🚨Uchambuzi Wasaffm,Mazito kutoka Yanga,Baleke Kutua weekend hii?,Alikamwe Atangaza balaa linakuja.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024
  • #football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

КОМЕНТАРІ • 26

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 4 дні тому +3

    SIMBA WALIMUACHA TAMBWE AKAWAFANYIA ROHO MBAYA SIMBA MPAKA HAWAKUAMINI

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 4 дні тому +1

    Baleke nimchezaji kweli hasa

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 4 дні тому +2

    Hawakumuacha hakuwa wao alikuwa kwa mkopo

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 4 дні тому +1

    Hapana buana Baleke anaumiza mioyo ya Wana simba

  • @MusaClement-tw6om
    @MusaClement-tw6om 4 дні тому

    Simba oyee

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 4 дні тому +2

    Makolo wao wanakula matapishi ya Coast union😂😂

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 4 дні тому +2

    😅😅Yaani Yanga kweli nyoko kaondoka mayele tukastrago wafungaji walikua mido watupu sasa kuna mastraika wanne 4 😅mboga moto, ugali moto, na kachumbari moto kwa pili pili akitoka moto anaingia moto hakuna nafuu kwa mabeki watajivunja saana 😅

  • @user-ge3yd1tx5e
    @user-ge3yd1tx5e 4 дні тому +1

    Matapishi wap Kwan mnaumia nn

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 4 дні тому

    Hasira fc endeleeni kufaaa kwa presure😅

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 4 дні тому

    Nauliza ,aliyesema Chama akienda Yanga atakufa,je ameshafika kuzimu??😂😂😂😂

  • @NillanMjunga-fr5ze
    @NillanMjunga-fr5ze 4 дні тому

    Kwani baleke ni mchezaji wa simba?

  • @abdalahsalimu
    @abdalahsalimu 4 дні тому

    Yani nyie sijui ni wachambuzi gani baleke anasajiliwa yanga halafu pigo litokee simba?

  • @user-vm5og4np4k
    @user-vm5og4np4k 3 дні тому

    Achaushamba wewe subilien 5og nyingine sawa

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 4 дні тому +1

    PIGO KWA SIMBA SI WALIMUACHA,?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 дні тому +1

      😂😂😂 walikwambia wamemuacha ??? Au tuli wa pressurize wawaache Moses Phiri na Jean Otto's Baleke..... Shida yetu ilikuwa ni Baleke Baleke Baleke Baleke

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 4 дні тому +1

    WINGA WA NINI WAKATI DUBE,CHAMA NI MAWINGA NA BALEKE NAMBA 9

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 дні тому +1

      Dude ni strike sio natural winger .. chama ni advance playmaker ni inside 10 as Aziz ki na Paccome Zouzoua.... Ila wanaweza shift inside

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 4 дні тому +2

    Mnaendelea tu kula Matapishi ya simba kila siku na mlishawahi kusema hakuna anaefaa kuchezea timu yenu

    • @user-fi2gf6ks7h
      @user-fi2gf6ks7h 4 дні тому +2

      Ukiwa na kichwa uwe na akili yanga tuliwaza upepo nyie makolo kwinyo mkaingia kwenye mfumo tukawapiga nje ndani Kono la nyani 😂😂😂😂😂😂😂kolo we

    • @vaxminja9053
      @vaxminja9053 4 дні тому +2

      Hivi Baleke alikuwa mchezaji wa Simba? Uwe basi na akili kidogo

    • @user-mo8pq4pt3r
      @user-mo8pq4pt3r 4 дні тому +2

      Ilikua maind gem! Mkajaa kwenye mfumo

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 4 дні тому +2

      Simba alimchukuwa morisoni ,niyonzima ,gadiel
      Beno je nimatapishi acheni stori za sizitaki mbivu hizi

    • @hassanimngetege2904
      @hassanimngetege2904 4 дні тому +1

      Young tunachukua Simba ila makolo wao wanachukua Coast union 😂😂😂