MKUTANO MKUU YANGA | Miguel Angel Gamondi kocha mpya Yanga SC
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Huyu hapa kocha mpya wa Yanga SC, anaitwa Miguel Angel Gamondi raia wa Argentina.
Msikie Ofisa Habari wa timu hiyo Ally Kamwe akitaja wasifu wake.
Ni Mkutano Mkuu ya Yanga SC ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)
Good work Uongozi wa Yanga.Mwamba huyoo.
P
Kocha mwenye CV nzuri hawezi kuja timu zetu sema tu nikocha wa kawaida sana atafanya vizuri
Hahahaha
Ndo maana wazungu wanatuitaga ...... Maana sisi wenyewe hatujikubali tunataka tukubaliwe na nani?
Kweli Bhan inshallah 🙏mungu urusaidie
Good coach kwa mujibu wa CV
Oyooo yanga 💛💚 🏆 tamuuu
Miezi 3
Nakubal yanga
God bless my team Dar young Africa
We Aly mwaka 2002 ulkuwa na umri gan😂
ela amna
Tunataka kombe la Africa...🙏🏻🙏🏻🙅
Mungu tuongoze yanga
C.v haichezi
Karibu robertinhon anakusubiria kwa hamu akukande za kutosha gamondi ni kocha wa kawaida sana 😂😂😂😂 Tena huyu akimaliza msimu Niko palee
Nabi alivyokuja yanga alitoka kufukuzwa na el merek ya sudani.. Mkamsema hivyo hivyo!
@@thadeylyimo9772 nabi amekuta Simba ikiwa imeyumba yumba nabi angekuja na kuikuta Ile Simba ya Gomez da Rosa mngemfukuza mapema sasahivi Simba inaenda kuimarika gamondi tutamuita omondi😂😂😂😂
Sawa
Tukuite nguruwe
@@nickclaver7195ahidi kitu
Yangaaaaaaaa
Leo umejitambua kuwa super cup Ni kwa wakubwa!
Amina 😢
naomba kujua et yanga tumemsajil nan na nan
kwa kocha huyu cvs zake hazina ushawishi
very nice
Well Done
Wataelewa wakina nani?ana mambo ya uswahilini Sana huyu,
Well done
Nyieee tutajuaaa Argentina and Brazil wapi Kuna ronadinho
Vile vile tutajua Argentina and Brazil wapi kuna Messi.
@@nkosiyabomasuku1795 we wadhan Messi n ronadinho nani mwamba hahahahaha yaan kigari na gugari
Ikumbukwe Master of forged Ptlroffesors n.i,Robertinho bado yupo pale Simba Sc anasubiri mmalize kujilamba ndimi aweonyeshe yeye ni nani na ana nini kwny ishu ya Football🤫😀😀😀🤗
Sas robertin kafanya nn cha ajabu ,kuifunga yanga ndo mafanikio yakuongea kweli nyie makolo malengo hamna
Mmechemka watani
Utopolo wametepeta upande wa mwalimu
We goo😂😂🙏💪💚💛💚💛🔥🔥
Miye niko Goma Congo, uyo coach njo kocha twamutaka siye yaga, ni profesa nasikiya.
Yule wa mimosa ndio kiboko huyo mechemka
Mbwe mbwe hizo... mnarudi kule kule kwenye utopolo
Huyu kama mdogo wa Nabi
He will be good at teaching
⁴4444
Chuma hicho 🎉🎉🎉
Kushangilia ujinga tu😂😂😂😂
Kumbe mnajua super cup niya wakubwa
Ukijaribu kuupinga ukweli siku moja usiyodhani utaumbuka tu sasa msemaji jeuri wa Yanga kaumbuka kwa maneno ya kinywa chake.
Siyo hiyo super league unayoijua wewe
Mje mtimue hahaaaa
Mnarudi kule kule
Mmepigwa n.a. Uyoo anjela
Yaani hapo wenyewe wanamuita" Migeli"
Hakuna mtoto muongokamawewe kamweni mnafiki shetanimkubwawe
Mechemka yule wa mimosa ndio kiboko
Tuna mtaka kocha wa aina hiyo watako
Mechi 3 tu watupe kombe
Kocha ashawahi kucheza viwanja vya mkwakwani ???????????? Na level ya wachezaji aliowafundisha wydad esperance us Alger ndio level ya wachezaji atakaowakuta hapo yanga??????????????????
Alikomwe ni muongo sana
Yaani unaongea kama uko mbagala rangi tatu ,,,,,,bado sana bwana mdogo hiyo nafasi inakupwaya!!
Nenda ww unaefiti
@@greysonkisinda7390 ukweli mchungu
Nachinja bataaa
Hana lolote huyo...
Ni Angel au enjo?
Angel - malaika hii ni balaa
💪
Karibu yanga utupe raha
💛💛💚💚✌👐
Utamani,kuwakamasimba,uchezesupa,kap,jitaidini,
Amenifurahisha sana leo amekiri kwamba suprcaf ni kubwa mno
Sio angeli ni enjo
Moja ya CV yake kocha mpya wa yanga nikuwa ashawai kupiga picha na maradona🤣🤣Ila hii nchii hii jamanii aya m nko muhimbili apa naomba kazi yakufanya fanya kazi ya usafii kwa madarasa ya wasudani.
Nimekuelewa
Rakinibado,kwayanga
Yanga bingwa tena msimu ujao tena
Mdomo huo angalia.vinatakiwa vitendo.utasutwa na maneno yako.
Nabi kamkimbia Roberto ngoja na ww uje ukandwe
unachekesha kweli 😆😆😆😆😆😆, huyo mlemavu ndo wa mguu
Katika watu wenye malengo mafupi kama mkia wa mbuzi ni wanasimba,stor yao ni kumfunga yanga na ndo lengo lao ,sasa wanafurahia kitu ambacho hawakijui kwamba yanga ni kubwa ndomana wanafurah kumfunga ,mbn hawaongei kumfunga ruvu
Tunahitaj vtendo baada ya maneno!
Hakika ni chuma kweli kweli.
Ndo kazi yako kutuaminisha kuwa n mzur ila ngoja tuone muda utaongea
Maneno mengi , washabiki wamekaa tamaa wameeka mikono mashavuni hawaani hayo maneno Mm nawatakia kila la kheri timu ya wajina wangu TOKA yy baba yake na babu yake mm na yy majina sawa yaani Ghalib Saïd Mohammed
Karibu. YANGA. Miguel. Njoo. Uwaonyeshe. Hao. Madunduka. Kuwa. Wewe. Ni. Nani. Kwenye. Soka
Maneno yako yanapingana na kile nafsi inachoongea,subilini mwezi wa nane ligi itafunguliwa,siongei kishabiki lakini huenda kilichowapata watani wenu Simba SC baada ya kumwuza Mickson na Chama ndicho kitawakabili,maana wasemaji kazi yenu ni kupamba pamba hata kama mnajua ukweli.
💚💚💚💛💛💛🔰🔰🔰
Mie simba ila CV yake inatisha
Hana maajabu
Simba uchwara
Tusubiri tuone
Mboge lakocha
Nakubal yanga
Rakinibado,kwayanga