mm huyu mataka alitakaga kunitapeli mpaka akanipigia cm nawapendaa hawa watu yani hawajui kama ujui 😂
Jamani nimecheka masanja weee siku niliwasumbua walivyogundua kua nimewashitukia walinitukana😂😂