Nimeamini huyu nae akili zake mfano wa pakacha la maembe ameiga utani wa OSCAR OSCAR akauchukulia kweli akaupeleka kwenye kazi yake hii inawahalibia sana wachambuzi wa mchongo hovyo kbs
Mnafiki huumbuliwa mchana kweupe! Hili bundi uchuro lenye bichwa kubwa na miwani limeumbuka , eti prediction (prediction huzingatia research siyo awa na betting). We bundi acha úpuuzi! 3:00
Tatizo uchambuzi wenu ni wa kishabiki. Chambueni mpira siyo timu kwa hisia zenu. Haiwezekani Simba ikawa timu bora tu kwenye midomo yenu hata wanapofanya vibaya. Ni kuwapotosha. Inashangaza uchambuzi wenu, hata kama Simba hakucheza badara ya kujadili timu zilizocheza, Simba itaingizwa.
utabir wako wa kikolo kikolo unakuingiza chaka...sasa baada ya kukosea mnapeana moyo its okay...daadeq..mtatabir mpaka hidaya. yanga inawaachia vumbi tu na vijiba vyenu
Waongo nyie Yanga ingetolewa for that time mungesema " tulisama Yanga hata toboa" lakini kwasabu walishinda ndomunasena mulikuwa munawahamasisha. Guys get out of here man
Mwenzio Oscar amekiri kua amechoma,akasema yanga ndo timu ambayo inaweza kufunga magoli mengi na midomo mingi, kwann na ww usikubali tu kua yanga imekufunga na ikakufunga mdomo?
Sasa ndio wote mtabili Yanga kutokuwa bigwa asiwepo hata mtu mmoja wa kuipa Yanga kama siyo uchawi na ushabiki nini sasa, imeumbuka michawi hiyoooo tukeni hapa mapepo popo nyie.
Wanawajibika na Kuapa pamoja na kuteteeana pamoja . Vigezo vyao vinafanana wanahaha kujinasua kwenye shimo😢😢😢😢😢😢Uislam ni Dini iliyoonyooka Mnafiki Ana sura mbili na ndimi 2
Sasa nyie so wachambuzi nyie ni washabiki wa Simba ndo mana kila mtu alimpa simba ubingwa cz ni timu yake 😂😂
😂😂😂😂 WAGANGA WA RAMRI AIBU ZENU . SISI TWAJUA YANGA NI BINGWA.
Nimeamini huyu nae akili zake mfano wa pakacha la maembe ameiga utani wa OSCAR OSCAR akauchukulia kweli akaupeleka kwenye kazi yake hii inawahalibia sana wachambuzi wa mchongo hovyo kbs
Mungiki kwenye ubora wao, Karibuni msimu ujao muendeleze ramli...
Eeeeeh Mungiki tena 😂😂😂
@@ahmedmpimbi9684 Boko haram hao...kwenye moja na mbili..
😂
Mnafiki huumbuliwa mchana kweupe! Hili bundi uchuro lenye bichwa kubwa na miwani limeumbuka , eti prediction (prediction huzingatia research siyo awa na betting). We bundi acha úpuuzi! 3:00
Mbona mwajitetea hivyo? Tunachojua yanga bingwa, the rest is up to you.
UJINGAAAA NTUPU ;U KNW NOTHING ABT FOOTBALL; FOOTIE IS NOT PLAYED ON PAPER U FOOL ;TS QUALITY LEADERSHIP
Tatizo uchambuzi wenu ni wa kishabiki. Chambueni mpira siyo timu kwa hisia zenu. Haiwezekani Simba ikawa timu bora tu kwenye midomo yenu hata wanapofanya vibaya. Ni kuwapotosha. Inashangaza uchambuzi wenu, hata kama Simba hakucheza badara ya kujadili timu zilizocheza, Simba itaingizwa.
Sura imeshukaa 😂😂😂😂😂hamini anachooo kiona 😂😂😂😂yanga bingwa mpka 2040 InshaAllh
Kutabiri siyo jambo zuri maana unaongea usichokijua, lakini kutoa unabii ni jambo zuri maana unaongea ulichofunuliwa na MUNGU
KATIKA HAO JEAF LEAH NDIO NUKSI SANA YAANI NDIO ANAONGOZA KUICHUKIA NA KUIONGELEA VIBAYA YANGA
utabir wako wa kikolo kikolo unakuingiza chaka...sasa baada ya kukosea mnapeana moyo its okay...daadeq..mtatabir mpaka hidaya. yanga inawaachia vumbi tu na vijiba vyenu
Mnamaanisha kumbe ni porojo tu tusiwazngatie utabirwenu
Oneni wanavyo jamba jamba tu hapo nyuso zimewatepeta kaa vibaka waliodakwa
Waongo nyie Yanga ingetolewa for that time mungesema " tulisama Yanga hata toboa" lakini kwasabu walishinda ndomunasena mulikuwa munawahamasisha. Guys get out of here man
Wanafki wa EFM kwenye moja na mbili😂😂
Wanajitetea leo mungiki
Mwenzio Oscar amekiri kua amechoma,akasema yanga ndo timu ambayo inaweza kufunga magoli mengi na midomo mingi, kwann na ww usikubali tu kua yanga imekufunga na ikakufunga mdomo?
Huyo oruma si hiyo tu huwa anakosea siku zote kwa Yanga sbb haipendi tu
Sasa ndio wote mtabili Yanga kutokuwa bigwa asiwepo hata mtu mmoja wa kuipa Yanga kama siyo uchawi na ushabiki nini sasa, imeumbuka michawi hiyoooo tukeni hapa mapepo popo nyie.
Mtabiri feki na ndo asiyeipenda Yanga si bahati mbaya ila haipendi Yanga ndo maana inawaumbua hao na wenzake wote
Nyie ni kama vibaka wa Tv, pumbavu zenu Yanga imewafumba midomo
Mnajitetea sana si mkubali tu mmchoma 😂
Mashabiki wa Simba kwenye ubora wao
Wote Hawa chanel hii na kipindi hiki ni washabiki wazi wazi wa mnyama
Huyu paka na George Great wana chukia yanga sc
😮Kama amjui kuchambua mpila kalimen
Mnaona AIBU sasa....😂
Nyie wote hapo ni waganga wa ramri wa uongo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wanavyojitetea
UYO SIYO MCHAMBUZI
Mzee wa jambia asutwa
Studio waandishi mnaingia na masweta ya Ilala Boma kweli kuna uchambuzi hapo.
Wanawajibika na Kuapa pamoja na kuteteeana pamoja .
Vigezo vyao vinafanana wanahaha kujinasua kwenye shimo😢😢😢😢😢😢Uislam ni Dini iliyoonyooka Mnafiki Ana sura mbili na ndimi 2
Alitabiri Kishabiki, hata alipoona Yanga anauwasha bado alisisitiza hawana chao
Maku zenu nyie ma bwabwa
ubwege wao
Haooo 😂😂
Namwona Tigana wa Simba kakaa kimya
Wasenge nyinyi mnamjenga Nan
You are so slippery like shifting sand. You should be renaamed TriTwister madjesu but
Poleni sana wachawi wetu
Hakuna wachambuzi hapo, wanaongozwa na ushabiki tu. Oruma asijitetee.
Huyu miwani mikubwa,mchambuzi hovyo kwangu! Mpeni kipaza sauti aendelee kutuonyesha mchambuzi mchongo!!!
Apo uliingiza ushabiki nayote hii sababu huipendi yanga unapinga hadi ukweli duuuu
Is there, is there mwisho itakuwa zerea zerea! Mpaka mseme!!!!
Heshimuni mpira... Hakuna matokeo ya mfukoni
Nyoo mbwa nyie kosea kufanyazamb mdomo unaumba unafki mtuputu mabwege nyie
Waganga wa kienyeji waliovama uchambuzi
Mzee wa jambia na wenzie wanaachia mashuzi tu😂😂😂
HAMNA JIPYA KABISA.
Mmefeli
Jisura kma zobaa
Yanga Bingwa muwe mnataka au hamtaki na wivu wenu
wanajitetea 😂😂😂😂😂 yan wanateteana😂😂😂
Yaan huyu jamaa oruma Hajuagi kitu haelewi
Tigana Pekee yake ndio mwanaspoti haya mengine ni malevi tuu
Duh! Hatari. Mmeumia!
Ayooooo! Masangoma.