#LEOTENA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 192

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 7 місяців тому +12

    Huyu mama sasa ndo mama yaan anahisia kari sana na mwanae yaaani kijanawake hata juta kumpata mama yaan wana chemistry moja matata❤❤❤❤❤

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 7 місяців тому +1

    Shangazi hongera Allah muweza wa yote 🤲 akurinde na hata clouds mungu awabariki 🥀🥀🥀

  • @KhadijaSimbamwene
    @KhadijaSimbamwene 7 місяців тому +3

    Wallah kipindi ni kizuri sana na kinaliza allah awalipeni kila lenye heri inshallah

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 7 місяців тому +11

    Clouds kitu mnafanya ni kikubwa , nawapa maua yenu, Mungu awabariki sana

  • @SalhaIradukunda
    @SalhaIradukunda 7 місяців тому +19

    Aliye lia kama mm nipeni like hapa jamani

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w 7 місяців тому +1

    Mama waziri honge sana kwa kumpata wifi mwenye hofu ya Mungu ubarikiwe shangazi uishi miaka mingi ❤❤❤❤❤

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 13 днів тому

    Mungu anisaidie nsipate pressure maana kila nikiangalia hiki kipindi naskia uchungu naliaaa sana,Mungu awalinde team nzima ya clouds

  • @JUDITHGEORGE-zs7oq
    @JUDITHGEORGE-zs7oq 7 місяців тому +3

    Mungu awabariki sana

  • @rhodaangetile2781
    @rhodaangetile2781 7 місяців тому +1

    Kiukweli katika vipindi mnafanya ya kibinadamu nakuonya mioyo. Hongereni sanaaaa

  • @PaulinaPetro-e1k
    @PaulinaPetro-e1k 21 день тому

    Mungu awabark jaman

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 7 місяців тому +13

    Najikuta. Nalia. Jamani. Timu. Ya gea. Hongereni sana

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza4988 7 місяців тому +1

    Kwa mara ya kwanza, ninafuata kipindi hiki nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩. Nimekifurahia sana. Mbarikiwe sana na Mungu kwa kazi mnayo itenda. Watu wengi tumepotezana nao. Mmenifanya nilie kama mtoto mdogo.

  • @Catherine-fv9ht
    @Catherine-fv9ht 5 місяців тому

    Mbarikiwe Sana mueenderee kuwakutanisha watoto na wazazi wao❤❤❤❤

    • @Catherine-fv9ht
      @Catherine-fv9ht 5 місяців тому

      Sangazi mungu akubariki sana na akujaliee akuoe na afiya njema pia

  • @zamdambalilo9718
    @zamdambalilo9718 7 місяців тому +5

    Kiukweli Mungu awabariki sana.Kipindi hiki kinanitoa machozi sana.Naumia nikiona wanawake tunaroho ngm.mm nakufa nawanang.maradhi aukifo ndo kinitenganishe.Japo napitia shida nyingi ila najua mungu hatoniacha

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 7 місяців тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤mungu awwzidishie wote mnawo fanya kazi hii ya kukutanisha watoto na wazazi ,sasa wazazi wakiume wako wapi

  • @zuenamikidadi9295
    @zuenamikidadi9295 7 місяців тому +1

    Yani mungu awabariki sana nimeliya sana

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 7 місяців тому +1

    ❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah nimempenda shangazi mungu ammoe maisha mema yarabii

  • @MariaNdagile-hx5pr
    @MariaNdagile-hx5pr 5 місяців тому

    Hongereni wapendwa

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 7 місяців тому +5

    Hongera SHANGAZI kwa ulezi

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 7 місяців тому +5

    Jaman 😢😢najikuta nalia aki mama aamin kama mwanae

  • @nenenongi66
    @nenenongi66 7 місяців тому +3

    I wish engekuwa inatokea wale wazazi walishafariki wanaenda huko mbinguni wanakaa kwa mda then wanarudi wakaanza kututafuta watoto wao waliotuacha huku duiniani ,mimi ningekuwa naingoja hiyo siku kwa hamu sana yakuwaona wazazi wangu tena,pumzika kwa amani wazazi wangu😭

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 7 місяців тому

    Mungu akuride jamani kwa kazi zuri

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 7 місяців тому +12

    Kipindi kinaliza hikiii,nyie tumshukuru Mungu jamanii😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @salamaalihemed6220
    @salamaalihemed6220 7 місяців тому

    Wallh mashaallh thabrk allh mungu awalinde kw kazi yenu ❤❤❤😢😢😢

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 7 місяців тому +4

    Jamanii wamamaaa,hii inatufundisha kitu wapendwa,afadhali wamekutana wakiwa hai, Mungu ni mwema jamanii🙏🙏🙏

  • @KaniOfficio-lk1rk
    @KaniOfficio-lk1rk 7 місяців тому

    Ongera sana claudhi Mungu awape maisha malefu nilikuwa nikisikiliza ledio ongeran

  • @sheruajafari1676
    @sheruajafari1676 7 місяців тому +1

    Ongereni clous

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 7 місяців тому

    Maa Shaa Allah yaan Allah awabark sana 😭😭

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 7 місяців тому +25

    Hichi kipindi chenu ni kutuliza tu jamni mungu awabariki sana Dahuu na Geah😢

    • @Sharmy_02
      @Sharmy_02 7 місяців тому +4

      Na jose

    • @RayChausa
      @RayChausa 7 місяців тому +3

      😢😢Chatuliza kwa kweli

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 7 місяців тому +2

      Kipindi hiki kinaliza jamani siwez vumilia kwa kweli

    • @phebbyshayo9099
      @phebbyshayo9099 7 місяців тому +1

      Kipindi Bora Sana ...nampenda Sana bint yangu Meghan❤

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 7 місяців тому +2

      Hiki kipindi kinaliza sana 😢😢😢😢😢Yani nimeshalia mmpaka basi na fikia kuumwa kicwa juu ya kulia

  • @RoseMhando-kc5ls
    @RoseMhando-kc5ls 7 місяців тому

    Hongera Radio Clouse Fm,kipindi kizuri mnoo keep it up

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 7 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤❤mungu amzidishi moyo mwema huo shangazi alokulea kuna shangazi manshallaah kama baba

  • @RamlaAmiri
    @RamlaAmiri 7 місяців тому +2

    Mh kama unaweza kuangalia hiki kipindi bila kulia una moyo wa peke yako ila timu leo ten Mungo awabariki kwa hiki mnachokifanya

  • @darlenedada651
    @darlenedada651 7 місяців тому

    MashaAllah iki kipindi nimekipenda kinanijenga nizidi Ku mpenda Mama .Mama Mngu azidi kukulinda

  • @hanankhamis4517
    @hanankhamis4517 7 місяців тому

    Jamani nimelia sana hakika mungu muweza

  • @marrynessbarthazary3144
    @marrynessbarthazary3144 7 місяців тому

    jamani nyie wadada mnaoendesha kipindi hiki Mungu awabariki Muishi Maisha marefu sana nawapenda sana 🙏

  • @ShamilaJuma-z7n
    @ShamilaJuma-z7n Місяць тому

    Ht mm nimelia sana tu

  • @AnnaGotrip
    @AnnaGotrip 7 місяців тому

    Duh mnatuliza

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 7 місяців тому +1

    Shangazi hongera sana.

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 6 місяців тому

    Uyu mama nimempenda kuliko wamama wote walio tangulia mahana anaisia zote

  • @StellaMleba
    @StellaMleba 7 місяців тому

    Hongeren Sana hicho vipindi help kubwa kwenu

  • @AshuraIsa
    @AshuraIsa 7 місяців тому

    Hawa wanaume mungu anawaona

  • @MagiiLema
    @MagiiLema 7 місяців тому

    Hongera sana shangaz🙏🙏🙏🙏

  • @zamdambalilo9718
    @zamdambalilo9718 7 місяців тому +1

    Kiukweli mitihan ni mingi na maisha nimagum lkn siachi wanang.Kirauz Mungu awabariki.

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 7 місяців тому +1

    Jamani nimelia huyo nidada yangu kbs jeny jony

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 7 місяців тому

    Ongera sana

  • @IssaMbaru-qw6ug
    @IssaMbaru-qw6ug 7 місяців тому

    Allah akbar mpaka nimelia

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 7 місяців тому +8

    Nalia tu mimi sijui nalia nn😭

  • @gloryhamidu9418
    @gloryhamidu9418 7 місяців тому

    Dah Mimi sjui kama mama yang kafa au Yuko haii jamani dah aliacha mim n mdog wangu nikiwa mdog Sanaa simjui mama yangu hata kwa sura yani 😢😢😢dah sjui kma yup haii au amekufa jamnii dah naumia sana .natamani nami nimpat mama yangu mzazi😢😢😢 Joyce

    • @RoseManyata
      @RoseManyata 7 місяців тому

      Aliyewalea ukimuuliza mama Ako yuko wapi anakwambiaje

  • @NoelaNdibalema
    @NoelaNdibalema 7 місяців тому +7

    Wakati wengne wanatafutwa mama zao sisi wengne tumetelekezwa na Mama zetu.Aiseeeeeeeee mmeweza kuniliza jamani

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 7 місяців тому

    Mam ni mam❤️

  • @zamdambalilo9718
    @zamdambalilo9718 7 місяців тому

    Da huu huwa nakupenda sana.unaroho ya huruma sana.mingu awabariki wote

  • @chire4574
    @chire4574 7 місяців тому

    Mm nilichukuwa watoto wangu sasa ivi ni mwaka wa kumi....naishi nao Kenya...ila mama yao ajawai shugulika kuwatafuta .....namba as simu anazo.....huku Kenya ameshawai kuja sio mara moja.....lakini gafla akipata mawasiliano

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 7 місяців тому

    Nimempenda uyoo shqngazi laminitis watu wana rohoo mbayaa

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 7 місяців тому

    Nimempenda saana huyu kijana ni mwingi wa shukrani Anashukrani saana mno mno nami nililelewa na shangazi zangu nikiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu mpaka miaka 15 Mwenyeezimungu awarehemu shangazi zangu na Bibi yangu mama yao shangazi zangu walikuwa binamu wa Baba yangu nawashukuru saana nami nilijaliwa niliwatunza kwa sasa hawapo tena Mwenyeezimungu awarehemu pamoja na wazazi wangu hata iweje Mama ni Mama tu huwezi kupata mwingine Mwenyeezimungu awarehemu wazazi wangu

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 7 місяців тому +1

    Ama mnajua kutuliza jamani😭😭😭hii dunia changamoto ni nyingi daaah!!

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 7 місяців тому +1

    😭😭😭 l wish kama nisikie mamaangu ananitafuta maana alisafiri nikiwa mdogo akatuacha moshi akaenda bukoba kwenye msiba babu yaani babaake😭😭 siku anarud kutoka bukoba meli MV bukoba ikapata ajali ndio umatu ulipo mkuta😢😢

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 7 місяців тому

    Hongera sana shangazi

  • @HalimaJemedari
    @HalimaJemedari 7 місяців тому +1

    Me nalia tuuu 😢😢

  • @susannesusie3217
    @susannesusie3217 7 місяців тому

    Ninalia apa mpak naulizwa unashida gani😢

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 7 місяців тому

    Nimelia sana

  • @sein.208
    @sein.208 7 місяців тому

    Masha Allah

  • @sommohd7903
    @sommohd7903 7 місяців тому

    😭😭🙏🏼

  • @frankkulwa3981
    @frankkulwa3981 7 місяців тому

    Kipindi kizuri sana🎉

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 7 місяців тому

    Maashaallah

  • @winniejacob1784
    @winniejacob1784 7 місяців тому

    Kila nikiangalia hiki kipindi mimi nalia tu najikaza lakini nashindwa jamani 😢

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 7 місяців тому +2

    Sawa Dahuu na Geah tumeelewa tutawalea vizuri

  • @AnifaMwakilachile-ii6qd
    @AnifaMwakilachile-ii6qd 7 місяців тому +1

    Jamani mnatuliza wenzenu huku daah

  • @Emilymama2boys
    @Emilymama2boys 7 місяців тому

    Waaaah poleni jamani😢

  • @njuka3515
    @njuka3515 7 місяців тому

    Nililekewa ba bibi na baba R.I.P kwao ❤

  • @EsterBhoke
    @EsterBhoke 7 місяців тому +1

    Najisikia uchungu sana navyo ona wenzangu wanakutana na mama zao afu wanafurahi pamoja mimi na dadaangu mama yetu alituacha tukiwa wadogo sana dadaangu alikuwa miaka 4 na mimi nilikuwa na miaka 2 tumemtafuta na tumempata lakini hataki hata kutuona anasema yeye anamtoto moja tu ambae amezaa na mwanaume mwingine sisi hatujui dah inauma sana usiombe

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 7 місяців тому

    Continue to rest well mama na baba yngu😢😢😢😢

  • @Tashmaorg
    @Tashmaorg 7 місяців тому

    Dah😢😢

  • @tinahminja2452
    @tinahminja2452 7 місяців тому

    Kwan mm nalilia nn😢😢

  • @Goodhopeorganization255
    @Goodhopeorganization255 7 місяців тому

    Nimelia jamani

  • @isunga1964
    @isunga1964 7 місяців тому +12

    I wish nisikie mama yangu na baba wananitafuta nikutane nao tena R.I.P wazazi wangu mpumzike kwa Amani😭😭😭

    • @AshaVitalis-w8w
      @AshaVitalis-w8w 7 місяців тому +1

      😭😭💔

    • @zaitunichzi5241
      @zaitunichzi5241 7 місяців тому +1

      😭😭😭😭😭😭mungu akulinda

    • @isunga1964
      @isunga1964 7 місяців тому

      @@zaitunichzi5241 asante wangu yao mbele yetu nyuma

    • @isunga1964
      @isunga1964 7 місяців тому

      @rahmasaid2350 asante wangu yao mbele yetu nyuma kikubwa unawaombea hiki kipindi napenda kuangalia ila nalia pia

  • @RachelMalekela
    @RachelMalekela 7 місяців тому

    Daaaàh!

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 7 місяців тому

    Mungu ameweka kitu kikubwa kwenye ubongo wenu mpaka kufikilia kuanzisha hili jambo maana mmesaidia wengi

  • @MaryamShabani-n2u
    @MaryamShabani-n2u 7 місяців тому

    Nice vizuri

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 7 місяців тому

    Mungu ibariki tazania

  • @FatumaJabu
    @FatumaJabu 7 місяців тому

    Niseidieni na mm natafuta babaangu aniacha nikiwa na myaka mitano babaangu anaitwa saidi kwa ni hiringa mm niko kenya

  • @aziza9093
    @aziza9093 7 місяців тому

    Hiki nnokipidi chakutizama Allah awpe maishamaraf

  • @AshaKassim-tu7gz
    @AshaKassim-tu7gz 7 місяців тому +1

    Da geah hiki kipindi cheni kinaniliza mwanzo mwisho

  • @athmankiama1133
    @athmankiama1133 7 місяців тому +1

    Wtoto wengi baba yao askari!

  • @CeciliaShauri-vc7up
    @CeciliaShauri-vc7up 7 місяців тому

    Duuuh....najikuta nalia tu

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 7 місяців тому +1

    Hadi nimelia jamani!

  • @mashkadaniel1097
    @mashkadaniel1097 7 місяців тому

    Jaman nasie hku hatujui familia ya baba yetu alikuja kutafta maisha kahama mpaka umauti imekumta mwaka 1998

  • @aziza9093
    @aziza9093 7 місяців тому

    Shanzi❤❤❤

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 7 місяців тому

    mm mamdogo aliyonifanyia huwa kunamuda nalia mwenyewe

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 7 місяців тому

    Da gea hongereni ila kina liza

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 7 місяців тому

    Clouds naomba namba zenu tuwasiliane nanyi kuna mdogo wangu alipotea miaka mingi hatujui kama yupo hai au la.

  • @happymasanja4113
    @happymasanja4113 7 місяців тому

    Dah nyieee😭

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 7 місяців тому

    Wapo shangazi zangu watatu hao ni zaidi ya shangazi sijui niseme nini Mungu tu awalipe japo kubwa Lao alikwisha fariki Mungu amlaze mahali Pena peponi... Nimekupenda shangazi umenikumbusha wema wa aunt zangu

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 7 місяців тому

      Mie sijui nisemeje😢😢

  • @PROJESTUSMEDARD-m5u
    @PROJESTUSMEDARD-m5u 7 місяців тому

    Jmn tunalia mno jman mmmmmh hik kipindi kinaliza san

  • @LenaMwangamilo
    @LenaMwangamilo 7 місяців тому +2

    Uyu waziri alikuwa
    Anasoma mkombozi mbaliz _mbeya

  • @asnathaman
    @asnathaman 7 місяців тому

    😮😮

  • @HusnahMaulid-wi8dl
    @HusnahMaulid-wi8dl 7 місяців тому

    Mam umeniliza san jmn napat hisia kali najaribu kuvaa viatu vyko havinitoshi mama

  • @rhodangenzi
    @rhodangenzi 7 місяців тому

    Nina wifi yangu anamtafuta mama yake zaid ya miaka 40, lakini hajui atumie utaratibu gani wa kutoa taarifa hiyo

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 7 місяців тому

    Tuko wengi mm ninaye mtoto wa mdogo wangu nilipewa ana mwaka na miezi minne paka hivi ananiita mama watu wanamwambia hy ni shangazi yy anajibu mm huyu ni mama yangu akina asiya abdarahamani ndio wataita shangazi mm siwezi kuita shangazi

  • @ConsalvaMumbara
    @ConsalvaMumbara 7 місяців тому

    Shangazi Mungu akupe maisha marefu.

  • @ameenamohammed4413
    @ameenamohammed4413 7 місяців тому

    shangazi akiti chake 😭😭😭