HUYU MZEE NI BALAA! AMLIPUA RAIS SAMIA BILA WOGA, "ANANG'ANG'ANIA UFISADI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • #TANZANIA: Huyu mzee ni balaa! tazama alivyomlipua Rais Samia bila woga, "anang'ang'ania ufisadi"

КОМЕНТАРІ • 940

  • @user-fs6lp3op1x
    @user-fs6lp3op1x 11 місяців тому +188

    Mmmmhh tanzania tungekuwaa iviii ingee kuwa safiii saniiiiiii alieee muelewaa mzeee anipee like zanguuuu

    • @kassimsaid1723
      @kassimsaid1723 7 місяців тому +2

      Chongesheni chengine icho kiti mbao zipo nyingi tu😢😮

    • @rayyahinay-hp7jf
      @rayyahinay-hp7jf 5 місяців тому +1

      Mwehu tu, huyo anatafuta kura huyo!!!

    • @rayyahinay-hp7jf
      @rayyahinay-hp7jf 5 місяців тому +1

      Kweli huyo achongeshe kiti cha chuma anachosema hakieleweki!!! Anafikiri urais mchezo???

    • @user-cw1mj6yx6y
      @user-cw1mj6yx6y 4 місяці тому +1

      Kabisaa ajakoseaa mzeee❤❤❤

  • @ShukuruShaban
    @ShukuruShaban 6 місяців тому +31

    Mzee wangu Mungu akupe maisha marefu uendelee kututetea yaan mpaka nimetokwa na machozi ya furaha❤❤

  • @MkeroMkero
    @MkeroMkero 6 місяців тому +21

    ❤❤❤nakupenda sanaa mzeee wambie haooo nakukubali sanaaa

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 10 місяців тому +31

    Yaan Zanzibari mmenyooka Sana muko vizuri Sana .

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 9 місяців тому +30

    Huyu mzee ndie maalim seif alie bakia daahhhh wanyonge maisha hatunufaiki sababu ni uongozi kauli mbiu daima . Ila mungu . Yuko

  • @modrikabdallah
    @modrikabdallah 3 місяці тому +5

    2memchoka wa tanzania wote naa wala habadiliki uyo samia nimwizi2 kwenye taifa le2❤

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 8 місяців тому +20

    SEMAA BABA SEMAAA AFADHALI MUSEME UKWELI NYIE WAZEE MNALIONA HILOO MUNGU TUSAIDIEEE JAMANII!!!!

  • @johansenerasto5890
    @johansenerasto5890 11 місяців тому +67

    Huyu mzee anajielewa tumuunge mkono😊

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 11 місяців тому +1

      Hajielewi CHIZI tu

    • @AgnessKabamanywa-sd2dw
      @AgnessKabamanywa-sd2dw 11 місяців тому +1

      Sawa mzeee

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 місяців тому +5

      @@karimkassam571 musilete mambo ya dini apa samia ameshindwa ajiuzulu!

    • @frankcharles3980
      @frankcharles3980 7 місяців тому +2

      ​@@karimkassam571WEWE KICHWA HASARA NDO CHIZI MZEE YUPO SAWA KABISA

    • @azizauwase9207
      @azizauwase9207 6 місяців тому +2

      Mzee enasema kweli.dini na politic ni vitu viwili viko opposit.kumbuka ukoo wako mama samia tena usitie ubaguzi kwa wanainchi juu uta fail

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k 10 місяців тому +14

    Mungu akulinde baba huja taka kuwa mnafiki SEMA baba

  • @lovenessfrancis5547
    @lovenessfrancis5547 11 місяців тому +62

    Huyu mzee apewe maua yake 🌹🌹🌹mungu akutunze

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 6 місяців тому +6

    Mzee hongera sana. Mwenyezi Mungu akubariki. Tunakushukuru sana tena sana.

  • @philiplenardsylvester6063
    @philiplenardsylvester6063 11 місяців тому +14

    Hongera sanaaa Mzee mungu akulinde

  • @user-dw9fl5sv2z
    @user-dw9fl5sv2z 11 місяців тому +50

    Huna dhambi ya unafiki mzee wangu

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 5 місяців тому +2

      Tumemchokaaaa, haendeee zakeee

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha Місяць тому

      @@user-dw9fl5sv2z kweli tumechoka kwann mwaka 2025unakawaia kufika tupige kula Sasa huyu mmmm shida 2u

  • @flaxbeatman
    @flaxbeatman 12 годин тому

    Asante baba mungu akuzidishie

  • @user-fq2ut9ep8r
    @user-fq2ut9ep8r 10 місяців тому +11

    Hongera kwa kututetea wanyonge watanzani.

  • @user-bz2nd3bm1w
    @user-bz2nd3bm1w 11 місяців тому +22

    Tungekuwa na wazee hawa nchi hii ingenyoka,tungeheshimiana,ingefika mbali sana bigup sana mzee wangu

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 11 місяців тому

      Mzee mnafiki

    • @hadimznz
      @hadimznz 11 місяців тому

      Huyu, Mzee mgonjwa sana. hajui nafasi ya Rais wa Tanzania, anazungumza kwenye mkutano wa siasa kama kijiwe cha siasa

    • @hadimznz
      @hadimznz 11 місяців тому

      Kijiwe cha kahawa

    • @hadimznz
      @hadimznz 11 місяців тому

      😂😂😂😂wazee wachadema hatukubali tena kuolewa,eeeeeh aaaa kuonewa. ashapiga shishi huyo.

    • @isayashayo4777
      @isayashayo4777 11 місяців тому +1

      Nimependa apo tumeshindwa kuthibiti wiz wa bandari apo apo unaweza kujiuzulu maana hiyo ni falier

  • @user-jo8xr8cx4s
    @user-jo8xr8cx4s 9 місяців тому +7

    Asante baba

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 11 місяців тому +17

    Uko sahihi kabisa huyu mama ni binafisi

  • @user-jy8fl1mv8j
    @user-jy8fl1mv8j 11 місяців тому +8

    eee leo kapata chamoto asante sana mzee mungu akubariki

  • @steveJkaaya-qt1ih
    @steveJkaaya-qt1ih 6 місяців тому +6

    respect dah sema mzeee wang b mkubwa anafel sana atumuelewi

  • @JamesOlsereti-p7d
    @JamesOlsereti-p7d 28 днів тому +2

    Safi sana mbe ukweli❤❤❤❤❤

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 11 місяців тому +21

    Sikutegemea madini kama haya kutoka Z'bar! Ila mzee mwenzangu ingefaa uje bara utoe madini kama hayo kwani bara bado kuna watu hawajitambui! Kumbe mama yetu ameongeza deni la taifa kutoka trilioni 60 hadi trilioni 90! Balaa!

    • @Salmakikuli
      @Salmakikuli 5 місяців тому

      Kasema kweli kabisa ila kuja bara unamdanganya atasombwa

    • @user-ku2sr9se2z
      @user-ku2sr9se2z 4 місяці тому

      Mzee kama. We ni msema kweli tutajie na mazuri yake kwakua umeeleza matakwa yako sio ukweli wako hakuna raisi alietoa ajira nyingi kama mama samia kumbe unataka uongozi wa chama chako hapo mzee umegonga mwamba ccm ni ile ile oooni ileileeee

  • @tajirilmole3092
    @tajirilmole3092 7 місяців тому +6

    Asante sana baba kweli kabisa hali mbaya samia cjui kama ana watoto

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 8 днів тому +1

    True father kweli

  • @andrewdirangw8754
    @andrewdirangw8754 6 місяців тому +2

    Thats good freedom of speech

  • @user-fk1ne4qk7y
    @user-fk1ne4qk7y 11 місяців тому +19

    Huyu mzee awekewe ulinzi mkali🙏🙏

  • @nasaelmanya1850
    @nasaelmanya1850 11 місяців тому +40

    Kweli, Hana lolote huyu mama, Tunataka katiba mpya, Okoa bandari yetu...

    • @abedymtore2707
      @abedymtore2707 11 місяців тому

      Bandary zetu

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 5 місяців тому

      Hongera Sema usikike, Mwambie huyoo Mama

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 25 днів тому

      Huyu mama jamani mama gani Hana hata huruma kwa watanzania Hakika Umeme ambra ukweli Bandari zetu ziko wapi
      Misitu yetu
      Ardhi yetu
      Madini vyote unagawia wageni humwogopi hata Mungu jamani

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 4 місяці тому +2

    Yaani zanzibari ni sehemu nzuri sana baadaye itakuwa ni tajili sana Mungu ataiinua sana hiyo Zanzibari watakuwa matajiri mno

  • @adampetermakombe5654
    @adampetermakombe5654 11 місяців тому +15

    Namuelewa Sana huyu muzeeee😂😅

  • @mwenem8130
    @mwenem8130 11 місяців тому +40

    Hata huku TANGANYIKA Hafai, unafiki na ubinafsi ndio mkubwa

  • @AlvanEdwine-ih4vy
    @AlvanEdwine-ih4vy 6 місяців тому +8

    Lakini akifariki leo,mtamsifu yaan wanadamu hata ungewapa fedha bado watakuraum,mama samia chapa kazi mm nakukubali na pia naziona kazi zako😘😘

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 6 місяців тому

      Binadamu Hawaridhiki na wa Hawatosheki, mpaka mwanandani haumtoshi binaadam, point umenena nakupa maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @user-gb5we7ts9o
      @user-gb5we7ts9o 6 місяців тому

      Msenge wewe

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 6 місяців тому

      @@user-gb5we7ts9o Hivi mtu akitoa maoni yake anakuwa Msenge? Sasa wewe tukuiteje?

    • @AlvanEdwine-ih4vy
      @AlvanEdwine-ih4vy 6 місяців тому

      @@user-gb5we7ts9o ukiokoka Mungu ataondoa matusi ya kila namna kinywani mwako kaka

    • @AlvanEdwine-ih4vy
      @AlvanEdwine-ih4vy 6 місяців тому

      @@user-gb5we7ts9o ivo ulivo ukifa unakwenda jehanum ya moto,ningekusihi ungeokoka ukampendeza Mungu kaka

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 11 місяців тому +26

    Hongera sana mzee wangu.serikali tatu ndio chaguo la watanzania.Mama samia Rais wangu mpendwa wakati ndio huu wa kuweka historia ya kuruhusu katiba mpya yenye serikali tatu ili zanzibar na Tanganyika zipate mamlaka kamili na ziwe huru.Mfumo wa serikali mbili unainyonya sana zanzibar.

    • @johaiventimothy6583
      @johaiventimothy6583 5 місяців тому

      Unainyonyaje Zanzibar em nifafanulie ili nielewe kidogo

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha Місяць тому

      @@MathewNathan-yb2bz ety fafanya tuelewe au nawe ni WA huko ndo maan unatetea

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Місяць тому

      @@MerlinaKubadesha basi sawa hawainyonyi ,tunataka serikali tatu

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 11 місяців тому +12

    MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA HILA ZA CCM BABA YETU.🙏🙏🙏

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 3 місяці тому +2

    Mzee Mungu akubariki pia Akupe Maisha Marefu Amen

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud7734 11 місяців тому +13

    😂😂😂 Dah watu wamechoka sana maisha yamekua magumu sana kwa kweli uchumi umezidi kushuka kwa kweli..

    • @thomastarimo
      @thomastarimo 10 місяців тому

      ana angalia kwao na siyo hapa na akuna mwenye imani na yeye

    • @thomastarimo
      @thomastarimo 10 місяців тому

      amina amina amina ata engejenga bara bara ya kioo

  • @FatihiyaYakub
    @FatihiyaYakub 17 днів тому +2

    Potelea mbali liwalo na liwe mzee umeongea point Sana uiiiiiiiii

  • @husseinkiondo7439
    @husseinkiondo7439 6 місяців тому +11

    Nimekupenda sana

  • @user-tl1nz7qx2l
    @user-tl1nz7qx2l 4 місяці тому +1

    Safi sanaaaa Asante pepo hilooo!!!!

  • @user-ry1pe3tu5s
    @user-ry1pe3tu5s 9 місяців тому +2

    Uhiii ukweli mtupu, ,hongera mh Hashim

  • @AnthonyKibona-e5b
    @AnthonyKibona-e5b 3 дні тому

    Point sana mzee

  • @user-ko8vq9mn8w
    @user-ko8vq9mn8w 11 місяців тому +3

    Your so clever keep itup

  • @user-tj2rr6lv1k
    @user-tj2rr6lv1k 3 місяці тому

    Umetishaaaa sna sna Tajir Mungu akupe maisha marefu unafikii ni dhambi kubwa na ww umeikna

  • @zabronjonathan2264
    @zabronjonathan2264 11 місяців тому +10

    Kweli Watanzania tunataka katiba mpya.

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 8 днів тому

    True father ham kweli kweli

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 11 місяців тому +14

    Mzee watu wa aina yako ni wapenzi wa mwenyezi Mungu, utaiona pepo ingawa wanadamu wenye laana watakuchukia. Neno lolote atakalokuja nalo kwenye press na vikosi kazi vyake kuchelewesha katiba ni kinyume cha haki. Wananchi tusikubaliane na ushauri Bali tushauriane wote namna ya kupata katiba sasa.

  • @felixsanga
    @felixsanga 11 місяців тому +3

    Kila jambo ni "Wakati"A right word spoken in a right time is an "Apple in the golden Plate!Speak Loudly,Makeloud!Parles,parle,Sololar bien!Merci beau coup!

  • @JamesJasson-dg8lf
    @JamesJasson-dg8lf 11 місяців тому +14

    Axante mzee wangu.

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 8 днів тому

    True father

  • @user-vs2hs6qy3p
    @user-vs2hs6qy3p 7 місяців тому +7

    Ubarikiwe baba🎉❤

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 7 місяців тому +5

    Kweli mama Sikia ujumbe huu,

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o 7 днів тому

    waoooooooooo

  • @EmmanuelMakyao-er2nl
    @EmmanuelMakyao-er2nl 11 місяців тому +4

    Akili hii .na ujasiri huu ni wakipekee sana Mungu akubariki sana

  • @alexmosha9979
    @alexmosha9979 11 місяців тому +14

    Kweli watu wamechoka

  • @KhadijaTaghalibu
    @KhadijaTaghalibu 6 днів тому

    Hatari sana

  • @dottondege8869
    @dottondege8869 11 місяців тому +6

    uko sawa kamanda watanzania tunataka katiba

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 11 місяців тому +1

    WELL SAID

  • @aminielngungati1487
    @aminielngungati1487 6 місяців тому +2

    This is revolution
    Watanzania tuamke Sasa tunahutaji mabadiliko

  • @khelefsalum3803
    @khelefsalum3803 11 місяців тому +8

    Maneno mazuri sana yanataja kufanyiwa kazi

  • @mohamedkigwehe3561
    @mohamedkigwehe3561 11 місяців тому +5

    Mama Samia badilika mama asahivi watu tumechoka au mnataka mpaka tutoane damu?😢😢

  • @mariamjoseph5555
    @mariamjoseph5555 12 днів тому

    Respect mzee

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 11 місяців тому +10

    Wewe ndio Waziri wa baadae !!! Respect sana

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 11 місяців тому

      Kunaanzishwa Wizara ya vichaa.

    • @vickytorry100
      @vickytorry100 11 місяців тому

      @@hajihassan5433
      Si hao vichaa wa family yako na wewe mwenyewe🤣

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l Місяць тому +1

    Arusha wambiye migambo waache kutukimbiza sisi mama mbonga watuache usiku tufanye kazi nje mwenyezi mungu atusaidiye sana mama mbonga

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 11 місяців тому +9

    safi sana dawa imemuingia samia hana hofu ya mungu

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 10 місяців тому

      😂😂 kama vile wewe unahofu yaani kwanini mkishiba hamchukui jembe mkalime na mvua nyingi jamaani uongozi sio lelemama ebu jiangalie wee umeifanyia nn familia yako yaani mambo yote Aya yanayofanyika kila Kona yaani mnataka mnambie amuoni mkiwa mnasafiri mbona mambo yanakwenda au ukiwa na chuki huwezi ona mazuri ya mtu Niwaambie tu kama mmeamua kumkataa bila sababu kataeni kwa mapenzi yenu lkn mama anachapa kazi

  • @masudimikidadi4741
    @masudimikidadi4741 12 днів тому

    Wa Zanzibar wapo sahihi kabisa shida sisi watanganyika waoga sana kufa

  • @johansenerasto5890
    @johansenerasto5890 11 місяців тому +11

    Huyu ni mzalendo haswa

  • @NelsonMerick
    @NelsonMerick 11 днів тому

    Safi sana hii

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 місяців тому +3

    Hongera sana msemaji kwa sababu unaongea haki kabisa kwa sababu CCM hawana lo lote bali unafiki mtupu. Huyu samia analea wala rushwa na wezi mtupu. Na huyu mama naye ni mwizi kwa sababu analea wezi watupu na ndiyo wanampamba. Wanao mpamba wezi ni Samia

    • @oswardnshoki1000
      @oswardnshoki1000 6 місяців тому

      Kuwa na SERIKALI tatu ni muhim sana hata mim huwa nafikiria hilo mara kwa mara

  • @EvaKalukwa
    @EvaKalukwa 20 днів тому

    Vzr mzeee mungu akup MAISHA malefu

  • @charlesassey5642
    @charlesassey5642 7 місяців тому +6

    Safi sana watu kama hawa nawapenda sana hakuna kumuogopa mtu , wakimwaga mboga unamwaga ugali wote mnalala na njaa

  • @josephbernadnajiunganisham453
    @josephbernadnajiunganisham453 11 місяців тому +10

    mzee nimekupenda bre ww ndo mtu wamungu kabisa

  • @AbubakaryMohamedy
    @AbubakaryMohamedy 6 місяців тому +2

    Really my brother msema kwel nimpenz wamungu mungu akusimamie san

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha Місяць тому

      Kabisa mungu amulinde Kwan Kila siku Dr zanzimbar no mwanza or Arusha ahahahaaaaa

  • @w4058
    @w4058 11 місяців тому +5

    Wote hawana Imani na Wazanzibar lakini na Wazanzibar wenyewe pia hawajipendi maana wana unafiki Allaah atuhifadhi

  • @user-zg1zf7er3c
    @user-zg1zf7er3c 10 місяців тому +2

    Hongera sana mauayako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @charlesbarongo2778
    @charlesbarongo2778 11 місяців тому +26

    Amejitoa mzee wa watu

  • @ReganChuwa
    @ReganChuwa Місяць тому

    Congrats grandpa god protect you❤❤❤❤

  • @solutionprovider7155
    @solutionprovider7155 11 місяців тому +11

    Kumbe tuko wengi,rais hana faida hata kidogo,ila Yeye na familia yake na wapambe wake tu ndio wanafaidi ila Mungu yupo

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 7 місяців тому

      Nasikia msago

  • @user-xc2kz8ci4z
    @user-xc2kz8ci4z 14 днів тому

    Huu ndio uzalendo tusiwe wanafiki tuyaeke wazi yanatukereketa..ongera sana mzee wngu mungu Yuko pamoja nawe

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 10 місяців тому +2

    Weee kakaa binadamu hawez kuwaridhishaa wote,mungu amuhifadhi mama samia

  • @MagdalenaShaudo
    @MagdalenaShaudo Місяць тому +1

  • @user-mh5mx1kn8j
    @user-mh5mx1kn8j 11 місяців тому +4

    Haya kwa mjomba hatuyasikia mliufyata Leo kila mtu mwanasiasa achen porojo zenu nyinyi mngelisema miaka miwili nyuma tungeona kwer wanasiasa Sasa upole wa mama umejua kosa heshimuni mamlaka na viongozi waliowekwa na mungu achen porojo zenu

    • @lameckmbele5901
      @lameckmbele5901 11 місяців тому

      ww huna akili kweli Mungu gani kawaweka hao viongozi? unachopanda ndicho utakachovuna kama hutavuna ww watavuna watoto wako kama watoto hawatavuna vitukuu vyako Biblia imeandka atawabatiliza wana maovu ya baba zao kuwa makini kushabikia dhuruma huko mbele kizazi chako watajuta kuzaliwa na ww mjinga ww waandalie huo upuuzi wako kila ovu linalofanywa litalipwa sawa sawa na ulivyofanya kwasasa furahieni ni kwa muda mfupi sn acha watanzania walio wengi wateseke na udharimu wenu

    • @user-mh5mx1kn8j
      @user-mh5mx1kn8j 11 місяців тому

      @@lameckmbele5901 roho mbaya inakusumbua mungu akipanga hakuna wa kupangua ndo maana unachuki zisizo na msing amin kwa Imani yako lakin mungu ndo mtoaji utasubir sana kama hajapanga kukupa utabaki lawama tu mungu ndio kila kitu broo anampa amtakaye kwa sababu zake mwenyew

    • @isaacdavid3997
      @isaacdavid3997 11 місяців тому

      Si kila mamlaka duniani imewekwa na Mungu. Acheni kupotosha watu maana hata ibilisi ana nguvu za kuweka mamlaka za uongozi duniani. Maandiko ya vitabu vitakatifu yalilenga jamii za watu Wenye hofu ya Mungu na si jamii za watu wapumbavu kama hizi za kwetu. Hizi ni serikali za kishetani zenye asili ya kuzimu. Zingetoka Kwa Mungu zingejiepusha na maovu. Eti uongozi wa Mama Samia, Mwigulu, Nape au January umetoka Kwa Mungu? Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa asema Mungu.

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w 11 місяців тому +2

    Tamu sana

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un 11 місяців тому +10

    Nikwel kabisaaaaaa mzeee

  • @user-js4bu1jp7n
    @user-js4bu1jp7n 20 днів тому

    Kweli

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 11 місяців тому +7

    Huyu Mzee alikua kajificha wapi??!!

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 5 місяців тому

      😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏

    • @user-bl4th3cf7k
      @user-bl4th3cf7k Місяць тому

      Hakujificha ndugu yangu, bali alikuwa chaka Tuition anapata darasa, sasa kahitim, ndo kaja sasa!😂😂🔥✌️😂!

    • @moxasaidi3398
      @moxasaidi3398 3 дні тому

      😂

  • @ThomasMbwiga
    @ThomasMbwiga 21 день тому

    Hongera sana mzee Mungu akulinde na akusimamie

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 11 місяців тому +3

    Sema Babaaaaaaaaa 😂

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 6 місяців тому +1

    Safi sana tunataka watu kama hawa wenye kusema ukwer

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 6 місяців тому +4

    Mzee anaongea ujinga tu anawaza Samia awapendelee Zanzibar akili kisoda huyu😅😂😂😅kumbe anaiwazia zanzibar tu wakt samia ni rais wa Tanzania.

  • @nefertitibelinda1146
    @nefertitibelinda1146 5 місяців тому +1

    Asante Sana kwa kutusemea.... Uchawa unaharibu nchi maana hakuna uwajibikaji na waliopo madarakani ni machawa wasio na weledi wa wizara au taasisi wanazopeana...😢

  • @user-jy8fl1mv8j
    @user-jy8fl1mv8j 11 місяців тому +5

    afadhali umesema mzee wangu hata hafai kuitwa mama huyo ni mhuni tu wakawaida

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 7 місяців тому

      Muhuni nasikia pombe msago ndio zako

  • @user-gk2sp1cl1n
    @user-gk2sp1cl1n Місяць тому

    Mungu akupe maisha malefu undelete kutetea tanzania

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 11 місяців тому +2

    wazanzibari tunahitaji katiba mpya bila hivyo samia hujaisaidia Zanzibar

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 11 місяців тому +1

    Mungu akulinde baba.

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 11 місяців тому +4

    Huu ndio ukweri ata uku mtaani akubariki wara hatu muerewi cjui ana ongoza vitu gan ni panga pangua arafu mafisadi ndio rafiki zake nape mwigulu na januali makamba hata wana wake wenzie huku mtaani hawa mpendi kama kufa

  • @user-tl1nz7qx2l
    @user-tl1nz7qx2l 4 місяці тому

    Asante baba❤

  • @user-iw9zm7zh2u
    @user-iw9zm7zh2u 11 місяців тому +4

    Mzee kala pilipili kichaa kachachuka😅😅😅😅😅😅

    • @magretomondi8312
      @magretomondi8312 6 місяців тому

      Hahahaaaaa pilipili ki chaa yamwashaaa yuatapika yoteee

  • @luckynation7747
    @luckynation7747 10 місяців тому +2

    Nimeipenda kinomaa speech yako mzee

  • @user-th5fz3dv2b
    @user-th5fz3dv2b 11 місяців тому +3

    Mhm!! Rudi tu kuwasaidia WENZAKO Watanganyika MBONA tunajiwsza

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban 11 місяців тому +3

    Wewe ukipewa unaweza ukakipatia icho kiti zanzibar au unaropokwa tuu

  • @stevensteven4513
    @stevensteven4513 Місяць тому

    Mtu wa Maana Kabisaa huyu Mzee 💪💪💪 MUNGU AKUSIMAMIE Maalimu Seifu uliobakia