Ww umesema huwezi msifia mpenzi wako wa zamani kisa umeoa utamsifia uliemuoa..ulitaka Gamondi asifie kikosi Cha miaka 20 hata aina ya soka imechange...unadhani hao uliowataja wangecheza mpira wakati huu
HUYU MVUTA BANGI NA SIKU ZOTE HUWA ANAIPINGA YANGA TU....YEYE KASEMA KWA MUJIBU WA MAONO YAKE GAMONDI SASA WEWE MBUGILA MMOJA KWANN UPINGE MAWAZO YAKE???
This guy geof Leah is so illiterate I think efm hapa mmepuyanga huyu mtu hapana ana hoja za kitoto na Hana uweledi wa tafsiri ya mawazo ya mtu...that ws Gamondis opinion na Yuko kwenye wakati sahihi kusifia alichonacho
Geof Leah umepoteza madini kabisa hivi hicho ni kitu cha kuzungumza dakika zote hizo??? Ni kwel usemavyo lkn pia unaumia nini? Mbona kitu simple Sana kueleweka...embu tafuta madini tupe nondo Acha blabla Kaka nilikuwa nakuelewa Sana siku hizi unachoma sana
Bora ukae kimya Jeff,hauna jipya unawapotezea muda wataalam apo
Iyo.redio.yenu.ndoomana.sikuizi.watu.hawasikilizi
Kilaza
Simple question Kwa nini hakusema kauli hiyo alipokuwa huko ?
Huyu jef kweli ni mchambuzi kweli huyu jamaa mnaiyabisha hiyo redio
Ww umesema huwezi msifia mpenzi wako wa zamani kisa umeoa utamsifia uliemuoa..ulitaka Gamondi asifie kikosi Cha miaka 20 hata aina ya soka imechange...unadhani hao uliowataja wangecheza mpira wakati huu
Huyu Geoff Leah ni sifuri kabisaaaaa
time bora unaangalia variables nyingi sio ubora wa squard tu.huyu ni kiraza sana haloo
Sasa uko mamelod alikua coach mkuu
Kalewa huyu leo
HUYU MVUTA BANGI NA SIKU ZOTE HUWA ANAIPINGA YANGA TU....YEYE KASEMA KWA MUJIBU WA MAONO YAKE GAMONDI SASA WEWE MBUGILA MMOJA KWANN UPINGE MAWAZO YAKE???
This guy geof Leah is so illiterate I think efm hapa mmepuyanga huyu mtu hapana ana hoja za kitoto na Hana uweledi wa tafsiri ya mawazo ya mtu...that ws Gamondis opinion na Yuko kwenye wakati sahihi kusifia alichonacho
Matako huyu
Geof Leah umepoteza madini kabisa hivi hicho ni kitu cha kuzungumza dakika zote hizo??? Ni kwel usemavyo lkn pia unaumia nini? Mbona kitu simple Sana kueleweka...embu tafuta madini tupe nondo Acha blabla Kaka nilikuwa nakuelewa Sana siku hizi unachoma sana
Sasa mtu kasema alivyoona yeye.wewe unaumia nini
Tanzania tuna watu wajinga wengi ila huyo Geofrey ana kipaji cha ujinga