Sikutegemea madini kama haya kutoka Z'bar! Ila mzee mwenzangu ingefaa uje bara utoe madini kama hayo kwani bara bado kuna watu hawajitambui! Kumbe mama yetu ameongeza deni la taifa kutoka trilioni 60 hadi trilioni 90! Balaa!
Mzee kama. We ni msema kweli tutajie na mazuri yake kwakua umeeleza matakwa yako sio ukweli wako hakuna raisi alietoa ajira nyingi kama mama samia kumbe unataka uongozi wa chama chako hapo mzee umegonga mwamba ccm ni ile ile oooni ileileeee
Huyu mama jamani mama gani Hana hata huruma kwa watanzania Hakika Umeme ambra ukweli Bandari zetu ziko wapi Misitu yetu Ardhi yetu Madini vyote unagawia wageni humwogopi hata Mungu jamani
Hongera sana mzee wangu.serikali tatu ndio chaguo la watanzania.Mama samia Rais wangu mpendwa wakati ndio huu wa kuweka historia ya kuruhusu katiba mpya yenye serikali tatu ili zanzibar na Tanganyika zipate mamlaka kamili na ziwe huru.Mfumo wa serikali mbili unainyonya sana zanzibar.
Mzee watu wa aina yako ni wapenzi wa mwenyezi Mungu, utaiona pepo ingawa wanadamu wenye laana watakuchukia. Neno lolote atakalokuja nalo kwenye press na vikosi kazi vyake kuchelewesha katiba ni kinyume cha haki. Wananchi tusikubaliane na ushauri Bali tushauriane wote namna ya kupata katiba sasa.
Kila jambo ni "Wakati"A right word spoken in a right time is an "Apple in the golden Plate!Speak Loudly,Makeloud!Parles,parle,Sololar bien!Merci beau coup!
😂😂 kama vile wewe unahofu yaani kwanini mkishiba hamchukui jembe mkalime na mvua nyingi jamaani uongozi sio lelemama ebu jiangalie wee umeifanyia nn familia yako yaani mambo yote Aya yanayofanyika kila Kona yaani mnataka mnambie amuoni mkiwa mnasafiri mbona mambo yanakwenda au ukiwa na chuki huwezi ona mazuri ya mtu Niwaambie tu kama mmeamua kumkataa bila sababu kataeni kwa mapenzi yenu lkn mama anachapa kazi
Hongera sana msemaji kwa sababu unaongea haki kabisa kwa sababu CCM hawana lo lote bali unafiki mtupu. Huyu samia analea wala rushwa na wezi mtupu. Na huyu mama naye ni mwizi kwa sababu analea wezi watupu na ndiyo wanampamba. Wanao mpamba wezi ni Samia
Haya kwa mjomba hatuyasikia mliufyata Leo kila mtu mwanasiasa achen porojo zenu nyinyi mngelisema miaka miwili nyuma tungeona kwer wanasiasa Sasa upole wa mama umejua kosa heshimuni mamlaka na viongozi waliowekwa na mungu achen porojo zenu
ww huna akili kweli Mungu gani kawaweka hao viongozi? unachopanda ndicho utakachovuna kama hutavuna ww watavuna watoto wako kama watoto hawatavuna vitukuu vyako Biblia imeandka atawabatiliza wana maovu ya baba zao kuwa makini kushabikia dhuruma huko mbele kizazi chako watajuta kuzaliwa na ww mjinga ww waandalie huo upuuzi wako kila ovu linalofanywa litalipwa sawa sawa na ulivyofanya kwasasa furahieni ni kwa muda mfupi sn acha watanzania walio wengi wateseke na udharimu wenu
@@lameckmbele5901 roho mbaya inakusumbua mungu akipanga hakuna wa kupangua ndo maana unachuki zisizo na msing amin kwa Imani yako lakin mungu ndo mtoaji utasubir sana kama hajapanga kukupa utabaki lawama tu mungu ndio kila kitu broo anampa amtakaye kwa sababu zake mwenyew
Si kila mamlaka duniani imewekwa na Mungu. Acheni kupotosha watu maana hata ibilisi ana nguvu za kuweka mamlaka za uongozi duniani. Maandiko ya vitabu vitakatifu yalilenga jamii za watu Wenye hofu ya Mungu na si jamii za watu wapumbavu kama hizi za kwetu. Hizi ni serikali za kishetani zenye asili ya kuzimu. Zingetoka Kwa Mungu zingejiepusha na maovu. Eti uongozi wa Mama Samia, Mwigulu, Nape au January umetoka Kwa Mungu? Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa asema Mungu.
Asante Sana kwa kutusemea.... Uchawa unaharibu nchi maana hakuna uwajibikaji na waliopo madarakani ni machawa wasio na weledi wa wizara au taasisi wanazopeana...😢
Huu ndio ukweri ata uku mtaani akubariki wara hatu muerewi cjui ana ongoza vitu gan ni panga pangua arafu mafisadi ndio rafiki zake nape mwigulu na januali makamba hata wana wake wenzie huku mtaani hawa mpendi kama kufa
Mmmmhh tanzania tungekuwaa iviii ingee kuwa safiii saniiiiiii alieee muelewaa mzeee anipee like zanguuuu
Chongesheni chengine icho kiti mbao zipo nyingi tu😢😮
Mwehu tu, huyo anatafuta kura huyo!!!
Kweli huyo achongeshe kiti cha chuma anachosema hakieleweki!!! Anafikiri urais mchezo???
Kabisaa ajakoseaa mzeee❤❤❤
Mzee wangu Mungu akupe maisha marefu uendelee kututetea yaan mpaka nimetokwa na machozi ya furaha❤❤
Acha umbeya ww mambo ya kike ayo
❤❤❤
❤❤❤nakupenda sanaa mzeee wambie haooo nakukubali sanaaa
Yaan Zanzibari mmenyooka Sana muko vizuri Sana .
Huyu mzee ndie maalim seif alie bakia daahhhh wanyonge maisha hatunufaiki sababu ni uongozi kauli mbiu daima . Ila mungu . Yuko
2memchoka wa tanzania wote naa wala habadiliki uyo samia nimwizi2 kwenye taifa le2❤
SEMAA BABA SEMAAA AFADHALI MUSEME UKWELI NYIE WAZEE MNALIONA HILOO MUNGU TUSAIDIEEE JAMANII!!!!
Huyu mzee anajielewa tumuunge mkono😊
Hajielewi CHIZI tu
Sawa mzeee
@@karimkassam571 musilete mambo ya dini apa samia ameshindwa ajiuzulu!
@@karimkassam571WEWE KICHWA HASARA NDO CHIZI MZEE YUPO SAWA KABISA
Mzee enasema kweli.dini na politic ni vitu viwili viko opposit.kumbuka ukoo wako mama samia tena usitie ubaguzi kwa wanainchi juu uta fail
Mungu akulinde baba huja taka kuwa mnafiki SEMA baba
Huyu mzee apewe maua yake 🌹🌹🌹mungu akutunze
❤❤🎉🎉
Wewe KAMPE
Asante mnooooo
True
Mzee hongera sana. Mwenyezi Mungu akubariki. Tunakushukuru sana tena sana.
Hongera sanaaa Mzee mungu akulinde
Huna dhambi ya unafiki mzee wangu
Tumemchokaaaa, haendeee zakeee
@@user-dw9fl5sv2z kweli tumechoka kwann mwaka 2025unakawaia kufika tupige kula Sasa huyu mmmm shida 2u
Asante baba mungu akuzidishie
Hongera kwa kututetea wanyonge watanzani.
Tungekuwa na wazee hawa nchi hii ingenyoka,tungeheshimiana,ingefika mbali sana bigup sana mzee wangu
Mzee mnafiki
Huyu, Mzee mgonjwa sana. hajui nafasi ya Rais wa Tanzania, anazungumza kwenye mkutano wa siasa kama kijiwe cha siasa
Kijiwe cha kahawa
😂😂😂😂wazee wachadema hatukubali tena kuolewa,eeeeeh aaaa kuonewa. ashapiga shishi huyo.
Nimependa apo tumeshindwa kuthibiti wiz wa bandari apo apo unaweza kujiuzulu maana hiyo ni falier
Asante baba
Uko sahihi kabisa huyu mama ni binafisi
eee leo kapata chamoto asante sana mzee mungu akubariki
respect dah sema mzeee wang b mkubwa anafel sana atumuelewi
Safi sana mbe ukweli❤❤❤❤❤
Sikutegemea madini kama haya kutoka Z'bar! Ila mzee mwenzangu ingefaa uje bara utoe madini kama hayo kwani bara bado kuna watu hawajitambui! Kumbe mama yetu ameongeza deni la taifa kutoka trilioni 60 hadi trilioni 90! Balaa!
Kasema kweli kabisa ila kuja bara unamdanganya atasombwa
Mzee kama. We ni msema kweli tutajie na mazuri yake kwakua umeeleza matakwa yako sio ukweli wako hakuna raisi alietoa ajira nyingi kama mama samia kumbe unataka uongozi wa chama chako hapo mzee umegonga mwamba ccm ni ile ile oooni ileileeee
Asante sana baba kweli kabisa hali mbaya samia cjui kama ana watoto
True father kweli
Thats good freedom of speech
Huyu mzee awekewe ulinzi mkali🙏🙏
Acha umbea....
@@aliyageorge6794 Mmbeya Mwenyewe.
huyo chadema hizo ni siasa
Hulu mbinafsi wa hatari
Ulinzi anao mwenyewe M'mungu
Kweli, Hana lolote huyu mama, Tunataka katiba mpya, Okoa bandari yetu...
Bandary zetu
Hongera Sema usikike, Mwambie huyoo Mama
Huyu mama jamani mama gani Hana hata huruma kwa watanzania Hakika Umeme ambra ukweli Bandari zetu ziko wapi
Misitu yetu
Ardhi yetu
Madini vyote unagawia wageni humwogopi hata Mungu jamani
Yaani zanzibari ni sehemu nzuri sana baadaye itakuwa ni tajili sana Mungu ataiinua sana hiyo Zanzibari watakuwa matajiri mno
Namuelewa Sana huyu muzeeee😂😅
Hata huku TANGANYIKA Hafai, unafiki na ubinafsi ndio mkubwa
Lakini akifariki leo,mtamsifu yaan wanadamu hata ungewapa fedha bado watakuraum,mama samia chapa kazi mm nakukubali na pia naziona kazi zako😘😘
Binadamu Hawaridhiki na wa Hawatosheki, mpaka mwanandani haumtoshi binaadam, point umenena nakupa maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉
Msenge wewe
@@user-gb5we7ts9o Hivi mtu akitoa maoni yake anakuwa Msenge? Sasa wewe tukuiteje?
@@user-gb5we7ts9o ukiokoka Mungu ataondoa matusi ya kila namna kinywani mwako kaka
@@user-gb5we7ts9o ivo ulivo ukifa unakwenda jehanum ya moto,ningekusihi ungeokoka ukampendeza Mungu kaka
Hongera sana mzee wangu.serikali tatu ndio chaguo la watanzania.Mama samia Rais wangu mpendwa wakati ndio huu wa kuweka historia ya kuruhusu katiba mpya yenye serikali tatu ili zanzibar na Tanganyika zipate mamlaka kamili na ziwe huru.Mfumo wa serikali mbili unainyonya sana zanzibar.
Unainyonyaje Zanzibar em nifafanulie ili nielewe kidogo
@@MathewNathan-yb2bz ety fafanya tuelewe au nawe ni WA huko ndo maan unatetea
@@MerlinaKubadesha basi sawa hawainyonyi ,tunataka serikali tatu
MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA HILA ZA CCM BABA YETU.🙏🙏🙏
Aaamin
Mzee Mungu akubariki pia Akupe Maisha Marefu Amen
😂😂😂 Dah watu wamechoka sana maisha yamekua magumu sana kwa kweli uchumi umezidi kushuka kwa kweli..
ana angalia kwao na siyo hapa na akuna mwenye imani na yeye
amina amina amina ata engejenga bara bara ya kioo
Potelea mbali liwalo na liwe mzee umeongea point Sana uiiiiiiiii
Nimekupenda sana
Safi sanaaaa Asante pepo hilooo!!!!
Uhiii ukweli mtupu, ,hongera mh Hashim
Point sana mzee
Your so clever keep itup
Umetishaaaa sna sna Tajir Mungu akupe maisha marefu unafikii ni dhambi kubwa na ww umeikna
Kweli Watanzania tunataka katiba mpya.
True father ham kweli kweli
Mzee watu wa aina yako ni wapenzi wa mwenyezi Mungu, utaiona pepo ingawa wanadamu wenye laana watakuchukia. Neno lolote atakalokuja nalo kwenye press na vikosi kazi vyake kuchelewesha katiba ni kinyume cha haki. Wananchi tusikubaliane na ushauri Bali tushauriane wote namna ya kupata katiba sasa.
1😊
Kila jambo ni "Wakati"A right word spoken in a right time is an "Apple in the golden Plate!Speak Loudly,Makeloud!Parles,parle,Sololar bien!Merci beau coup!
Axante mzee wangu.
True father
Ubarikiwe baba🎉❤
Kweli mama Sikia ujumbe huu,
waoooooooooo
Akili hii .na ujasiri huu ni wakipekee sana Mungu akubariki sana
Kweli watu wamechoka
Hatari sana
uko sawa kamanda watanzania tunataka katiba
WELL SAID
This is revolution
Watanzania tuamke Sasa tunahutaji mabadiliko
Maneno mazuri sana yanataja kufanyiwa kazi
Mama Samia badilika mama asahivi watu tumechoka au mnataka mpaka tutoane damu?😢😢
Respect mzee
Wewe ndio Waziri wa baadae !!! Respect sana
Kunaanzishwa Wizara ya vichaa.
@@hajihassan5433
Si hao vichaa wa family yako na wewe mwenyewe🤣
Arusha wambiye migambo waache kutukimbiza sisi mama mbonga watuache usiku tufanye kazi nje mwenyezi mungu atusaidiye sana mama mbonga
safi sana dawa imemuingia samia hana hofu ya mungu
😂😂 kama vile wewe unahofu yaani kwanini mkishiba hamchukui jembe mkalime na mvua nyingi jamaani uongozi sio lelemama ebu jiangalie wee umeifanyia nn familia yako yaani mambo yote Aya yanayofanyika kila Kona yaani mnataka mnambie amuoni mkiwa mnasafiri mbona mambo yanakwenda au ukiwa na chuki huwezi ona mazuri ya mtu Niwaambie tu kama mmeamua kumkataa bila sababu kataeni kwa mapenzi yenu lkn mama anachapa kazi
Wa Zanzibar wapo sahihi kabisa shida sisi watanganyika waoga sana kufa
Huyu ni mzalendo haswa
Safi sana hii
Hongera sana msemaji kwa sababu unaongea haki kabisa kwa sababu CCM hawana lo lote bali unafiki mtupu. Huyu samia analea wala rushwa na wezi mtupu. Na huyu mama naye ni mwizi kwa sababu analea wezi watupu na ndiyo wanampamba. Wanao mpamba wezi ni Samia
Kuwa na SERIKALI tatu ni muhim sana hata mim huwa nafikiria hilo mara kwa mara
Vzr mzeee mungu akup MAISHA malefu
Safi sana watu kama hawa nawapenda sana hakuna kumuogopa mtu , wakimwaga mboga unamwaga ugali wote mnalala na njaa
mzee nimekupenda bre ww ndo mtu wamungu kabisa
Really my brother msema kwel nimpenz wamungu mungu akusimamie san
Kabisa mungu amulinde Kwan Kila siku Dr zanzimbar no mwanza or Arusha ahahahaaaaa
Wote hawana Imani na Wazanzibar lakini na Wazanzibar wenyewe pia hawajipendi maana wana unafiki Allaah atuhifadhi
Facts100%
Yote unayosem n kwel
Hongera sana mauayako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amejitoa mzee wa watu
Congrats grandpa god protect you❤❤❤❤
Kumbe tuko wengi,rais hana faida hata kidogo,ila Yeye na familia yake na wapambe wake tu ndio wanafaidi ila Mungu yupo
Nasikia msago
Huu ndio uzalendo tusiwe wanafiki tuyaeke wazi yanatukereketa..ongera sana mzee wngu mungu Yuko pamoja nawe
Weee kakaa binadamu hawez kuwaridhishaa wote,mungu amuhifadhi mama samia
❤
Haya kwa mjomba hatuyasikia mliufyata Leo kila mtu mwanasiasa achen porojo zenu nyinyi mngelisema miaka miwili nyuma tungeona kwer wanasiasa Sasa upole wa mama umejua kosa heshimuni mamlaka na viongozi waliowekwa na mungu achen porojo zenu
ww huna akili kweli Mungu gani kawaweka hao viongozi? unachopanda ndicho utakachovuna kama hutavuna ww watavuna watoto wako kama watoto hawatavuna vitukuu vyako Biblia imeandka atawabatiliza wana maovu ya baba zao kuwa makini kushabikia dhuruma huko mbele kizazi chako watajuta kuzaliwa na ww mjinga ww waandalie huo upuuzi wako kila ovu linalofanywa litalipwa sawa sawa na ulivyofanya kwasasa furahieni ni kwa muda mfupi sn acha watanzania walio wengi wateseke na udharimu wenu
@@lameckmbele5901 roho mbaya inakusumbua mungu akipanga hakuna wa kupangua ndo maana unachuki zisizo na msing amin kwa Imani yako lakin mungu ndo mtoaji utasubir sana kama hajapanga kukupa utabaki lawama tu mungu ndio kila kitu broo anampa amtakaye kwa sababu zake mwenyew
Si kila mamlaka duniani imewekwa na Mungu. Acheni kupotosha watu maana hata ibilisi ana nguvu za kuweka mamlaka za uongozi duniani. Maandiko ya vitabu vitakatifu yalilenga jamii za watu Wenye hofu ya Mungu na si jamii za watu wapumbavu kama hizi za kwetu. Hizi ni serikali za kishetani zenye asili ya kuzimu. Zingetoka Kwa Mungu zingejiepusha na maovu. Eti uongozi wa Mama Samia, Mwigulu, Nape au January umetoka Kwa Mungu? Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa asema Mungu.
Tamu sana
Nikwel kabisaaaaaa mzeee
Kweli
Huyu Mzee alikua kajificha wapi??!!
😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏
Hakujificha ndugu yangu, bali alikuwa chaka Tuition anapata darasa, sasa kahitim, ndo kaja sasa!😂😂🔥✌️😂!
😂
Hongera sana mzee Mungu akulinde na akusimamie
Sema Babaaaaaaaaa 😂
Safi sana tunataka watu kama hawa wenye kusema ukwer
Mzee anaongea ujinga tu anawaza Samia awapendelee Zanzibar akili kisoda huyu😅😂😂😅kumbe anaiwazia zanzibar tu wakt samia ni rais wa Tanzania.
Kumbe tishi lako lishayumba 😂
Asante Sana kwa kutusemea.... Uchawa unaharibu nchi maana hakuna uwajibikaji na waliopo madarakani ni machawa wasio na weledi wa wizara au taasisi wanazopeana...😢
afadhali umesema mzee wangu hata hafai kuitwa mama huyo ni mhuni tu wakawaida
Muhuni nasikia pombe msago ndio zako
Mungu akupe maisha malefu undelete kutetea tanzania
wazanzibari tunahitaji katiba mpya bila hivyo samia hujaisaidia Zanzibar
Tena zanzibar ipate mamlaka kamili.
Mungu akulinde baba.
Huu ndio ukweri ata uku mtaani akubariki wara hatu muerewi cjui ana ongoza vitu gan ni panga pangua arafu mafisadi ndio rafiki zake nape mwigulu na januali makamba hata wana wake wenzie huku mtaani hawa mpendi kama kufa
Asante baba❤
Mzee kala pilipili kichaa kachachuka😅😅😅😅😅😅
Hahahaaaaa pilipili ki chaa yamwashaaa yuatapika yoteee
Nimeipenda kinomaa speech yako mzee
Mhm!! Rudi tu kuwasaidia WENZAKO Watanganyika MBONA tunajiwsza
Wewe ukipewa unaweza ukakipatia icho kiti zanzibar au unaropokwa tuu
Hujitambui anaweza mama yako
@@mbwanahasan2971sasa matusi ya nini?
Mtu wa Maana Kabisaa huyu Mzee 💪💪💪 MUNGU AKUSIMAMIE Maalimu Seifu uliobakia