Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
Utabarikiwa
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
Kipindi. Ķimetulia. Vizuri. Mwijaku. Hayupo. Wamekelele. Aende. Salama. Kwakweli. Kipndi. Kimependeza. ❤❤
😂😂😂😂
Umewaza kama mimi simpendi misifa mingi
😂😂😂 akawapigie kelele huko mbele kwa mbele
😂😂😂 yupo Dubai anakula bata
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
hee umenikumbusha baba mwita
@@floraflora5964kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
Anafana na mama yake 😊
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
😂
😅😅😅😅😅
Put the music off or down a bit as you guys telk
Katokea kwetu
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
Nimelia
Bibi bado ana maumivu
Kweli
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
Hongera sana
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
Acheni kuweka huo mziki
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
❤❤❤
Daaa kafanana na mamaake sana
❤
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
🎉
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
😂😂😂
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉
Mama znaongea kibembe
Weee nalia bas tu
Ila inauma
Sis sio milima tutakutan
Bibi ana kinyongo 😂
😂😂😂
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
Safuy san kwakipidi
Acheni muziki
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
😂😂😂anawaza mbal
katikati
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
Sijui yaaani basi tu
Ilikuwaje wakapotezana???
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
Kampatia mtu chake jaman
Ila babu
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
Rose anafanana na mama yake
Sana
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
😂😂😂
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
Yaani😂😂😂
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
Mie ningemtia ngumi 😂😂
😂😂😂😂
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
Huzuni jamani
❤❤❤