Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
SIMBA WALIMUACHA TAMBWE AKAWAFANYIA ROHO MBAYA SIMBA MPAKA HAWAKUAMINI
Baleke nimchezaji kweli hasa
Hawakumuacha hakuwa wao alikuwa kwa mkopo
Hapana buana Baleke anaumiza mioyo ya Wana simba
Simba oyee
Makolo wao wanakula matapishi ya Coast union😂😂
na geita gord
😅😅Yaani Yanga kweli nyoko kaondoka mayele tukastrago wafungaji walikua mido watupu sasa kuna mastraika wanne 4 😅mboga moto, ugali moto, na kachumbari moto kwa pili pili akitoka moto anaingia moto hakuna nafuu kwa mabeki watajivunja saana 😅
Matapishi wap Kwan mnaumia nn
Hasira fc endeleeni kufaaa kwa presure😅
Nauliza ,aliyesema Chama akienda Yanga atakufa,je ameshafika kuzimu??😂😂😂😂
Kwani baleke ni mchezaji wa simba?
Yani nyie sijui ni wachambuzi gani baleke anasajiliwa yanga halafu pigo litokee simba?
Achaushamba wewe subilien 5og nyingine sawa
PIGO KWA SIMBA SI WALIMUACHA,?
😂😂😂 walikwambia wamemuacha ??? Au tuli wa pressurize wawaache Moses Phiri na Jean Otto's Baleke..... Shida yetu ilikuwa ni Baleke Baleke Baleke Baleke
WINGA WA NINI WAKATI DUBE,CHAMA NI MAWINGA NA BALEKE NAMBA 9
Dude ni strike sio natural winger .. chama ni advance playmaker ni inside 10 as Aziz ki na Paccome Zouzoua.... Ila wanaweza shift inside
Mnaendelea tu kula Matapishi ya simba kila siku na mlishawahi kusema hakuna anaefaa kuchezea timu yenu
Ukiwa na kichwa uwe na akili yanga tuliwaza upepo nyie makolo kwinyo mkaingia kwenye mfumo tukawapiga nje ndani Kono la nyani 😂😂😂😂😂😂😂kolo we
Hivi Baleke alikuwa mchezaji wa Simba? Uwe basi na akili kidogo
Ilikua maind gem! Mkajaa kwenye mfumo
Simba alimchukuwa morisoni ,niyonzima ,gadiel Beno je nimatapishi acheni stori za sizitaki mbivu hizi
Young tunachukua Simba ila makolo wao wanachukua Coast union 😂😂😂
SIMBA WALIMUACHA TAMBWE AKAWAFANYIA ROHO MBAYA SIMBA MPAKA HAWAKUAMINI
Baleke nimchezaji kweli hasa
Hawakumuacha hakuwa wao alikuwa kwa mkopo
Hapana buana Baleke anaumiza mioyo ya Wana simba
Simba oyee
Makolo wao wanakula matapishi ya Coast union😂😂
na geita gord
😅😅Yaani Yanga kweli nyoko kaondoka mayele tukastrago wafungaji walikua mido watupu sasa kuna mastraika wanne 4 😅mboga moto, ugali moto, na kachumbari moto kwa pili pili akitoka moto anaingia moto hakuna nafuu kwa mabeki watajivunja saana 😅
Matapishi wap Kwan mnaumia nn
Hasira fc endeleeni kufaaa kwa presure😅
Nauliza ,aliyesema Chama akienda Yanga atakufa,je ameshafika kuzimu??😂😂😂😂
Kwani baleke ni mchezaji wa simba?
Yani nyie sijui ni wachambuzi gani baleke anasajiliwa yanga halafu pigo litokee simba?
Achaushamba wewe subilien 5og nyingine sawa
PIGO KWA SIMBA SI WALIMUACHA,?
😂😂😂 walikwambia wamemuacha ??? Au tuli wa pressurize wawaache Moses Phiri na Jean Otto's Baleke..... Shida yetu ilikuwa ni Baleke Baleke Baleke Baleke
WINGA WA NINI WAKATI DUBE,CHAMA NI MAWINGA NA BALEKE NAMBA 9
Dude ni strike sio natural winger .. chama ni advance playmaker ni inside 10 as Aziz ki na Paccome Zouzoua.... Ila wanaweza shift inside
Mnaendelea tu kula Matapishi ya simba kila siku na mlishawahi kusema hakuna anaefaa kuchezea timu yenu
Ukiwa na kichwa uwe na akili yanga tuliwaza upepo nyie makolo kwinyo mkaingia kwenye mfumo tukawapiga nje ndani Kono la nyani 😂😂😂😂😂😂😂kolo we
Hivi Baleke alikuwa mchezaji wa Simba? Uwe basi na akili kidogo
Ilikua maind gem! Mkajaa kwenye mfumo
Simba alimchukuwa morisoni ,niyonzima ,gadiel
Beno je nimatapishi acheni stori za sizitaki mbivu hizi
Young tunachukua Simba ila makolo wao wanachukua Coast union 😂😂😂